Watanzania wangapi wanasikia kama ninavosikia Mimi!!!?? Huyu ni mpango wa Mungu
@youngsimbawcb18143 жыл бұрын
Nimesikiaa ata mieee
@khatwabisadathil34233 жыл бұрын
Deus walisema baada ya dhiki faraja. Hii ndio faraja yenyewe.
@richardnganya23113 жыл бұрын
Mpango wa Mungu kumuondoa JPM nchi ipate mabadiliko ya neema na haki.
@sabinaonline65753 жыл бұрын
@@richardnganya2311 duu unafiki huu utaisha lini
@geoffreyabuor4343 жыл бұрын
I love this type of leadership... she's a complete kit...
@abdulhalimhumud19173 жыл бұрын
Mama anaeleweka Masha Allah Mungu Ampe nguvu na amlinde amen 🙏
@ahmednoor14123 жыл бұрын
Hilo alishasema kesi zote zakubambikiza zifutwe na zilizokaa muda mrefu hazina uelekeo zifutwe
@erickbenjamini81543 жыл бұрын
Rais wetu kipenzi tunakuombea sana Mungu akutumie katika viwango vya juu
@dalalihakweahakweya66633 жыл бұрын
Mama kama ingekuwa niamri yangu basi uwongoze nchi mpaka pale mungu atapo kuhitaji mana nasikiriza hutubar yako hadi machizi yana nitoka mama mungu akupe maisha malefu
@ahz69073 жыл бұрын
Hata kwa magu wengine walikuwa wakisema hivyo 😊
@ashampore60703 жыл бұрын
Cha mhimu tuangalie pande zote mbili,tusibeze sana serikali ya JPM ndo kwanza tumekata tiketi na safari haijafika hata mita mia,tuwe na subra watanzania kila kitu ni mpango wa mungu,mambo yaweza bora kuliko au zaidi kuliko iwapo tutasimama na mungu.
@ashampore60703 жыл бұрын
JPM hakuwa mjinga kusema tuchape kazi pigeni nyungu hakuna kuogopa corona alimaanisha ,sisi watanzania wengi hatujitumi kufanya kazi angetangaza corona ni janga na kuweka lockdawn watuwangeanza kuomba serikali iwape chakula na kiuhalisia kusinge kuwa na mradi wowote tena zaidi ya umasikini ulio shamiri wa nchi nzima ,nchi isinge tawalika ingekuwa ni vilio tu.pia tuangalie tukiendekeza hiyo corona je mungu kama kaleta liwe gonjwa la kudumu ndo watu wakae ndani waifanye kazi ,binafsi corona ni ugonjwa upo ,tujilinde,tufanyekazi ,serkali ifanye jitihada za tafiti za madawa yetu ya asili ya ndani tujitibie wenyewe,tusije letewa dawa zenye madhara .
@hadijasalum63733 жыл бұрын
@@ashampore6070 tena jirani zetu kenya washaanza kulalamika
@leilabuisha99763 жыл бұрын
Tunamuomba Allah akutie imani uwatowe mashekhe wetu wanao teseka huko jela 😥
@deusnzeran47523 жыл бұрын
Hivi watanzania wangapi wanaona Kama nonabona mimiii huyu sasa ndo amefiti
@rashidmohammed48873 жыл бұрын
Mama mlezi wa wana. Hakika nuru inaonekana sasa. Tunaomba na mashehe wetu wa uamsho uwatazame pia
@laylabrown3793 жыл бұрын
Huyu mama napenda na ana ongea kwa dhati na ufasaha na hata kama ana fanya makosa ni makosa ya kibinadamu mungu amsaidie katika kazi hiii ngumu
@youngteo53413 жыл бұрын
Nakupenda sana mom samia
@achenikihwele43283 жыл бұрын
Wewe nikijana Mimi ni mama, ukinizingua nakuzingua.
@benirichard1043 жыл бұрын
Mimi binafsi nimekuelewa mama
@milkamusa58373 жыл бұрын
Mitaala ya ngazi zote za elimu zipitiwe upya Mitaala ya mafunzo ya elimu ngazi zote utizamwe upya. Hatua stahiki ichukuliwe kwa kuzingatia uzalendo na uwezo uliopo.
@bonifasiemanueli27083 жыл бұрын
Hongera Mh,Raid was awamu ya 6 Mungu akutie nguvu ktk utendaji,
@achenikihwele43283 жыл бұрын
Sio Rais wa awamu ya sita, nirais wa sita katika awamu ya tano.
@modestatemba26023 жыл бұрын
Tunakuenzi mama raisi wetu, kwa mwelekeo huu maisha ya mtanzania yataimarika..
