FIX YOU: NDOA yake ilidumu mwezi MMOJA tu, asimulia MAKOSA aliyofanya, ni MATESO ya miaka 3 baadaye

  Рет қаралды 65,334

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 185
@shekhaissa9154
@shekhaissa9154 2 жыл бұрын
Shukran sana Khadija kwa maelezo yako yanayotoa mafunzo kwa wengine. Pia pole sana kwa changamoto ulizopitia. Ni mfumo wa maisha ambao wengi waliupitia na wakaweza kuukabili. Ila point muhimu sana uloongea ni kweli kabisa wanaume wakiachana na mwenza wake ni rahisi sana kupata mahusiano mapya. Kwa wanawake ni ngumu sana sana kupata tena mahusiano mapya.
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 2 жыл бұрын
Asante sana tunazidi kujifunza mbarikiwe sana
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Жыл бұрын
Khadija ❤ Hadithi imetufunza mengi 🙏
@kreamagdfsa1697
@kreamagdfsa1697 2 жыл бұрын
Shukran kipenzii kwa kipindi kizurii nawapenda nyote tupo hapa tunajifunza nikiwa 1 wa wahanga
@nyabokeomwoyo7463
@nyabokeomwoyo7463 2 жыл бұрын
For any single person listening this is very important. Marry your your friend, this is the core of marriage.
@priscangimba6194
@priscangimba6194 11 ай бұрын
Yaaan kama mm yaliyonikuta
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 2 жыл бұрын
Well said my girl
@dreamzent262
@dreamzent262 2 жыл бұрын
Mzuri sana Irene kamugisha
@Juddy1017
@Juddy1017 Жыл бұрын
It's true, thank you
@isayachamsa3849
@isayachamsa3849 Жыл бұрын
Khadija Pole Sana! Unakumbuka Tulisoma Pamoja Chuo Cha Uandishi Habari na Utangazaji DSJ ILALA SHARIFU SHAMBA UNANIKUMBUKA KWELI!
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
Anakukumbuka boyfriend wake 🤣
@salmaamiry7674
@salmaamiry7674 2 жыл бұрын
Nakubali dada Yani umeongea ukwel mtupu wengi wanaangalia Yao tu ila kwa mwanamke wanakukatisha tamaa kabisa Yani mungu atusaidie wanawake
@stephaniabenjamini2848
@stephaniabenjamini2848 2 жыл бұрын
Asante binti mzuri khadijja.yalishatukuta tukaumia saana bila suruhisho.
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Mwanangu hadija nimekupenda Sana,upo Makini Sana,umekuwa na umewafungua wengi macho na kuzibua madikio Yao,Mimi ni mtu mzima lakini nimejifunza kitu toka kwako,ailini wagila Mayo mawe omkama Mungu akuteo omukono, nyegera olokole abaisiki abato abo owaitu bukoba🙏🏻🙏🏻
@irenekamugisha
@irenekamugisha 2 жыл бұрын
Kasinge muno, mpola mpola tulagoba!
@laymashabani832
@laymashabani832 2 жыл бұрын
Yamenikuta hayo dadaangu . Lakini nashukuru kwa kutupa somo 🙏
@zayumar2955
@zayumar2955 2 жыл бұрын
Napenda sana hiki kipind na Zaid nakupenda Irene vile ulivyomcheshi 😘 😘💗 Mungu akubariki ktk Kaz na maisha Yako🤲
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Anaongea vizuri sana
@zayumar2955
@zayumar2955 2 жыл бұрын
@@salomewandya7257 sana Masha Allah
@kambibikamugisha3394
@kambibikamugisha3394 2 жыл бұрын
Hadija you are the best!!!! Keep touching others' lives. God bless you.
@jworld1480
@jworld1480 2 жыл бұрын
mdada flan anaakili nyingi mno then nimempongeza sana pamoja na kuachana na huyo mtu lakin still bado anataman kuolewa tena kuliko hawa mapoyoyo wakiacahana tu wanashauri wengine wasiolewe pambafu kabisa maisha sio leo maisha yapo pia kesho jiulize unazaa kama fashion au unazaa kwa sababu umri umekutupa ?
@fathimamct232
@fathimamct232 2 жыл бұрын
Naomba no ya Madam Khadija.
