Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 149
@Skomi-0nedayyes5 ай бұрын
Ata sisi watanganyika atutaki muungano kivuli maana kila siku tukitoka Matembezi Zanzibar tukirudi na kitu tu kidogo tunatozwa kodi kubwa na maafisa wa TRA wanasema wazi kuwa ni nchi mbili tofauti razima ulipe kodi kwanini ununue Zanzibar kwani kaliakoo akuna. Ivyo mie sioni umuhimu wa muungano kma mwananchi labda viongozi ndo wananufaika na muongano Kwaiyo kama vp bora kiramtu apawe 50 zake tutabaki kuwa ndugu tu sioni baya.
@LeeySeedorf5 ай бұрын
Fact 100% hauna maana yeyote muungano hasa kwa ujinga wa hapo bandarini tu
@IssaMohamed-mp4hj4 ай бұрын
Kweli
@oscar-pc6fz5 ай бұрын
Najifunza sana kuhusu muungano, mbona wanasiasa amuleweki.
@nailamohd-wn6sb5 ай бұрын
Hawa viongozi wa ccm wanajali matumbo yao tuu hawaumizwi kabisaa na nchi yao kila siku nchi yetu inadhalilika inashuka hadhi maadil wapo na yote hio ni Mungano. Uchaguzi ukija km vita yote hio wanataka kudhulumu wakae kibabe halafu waingie miskitin waseme tudumishe Amani dhulma tupu.
@Skomi-0nedayyes5 ай бұрын
Halafu kuusu amani wanatuongopea Tanzania aipo ata 20 bora ktk nchi za afrika zenye amani ndo watu wafahamu kwmba siasa ni ulaghai, Tanzania ukilinganisha na DRC, SUDAN,SOMALIA ETHIOPIA Nk.ni kweli Sababu Izo NCHI zinapigana vita lakini uwezi kulinganisha na nchi zilizo Bakia barani Afrika Tanzania sio Nchi Miongoni zinazo ongoza kwa amani Afrika
@Humble.....5 ай бұрын
Wazanzibari tusimtafute mchawe ni sisi wenyewe.... Hebu rudini kw ALLAH... Kuna Amri nyingi za Allah zikiukwa na wazanzibar wenyewe...
@MakameCarhire5 ай бұрын
Tunataka wazanzibari gari kutoka zanzibar zikienda bara zisitozwe ushuru😢bara mama liangalie hili kiliochetu kikubwa wazanzibari na wabara
@HusnaKhamis-bf9sm5 ай бұрын
Hatutaki tena mungano watanganyika hawatutaki mema kilamoja achukuwe ubaowake
@FridayMwassa5 ай бұрын
@@HusnaKhamis-bf9smHatuwatakii mema wakati kila kitu mnategemea bara na mnanunua ardhi bila masharti
@اللهأكبر-ذ7ث3س5 ай бұрын
Ilo neno Muungano kichwani mwangu sitaki ata kulisikia Waislam tushagewa
@nailamohd-wn6sb5 ай бұрын
😅😅😅 Khatari
@mbaroukahmad36185 ай бұрын
R😂
@MasnamussaPp5 ай бұрын
Bila kupepesa macho hiki kizazi cha leo cc muungano hatuwebu,tugawane mbao sio hawa wanaharamu wa ccm kung,ang,ania kujaza matumbo yao moto wa jahanam kwakututoza nguvu ss ifikie mwisho
@AhmedSeif-il1xx5 ай бұрын
Uvunjike bwana maslahi hakuna isipokua kwa wakubwa tu
@CharafimalisalimoAli-qw3hk5 ай бұрын
HUU MUUNGANO HAUNA MAANA YEYOTE KWA ZANZIBAR. ZAIDI YA KUFINYWATU. . ATA SHEIKH ULUNGA ALISEMA KUA KWA SASA ZANZIBAR SI NCHI BALI NI MKOA WA TANGANYIKA.
