Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 26
@chukwani49429 ай бұрын
Mie nahisi ni vyema ukitoa mawaidha uvae nikabu na uhojiwe na mwanamke mwenzako hasa hizo maada unazozungumza, ukhti mashaallah mawaidha yako mazuri ila fuata utaratibu
@nahlahassan-fd6le9 ай бұрын
Utaratibu gan tena? nyinyi viumbe vya mung hamuish sababu tuu
@chukwani49429 ай бұрын
@@nahlahassan-fd6le utaratibu wa dini yetu ya kiislamu
@FatumaJumanne-p4d9 ай бұрын
@@chukwani4942muhmu stara Co nikabu
@SaidinaKhamisiАй бұрын
Maashaallah alfu mabrouk ukhty
@maryammdoe58018 ай бұрын
MashaAllah darsa zuri my ukhty, Allah akuhifadhi ktk wema na uchamungu, nakuomba jaribu kuvaa niqab na gloves mikononi utapendeza zaidi, shukran barakallahu fiiqum, nawapendeni kwa ajili ya ALLAH ❤
Kwa kweli kwanini wasijihifadhi na Imani NI kuwa haya NI pambo kubwa Kwa mwanamke na huyu Shegh Rashid hakuna asilolijuwa kwanini hawawekeei masharti ya sheriya za dini wajirekebishe Kwa kweli si hakki
@omanoman20449 ай бұрын
Maashaallah nikweli
@NassibuRudonongo9 ай бұрын
Assalamu a'laykum warahmatullaah.ukhuty jaribu kuzingatia mipaka pia.sitara yako ikowapi?au uneluhusiwa kutoa stara mitandaoni?
@monadinadi52959 ай бұрын
Mashaallah ❤️🙏
@chikujuma189 ай бұрын
Asalaam alaayikum shukuran ukhuty fatuma
@husna345629 ай бұрын
Huku kwetu neno shoga ni zito sana nimesthuka😂kumbe rafik😅
@faudhiasaidi36698 ай бұрын
Shoga ni rafiki wa kike Ila ukimuita mwanaume shoga tafsili yake inabadilika mwanaume anayejifananisha na mwanamke huwa anaitwa shoga Mimi tangia nipo mdogo najua shoga ni rafiki wa kike ukubwani uku ndo nakuja kuona ili jina lipo na kwa wanaume wanaojifananisha na wanawake
@halimayusuf16169 ай бұрын
Hao masomo au makungwi. Wasi amini sana kuwaeleze mambo ya ndani. Maana makungwi ndio wana wachukua waschana kuwageuza wafanye ya kaumu lut. Au somo amchukue mume. Inakuaje ahapo
@FatumaJumanne-p4d9 ай бұрын
Huyo kajtoa kwa kukosa heshma na ndoa yake.
@kadijahajali39189 ай бұрын
Bass haya afadhali hajuwi mwanamke wanaume wengi sahivi kila kitu najuwa mambo yalikuwa hayana maana ya upunzi
@مونا-ج6ذ9 ай бұрын
😢
@salummzee97399 ай бұрын
Kwanza kina dada ili muwe walimu kwanza ficheni mapambo yenu huwez kutoa mafunzo wakat ww bado unataka kufungwa mikono ina meremeta kwa piko huoni kwa umetushitua nafsi zetu mitihan hii
@kutailass66719 ай бұрын
Duuuh, nany sasa mmezid😂
@shamzone3889 ай бұрын
Ni kweli
@nahlahassan-fd6le9 ай бұрын
Loooo😂😂😂😂
@user-ex3mw1bj9k9 ай бұрын
Hee mbona mnanitisha sasa hivi kuna piko mikononi kwa huyu ukhty mbona mimi siioni hiyo piko mikononi mwake?
@AttiyaHassan_somomtoto8 ай бұрын
@@user-ex3mw1bj9kwamekariri hawafungui wakaona wanajua muda wote watamuona somo mtoto wamtukane 😅 maskini wanaadhirika