2naiomba serikari watu kama Hawa wantwooshwe barabara maana wanasababisha maafa katika familia na nchi kwa ujumla wasiwekwe tu lockup au magereza wapelekwe maeneo muhimu ya uzalishaji kwaajiri ya vyakula nk.
@danielhumble42925 жыл бұрын
Hapana hicho kitu anachokieleza sio kweli aeleze njia sahihi anayoitumia kwani hiyo anayoisema ni huduma ya kibenki ambayo lazima mteja awe ameunganishwa na huduma za kibenk
@sammimbuta456118 күн бұрын
Huyo apigwe Hadi afe
@ashantyjojo5298 Жыл бұрын
msengeeeee sanaaa mmbwaaa
@sarahminja72555 жыл бұрын
Aiseeee hata Mimi walishawahi kuniibia laki NNE ktk Airtel money sitasahau mpaka Leo siwaamini tena
@Maalim_Samatta7 ай бұрын
Duh pole
@DanielYae-kw6dr4 ай бұрын
Mmmmh mwiziii
@KaijageEvodius12 күн бұрын
chomamoto uyo ananzurumu marinzawatu
@fatumasalum797311 күн бұрын
Mtu kama huyo mnamuoji kistarabu hivyo hapo ilikuwa ni ngumi teke fimbo mnamchakaza kwely mtu anaelewa kiutam hivyo ndo maana wananchi wakiwapata hawo police hawafiki ni Sheria mkononi
@mohdabdi41575 жыл бұрын
duuu huyu noma mm asije mtu tena akaniambia anasajili lain nampiga kibao chauso😨mwizi mkubwa weeee
@nestakalabwe20015 жыл бұрын
Mohd abdi Na ss ivi ndo wapo wengi wakujifanya wanasajili laini.
@vichekeshotvcomedyfull32895 жыл бұрын
Me wakalaa
@claraalphonce83934 жыл бұрын
Okoka mwansngu
@mohdabdi41574 жыл бұрын
@@claraalphonce8393 kwnn
@Amonjohn-fh9ri20 күн бұрын
Jamn pigeni warin itaper Laki 2nusu😢
@abdallasalim65435 жыл бұрын
Mshenzi ipo cku utaitoa pesa kumbe Jini basha utakoma ,,likumalize na hyo nyumba yko bora ipigwe mnada tu pesa zako upewe msingi wa karanga itakayobaki zipelekwe kwenye mfuko wa kuwasaidia wagonjwa
@polycarptarimo5141 Жыл бұрын
Big up sana kwa kutuhabarisha kuna chanel zingine zinaandika kichwa cha habari lakini ndani habari nyingine Mpaka nimesubsicribe haraka nisije kusahau
@JosephBWAGIZO-fs5ig2 ай бұрын
😅😅
@hamadsultan2629 Жыл бұрын
Huyu ni mjinga anatakiwa awajibishwe
@FestoJoseph-i8iАй бұрын
Hao wamesha muibia Sana mdogo wangu pga kabisa
@abdallasalim65435 жыл бұрын
Sasa unavyoeleza hivyo unajua ndy utachiwa huru ,,shetani mkubwa Ningekuwa hapo ningekupiga kibao kwanza kwenye mdomo wako,,mtt mdogo wizi tu,
@user-he7ht6mj4f29 күн бұрын
Pia mm waliniibia sana
@benardmartine2445 жыл бұрын
Wachaga Bhana, Yaani Police Na Mchaga na Mwizi Wale Wale Tu, Anazitamani
@Blackie_blackie93275 жыл бұрын
Ningekukamata Mimi nisingekuachia sehem za siri..maana mmetusumbua sana
@mwanajumaomahundumla65045 жыл бұрын
Yaani mimi sijuagi kwnn nawachukiaaga vijana wa naouza line za simu wanapita mpaka majumbani hawajawahi niibia ila hua nawatimuaga kabisa shida zangu za simu hua nazipelekaga kwenye office zao sijawahi kuhudumiwa na vijana wa mtaani
@bwakilamychanel59515 жыл бұрын
Waongo achana nao iyo *152*00# ni jinsi ya kulipia maji muongo huyo
@mwanajumaomahundumla65045 жыл бұрын
@@bwakilamychanel5951 sio waongo ni kweli kabisa watu wanaibiwa kwa style hiyo wapo pia ninaowajua mbaya zaidi wanakuta mpaka namba ya siri ya huduma ya pesa imebadilishwa, ila mimi sijawahi kuhudumiwa nao siwapendi hua nahisi ni wezi tu.