@FridayMwassa5 ай бұрын
Bora hata nyie mnafaidi kuliko sisi.Nyie mnanunua ardhi wakati huku siyo kwenu
@SuleimanMussa-x5i2 ай бұрын
@@FridayMwassaardhi nini ndg
@AisajumaKikwajuni5 ай бұрын
Uvunjike si lazima kila siku tunasoma hatutaki tumechoka kuuliwa na kudhalilisha tokea mapinduzi waznz wangapigwa sasa kila miaka mitanno wanaletwa majeshi na bifaru kuja kuwa znz.
@kipozeobakari7254Ай бұрын
Tafuteni sera nzuri acheni kuzungumzia muungano kwani hauna tatizo ila wenyematatizo ninyie wanasiasa
@saeedslum11635 ай бұрын
Nyinyi wenyewe muliungana na tanganyika hamukulazimishawa mulipendua hukmu ya sultan mukaongana na Tanganyika mukauwa zaidi ya 25000 waislamu wenye asili ya kiarabu bila sababu... Mwenyezi mungu hawatasamehe : قال تعالى : ومن يقتل مؤمنا متعمدا فجزاؤه جهنم خالدا فيها وغضب الله عليه و لعنه وأعد له عذابا عظيماً
@smallscaleminingsupplies96705 ай бұрын
Hao waarabu wameua waafrika wangapi
@saeedslum11635 ай бұрын
Wewe mrongo wala huna dini wewe una chuki na warabu na utakufa na roho yako mbaya. Wakati wa hukmu ya sultan Zanzibar ilikua ni inchi ya amani.. Kufa na chuki yako.. Mpaka Leo waramba ndio wanatoa misaada Zanzibar.. Lakini utakufa na chuki yako hasidi
@smallscaleminingsupplies96705 ай бұрын
Tanganyika inafaidi nini huu muungano, hata huu muungano usipokuepo Tanganyika itapata hasara gani , kuna kipi Tanganyika inapata Zanzibar,
@MackameHassani4 ай бұрын
Yeeeeees!!!!! Km tukiamua sote sasa tuanze kuongea itakuwa ni makelele tuu, wenzetu wa visiwani malalamiko yamekuwa mengi mnoo. Ukiwasikilza vizuri hawa viongozi wa Act nikujazana chuki tuu. Km wanataka nchi yao na wapewe tuu nchi yao baasi ubaki udugu wa kihistoria.
@KhamisAli-r1wАй бұрын
Kuna siri kubwa wanaijua viongoz wetu, so bure!!!!.
@KhadijaIbrahim-xr5eg5 ай бұрын
🎉hakisawakwawote
@DarrAlzain5 ай бұрын
Sababu Halisi Ya Muungano Ni Kuwadhalilisha Wa Zanzibar Hata Uhuru Wa Tanaganyika Ni Kuwadhalilisha Wa Tanaganyika
@labunaabouna61225 ай бұрын
Mnatakiwa mpambane sana ili mrudi wanzanzibar
@HusnaKhamis-bf9sm5 ай бұрын
Zanzibar imekwisha koloni latanganyika kutawaliwa na mtumweusi nishida sana
@josephpetro29684 ай бұрын
zanzibar ni unguja pemba ni nini.mkivunja muungano mtasambaratika kama mwl. nyerere alivyosema.
@KhamisAli-r1wАй бұрын
Kabla ya muungano unguja na Pemba waliishije????!!;, wewe na nyerere wako nyote waganga tu....