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 Жыл бұрын
Kuna wengine mnakuwa marafiki vizuri tu ila ukimtongoza tu mukawa wapenzi tayar anaanza kukupotea mara yuko busy mara hataki tena ukaribu sasa kwakweli huwa nashindwa munashida gani wanawake mkishatongozwa ..!!?? Mtu atakuwa mzuri kwenye urafiki ila mapenzini anakuwa na userious ataki ata jox 😢
@nancythibruce4655
@nancythibruce4655 2 жыл бұрын
Asantee, nimepata kitu🥰🥰
@hamisaally968
@hamisaally968 2 жыл бұрын
Na kuhusu dini ya kiislamu wala hakuna ilichokosea au kusahau imejitosheleza tatizo ni sie wenyewe.
@نجمةموبيبي
@نجمةموبيبي 2 жыл бұрын
Nimeongeza mengine , hongera sana funzo kubwa
@samjosh12
@samjosh12 2 жыл бұрын
Ndoa ni taasisi. Changamoto inaimarisha na kukomaza ndoa.
@josephshiyo8356
@josephshiyo8356 9 ай бұрын
tukumbuke tu hii ni simulizi ya upande mmoja,
@nsazabahizirehema7897
@nsazabahizirehema7897 2 жыл бұрын
Sant sana nime ongezeya ujuzi Sns jo yangu kweli Allah awawekey wepesi kwa kila jambo 🇧🇮
@Udindigwa
@Udindigwa Жыл бұрын
Ujumbe Bora
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 2 жыл бұрын
Kweli dada pole sana sisi wanawake tunawaza mume jo kilakitu sha maisha yetu.
@nicenice3881
@nicenice3881 2 жыл бұрын
Khadija Mungu akubariki sana
@godfreya6955
@godfreya6955 2 жыл бұрын
Tungepata kusikia upande wa mwanaume ingekuwa safi sana
@elikanakiheka8242
@elikanakiheka8242 2 жыл бұрын
Nimependa! Iko poa sana👏
@Betty-hb1nl
@Betty-hb1nl 2 жыл бұрын
She is almost ending the story without the audience knowing what the problem was. She started motivational speaking before stating her main problem a d carried on.
@fatmaabdi8813
@fatmaabdi8813 2 жыл бұрын
Da khadija nimeipenda aise ni wengi tumepigwaa matukio
@veronicangwale7159
@veronicangwale7159 2 жыл бұрын
Poleeeee dada nawaza mm
@khamisshee5131
@khamisshee5131 2 жыл бұрын
natizama kutoka Mombasa 001 aka bachuchu mombasa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@zubedamagambo8139
@zubedamagambo8139 2 жыл бұрын
Mwanaume akiwa hamjali mwanamke wake kipindi Cha ujauzito hajampenda kweli.
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 2 жыл бұрын
Hii ni kweeelii kabisa......nakubaliana naww asilimia zoote
@barakadeusdedit8273
@barakadeusdedit8273 2 жыл бұрын
@@magrethmbuma3045 si kweli, inawezekana hata hakupewa muda wa kuweza kimjali, mimba zingine ina kisirani mke anamchuki mume kabisa
@wakalkwanza312
@wakalkwanza312 Жыл бұрын
UJUI KITU KAA KIMYAA ULISHAGA WAI KUMJALI MTUU AMBAE ATAKI UMUJALI MATOKEO YAKE WEWE NDO UNAKUWA KELO KWAKE MAAMUZI NILIYO CHUKUA N KUMKAUSHIAN TUU KAMA SIONI MAKE NIKITAKA KUMKELA NI KUJIUSISHA NA VITU VYAKE
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 2 жыл бұрын
Huyu Dada hata siyo Mswahili ni kwamba yuko tu emotional anaongea kwa kuguswa from the heart akikumbuka alipokosea kabla ya Ndoa na si kwamba wanaume wazuri ambao anawaongelea wapo peponi they do exist ukiona wewe huna huyo mwanaume haimaanishi wenzako hawana wapo ni wewe tu kujua unataka nini na kua katika msimamo wako na kujua unataka mtu wa namna gani
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 2 жыл бұрын
Ukweli nimemuelewa
@prudencegerald1
@prudencegerald1 Жыл бұрын
100% Nimependa definition ya Single Mother vs Parent... Stigma ni kubwa around this
@sadasada3421
@sadasada3421 2 жыл бұрын
asanteni🇧🇮
@siamtenamtena3579
@siamtenamtena3579 2 жыл бұрын
Naomba namb huyo dada 😭😭 please 🙏🙏🙏 moyo wangu unauma
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 2 жыл бұрын
Mtangazaji,unanikosha kweli aise
@KoudraAbdoul
@KoudraAbdoul Жыл бұрын
Kamugisha nimeguswa from Burundi 🇧🇮 Abdoul one day ntakujatowa ushuhuda wangu na mimi
@romanusjuma-up6eb
@romanusjuma-up6eb Жыл бұрын
Mama anaitwa Khadija, Mume ni muislam, lkn mtoto anaitwa Stanslaus... Kuna kitu kimefichika hapa, mdada kabarikiwa kuongea vizuri kwa kuficha mambo mengi ktk hiyo ndoa yake na hata mimba.
