Barikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye hai,nimepata kitu, from Sweden.
@fadhilicredo17064 жыл бұрын
Powerful message pastor be blessed🙏
@barakaungenge9394 жыл бұрын
Hakika unafundisha kwa huakika ubarikiwe sanaaaaaa Mungu akupe hekima zaidi
@fei36684 жыл бұрын
pastor ur the best and God is using you in his own way🙏
@janejoseph90094 жыл бұрын
Asantee maana leo nimefurahi kweli masomo yananivusha haya siyo mchezo
@zephaniakisumo41334 жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji kwa mafundisho mazuri. Hakika Mungu anazidi kukutumia ipasavyo.
@yusuph15474 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na somo,,samahan mchungaji naomba mwendelezo wa somo hili tena
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
MUENDELEZO UNAKUJA
@yusuph15474 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga ntashukuru sana
@kabalizasekanabomarko60637 ай бұрын
Nabarikiwa sana na nimefurahi na haya mahubiri
@violetjoseph86494 жыл бұрын
Wonderful lesson,,, barikiwa Pr kila siku yako mpya!
@selfaakinyi5124 жыл бұрын
Somo zuri sana nimebarikia mno, nimejifunza kitu kipya, thanks pastor from qatar
@manoatfl18414 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu unanibariki sana na unakuza imani yangu kiroho nakupenda sana mkenya nafanya kazi saudia nko vizuri s na mungu n mwema kwangu
@allensanga78874 жыл бұрын
Powerful message be blessed Pastor 💯🙏
@silvestarlema722 жыл бұрын
Mchungaji ila Kibwa ubarikiwe sana. Mungu aendelee kukutumia km chombo tu maneno yatoke Kwake 🙏
@clarenangila10923 жыл бұрын
You have a wonderful massage my God bless you,from saudi arabia
@monicamartin19474 жыл бұрын
Be blessed Man of GOD
@danielstephen43744 жыл бұрын
Powerful message pastor be blessed
@lilianw7214 жыл бұрын
Ndugu muchungaji David nakufuatilia sana kutoka hapa Marecani, lakini natamani tuongee sijui nitapata number ya simu yako namna gani?? Or email address yako tuu, ninayo mengi kimaisha yangu ya ndoa yawezekana unisaidiye, jina yangu mama Lilian, na number yangu ya simu. 0117197448378, tena email address yangu ni lilianwanito@gmail.com, tafathali uniite .ubarikiwe sana
@dorcasrhobi8211 Жыл бұрын
Amen ubarikiwe saana pst
@vitusdani40013 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu
@floraflora57178 ай бұрын
,😂😂😂😂 past unanibariki sana baba Mungu akubariki Sana
@rahimajuma53063 жыл бұрын
Mungu akubariki nashukuru sana mungu akubariki nina majukumu mazito nakini nnapokusikiliza nazidi kupambana na kunipa moyo wa imani na matumaini nmeweza kupinga kosa la wazee wetu eti tukaombe mizimu ili tusamehehe na mizimu nimegoma nmesema tuombe na kufunga ili mungu atutoe kwenye huu utumwa wa mazimu
@rosepeter89963 жыл бұрын
barikiwa sana mchungaji neno lako limenibariki sana na kunibadilisha kua kiumbe kipya.na sasa funguo zangu nitazitumia ipasavyo.jina la mwenyezi mungu na lishukuriwe milele🙏🙏🙏barikiwa sana pastor🙏🙏🙏.big love,more blessings from KENYA🙏🙏🙏💞💞💞💞
@marycheupe86134 жыл бұрын
Ameen haki mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
@emanalaa405 Жыл бұрын
Thank you pastor for your teachings may God bless you and protect you in jesus nam🙏🙏🙏🙏🙏
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Asante baba maana mwenyewe napitia ayo kila nikitaka kufanikiwa naludi nyuma lkn Mungu wa mbinguni naamini atasimama na mimi sitokata tamaa
@ellenmbota12413 жыл бұрын
Amen amen Mungu akubariki sana kwa somo zuri sana
@rastarasim5810 Жыл бұрын
I'm still learning day to day...) God bless you pastor 🙏..........🇹🇿
@judithcherono25954 жыл бұрын
Wonderful massage Amen❤❤
@carolynekirera31703 жыл бұрын
Asante Kwa neno mtumishi wa mungu
@maxlove26684 жыл бұрын
Wonderful!be blessed pastor
@lydiayusuph19254 жыл бұрын
Naamini hili somo limetupamwanga watu wengi ahimidiwe mungu kutufunulia kupitia wew barikiwa Sana mchungaji
@luluemmanuel3863 жыл бұрын
Unanivusha Sana ,,najifunzaga kufundisha neno la Mungu kupitia wewe mtumishi
@rosemutinda30764 жыл бұрын
Hapo pa funguo za Daudi na Yesu nimeelewa Leo sikuwahi jua. Kila somo natoa kitu kipya.. Barikiwa sana 🙏🙏
@ovidiokibuga10864 жыл бұрын
Asante pr!Nakukubali sana matatizo ni fursa kubwa sana.Ufupi wa Zakayo ulimwezesha kukaa na Yesu meza moja baada ya kupanda kwenye mkuyu
@lensonkasaki56714 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor!