@kassimhaji11415 ай бұрын
Jamani wazee wetu tunakosea wapi asa mpaka leo Zanzibar
@yonazimpombe11604 ай бұрын
Siasa za waungwana na watwana
@AllyRamadhani-wl3um5 ай бұрын
Muungango ni Jambo nzuri Ila wabinafsi wanaopenda kujitenga ni watu wabaya Sana gadafi mungu amrehemu alipenda afrika tuungane we makamu wa raisi wa nzanzibar dumisha muungango acha ubinafsi
@issakhamis95815 ай бұрын
Ila simuungano huu wazuluma
@omarmohammed51575 ай бұрын
ZANZIBAR inamaadui wa 3 Adui wa kwanza ni Adui wa Ndani ccm. Adui wa pili ni Adui jiran Tangayika Adui wa tatu ni Adui wageni wa njee ya tanzania wengereza a marekani
@MwinyiAhmad4 ай бұрын
Yasemwe tuu
@KhadijaIbrahim-xr5eg5 ай бұрын
Kuwenahakikatikamuungano
@IssaMohamed-mp4hj4 ай бұрын
Kwani watanganyika tunapata nini kwenye uumungano tuuvunje kilasiku vijembe adi tumechoka gesi ipo tanganyika tunakila kitu
@KhamisAli-r1wАй бұрын
Viongozi ndio wenye maslahi na huu muungano....
@farouqjaku9515 ай бұрын
Wan'yamwezi wa kibongo wajan'ja.
@jamilmwinge36955 ай бұрын
Si uvunjike tu kwani tatizo liko wap? Acha inyeeshe tuone panapo vuja.
@rukiaiddyyahaya95065 ай бұрын
Kama utafutwa muuungano mchanga uchaguliwe wa bara urudi na visiwani ubaki huko
@AbduliHalim-o2y5 ай бұрын
Fitina gani kwani sisi hatuoni kuwa Zanzibar tunaonewa na kiukweli wazanzibari hatuwapendi wa bara sababu nyinyi si watu wazuri jecha mulomteka na jeshi😊
@suleimanmuhammad-bu7pe5 ай бұрын
Me naamini kwa viajana wa ccm Zanzibar walikua hawajaamka kiakili Kabla mwanzo ila tusikate tamaa cis kwanza1.nchi yetu tuamini kama tunaweza kuishi kama ulaya ya kati . kama Singapore wallah nawaambia
@fatumamroki27165 ай бұрын
😂😂😂mtakufa njaaa mkinywa maji ya karafuu 😂😂😂
@IvanChrisantus5 ай бұрын
Baada ya hapo nao wapemba watataka uhuru wao
@paulnachenga63024 ай бұрын
Mtoto akililia wembe muache tuwaachie wajitegemee mbona tunawang'ang'ania tuwaache hao
@KhamisAli-r1wАй бұрын
Kakojoe ukalale!!! Kesho shule!!!.
@belgieboys98674 ай бұрын
MUUNGANO SIO HALALI SABABU HAWAKUCHANGANYA MAJI YA BAHARI
@Skomi-0nedayyes5 ай бұрын
Mie binafsi sipendi kuskia neno Tanzania bara kwani Tanganyika yetu iko wapi, na Sisi tunataka tanganyika yetu maana kuna Zanzibar na Kuna Tanganyika je Tanganyika iko wapi maana Wazanzibar wanavitambulisho vyao vp kuusu Watanganyika.
@farheenmasoudchannel24955 ай бұрын
WEWE UNA AKILI SANA HAKUNA KUTAWALIANA KWA ZAMA HIZI ZANZIBAR HAWAKATAI MUUNGANO ILA MUUNDO WA MUUNGANO SII MZURI
@hajiabdalla57725 ай бұрын
Janja janja.
@deo-gratiasmwita5 ай бұрын
Naheshimu saana mawazo huru ya Kila Mtu! Mwaafrika mwenzetu anapo chochea kuvunja umoja wa Waafrika namshangaa saana! Nillitegemea Mheshimiwa atatoa mapendekezo namna ya kuboresha umoja wetu! Badala yake anatoa sababu za kuuvunja! Hivi hajui Lego kuu la Africa kwa Sasa ni kuungana!
@KhamisAli-r1wАй бұрын
Watu washajichokea weweee!!!! Kila kukicha vijana kutoka kisiwa cha Pemba wanakimbilia DSM kusaka ajira, Zanzibar kunanuka njaa.
@muhammedbakari28675 ай бұрын
Sasa hiyo kesi atapelekewa nan aitatuwe maana hata mkipeleka nje hakuna liwalo.. nisawa na kesi ya nguruwe kumpelekea nguruwe..