@nikorauskapisi7721
@nikorauskapisi7721 2 жыл бұрын
Dada uko vizuli sana lakini aslimia kubwa mabinti wengi uficha makucha Yao
@nurazain6616
@nurazain6616 2 жыл бұрын
My dear sijui nikwambie nni kuhusu haya unayo zungu mza sijui nikupe shukran vipi na kiyasi gani
@SafinaMwakalambile
@SafinaMwakalambile Жыл бұрын
Jamani mwandishi hajui kuuliza maswali anauliza ushauri kabla story haijaisha mwandishi hajui.
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 2 жыл бұрын
Dada endelea kujifunza, KiDinj Bado hujui, kiperspectives za maisha Bado .. Kamureen tafuta Watu wa maana....
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 2 жыл бұрын
Asante dada khadija ❤️
@angelinaomare9015
@angelinaomare9015 2 жыл бұрын
You are so cute dada …I am not really wrong to say we look a like.a lot of Pple hv told me that and I believe
@rosehillary8742
@rosehillary8742 2 жыл бұрын
We Acha tu Nisaidie kuwaambia maana sie wengine tumeiona. Wadogo zetu msiangukie pua. Bora kuwa single kwakujiandaa
@jacklinejackson9600
@jacklinejackson9600 2 жыл бұрын
Kweli my dear
@rahmaabubakarisaanatu1961
@rahmaabubakarisaanatu1961 2 жыл бұрын
Uko sahihi kbs. Km mtu humjui ni changamoto kubwa sana.
@mariamswedi1140
@mariamswedi1140 2 жыл бұрын
ni kweli kabisa single parents imetulia
@naseemabdul6637
@naseemabdul6637 2 жыл бұрын
Mashallah i learnt a lot jmn
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 2 жыл бұрын
nime kukubali dada 😁🥰🥰
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 2 жыл бұрын
Norway 👏🏾
@chifuthedoni8889
@chifuthedoni8889 2 жыл бұрын
Hakika kabisa!
@juliethfrancis7799
@juliethfrancis7799 2 жыл бұрын
Sitaki kusema pole,no no hongera mwanamke.Inatuchukua maumivu ndo tunajitafuta then tunakua shujaa.Hatujuti sababu kila kitu kina sababu kutokea. Na kwa wale ambao hawakupitia haya tegeni sikio lipo la kuchukua.
@africanproudly4004
@africanproudly4004 2 жыл бұрын
Tujifunze kusikiliza sauti zetu za ndani...
@esterjimmy7573
@esterjimmy7573 2 жыл бұрын
Kwel
@hamisaally968
@hamisaally968 2 жыл бұрын
Kikubwaa tu ni kumuomba Mwenyezi Mungu atuletee wenye kheri na sisi,maana binahadamu anaweza kukaa vyovyote vile ili atimize anachokitaka.
@nurazain6616
@nurazain6616 2 жыл бұрын
Khadija wwe ni mwana mke ulio jiambini na ni mwana mke wa kutosha ❤
@khurlainashly5686
@khurlainashly5686 2 жыл бұрын
Kipindi pendwa🔥❤️🙏
@halimacharles3495
@halimacharles3495 2 жыл бұрын
Nikazi kweri cct asante
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 2 жыл бұрын
Dada anaongea point sana jamani ila wanamme ndio wanapiga hapa mimi nimechukuwa point 3 naongeza na zakwangu uko 👍 japo niko kwenye ndoa na mpenda Mme wangu na siwezi kuachika kivyepc ila na kazia na zakwako
@ModesterRuguzye
@ModesterRuguzye Жыл бұрын
Yani dada huyo anaeleza ya akili sana nimekupenda bure dada kiukweli wanaume wengi hupenda kusikilizwa wao tu dada anahekima huyo hongera sana yani nimelia mm jamani dada ww Mungu akutunze akupe vingi kila umwombacho akupe
@kingshabari9526
@kingshabari9526 Жыл бұрын
its ok! but we are not suppose to live for others! let us live for our self.
