Best interview. Ahsante Baba Tim, Ahsante Kamreen, Ahsante SnS kwa ujumla
@priscamavindi4082 Жыл бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu Timoth my schoolmate wewe ni mwalimu na tunajifunza mengi na ya muhumi sana kitoka kwako Mungu akutunze. Hongera Irene kwa maono mazuri ya kutuandalia vipindi na kutuletea watu sahihi,hii ni ni huduma.Mungu amekupa, tunakuombea
@TacmenGroup Жыл бұрын
Asante sana Prisca nakukumbuka
@hamisikisinzah8113 Жыл бұрын
Nimefurahia Sana katika mafundisho yake kutokana na uzoefu wake kuwa muwazi na kutoa mfano hai. Big Up!!!
@endavukaidaniel8688 Жыл бұрын
May the Lord Bless and Keeps You.Thanks indeed❤
@Udindigwa Жыл бұрын
Ujumbe Mzuri SANA Mungu Asimame Nanyi Tuzidi kupiga Hatua
@abelasilas8302 Жыл бұрын
Asante sana kwa kushare nasi maalifa haya🙏
@charlesmpemba9387 Жыл бұрын
Safi Sana nipo kwenye ndoa Ila nimejifunza mengi
@umwizasalama1328 Жыл бұрын
Iki kipindi kitaleta Impact wenye Jami Bila shaka. Tunasubiri part 2.can't wait. Thank you soo much
@geomangi6123 Жыл бұрын
Wao mafunzo mazuri sana sns . Thanks you guys for good job
@lusianguno6434 Жыл бұрын
Toa pesa wewe baba, acha ubahiri. Good lesson, thank you brother.
@KoudraAbdoul Жыл бұрын
Nakubali san kazi zenu najipanga kuja huko mwezi wakumi
@jasperjackson8871 Жыл бұрын
Barikiwa sana ❤️🙏 MADINI MUHIMU MNO❤️💯✔️
@LacksonTungaraza Жыл бұрын
❤WONDERFUL SESSION
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
Best topic...,thank you
@angelcaezekiel7639 Жыл бұрын
Umetulekeza vzr ubarikiwe sana
@frenkfarm1139 Жыл бұрын
maneno yenye uhai ndani yake 💪lazima tusonge mbele
@ilovejesus9303 Жыл бұрын
We love you Irene. Watching from 🇺🇸
@irenekamugisha Жыл бұрын
Love you too
@FrolahMsekalile-ql4gu9 ай бұрын
Jaman kaz njema sanaaa I like it,,,and I learn something new from you.may God bless you all
@neemajonas3891 Жыл бұрын
Be blessed 🙏
@jacksonmrema4737 Жыл бұрын
Thanks for This...
@AminaAhmed-gb8oy Жыл бұрын
Kazi nzuri Kipenz
@linnetmbotto72129 ай бұрын
Aisee huyu mwalimu wa leo ameongea mambo mazuri. Nimempenda kwa kweli. Asante Irene kwa kuteletea. Ila Irene watch about those moans of yours although they may seem harmless they give a different impression
@nahumumgwama2280 Жыл бұрын
Hakika vipindi vyoko vinatufunza dada
@angelcaezekiel7639 Жыл бұрын
Mimi nimeipata semina Shukran
@edwardsolomon1696 ай бұрын
Amen
@ashaidd2912 Жыл бұрын
Nondo Kali sana irene❤❤❤
@mussafoum6562 Жыл бұрын
Nice one lrene
@yassinwill9 ай бұрын
Kweli ,pochi linalo wanasaikolojia mmoja marekani alisema na kucheat ni kuzingua . Ni rahisi mwanamme Kufaulu kucheat kuliko kufaulu kupenda . Mwanaume katika kupenda lazima ashafanya jambo la kijinga au lisilolakawaida ❤.
@monicawagunda7751 Жыл бұрын
Ahsante sana. Nimejifunza sana.🙏
@user-jj7ke1td8o Жыл бұрын
Aiseeee nimepata kitu muhimu sana…barikiwa mwalimu
@salehemganga1081 Жыл бұрын
Elimu nzuri. IG anatumia account gani huyu mwamba?