@farheenmasoudchannel24955 ай бұрын
WE UNAUMIA NAONA ILA SISI HATUWATAKI BARA MNAJILAZIMISHA KWETU MDA MREFU HATUTAKI
@BonifaceHassan-j5m4 ай бұрын
Hakuna sababu ya muungano,kila huyo akae na nchi yake!
@HijaxZone5 ай бұрын
Wanatafuta lawama wa Zanzibar
@khalifasaidi70015 ай бұрын
Kweli nimeamini kila mja na urefu wa akiliyake ! Kwasababu hata mchanga mnautowa bara wabara wanachukuwa nini kwenu? au wabara wanapata nini kwenu? acha hizo
@MokiwaAbdallah5 ай бұрын
Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake!lini wewe ni kipara kabisaa!au ni chuki tu zinatawala akili zake kipara?
@@MWIGAADAM-r3e ni uraghai unaotokana na waarabu haswa hizbullah mbona inakuwa wapembazaidi kuliko waunguja?
@KassimAlly-xp4dz5 ай бұрын
Mjinga sn kumbe ww sasa kama hawapati ki2 kwann musituachie znz jamani
@khalifasaidi70015 ай бұрын
@@KassimAlly-xp4dz wewe unayesambaza upumbavu ndo mjinga huna elimu ya kutosha ungekuwa na elimu using ng'ang'ania uozo kama huo Africa nzima watu wanataka iwe moja wewe unakazi ya kuusakama muungano kwanini usizungumzie maendeleo azim yanayofanywa na ccm chini ya doctar mahili raisi mwinyi,,,leo zanzibar imekuwa mulwa!!!
@HusnaKhamis-bf9sm5 ай бұрын
Tuungane upya mambo yaendele bilahivyo watuache tupumuwe
@maskatitravel5 ай бұрын
Tunataka Zanzibar HURU na kiti chetu cha U. N. Tukorudishe. Tanganyika wawe na mamlaka yao na Zanzibar iwe mamlaka yake.
@AbdallahJuma-wb8lq5 ай бұрын
Watanganyika,hawana,nchi,nchi,Yao,muungano,
@muhammedwakif62165 ай бұрын
Othman mwisho ndio ulikokosea
@nyumbanituthegendaheka72225 ай бұрын
Nyie wa zanzibar mnadhania hasili yenu wapi? Bara au Oman? Maana watu waliokaa zanzibar ni wavuvi na watumwa aliokwenda huko...sasa kujifanya kama ni watu wa tofauti bhas hamjui hasili na historia yenu...mnadhania nyie waarabu sababu ya kupokea Dini na tamaduni za mwarabu
@fabby11814 ай бұрын
Tujifunze sote
@IvanChrisantus5 ай бұрын
Baada ya hapo , wapemba nao watataka uhuru wao !
@jumamohamed31685 ай бұрын
Pemba haikuwa nchi watataka uhuru wao kutoka wapi ?.hebu nifahamishe mimi nielewe.kama Pemba itataka uhuru na Morogoro itataka uhuru, Daresalam itataka uhuru, Singida itataka uhuru na sehemu nyingine pia .kama Dodoma ,Kagera na sehemu nyinginezo .hizo zote ni hisia za kufanya watu wasidai haki katika Muungano ndio munahisia za kijinga kama hizo.
@panduali48625 ай бұрын
Mbona haikudai kabla ya huo muungano.? Pemba haikuungana vp idai Uhuru?