@bruceminyacosprlrdc50843 жыл бұрын
Asante pastor
@nginamugwe80934 жыл бұрын
Amen Amen Amen...asante kwa mafunzo na pia hukutukatia maombi
@joelfrancis21812 жыл бұрын
AMEN MUNGU akubarik
@dennischinamo31544 жыл бұрын
Mungu akulinde sana mchungaji
@myfairskintz4 жыл бұрын
Nmebarikiwa sn mpaka usingiz umekata...God bless u dad
@mustaphagairo19364 жыл бұрын
7juu😀😀 napenda sana mahubiri yako
@winifridamushi13413 жыл бұрын
Baba Mungu umeniona
@kwizeraelly92614 жыл бұрын
Asante sana mch.Nazidi kubarikiwa na mafundisho haya mazuri.
@esternaftari45534 жыл бұрын
Amina mtumishi ninakuelew sana
@justinapaul38804 жыл бұрын
Amina mch, amenipa matumaini, ubarikiwe sana
@alfapinieli21604 жыл бұрын
Barikiwa xaana mchungaji
@BarnabasJonas-nv4ig Жыл бұрын
MUNGU atusaidie sana AMEN
@stevenmpembwa55434 жыл бұрын
Asante kwa some zuru PR. Mungu akubariki
@myfairskintz4 жыл бұрын
Tunakupenda baba
@restmaige94864 жыл бұрын
Ubariliwe Mtumishi
@roselele3414 жыл бұрын
Amina ubarikiwe sana maubiri ya leo yamenifariji pia ninazidi kujifuza
@maureenjovial62374 жыл бұрын
Amen asante mchungaji wau umenifungua akili vilivyo maana huwa nalalamika nikipatwa na changamoto bali kwa sasa neema ya Yesu yanitosha kutumia changamoto ili nipate suluhu
@boniphacerobert95334 жыл бұрын
Asante kwa somo la Leo.
@japhetmkumbwa79144 жыл бұрын
Nakwelewa sana pastor
@eutropiangido96844 жыл бұрын
Ni miezi minne imepita kila nikisikilizaa bado inalipa sana. Yaani kila nikichagua video naona ni ujumbe wangu kabisa kwa siku au saa hiyo. Mungu atukuzwe sana. Pastor Ubarikiwe. Mungu aendelee kukufunulia na uendelee kupata msuli wa kurusha kwenye Mahubiri Tv.
@barakankubile23294 жыл бұрын
We we ni mtumishi uliyebarikiwa sana !!
@user-kq9je6zf3v6 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@nkambagenge4254 жыл бұрын
Amina nimebarikiwa sana
@emmanuelmbwambo65713 жыл бұрын
SAWA mchungaji wangu.
@leahwainaina43967 ай бұрын
Amen
@heavenkingdom81572 жыл бұрын
be blessed a hundred times paster
@sufarsuper86884 жыл бұрын
Paster .mmbaga nakuelewa sana jumbe zako najfnza mengi kutoka kwako
@MaryWilson-vg2mm3 жыл бұрын
Amem
@user-os3vo4sm2n7 ай бұрын
AMEN
@gattynancy92113 жыл бұрын
Tuombe misuli zaidi ya kubeba changamoto tulizonazo katika maisha yetu. Tuombe Neema zaidi ili Mungu atupatie suhuhisho. Tunapoanza siku 10 za maombi Mungu akupe roho mtakatifu uendelee kuwa baraka kwetu Pastor.