@irenekamugisha Жыл бұрын
@timkyara
@estherndola4900 Жыл бұрын
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@NzobonimpaIssa Жыл бұрын
Big up ❤
@mwanatz5980 Жыл бұрын
😂😅 Asante sana
@berthakafugyxnhhhgfioko58259 ай бұрын
Understand that
@zawadipeter7152 Жыл бұрын
Ongera sanasana dada irine najinza vingi
@timotheokiss4870 Жыл бұрын
Wajina
@fatmakombo9793 Жыл бұрын
Tunajifunzaa kweli
@eliazarinyakiema1969 Жыл бұрын
Bravo
@mwandamboevans-wj8kp Жыл бұрын
Shukran Sana Kwa mafunzo haya
@KoudraAbdoul Жыл бұрын
Irène hello Abdoul from Burundi 🇧🇮 nimekuwa naomba kujuwa sns ipo sehemu gani dar
@mwajumabinwa604 Жыл бұрын
gigymoney uyo
@namelockmaasailady80029 ай бұрын
😂😂😂😂😂nimejifunza. asante host na mhandisi
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
Vitu vizito na elimu hapatikani kwa wazazi sijui wanaona aibu kutuambia tatizo inapo anzia
@irenekamugisha Жыл бұрын
Aah ni ngumu sana kwa mzazi kusema ndio mana Mungu ametuweka kina sisi, tuvilete😂😂😂
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
@@irenekamugisha kwanini family za Africa inakuwa shida kukuwambia kuwa na magonjwa mfumo wa maisha unabadilika ni wachache anaweza kukuonesha maisha ya mbali
@irenekamugisha Жыл бұрын
@@msangodiesel3132 traditions zetu zinatufunga vitu kama hivi ilikuwa ni taboo kuvidiscuss na hata ikifanyika sio na mzazi anakupa shangazi au mtu wa mbali! So ni utamaduni wetu, ni sasa hivi ndio tunajaribu kuzungumza hivi vitu kwa uwazi
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
@@irenekamugisha tuna kazi Sana kweli dunia 3
@tunkuh661 Жыл бұрын
Wakati mwingine hata wao hawajui hv vitu lakini pia si wote wanauwezo wa kuelezea fikra zao kwa wengine, hofu pia ya kuogopa mapokeo ya watoto kwa kila watakachowafundisha. But all in all kweli umuweka mtu huru kuna umuhimu wa wazazi kuzungumza na vijana na watoto wao kile wanachokijua hii itamsaidia mtoto kujitambua mapema.
@awatifalghanim11067 ай бұрын
Sadaka eti 😂😂😂😂😂 kumbe BigG 😅😅😅
@rhodajackson2213 Жыл бұрын
Kipindi kizuri sana Hongereni sana ...
@Amanisamuel394 Жыл бұрын
Point moja mzee kateleza Mwanaume asiyempa mwanamke hela hapendi!!! Kwa hii mzee kachemka so kweli asilimiy zote
@neemajonas3891 Жыл бұрын
Hapana hajatereza,sema we unaelewa kujitoa Ni lazima iwe pesa
@aishaisbarty3934 Жыл бұрын
Kabisa
@eneamwakamisa5838 Жыл бұрын
Hongera Kwa mafundisho mazuri.nimebarikiwa sana,ila naomba ongeza kiswahili Moja Kwa Moja kiasi kwamba mimi maneno mengi yananipita.
@sarahkahimba6415 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa mafunzo mazuri ya ndoa
@uhaitvnevergiveup930628 күн бұрын
Lete mambo😅😅😅😅😅
@zurisana80686 ай бұрын
Part 2 iko wapi???
@dikodikson559 Жыл бұрын
Amerlis hana🤣😂🤣😂🤣😂
@TacmenGroup Жыл бұрын
😂 hana…
@aminanamoyo83 Жыл бұрын
❤
@angelcaezekiel7639 Жыл бұрын
Where is part 2
@jumaassomane7775 Жыл бұрын
🤣🤣🤣😁😁😁😁🤣🤣 kuna kamsitali
@prosperaugustino5292 Жыл бұрын
Hakika hili Somo Mimi limenifusha nimepata maarifa Mengi kuhusu ndoa yangu ,All in All God is Good ! Hekima ulio nayo uendelee nayo, MUNGU ATUSAIDIE KATIKA NDOA ZETU,