@farheenmasoudchannel24955 ай бұрын
ATA WAPEMBA WAKITAKA UHURU WE SIO KAZI YAKO SISI NA NYINYI TUMEUNGANA UNGUJA NA PEMBA NI ZANZIBAR ULIWAHI KUSKIA PEMBA INADAI UHURU NYIE WA BARA MACHIZI
@IvanChrisantus5 ай бұрын
@@farheenmasoudchannel2495 Kwa hio wapemba ni watu wa "Zanzibar " jaribuni tuone
@IvanChrisantus5 ай бұрын
@@panduali4862 Kwa hio wapemba ni watu wa "Zanzibar " ok
@RamadhaniMussa-xs5uk5 ай бұрын
Asoelewa uyo sio mzanzibari
@salehkhamis-ob8ln5 ай бұрын
Yupi sio mzanzibar
@IvanChrisantus5 ай бұрын
Baada ya hapo nao wapemba watataka uhuru wao
@jumamohamed31685 ай бұрын
Pemba haikuwahi kuwa nchi watataka uhuru kutoka wapi?.kwa maana hiyo hata Morogoro ,Dodoma ,Singida,Ruvuma,Mbeya na sehemu nyingine watataka uhuru pia sio Pemba tu peke yake mbona husemi .acha akili za kitoto watu wanazungumza mambo ya maana watu wamenyimwa maendeleo katika nchi yao kwa roho mbaya tu za watu wengine kwa kisingizio cha Muungano.
@ElihurumaThomas-kz8nq5 ай бұрын
ME NAONA BORA MUUNGANO UVUNJIKE TUBAKIE TU KUA NDUGU KAMA ILIVYO KENYA NA UGANDA NI NDUGU ZETU NA TUNASHIRIKIANA TU VIZURI COZ WAZANZIBARI HAWAUTAKI MUUNGANO NA WATANGANYIKA PIA HAUTAKI .WANAOTAKA MUUNGANO NI VIONGOZI AMBAO KIMSINGI HUENDA WANAMASLAHI YAO. IPIGWE KURA YA MAONI WANANCHI WAAMUE WENYEWE
@omarmohammed51575 ай бұрын
Watangayika hawana tafauti kama wa israel kwa nchi ya Zanzibar
@salehkhalfan73455 ай бұрын
Juzi kuna Kiongoz flani kutoka SUZA eti hoja yke yy ni kwmb kuna Wazanzbar 1 mil wanaish Tanganyika hvo Muungano ukivunjika watu wale watakwend kuish wp Halaf naskia alietoa hoja hii Msomi wa Kiwango cha Proffesa
@jumamohamed31685 ай бұрын
Wazanzibar wapo Uganga,Kenya ,Rwanda,UingerezaMarikani ,huko hatuna Muungano ,hata huko bara utawekwa utaratibu wanaweza kuendelea kuishi huko huko bila ya kuwa katika Muungano .isipo kuwa watafuata taratibu zilizopo kama Wazanzibar waliopo Rwanda,Kenya ,Rwanda.
@IvanChrisantus5 ай бұрын
Baada ya hapo nao wapemba watataka uhuru wao
@Soon8155 ай бұрын
Wewe unaakili wewe?? Hiyo pia ni hoja wakifukuzwa wanaenda wap!? Wewe mjinga
@King_Of_Everything5 ай бұрын
✌️👊👍.
@CharafimalisalimoAli-qw3hk5 ай бұрын
NIPO JAMHURI YA MSUMBIJI NAUMIASANA NA MUUNGANOHUO. MAANA UNAWAKANDAMIZA KWANZA WAISLAMU NA UISLAMU. PILI WAZANZIBAE WENYEWE.
@topmixmedia-d7h5 ай бұрын
muungano Daima❤
@omarmohammed51575 ай бұрын
Uavooonekana una roho ya kishetani
@nathanpangjanda27345 ай бұрын
Mbowe hacha ubinafsi nchi hii haitatawaliwa na wachaga wewe mbowe humeweka ukabila mbele na mfano siku chadema wakichukua nchi wewe mbowe hutawafukuza wakina lisu kama kuku chadema itakuwa ya wachaga
@Championmjeluman5 ай бұрын
Mbona wapemba tu
@omarmohammed51575 ай бұрын
KAARUME NA YERERE NDIO CHANZO WA HUU UCHAFU LEO UNAOTUSUMBUWA
@jumamohamed31685 ай бұрын
Kweli kabisa mimi naamini nje ya Muungano huu wa dhulma Zanzibar tungekuwa na maendeleo makubwa kabisa.Afrika Mashariki nzima hakuna anayetufikia.
