ACT-Wazalendo wamejiondoa katika serikali ya kitaifa. Tutafakari kauli za Karume, Kinana, Zitto, na Ado.
Пікірлер: 99
@Byondorujulika174 ай бұрын
Safi sana kwa uchambuzi wako muzuri na wakueleweka, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸
@KijukuuMtemi4 ай бұрын
Wazanzibar tuamkeni tutumie akili za kizaliwa ccm nichama kinacho tawala na raisi mwingi kwel nchi anajenga lakin watu wenye akilifinju wanamsifu barabara inajengwa lakin kilo ya mchele elfu 3 tozo kubwa ajira hapana sasa tutamsifu vip wakat maisha magumu hayo mambo anayofanya maigizo tu ili ateke akili za watu nchi yetu ya amani mm naomba turahisishiwe maishatu bas wazanzibar watanyamaza kimya
@KijukuuMtemi4 ай бұрын
Zanzibar hali mbaya sana hatuna Uhuru tunaish Kama tumetawaliwa na wakolon
@aediayumgo85464 ай бұрын
Hama nchi unalia Nini 😲
@khatibal-zinjibari69564 ай бұрын
😂UKOLONI WA ZANZIBAR😂 @aediayumgo8546 Soma kile Kitabu cha Mzanzibari. Harith Ghassany: KWAHERI UKOLONI KWAHERI UHURU Zanzibar na Mapinduzi ya Afrabia SIASA YA PAN-AFRICANISM ZA NKRUMAH NA NYERERE "No Africa anywhere in the world will ever be free until all of Africa is free." (President of Ghana Kwame Nkrumah). Rais Nyerere wa Tanganyika alikataa Zanzibar kuwa Huru (1964-Sasa) bali kuwa Koloni yake ya Tanganyika.
@smarty10644 ай бұрын
@@aediayumgo8546 tumia busara binadamu wenzio wakitoa maoni juu ya haki zao za msingi
@nassorsharifu98374 ай бұрын
Ahame aende wapi na Zanzibar ndio kwao@@aediayumgo8546
@ChristmasMaheri4 ай бұрын
Chadema na CCM walishindana katika maridhiano.Sasa,ACT Wazalendona CCM wametofautiana.Hapa tatizo ni CCM.
@msabahaali7584 ай бұрын
hakuna wa kuwaonea huruma wazanzibari damu za wazee wetu mama zetu kubakwa samia hajali Mwinyi hajali haki yetu tutaitafuta kwa njia nyingine kama watawala hawaelewi
@jumamnemo83834 ай бұрын
Hao waliobakwa umalaya umewazidi.
@nassorsharifu98374 ай бұрын
@@jumamnemo8383siku moja itatokea kwa mama yako halafu utasema nae ni malaya
@zinjibaryetu84514 ай бұрын
Well done kaka kwa analysis hii nzuri sana...
@isaacalex63274 ай бұрын
ccm hakuna hatachembe ya neno haki wala neno la amani haliko
@ndimimaskati36414 ай бұрын
CCM haina chao Zanzibar kazi zao ni Kudhulumu uchaguzi.
@KamwandaNzowa-eo4ur4 ай бұрын
Hata mambo ni mazito sana Ccm msiyapuuze mwogopeni Mungu
@davidsimbeye15484 ай бұрын
Wako sawa lakini kwa nini hawakuchukua hatua hiyo mapema maana yake kuchukua uamuzi wakati huu itatafsriwa kuwa walikuwa wanafurahia uwepo wao kwenye serikali ya umoja wa kitaifa sasa baada ya kuona uchaguzi umekaribia ndo wanajifanya wanataka kujiondoa. Wengi tunakumbuka kwamba baada kuingia kwenye serikali ya umoja wa kitaifa hawakuwa na lugha nzuri dhidi ya vyama vingine vya siasa ikiwemo chadema.
@nassorsharifu98374 ай бұрын
Wewe ccm mchonganishi. lakini bado Kuna mwaka na nusu mbele ni wakati muafaka Sasa hivi uchaguzi bado uko mbali
@mlekwa4 ай бұрын
Yangu macho
@AllyChupa4 ай бұрын
Baba tunakuelewa sana nikiwa znz
@m.s.nyerere4764 ай бұрын
Kwa kweli unafanya kazi kubwa sana mkuu! Mungu akubariki!