@antusajoseph9360
@antusajoseph9360 2 жыл бұрын
Daa sijui niseme Nini??? Maàaana ngumu kumeza
@kilungumsabaha3891
@kilungumsabaha3891 2 жыл бұрын
Khadija nimekukubali uwiii acha kabisa nimepata somo tena litanisaidia kufanya maamuzi
@rehemaselemani4900
@rehemaselemani4900 2 жыл бұрын
Wewe ndo mimi mpaka najuta miye
@maryemanuel1404
@maryemanuel1404 2 жыл бұрын
kuna mengi ningeyatizama au kuyasikia kabla labda ningeweza kuwa bora zaidi🤦‍♀️
@rosendile8235
@rosendile8235 2 жыл бұрын
Dar es salaam Temeke 🌹🌹
@rehemamgeni203
@rehemamgeni203 2 жыл бұрын
Nakutima kutoka dubai tupo pamojq
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Pole Sana
@nhondomalale8147
@nhondomalale8147 2 жыл бұрын
Napenda macho na midomo yako ireen kamugisha
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
Mi macho yake kama yananiita hapo niende kuhojiwa 🤣
@anniebabune5048
@anniebabune5048 2 жыл бұрын
Marry ur friend
@abouassifmabrouk8110
@abouassifmabrouk8110 2 жыл бұрын
Mimi nakupata vizuri nikiwa Germany
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 жыл бұрын
Vita akuna uko
@aboubakaribakari988
@aboubakaribakari988 11 ай бұрын
Sasa kwann ulimpa mwanamme mwingine mtoto sio wake vyote upo sawa Ila apo inakuaje?
@Sharifarajabudebe
@Sharifarajabudebe 2 жыл бұрын
😁😁Dad Asante
@alisenmbambagwa6790
@alisenmbambagwa6790 2 жыл бұрын
mbona husemi ulichokifanya bana sio kusema tu red frag mala nini unasema ulikosea tu kutokumjua sema kosa ulilolifanya ndani ya ndoa
@zaitunisinamenye1799
@zaitunisinamenye1799 2 жыл бұрын
Kwanza weye mwenyewe unaongeya sana, ndowa inahitaji uvumilivu. Sasa unataka umjuwe?mu zini Kwanza ?hauwezi kumjuwa mtu kama hamujaeshi nyumba moja
@treasure12415
@treasure12415 2 жыл бұрын
Mbona unama kasiriko dada 😂😂😂😂
@barakadeusdedit8273
@barakadeusdedit8273 2 жыл бұрын
@@treasure12415 hana makasiriko, mtu ambae hujaishi nae huwezi mjua 100%
@hongeramfugale3239
@hongeramfugale3239 2 жыл бұрын
Uvumilivu ni jera ndoa ni upendo
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Duh
@halimacharles3495
@halimacharles3495 2 жыл бұрын
Umierize mm yariyo Nikita mmmm
@veronicangwale7159
@veronicangwale7159 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😃wanaume konyoooooo
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
💯
@Zaburi-
@Zaburi- 2 жыл бұрын
Inaonyesha huyu dada alikua totally distracted
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
Yes na aliathirika kiakili...
@zubedamagambo8139
@zubedamagambo8139 2 жыл бұрын
Dada bado ana stress.. hajatulia kichwa bado
@leilajohn4600
@leilajohn4600 2 жыл бұрын
Hapo alipo ajielewi kabisaaa
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
Bado hajapona aisee hata mimi nimeliona
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
Na kiukweli watu ni mhimu muwe marafiki kwanza sio eti kupendana tu! Bila kusahau hofu ya Mungu
@alsam4881
@alsam4881 2 жыл бұрын
Nadhani atasubiri sana kupata mwanaume mkamilifu( perfect man)hadi umri utaenda, kila mtu ana kasoro zake, hata wewe khadija una kasoro zako kinachotakiwa ni subra na kuvumiliana.
@sein.208
@sein.208 2 жыл бұрын
Swadaqta
@evachuw8092
@evachuw8092 2 жыл бұрын
Dada jamani ulimgawa mtoto jamani pole sana dah
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
huyu bado mgonjwa asirudi tena hapo KAMUREEN.....
@christinamdachi6254
@christinamdachi6254 2 жыл бұрын
Na mimi yalinikuta kama yako dada lkn Mungu ni mwema alinisaidia.nilihisi nahishi na shetani ndani ya nyumba,Dunia niliiona chungu,nilipoteza muelekeo wa maisha yangu yaani mpaka leo nafikiri yule mwanaume alikuwa siyo binadamu wa kawaida.