@natafutamatatizo43825 ай бұрын
WAZANZIBARI NA RAIS SAMIHA SULUHU NI MISUKULE YA WATANGANYIKA TU, ANAKIJA RAIS MTANGANYIKA MTAKIONA CHA MOTO👀👀
@abdallaomar40095 ай бұрын
Hata nyinyi mutakiona cha moto mbele ya Mung na huko ndio kwenye moto haswa, hapa hapana lolote.
@saumumtait13815 ай бұрын
P
@salehkhamis-ob8ln5 ай бұрын
Muungano 😂😂😂
@AllyRamadhani-wl3um5 ай бұрын
Huna lolote we makamu ni mbinafsi Sana umekosa Sera muungano utadumu tu nyie mnaopinga muungano ni wafuasi wa shetani lusifa
@AliSalim-yu4mo5 ай бұрын
Allah akulaani adui wa Wazanzibar!usiyekuwa na hata aibu!au ni Mzanzibara uliyepewa eka Machui na Kizimbani?
@saumumtait13815 ай бұрын
Qw
@PhilipoMwita-wc1ku4 ай бұрын
Ukitaka ujue sio muungano nunua kitu Zanzibar njoo nacho bara
@perisiverympwenku1395 ай бұрын
Muungano ni kitu kizuri zanzibar laxima muunganishwe lasivyo mtapigana wenyewe geographia hii pemba na unguja ..kisha mtulipue na sisi wtanganyika kwa ugaidi ..nA itikadi zenu kali za mlengo wa kushoto..kueni na akili..haya ndio maendeleo..elimu nimewapa.ichukueni..
@farheenmasoudchannel24955 ай бұрын
WE CHIZI UNAMPA ELIMU NANI SI SI HATUWATAKI MNAFORCE HATUNA SHIDA NA UDUGU NA NYINYI HATUFANANI MBONA
@SuleimanMussa-x5i2 ай бұрын
We una cha kutupa ss
@perisiverympwenku1392 ай бұрын
@@SuleimanMussa-x5i tumewapa muungano na hamuwezi kuuvunja jaribuni muone..hata Mungu anapenfa watu waungane wapatane,lkin mashwetan hayapend uMoja..
@jumA-th7rs5 ай бұрын
Nafasi uliopewa na ccm ulichukua uamuzi gani na hiyo niayako njema wewe Fitina tu.
@KassimAlly-xp4dz5 ай бұрын
Alikata kuiuza Zanzibar kwenye bunge la katiba
@Yussuf-b3b5 ай бұрын
Wewe hujuwi kitu wala hufahamu analolisema,,ANASEMA HUU MUUNGANO SIO MUONGANO NI KUIDHIBITI ZANZIBAR NA KUTAKA KUIFANYA IWE MKOA,,USIFANYE UCHAWA KWENYE MAMBO YA KITAIFA
@mhandomhina55035 ай бұрын
Hii ndio lugha majukwaa ya siasa hutoka vinywani tu na wapo walikuwa mawaziri viongozi huko huko lakini walivujisha mipango ya Zanzibar kujitoa Kwenye huu muungano lakini walipotoka serikalini na kuja Kwenye majukwaa haya Kwenye mfumo wa vyama vingi basi hadithi zao kubwa za kuwateka watu ni kichaka Cha kujivua na kero za muungano japo unazingua pande zote mbili
@mhogomchungu71685 ай бұрын
Mtu fitina ni mbaya kuliko muuwaji, na kama huoni hawa act ni fitina wewe ni mgonjwa sugu wa akili.
@Yussuf-b3b5 ай бұрын
Jichunguze wewe kwanza elimu yako na elimu yake halafu ndipo utoe matusi,,mtu husikilizwa na kupewa uongozi kutokana na elimu yake ,,sasa wewe mwenzangu una uwezo wa kujibu yote aliyozungumza au una uwezo wa kutoa matusi ?WASWAHILI WANASEMA ELIMU YA MJINGA NI MATUSI
@mhogomchungu71685 ай бұрын
@@Yussuf-b3b hata Firauni, hamana na Abu jahal walikuwa wasomi WA wakati wao. MTU hapimwi Kwa makaratasi alozawadiwa hupimwa Kwa anachoongea mbele za watu.