@labunaabouna61224 ай бұрын
Zanzibar sio shuari na pia haiwi shuari ngoo maana inamilikiwa na ccm haiyongozwi na ccm
@fabby11814 ай бұрын
CCM wamejaa viburi Kwa sababu hawana namna wameshayakoroga, liwalo na liwe. Sisi wananchi tunapigika, tunanyanyaswa tukatae tuchukue hatua
@zinjibaryetu84514 ай бұрын
Ado ameieleza hali ya Zanzibar vizuri sana kwani sio siri Dr Mwinyi kaja Zanzibar kivamizi na kujipachika uraisi kwa kutumia mtutu wa bunduki na sio ridhaa za watu wa Zanzibar wenyewe. Dr Mwinyi hajachaguliwa, hakutakiwa na wala hatakiwi huo ndio ukweli
@user-cv1nv9dr6i4 ай бұрын
Chadema walisema mukasema hao hawajui sasa munaona
@ngwalibaba74894 ай бұрын
Natuyaone ila tumechoka sana ZANZIBAR
@salummohamed26894 ай бұрын
Vumilieni mpaka muone mmojawenu apotee. Chaguzi zinakuja ndo mtafahamu CCM haihitaji mwingine afaidi.
@ndimimaskati36414 ай бұрын
CCM wanaitumia tume kupora uchaguzi.
@kombidin..25834 ай бұрын
Kama kila mtu hajashinda kihalali nani alishinda? Endeleeni kujifariji kwa kuombea mabaya badala ya kujipanga.In politics every second counts
@Zanijasy-hy7vm4 ай бұрын
Huna akili au ni makusudi ndugu yangu.
@kenedyrocky46414 ай бұрын
KAZI IPO. WATANZANIA WAMESHA CHOKA KUDANGANYWA. NAFIKIRI WAMEAMUA BORA INYESHE TUJUE PANAPO VUJA
@margarethpolepole74384 ай бұрын
Kelele za nini kila siku kuongea kuhusu Zanzibar na Bara kila mtu akae kwao walioko huku warudi kwao na walioko kule warudi huku muungano uvunjike tu kama hawakubali Serikali 3
@richardnganya23114 ай бұрын
Kuna kutengwa sana kwa Makamu wa Kwanza katika shughuli za kiserikali huko Zanzibar. Hata kwenye shughuli za msiba wa Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi hakupewa stahiki yake na zaidi ni makamu wa pili !!
@natafutamatatizo43824 ай бұрын
MWINYI AMEKWENDA ZANZIBAR KUKIFANYA KUWA MLANGO WA DUKA NA FAMILY YAKE, NA MUONGO KULIKO SHETANI 👀🦝
@KassimAlly-xp4dz4 ай бұрын
Jamaa muongo sn kujenga barabara anaona ndo dili nyambavu
@margarethpolepole74384 ай бұрын
Natafuta matatizo una uthibitisho unayoongea
@ibrahimame98054 ай бұрын
Anao uhakika.mtu Yuko tayar kuwauwa waislam wenzake kwa kutaka madaraka. Hata ww wtakufyekelea mbli Kwan anashida na ww km nani🤣🤣🤣. Nyauwe
@jumamohamed3168Күн бұрын
Kwani wewe hujui kiwa kila uchaguzi Zanzibar kunatokea mauaji,watu kudhalilishwa na kutiwa ulemavu wa maisha kwa sababu ya watu fulani kulazimisha kubaki madarakani hata kama hawakushinda uchaguzi?. Usiulize maswali ya kijinga wakati mimi ninayaona kwa macho yangu ,na wengine wanayaona pia na hadi sasa wanaulemavu kwa sababu CCM iendelee kubaki madarakani .wengine tunaomia kuona mauaji kila uchaguzi Zanzibar na kuchukizwa yanayofanyika kama wewe unafurahia ni wewe .
@josephmantago28374 ай бұрын
ACT mliambiwa na chadema mkazalau sasa imekuwaje yaani ninyi ndo mlishinda alafu mwizi muuaji anawambia mshirikiane lkn yeye ndo awe Rais huu ni ushetani wa hali ya juu
@mfwimiekayuki86924 ай бұрын
Alivyoonekana Mwinyi alionekana anabusara na hekima kumbe mmmh.
@ritchiemuta10924 ай бұрын
BRAVO Maalim Seif RIP kwa kuvulia na kiutuliza zanzibar
@jumahamadomar91244 ай бұрын
Ee mwenyezi Mungu we jaalia siku moja huu mzimu wa CCM ungoke ili Zanzibar tufungue chapter mpya
@LumolaSteven4 ай бұрын
Kaka unajua sana tunajifunza sana kupitia wewe.
