Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.... Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 21
@joelgonza213 Жыл бұрын
Hii ni chemistry kwa mlioenda shule hii inaitwa electrolysis.
@elizabethcharles-en9je Жыл бұрын
Vp
@elizabethcharles-en9je Жыл бұрын
Mung amsaidie
@michaelsamson9663 Жыл бұрын
Bola tutumie mikojo kuliko upumbavu wa Tanesco
@issaissa7628 Жыл бұрын
😂😂😂
@michaelsamson9663 Жыл бұрын
@@issaissa7628 😂😂
@saudatoller6425 ай бұрын
Shika adabu yk
@BarnabaBarnaba-qg9tf Жыл бұрын
Sasa vip kuhusu chaji inaisha kwamdagani brooo naomba tujue ila Asante broo umeupiga mwingi
@eaglecrown6470 Жыл бұрын
Unatoa ramani ya vita bro🙏🏿🇹🇿🤔
@WilfredKuyonza-jz2nj11 ай бұрын
Jamaa wewe ni mjuzi una kipawa kikubwa sana sema nchi yetu haina maana ni bora usijitangaze tengeneza mambo yako kimya kimya kisha uza kimya kimya
@emmanuelzani2889 Жыл бұрын
Tukikusanya mkojo wa watanzania wote, tutakuwa hatuna tatizo la umeme tena,. Sema wauza Majenereta hawatakubali.
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
🤣😂🤣😂 hata bwawa la nyerere tunaweza kuachana nalo
@emmanuelzani2889 Жыл бұрын
@@ramadhanmahongole9293 😂😂🤣
@Jurbeg7 ай бұрын
Mbona kama uzushi sioni chochote kiwakacho hapo 🤔🤔🤔
@emanuelleopod3949 Жыл бұрын
Kwani yule jamaa aliekua anafua umeme kwa kitumia Sumaku aliishiaga wapi Nchi hii ngumu sana
@TheAddyjembe Жыл бұрын
Umeme wenyewe wa majumbani unazalishwa na maji na sumaku