@bwakilamychanel59515 жыл бұрын
+Mwanajuma Mahundumla. Hahaha haha mm ni wakala ila Voda tigo na Airtel wapo vizuri namba ya siri haiwezi kutumwa kwenye sms hata sku 1
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs2 ай бұрын
Daa yaani mimi nikimuona mtu yeyote mwenye hezi natamani nimrushue jiwe 370000 nilipigwa
@saidalumuli49385 жыл бұрын
Dogo umetisha
@user-kv4rq3om5w8 ай бұрын
Mkiwakamata awataje wenzake ili walipe hizo pesa hatuna amani na hao mmbwa wanaojiita mawakala wa mitaani selikari iwashughulikie aswaaa wapuuzi hau😂😂😂
@sofiahassani5185 Жыл бұрын
Waliondoka laki sita ya ada ya mwanangu kwenye simu yaani hawa mungu anawaona
@user-kv4rq3om5w8 ай бұрын
Jamani hao watu wa hivyo washughulikiwe kisawasawa wamekua wengi Sana mitaani trh 30 mwezi wa 11 wameniliza laki nne na kumi na tatu elfu
@fatumadoffu7465 Жыл бұрын
Mimi mtoto wangu kapigwa laki4 na elf5 Sina hamuu🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@grashfordmwilondo9089 Жыл бұрын
Yani huyo akamatwe apewe kipindi mpaka maana mm ilinikuta nikanusulika kufa niliamniw mm n tapeli nikawekwa xtakishali nilikua mwanafunzi nilikuwa form2 nakalibia kufanya mtihani niliwekwa stakishali jumamosi talrhesa nikawekewa dhamana nikatoka talehe talehe8 mtihani tulikuwa tunafanya talehetisa mtihani wataifa fm2 2020
@loner_wolf5 ай бұрын
Mbona kuandika hujui ? Au ulifeli nashule yenyewe 😅😅😅
Dadeek mwizi kinyama huyo Jombaa Kata Mkono kwanza 😂😂😂😎
@BitressKyungaiАй бұрын
jaman wapo walio ingiabmtangdaon sasa wakamatwe wanajiung kwa fecfe book
@marrymosha36185 жыл бұрын
Duuuuh anaongea kwa uhuru mweee
@user-lc6te2pe2lАй бұрын
Jamani jirani yangu aliibiwa na hawa watu duu.
@FelwusiFelwusi9 күн бұрын
Aende jela 100myaka
@mejubaraza94155 жыл бұрын
Akili iyo ungeifanyia kwa kuuza machungwa bc ungekuwa milionea shenzi ww
@merryn48915 жыл бұрын
😀😀😀😀
@mejubaraza94155 жыл бұрын
@@merryn4891 aky au waonaje
@josephkelvin1065 жыл бұрын
Meju Baraza
@mejubaraza94155 жыл бұрын
@@josephkelvin106 naam
@josephkelvin1065 жыл бұрын
Meju Baraza wapii ww
@festohaule9716 Жыл бұрын
Mbona akili Nyingi sana... Si tunaweza kuunda Ndege Kamikaze na tukaingiza mamilioni ya pesa...
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Subuhanallah
@MonaMbalike2 ай бұрын
Kumaanina wallah
@chullakoi36085 жыл бұрын
C amemuuza huyo rafiki yake sasa wa huko tigo c yy ndio anampea hizo t-shirt kwenda kuibia
@petermangwesi3595 жыл бұрын
Xo kwwl mwiz gan hyo aongee ivo
@LanihsarumuАй бұрын
Siwapendi watu Kama Hawa sula Kama jini mwizi sungu kafie jela
@jamilahsakina1561 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅eee baba umejenga kabisa
@radhiaomary5591 Жыл бұрын
😂😂😂😂Eee alaf anafrah kibwege an
@greysonmlowosa9551Ай бұрын
Mi naamini hata wafanyakazi wa mitandao husika wanahusika kuwapa hizo mbinu nao wamulikwe polisi tunawashukuru kwa jitihada zenu wanakera sana hawa watu .
@emanuelmaraki9758 Жыл бұрын
Uyu sio mjinga ni mjanja sana
@captenndunga93855 жыл бұрын
Una confdec utafkiri we ndo umeibiwa..