@maryrutahinduka2048
@maryrutahinduka2048 2 жыл бұрын
Pole kipenzi
@husna34562
@husna34562 2 жыл бұрын
😭😭😭tupo wengi tu mie nawaza kila siku lkn sio mwisho wa maisha
@ibraheemqassim3018
@ibraheemqassim3018 2 жыл бұрын
We dada unataka kumaanisha mwanamke mwenye mtoto ni sawa kuingia kweny ndoa ila mwanaume mwenye mtoto hafai mnapotosha jamii kla mtu ni mshauri wa mahusiano skuiz na maudhui kama hizi tunawaomba muwalete wataalam wa haya mambo na hawa wenye experience ya kuachika wasije wenyewe tu na kuanza kuongea alichokutananacho sio sahihi watafanya wengine waamin kila alichokutananacho yeye ndio kipo kwenye ndoa ......😏😏😏😏eti awe serious kuliko mm huyu mama anahitaj mwanasaikolojia
@esterjimmy7573
@esterjimmy7573 2 жыл бұрын
Mmh,ila hapa inatakiwa kuwa very carefully ,unachukua yaliyo ya advantage ,yan za kuambiwa changanya na zako but unarelate na yako then unachukua yanayojenga,maana kuna mda mtu anaweza akaongea akiwa bado na uchungu ,so tujitahidi kufanya uchambuzi,ila dunia na mahusiano ya sasa yana changamoto nyingi
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita 2 жыл бұрын
Kwakweli lazima ujue jogoo anawika or not. Na usabato wangu ila I was not married a Virgin na ninamshukuru Mungu hadi leo mwaka wa 8 tupo wote. Kumjua tu ni muhimu mnoooo ili unaposema the vows, you mean it from the bottom of your heart.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 жыл бұрын
Dada umeongea logic. Wanawake tunapenda kulelewa na wanaume.Tukumbuke kuwa hao siyo baba zetu.Tuwe imara baba kiuchumi.Tuache kunyanyasika
@happinesstesha7061
@happinesstesha7061 2 жыл бұрын
Upo vizuri kwa kukubali makosa dada.
@justinampanga6854
@justinampanga6854 2 жыл бұрын
Well dada, uko sahihi mno
@alfonsimwalongo9164
@alfonsimwalongo9164 Жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁
@babyhamisi1437
@babyhamisi1437 2 жыл бұрын
Tutakuhitaji kwa HARDTALK na LILIAN MWASHA
@sofiarugoye7929
@sofiarugoye7929 2 жыл бұрын
Huyo mtu unayemtaka hayupo duniani,hakuna aliyemkamilifu labda Mungu tu
@leylahleylah4599
@leylahleylah4599 2 жыл бұрын
🤔🤔
@mwajabumusirikale3420
@mwajabumusirikale3420 2 жыл бұрын
Huyu dada pekee mi changamoto. Mungu tusaidie kwa kweli!
@taturamadhan5940
@taturamadhan5940 2 жыл бұрын
hajapata mwanamme uyo akipata mwanamme haswa anaijua kukea utatulia tu
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 2 жыл бұрын
Alichosema alikurupuka hivyo kwa Sasa ni muoga wanaume wema wapo Ila wanaume mtihani wapo
@samiakikwete1762
@samiakikwete1762 2 жыл бұрын
Unajua ingekuwa wanna vitu usonii Kama huyuu ndio sahihi ingukuwa rahisii lkn ndio ivyooo boraa nikaeee mwenyewee
@andrewmanaku
@andrewmanaku 2 жыл бұрын
Elimu bure asante kwa elimu pole pia kwa changamoto
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
NAMPENDA BOSS: SIMULIZI FUPI YA SAUTI
1:01:46
SIMULIZI FUPI by Simulizi Mix
Рет қаралды 22 М.
AFARTANKII (40) QISO OO UGU SAAMEYNTA BADNAA_2022 iyo 2023_ SHEIKH MUSTAFA.
3:26:03
IFTIN BROTHERS STUDIO
Рет қаралды 2,6 МЛН
Trump Azuia MISAADA Tanzania, Je TUTAKUFA Lini? Tazama Video Hii
4:17
Habari na Uchambuzi
Рет қаралды 1 М.
Kuwa Makini Nani Unamuoa | Kuuweza Wakati Ujao | Pastor Tony Kapola
17:02
Pastor Tony Kapola
Рет қаралды 128 М.