Fix You: Sababu potofu za kuingia kwenye ndoa, mfahamu mtu aliye tayari kuoa/kuolewa

  Рет қаралды 9,103

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 27
@geraldnaftal1254
@geraldnaftal1254 2 жыл бұрын
Dah yananihusu haya yote nahc hiki kipindi kilikuja maalum kwasababu yangu Asante sana guys nmejifunza mengi maana nlikuwa napitia mengi kuwazua kuhusu namna ya kuingia kwa ndoa. Stay blessed 🙏
@emmyjimmyK
@emmyjimmyK 2 жыл бұрын
Asante mnenaji The point from the scratch nimeiona hapa shukrani Utayari na Kujitambua ni muhimu sana
@salehsalim6052
@salehsalim6052 2 жыл бұрын
I love you Irene & am proud of u for what ur doing, I have learn many things from you, I just wishing you happy new year and may Allah guid & protect u 🫶
@irenekamugisha
@irenekamugisha 2 жыл бұрын
Thanks, Happy New Year Saleh
@LadyveenOfficial
@LadyveenOfficial 2 жыл бұрын
Somo zuri sana, i learn a lot... Mbarikiwe 😊
@michaelrimisho
@michaelrimisho 2 жыл бұрын
Asante san, kwa mada nzuri. Lakini ningependa kujua vipi kama ulie nae anakuektia ili mladi tu akupate, mana unaweza kujua umempata mtu sahihi kumbe amekutazama wewe jinsi ulivyo then baada ya kumkubalia au kuingia ndani ya ndoa unaona mtu amekubadilikia na wala sio yule mlie kuwa nae kwenye mahusiano
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Asante sana
@asmahozza8468
@asmahozza8468 2 жыл бұрын
dope topic...nmenigusa sana🔥
@mussafoum6562
@mussafoum6562 2 жыл бұрын
Nice one 💯💯💯
@irakozegracia183
@irakozegracia183 2 жыл бұрын
Asante sana tumshukuru 🙏🙏🙏
@africanproudly4004
@africanproudly4004 2 жыл бұрын
Hii ni kubwa mno Mbarikiwe
@maryamChumas
@maryamChumas Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@nickolatharwelamila776
@nickolatharwelamila776 2 жыл бұрын
Niwatakie mwaka mpya Mungu awabariki wotee ,Kipindi kiko bora kabisaaa ..Nakufatilia tokea Nchini Omani
@irenekamugisha
@irenekamugisha 2 жыл бұрын
Ahsante sana Nickolatha,tukutane 2023🙏
@ashaidd2912
@ashaidd2912 2 жыл бұрын
Leo umefix kwelii maneno mazuri umlete Tena
@boscoboaco8920
@boscoboaco8920 2 жыл бұрын
👌👌👌👌👌👌👌👌👌
@tatumzelela5515
@tatumzelela5515 2 жыл бұрын
Daaah! Nimeelewa Sana Maana nilikuwa mmoja wapo wa hayo yasemwayo kikubwa zaidi Kuna vitu viwili Kuna wazazi piah mm Huwa wananiuliza Sana mbaka wanafika hatua naambiwa bc zaa zaa tyuu utuletee ata wajukuu umri umeenda Mika 26 sasa duuuh naumiaga sana
@muznarashid6301
@muznarashid6301 2 жыл бұрын
Baby...I'm 28 na nimechill..jipe muda na uwe na utayar
@hadijamcha7824
@hadijamcha7824 2 жыл бұрын
I'm 29 na bado nime tulia na kujipa muda zaidi na wala sifikirii kuzaa kwanza
@mariajoseph9735
@mariajoseph9735 Жыл бұрын
Mm 30 sina mpango huo natafuta pesa nasomesha mdogo wangu yupo chuo nina nyumba yangu najenga nina wazazi nawahudumia so swala la ndoa huwa najiona nikiingia huko ntashindwa kufanya ninayoyafanya kutokana na wanaume unaokutananao unaona bora uwe peke yako huo umri wako bado Sana asikutishe mtu ndoa ni maamuzi na sometime inatokeaga tu hata bila kuwa na mipango