@subiradalabu66165 жыл бұрын
Hakeem Hemedi ...yn hata uoga hana..
@mbwilojenipha8741 Жыл бұрын
Hawa ndowanafany sis tuwe wabaya mtaani
@paschalsafari97473 ай бұрын
Hatar
@mwanahalimamwachili96795 жыл бұрын
Duh anaeleza kweli hata bila uoga,
@jackrinaman75215 жыл бұрын
Mwangalie alivyo vimbiana unatazani ugar wa mihogo kumanina
@salumissa91655 жыл бұрын
Uyo kwel nibinaadam
@shaniabdul5425 жыл бұрын
Eti natoa hela yangu, Nyoooo!!! Hela yako hela ya wizi???
@josephkasainey79215 жыл бұрын
Hahahahha unacjekesha wew
@dtechnology89725 жыл бұрын
Nandio maana raia wakiwakamaya huwa wanawaivisha kwanza hamjui kupitia elimu hyi mnazalisha wajanja wengine maana Sio wote wataiona clip.
@annamasare92915 жыл бұрын
jamani hatamimi niliibiwa nakijana nimefatilia had tigi niimeambiwa alieniibia anaitwa siza masawe niwakala kama huyu aliniibia 180000
@jaliabahat1520 Жыл бұрын
nawenae ela inakosaga kazi
@sureladykiba56085 жыл бұрын
Hatarii
@michaelsamson9663 Жыл бұрын
Atakama mnatuibia Amna mazara kama wanao tupiga nondo wengine wanatupiga kisu
@paulojoseph9939 ай бұрын
Haifai hiz taarifa kuziweka mitandaon wataibiwa watu wengi
@Maalim_Samatta7 ай бұрын
Na Haifai kuzificha maana pia watu wengi wataendelea kuibiwa.
Hivi kijana mdogo kama huyu, anaiba, hakika duhhh nitamnyongaa
@hajihassan54338 ай бұрын
Kila Mteja anaetegemea kupata pesa kirahisi ajuwe hakuna hela ya rahisi.
@tegemeareuben76185 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa duniani bado moto wa Jehanamu tubu uache dhambi usamehewe dhambi zako
@asiaasia84435 жыл бұрын
Yaan ukiwa mwizi huna ata haibu Dah wewe ni nyoookoo sana
@annamasare92915 жыл бұрын
alijua ataachiwa anavyojichekesha
@jolitejolite14975 жыл бұрын
Uwo ni wizi wa kuaminiwa.hakuna kupigwa Ila utapigwa we we boya mpenda lain za chuo wakati za S/ya msingi sekondal zipo kibao hapa kazi tu pagamisa maandooda
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Jaribu Voda uone unashikwa mapema..
@veronicawambura50435 жыл бұрын
Daaaaaa
@saunabakari13895 жыл бұрын
Veronica Wambura .
@user-px6kk5iq2u Жыл бұрын
Angekua ulaya angeajiliwa kwenye makampuni ya mitandao
@kuryaboytv34265 жыл бұрын
Funga kbs hapo hamna msamaha
@bogoheidaso26289 ай бұрын
Hawa jamaa wezi sana
@danielaugustino87075 жыл бұрын
Duh cyo poaa
@fatumamilimo19365 жыл бұрын
Huo mchezo hupo Nyerere skwea Dodoma Mie nilifanyiwa hivyo hivyo ila pole yake maana sikuwa pesa kwenye tigo pesa😂😂😂😂
@fatumamilimo19365 жыл бұрын
@Ali Ali hivyo hivyo ila nadhani ushaelewa
@dullayomwinyi33597 ай бұрын
Tungekukamata mtaani kwetu kazi yetu ni moja tu ni kuminywa tu pumbu ng,ombe ww
@Ashrey822 ай бұрын
Mwizi mkubwa ulimuibia bibi mtu mzima hela yake ya kula maskini! Pumbavu mkubwa kafungwe huko!
@osianjaphet90725 жыл бұрын
Pongezi kwa alio mnasa
@abdumfaume63355 жыл бұрын
Yani hao hata me wameniibia
@FrankMkome-df9bn3 ай бұрын
weka ndani fala hao hata miaka 2
@mussakinkon1515 жыл бұрын
Duuuuh hawa wasenge walimuibia mama yangu hivi hivi