@maishasafari97245 ай бұрын
@@Yussuf-b3b kuna cha maana alichoongea hapo. Zaidi ya malalamiko. Sisi tuna focus kuanzisha East African currency, yeye anataka Zanzibar currency 😢 maandazi kabisa.
@jumamohamed31685 ай бұрын
Kwa akili zako wewe,na mimi kwangu anaye kataa dhulma anayofanyiwa ni mtu mwenye akili sana kuliko anayekubali dhulma anayofanyiwa na kukaa kimya bila kuipinga dhulma hiyo.
@lawskuli98765 ай бұрын
Udumu Muungano wetu
@fahmysaid-zw4np5 ай бұрын
udumu na mkundu wako usije kufirwa
@muhammedbakari28675 ай бұрын
Sina uhakika kama ww ni mzanzibari kwali..ww ndio wale wale kina jon okelo..
@KichwaKigumu5 ай бұрын
😅😅😅😅😂@@fahmysaid-zw4np
@MWIGAADAM-r3e5 ай бұрын
WA mama na baba Ako waliokuzaa mbwa ww
@muhammedbakari28675 ай бұрын
@@MWIGAADAM-r3e Kwa wazanzibar tamu kwenu chungu ukome 🤣🤣🤣🤣shenzi..mukome kutufatafata kwan hamuna kwenu mpaka muig'a ng'anie Zanzibar.. eti muungano na kuma za mama zenu kama raha kuungana..
@khatibal-zinjibari69565 ай бұрын
MZIZI WA MUUNGANO NI UKOLONI WA TANGANYIKA Kwanza Wavunje Muungano Khalafu Kung'owa Mizizi Saba.
@Skomi-0nedayyes5 ай бұрын
Wazanzibar watakacho kiamua Sisi watanganyika tuna wasaport 💯 maana nasi atuoni manufaa yake kma kuna manufaa basi tuunganeni na nchi zengine za afrika mashariki lasivyo sote kwa pamoja tuseme imetosha Free Zanzibar free Tanganyika na bado tutabaki kuwa ndugu lakini lakini bora kila nchi iwe na mamraka yake mie nasikitika Tanganyika imefutwa akuna Tanganyika kuskika wakati ndio iliyounda Tanzania leo hii Imebaki Zanzibar na Tanzania bara kinacho ogopwa kutamka Tanganyika ni nini au kuna sili gani iliyo fichwa hapo. Nauliza ili swali kwanini kuna serikali ya Zanzibar na serikali ya muungano na akuna serikali ya Tanganyika why?? Kuna vitambulisho vya Zanzibar na vitambulisho vya muungano lakini akuna vitambulisho vya Tanganyika inamaanisha huu muungano ni fake.. free Zanzibar free Tanganyika
@IvanChrisantus5 ай бұрын
Baada ya hapo nao wapemba watataka uhuru wao
@khatibal-zinjibari69565 ай бұрын
CHUKI ZA UISLAM NI NGUZO ZA KUIMARISHA MUUNGANO @IvanChrisantus. Hiyo ni moja ya hoja ya NYEREREISM. Kama hivyo, Wakilwa watataka Uhuru wao. Mchungaji Christopher Mtikila, Kiongozi wa Full Salvation Church, Mbunge Njelu Kasaka wa Mbeya, Jenerali Ulimwengu na wengi wengineo walitaka Uhuru wa Tanganyika wakati wa Uraisi wa Ali Hassan. Lakini kwa sababu hawa ni Makiristo hawakutiwa jela ila Mashekhe wa Uamsho nao walipodai Mamlaka Kamili ya Zanzibar, Hussain Ali, Mzaliwa wa Tanganyika aliwafunga zaidi ya miaka minane. Na walitoka baada ya kuwa Rais.