@atupakisyekyando8902 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji kwa mahubiri mazuri..nimekuelewa Mungu atusaidie kwakweli
@kapuruwater29184 жыл бұрын
Ubarikiwe sana pst
@felysytersonduso80644 жыл бұрын
Aminaaaa
@samledbunt27743 жыл бұрын
God bless you
@kijamalimi75074 жыл бұрын
Be blessed
@Simplepleasures94 жыл бұрын
amen, powerful indeed, God bless you man of God
@emmanuelmbwambo65713 жыл бұрын
AMINA 🙏😎.
@miriamisack69714 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@dandamiano11834 жыл бұрын
nice mungu akubariki
@sammyastariko17094 жыл бұрын
Mungu akubariki pastor mbaga kwa ujumbe mzito
@yvonneamekakaombeniwimbomu83124 жыл бұрын
Kwa kweli muchungaji una tufariji sana kwenye matatizo yetu.
@meddyakimana41044 жыл бұрын
Asante sana Muchungaji kwa somo zuli Mbalikiwe sana. Naomba kuuliza: Swali langu ni hili : Ina maana wale watu bado wanapeleka maombi yao kwenye ule Ukuta Inchini Islaeli wako sahihi? Asante sana naamini Mtanipa mwanga kwa hili.
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
ILE NI IMANI YAO,HAWANA MAANA KUWA MUNGU YUKO KWENYE UKUTA,HAPANA,ILA ZILE KARATASI NI ISHARA TU YA KILE AMBACHO KIPO MOYONI!! ILA KAMA MTU NAPELEKA KWA IMANI KWAMBA MUNGU YUKO HAPO NA KUWA HAPO NDO MAOMBI YANAJIBIWA SIO SAHIHI MAANA MUNGU YUKO POTE WAKATI WOTE
@eliakanyika84434 жыл бұрын
Asntee kwa jibu zuri
@milkamugonya12754 жыл бұрын
Thanks
@nezerinejuma55106 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@miriamisack32204 жыл бұрын
Asante mungu
@bridgitkola5341 Жыл бұрын
Naomba ROHO WA BWANA awe mwalimu wangu MILELE nikisoma bibilia niwe napata ufunuo wake, SIO tu kusoma bibilia kama story book
@oleangolwisye50124 жыл бұрын
Amina
@euniceosoro74337 ай бұрын
Mchugaji naomba uniombee nimekua nachagamoto nimekua kira wakati wakitakakuomba kanisani nimekua nikipiga miyayo sana nahiri tatizo rinamyaka sasa
@sadikimwalongo78713 жыл бұрын
anina
@kwizeraelly92614 жыл бұрын
Amina!
@RoseRose-vf5km4 жыл бұрын
AMEN nime pokea
@lucymwegoha74003 жыл бұрын
Mimi huwa nina sema biblia ni zaidi ya saclopidia
@vicknessngenzi61464 жыл бұрын
Asante sana Pastor kwa masomo mazuri kabisaaa ubarikiwe. Lakini ninahitaji msaada sana nahitaji kuonana kama ni ofisini au popote unapopatikana. Mm nko Dar nasina ata idea unapatikana wapi please ni urgent matter
@zilpahamza84894 жыл бұрын
Anapatikana dodoma ni mchungaji wa mtaa pale dododma mjini
@zilpahamza84894 жыл бұрын
I mean Dodoma mjini
@vicknessngenzi61464 жыл бұрын
@@zilpahamza8489 asante sana ubarikiwe.
@stivemajura1444 жыл бұрын
Barikiwa pr
@theresearcheronlinetv36494 жыл бұрын
Hivi hawa watu wanao- dislike videos na hawatoi kipi kirekebishwe au hawaoneshi sababu ya ku- dislike .... Siwaelewagi kabisa....!!! Muwe mnatoa na maoni nini kirekebishwe
@sheilaombongi80864 жыл бұрын
Sifa nashukulani igwe kwako mtumishi wamungu mbarikiwa sana Amina amina
@meddyakimana41044 жыл бұрын
sifa na shukulani ziwe za nani? lekebisha hapo mpendwa
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
NADHANI ULIMAANISHA SIFA NA SHUKRANI VIWE KWA MUNGU WETU AMINA! Maana Pr. Mmbaga ni chombo tu mikononi mwa Mungu
@jesusnetworkministry4 жыл бұрын
Mchungaji hemu nisaidie kuitambua biology na chemistry kwenye Bible
@mariakamnde80074 жыл бұрын
Ameen
@asifiwemwai42634 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akubariki,nmebarikiwa mno mnoo! Mungu akufikishe mbali