@gangmore90914 ай бұрын
Time will tell insha Allah kila kitu kitajulikana
@ndimimaskati36414 ай бұрын
Ccm ni Madhalimu wakubwa kwa upande wa Zanzibar.
@LumolaSteven4 ай бұрын
Hata huku Tanganyika CCM ni madhwalimu
@songombingo1084 ай бұрын
Zanzibar kwa mtazamo wangu ilishakufa Mwaka 1964 baada ya kuungana na Tanganyika.
@musasimbeye78294 ай бұрын
Hawa asilimia 90.Si wakweli ndoo Maana wana shindwa kutekeleza .Uroho na uchoyo wa madaraka.
@user-sp8yd6of2z4 ай бұрын
Baba wa tarifa alisema wananch wanatak maendeleo na wasipo yapata ndan ya ccm watayatafuta nje ya ccm viongoz kuweni wakweli na muwe na usubutu
@jumahamadomar91244 ай бұрын
Nyani ni wale wale
@batrumbeziks59463 ай бұрын
Kiswahili hatuna neno "sintofahamu". Ni SIUTAFAHAMU. Kmwa mfano "...siutafahamu uliotokea..."
@joejosca75944 ай бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@user-ep7uz3tk3f4 ай бұрын
Serikali ya Tanganyika!
@ibrahimandrew8484 ай бұрын
ACT ni WAIGIZAJI TU KWA NINI WALIINGIA ALAFU WAJITOE SASA IVI KARIBU NA UCHAGUZI?CCM B Wana act MAIGIZO.WANACHOHITAJI NI NUSU MKATE TU HAO.
@raphaelnambombi37094 ай бұрын
Wazanzibar ni watu wanaopenda haki sana,kwa hiyo inakuwa vigumu sana kwa mtenda haki kunyimwa haki yake
@salummohamed26894 ай бұрын
Ngurumo umewafundisha watawala wa CCM na jeuri yao na wakumbuke ushauri mwingi umetolewa na watu mbali mbali. Wakibaki hivi ni Yao waje kulaumu.
@muhammednassor6904 ай бұрын
Piga mazogo pigeni makelele lakini hamutuulishi tena ilipofika inatosha ccm waache watawale hata miaka mia hatuna tatizo nao maana hatuna vakuwafanya sisi sote ni ccm mambo yaishe
@King_Of_Everything4 ай бұрын
👍👊✌️.
@mfwimiekayuki86924 ай бұрын
Karume wewe ni jasiri na mfano wa kuigwa.
@EnockKanduli-cv8yr4 ай бұрын
Yeye karume mbona yeye yalimshinda? Na ndiye yeye aliaswa na marehemu
@mayanmlingwa42504 ай бұрын
Kwamba imebakia mwaka 1 wa uchaguzi ndo mmeanza kujitekenya😂😂😂
@suleimansaid7694 ай бұрын
Hakuna watu siwaamini kama wanasiasa wanakua wakali sana wakisimama mbele za watu ila ao ao ndo wanapita mlango wanyuma
@festobalegele93614 ай бұрын
ACT Wazalendo kulea na kuvumilia unyama na ukatili wa CCM, kumewafanya CCM waamini kuwa kupata Ushindi kwa kuua watu ni kitu kinachokubalika. Uzoefu huo wa CCM Zanzibar, wameuhamishia Tanzania Bara. Na mhanga mkuu wa ukatili huo wa CCM, kwa Tanzania Bara, ni CHADEMA. Ifike wakati tuseme imetosha.
@KijukuuMtemi4 ай бұрын
Ccm kuondoka madarakani ni ndoto tu wanasema wamepindua Zanzibar ukenda andamana zomby wanakuja kukupija
@user-bg2yc4kw9k4 ай бұрын
Haiwezekanii hasa
@gangmore90914 ай бұрын
Hata firauni wakati ule walijua hatoondoka duniani leo wapi time will tell tuwe n asubra
@user-bg2yc4kw9k4 ай бұрын
Hmmm jipenii moyo
@aediayumgo85464 ай бұрын
Watu mnalilia humu kwenye comments hameni nchi huyo Brother mwenyewe kakimbia kitambo 😂😂😂
@festokemibala58324 ай бұрын
Mlibugi😮 Mwinyi hana chama anachokisimamia yeye bali naye ni mfuasi tu anasubiri vikao vya dodoma ndivyo vimuelekeze namna ya kuenenda. Ukweli uwekwe wazi tuaitiane matumaini hapa ya bure😊
Sisi tunawajua kwamba nyote .ni vibaraka mnatumiwa na watu kutoka nje. Act hawana sababu za msingi ambazo kisherea zinaweza kuwa na hadhi za kishera. Ccm inawataka act waproduce evidence ya mazungumzo hayo. Nyinyi mnaeleweka kwamba kwamba ni watu wa fujo. Ikiwa watu zaidi ya 20 wa act wamekufa je mbona hamtaki kusema kuwa watu wangapi wa ccm ambao wameuliwa na watu wa act. Kama act mnajitoa tokeni hamna shida.