@youngsimbawcb18143 жыл бұрын
Fact sana yaaaniiiiii.........
@happinesssengati40803 жыл бұрын
Watu ni wanafiki sana Leo mama wa maana wakat mwanzo alionekana hana jipya chuma ndio kiongoz tuache unafiki
@richardnganya23113 жыл бұрын
Unafiki na uzandiki ndio umejaa kwa Watanzania wengi sana. Jana waliunga mkono juhudi na kusema pengo halizibiki.. leo ooh Mungu katuletea . Hovyo kabisa. Kama bendera tu !
@happinesssengati40803 жыл бұрын
@@richardnganya2311 nataman mama awalipue tu maana kila aliyep madarakan n mzur
@kiwangodaniel13023 жыл бұрын
Mama I love ur speech
@aminaabdulla85683 жыл бұрын
Mpaka sasaiv ndo nimeamini mtu akifariki ndo anaonekana alikua wa muhimu
@rodsconehenry42493 жыл бұрын
Namuona abasi kwa mbaaali anatikisa kichwa kuonyesha anaelewaa saana
@rosegeraldlyimo12693 жыл бұрын
Asante Mama Rais. Kazi iendelee.
@slicehamfrey35043 жыл бұрын
Mama Mungu akupe umuri Mrefu zaidi
@joyousmakata86023 жыл бұрын
😘🌺
@rehemashabhay22053 жыл бұрын
Kwenye elimu.waratibu kata hawana kazi madarasa ya ya elimu ya watu wazima yamekufa.waratibu wapewe vipindi wafundishe.
@angelmalavanu97233 жыл бұрын
Asante
@pastorjamesmajaliwa78433 жыл бұрын
Mama kweli unaleta matumaini kwa watanzania ambao walikuwa tengana kisiasa
@godsonshoo19593 жыл бұрын
Kishimba oyee! Haya Mimi nakuelewa
@frolenceaman3 жыл бұрын
One love madam president
@kasimukulama62143 жыл бұрын
Hata waliotangulia hawajaanza kuwafungia tu,hao walivunja sheria na kanuni,na je wakiludia tena utawafanyaje hii nchi ngumu sana watu walizoea kua shamba la bib so makandoando ni meng mno kipesa had kimaneno,
@sabinaonline65753 жыл бұрын
Nakuunga mkono
@aminaabdulla85683 жыл бұрын
Wadigo wana maneno yao chyongo mmwimwi choroz mmwimwi
@emmydzoo87293 жыл бұрын
Hapo natamani 2025 iwahi kufika kwakweli
@victorswai14693 жыл бұрын
Safi mama
@user-eg1dr6so4c3 жыл бұрын
Ahsantee
@ahz69073 жыл бұрын
Kama umemuona katwanga like hapa 😁
@abdallahmnonya52873 жыл бұрын
Kuna kitu anataka kutuaminisha,... naona km awamu ya nne imelud madalakan.
@ahz69073 жыл бұрын
Havihusiani.😊
@khatwabisadathil34233 жыл бұрын
Kwani we hukuipenda????
@bulugubujashi63783 жыл бұрын
Nimekuelewa mama
@sabinaonline65753 жыл бұрын
Gigy money naye afunguliwe
@nehemialikatage73783 жыл бұрын
Gigy money afunguliwe pia lakini apewe onyo aache uhuni wa kukaa uchi ache kukaa uchi pia wenzi wake wampe onyo
@sarahsimon80603 жыл бұрын
Huyo gigy hajifunzi acha afungiwe kabisa
@jitabojilala61623 жыл бұрын
Je mama wasipofuata utawafanyaje?
@user-eg1dr6so4c3 жыл бұрын
Mh nalo neno
@jitabojilala61623 жыл бұрын
Maana tayari kigogo na Tundu LISSU wameanza kumbweka
@ahz69073 жыл бұрын
Sheria na kanuno zitazingatiwa.
@teamallyracing17803 жыл бұрын
Huyu mama anapiga mambo ya msingi sana ,viongozi acheni kufsnya kazi kwa mazoea ,skilled labour hakuna elimu yetu sawa na Enzi za ukoloni ukitoka shule hata resume zinawashinda wao wanakushindilia photosynthesis basi ,terminology kibao ndo manna maprofessa wetu wana zero mchango kwenye elimu na technology, ni title tu zimekua
@richardnganya23113 жыл бұрын
Aiseee!! Hili umebaini lini !?
@ebrahimosman54773 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@aminaabdulla85683 жыл бұрын
Binadam tupo kama kinyongs
@simonnick12422 жыл бұрын
Mbona mabango yetu wananchi umeyakataa unahisi tukasemee wap? Unafki mkubwa