@tatumzelela5515
@tatumzelela5515 Жыл бұрын
@@mariajoseph9735 daaah nashkul Sana umenielewesha maana nimesemwa vikao nimekaliwa Sana yaan mbaka kunamda nataftaga maex- wangu natamanigi ata nijipendekeze kwao walau 2 kuepukana namaneno kama swala la mtoto ndo nimesemwa mbaka nakijiji mbka sasa natakiwa niwe nawatoto wawili nawaambia sasa ntazaa na nani wanaume ndo Hawa hawaeleweki wanakupa tumbo alafu wanapita kushoto baadae unahangaika kulea pekeako mtoto akikuwa wanajilidi yaani masemwa mbaka saizi nipo najipambania staki ata kuludi nyumbani mwaka wa 3 huu ata sura yangu hawajawahi kuiona
@mariajoseph9735
@mariajoseph9735 Жыл бұрын
Achananao mwisho wa siku utakapoanza kuhangaika haohao tena watarudi na kukucheka maisha ni ww mwenyewe mdogo wangu na hali ya sasaivi wanaume wanakwepa majukumu ata kuoa wanaoa wanawake wenye maendeleo ndio wanajifanya wamependa hao wanawake kumbe wanatafuta mseleleko jipange dear ili ata mwanaume akikuzingua hutaumia sana kwa sababu unajua kujitegemea siyo kwamba usizae au kuolewa hapana ila tu pale kwa wakati na muda sahihi mm mwenyewe hizo mambo zipo kwa watu baki wa pembeni ila home wanajua ninachokifanya hawanisumbui sasa hao waliobaki wana msaada gani na masha yangu mm mtu akinishauri kuolewa au kuzaa namwambia siyo lazima tufanane pambana na yako kila mtu ana ratiba zake kwenye maisha ukiangalia hao wanaokushauri wana hali mbaya tokea wamezaa au kuolewa hawana chochote wamefubaa binafsi mm sipendi ushauri
@orestocharukula8940
@orestocharukula8940 2 жыл бұрын
Imenikuta kiukweli mapenzi yanauma kweli unapo fikia kuwza mwana ndoa
@lesusi7872
@lesusi7872 2 жыл бұрын
Ayse hichi kipindi kinawaletaga watu muhimu
@phinerjulius8487
@phinerjulius8487 2 жыл бұрын
Wacha na sisi wafatiliaji tusio comment thanked ku comment. Asante kwa topics nzuri ulizo tuwekea . Binafsi uwa sitokagi bule .
@geraldnaftal1254
@geraldnaftal1254 2 жыл бұрын
Dah yananihusu haya yote nahc hiki kipindi kilikuja maalum kwasababu yangu Asante sana guys nmejifunza mengi maana nlikuwa napitia mengi kuwazua kuhusu namna ya kuingia kwa ndoa. Stay blessed 🙏
Kwanini Wasichana Walio Okoka Wanachelewa Kolewa au Hawaolewi Kabisa?
4:50
Pastor Sunbella Kyando
Рет қаралды 8 М.
Andro, ELMAN, TONI, MONA - Зари (Official Audio)
2:53
RAAVA MUSIC
Рет қаралды 8 МЛН
ВЛОГ ДИАНА В ТУРЦИИ
1:31:22
Lady Diana VLOG
Рет қаралды 1,2 МЛН
Fix You: Namna ya kuishi na watu wenye tabia tofauti kabisa na wewe
1:01:08
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA
24:11
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 16 М.
4 HOUR ENGLISH LESSON - ADVANCED ENGLISH VOCABULARY (Confusing English Words)
3:55:57
سورة البقرة كاملة, رقية للبيت, وعلاج للسحر | القارئ علاء عقل - Surah Al Baqarah
3:52:36
Andro, ELMAN, TONI, MONA - Зари (Official Audio)
2:53
RAAVA MUSIC
Рет қаралды 8 МЛН