@SamsonEzekiel-or9xc4 ай бұрын
Mhhhhhh
@HafidhKhamis-ph8qg4 ай бұрын
Uyu jamaa ana maono mazuri kweli
@user-fo8xy1gh1s4 ай бұрын
hii inaonesha waliopo madarakani hawajiamini na mambo yao wanayoyafanya
@gangmore90914 ай бұрын
Bro maswali mazuri na mazito😅
@abdalahgunda13194 ай бұрын
Zito kabwe is anpridictuble man into CT wazalendo as the top leader we can trust new camer as the top leader on CT wazalendo as the voice of ready CT wazalendo voice
@rommelmauma58724 ай бұрын
*Andika kwa Kiswahili; achana na Kiingereza chako!*
@festokemibala58324 ай бұрын
Mbona tumekuwa hatuhabarishwi, mnafucha donda ndugu kulinda heshima ya wasiostahili?
@adelinelyaruu30364 ай бұрын
MARIDHIANO MENGINE HAYO 😅😅
@gangmore90914 ай бұрын
Aduwi wa zanzibar ni tanganyika
@hajimnubi45814 ай бұрын
Kamanda mbowe mbona humuandalii kipindi kumshauri afuate nyayo za zitto kumaliza muda wake? Umemkosoa na kumjadili kila mtu humu kasoro mbowe tu,je mbowe huwa hakosei yeye au?
@cosmaswilliam38054 ай бұрын
Mbowe bado chadema tunamuitaji Sana leo,kesho na keshokutwa.
@Hanssimpson-ln6zs4 ай бұрын
kwnn unatuambia wewe ni kiongozi tatua tatizo acha kelele tuonyeshe we unafaa kuwa kiongozi chukua hatua
@yussuph-lx7cu4 ай бұрын
MATATIZO YA TANZANIA KWA UJUMLA WAKE BILA KUTAFUNA MANENO NI DEMOKRASIA,,CCM WAMEPORA MCHAKATO MZIMA WA UCHAGUZI TOKEA UHURU ,,,
@frimatuslupimo20314 ай бұрын
Uchambue na udikteta ulioko chadema na athari yake kwenye nchi
@nurulutembeja3 ай бұрын
Udictetor gani huo?Tujuze.
@hajihassan54334 ай бұрын
Zanzibar HAKUNA moto wowote utaowaka, Zanzibar ni visiwa viwili vikuu Unguja na Pemba tutagawana tu visiwa vyetu ambavyo vimetenganiswa na bahari kwa maili kadhaa. Sudan waligawana Sudan yao mpaka ni njia tu isiyozidi upana wa mita 15, Ujerumani walijenga ukuta walipoona hakuna maslahi waliuvunga na Zanzibar tufanye hivyo.
@gangmore90914 ай бұрын
Kwani unguja n pemba inatatizo or tatizo Ccm jee solution kuigawa pemba na unguja or kuitoa Ccm madarakani???
@SalumSaidy-wb2jh4 ай бұрын
Aduwi wa zanzibar ni ccm sisi wazanzibar tunataka zanzibar kamili yenye mamlaka yetu sio kuamuliwa dodoma
@user-nr3uw7bq1r4 ай бұрын
Kati ya magu na mkapa na amani karume na mwinyi nani walikua chinjachinja?
@knight67574 ай бұрын
👀🤔
@LumolaSteven4 ай бұрын
Wote
@thanimosi89064 ай бұрын
Mbona mnachelewa kujitoa kumbukenin huko nyuma Dr Shein aliongoza hii nchi nyie mkiwa hamjaingia ktk Serikali na nchi hii ilienda sasa Leo hii mnataka kudanganya watu kuwa Serikali ya GNU ni lazima iwe ACT na Ccm hapo mnajidanganya jiondoeni muone km hii nchi itasimama