MAMA ALIYEKWENDA GEITA KWA WANAE LIOPOTEZANA NAO MIAKA 50 ARUDI DAR NA KUTUELEZA MAISHA YA GEITA

  Рет қаралды 31,967

Geah Habibu

Geah Habibu

2 жыл бұрын

Nimeenda kumtembelea mama huyu ambae alikuwa geita kwa watoto wake ambao alipo tezana takribani miaka 50 ambapo kupitia kipindi cha LeotenaCloudsfm alifanikisha kuwapata sasa tangu arudi kutoka Geita nilikuwa sijaonana na,nimeenda juzi kumuona .Kutaka kufahamu baada ya kufika huko maisha yamekuaje na watoto wake hadi amerudi
#geahhabibu #GeahTv #MatukioyaGeah

Пікірлер: 97
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 2 жыл бұрын
Gea tupe mrejesho wa yule mama mwingine aliyetoka Kenya nawanae aziza na baba yao mdogo taji
@dommyomolo9678
@dommyomolo9678 2 жыл бұрын
Duuuh kwl bwana tupe mrejesho gea
@khadijahomankweliyamjahaya7421
@khadijahomankweliyamjahaya7421 2 жыл бұрын
Aseee kweli jamn gae fanya uende
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Babu anajuwa kupenda mashaalah mungu azidishiye iman amepe mri mrefu na afya nje ishaalah
@faisalwaafrica7478
@faisalwaafrica7478 2 жыл бұрын
Mapenzi yalikua kwa wazazi wetu wazaman, mzee mashallah
@spreadlove5300
@spreadlove5300 2 жыл бұрын
Mi nnayo mbona 🤩
@evakiwia1052
@evakiwia1052 2 жыл бұрын
Hata mm mama yangu ananipenda hatar
@faisalwaafrica7478
@faisalwaafrica7478 2 жыл бұрын
@@evakiwia1052 good 4 u na ww mpenda sana🙏
@hfjfjhfjffj455
@hfjfjhfjffj455 2 жыл бұрын
Umeona eeee
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Allah atujaalie tuwe ni wenye kudumu ktk ndoa zetu na mapenzi yasiyoisha sijui tunakwama wapi vijana
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Babu anampenda sana mke wake aisee uruma sana. Bahati wamepata familia yenye upendo pande zote mbili
@shamzone388
@shamzone388 2 жыл бұрын
Alhamdulilah mungu amrehem huyo mama amin Sisi pia tumelelewa na mama wa kambo alikuwa mtu mzuri sana tena sana...tunamkumbuka sana allah amjalie janat firdous ulya yarab amin Namkubuka sana kwa mapenzi na malezi yake ya dhati juu yetu...
@zainabusaid8730
@zainabusaid8730 2 жыл бұрын
Nimemtamani Sanaaa bi mkubwa Mimi Nina Kaka yangu pamoja na Dada Angu wa Tumbo moja walipelekwa kwa baba yao wakiwa wadogo Mpaka leo hii Ni Miaka 32 Sijuhi nitawapataje na Ndugu Atuna habri yoyote Kama wpo Hi....Mungu Atufanyie Wepesi wairah
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 2 жыл бұрын
Zainabu Said Mtafute geah uongee nae ujielezee unaweza wapata
@khadijahomankweliyamjahaya7421
@khadijahomankweliyamjahaya7421 2 жыл бұрын
Ma shaa allah , jaman wazee wetu wana mapenzi jaman hadi raha
@kiri5807
@kiri5807 2 жыл бұрын
Lucky mama yuko hai Alhamdulillah .
@enterenter1921
@enterenter1921 2 жыл бұрын
Mashaa Allah babu anauliza mda waswala km tayar 🤲🤲ALLAH amjaalie mwisho mwema
@fatumamuya2139
@fatumamuya2139 2 жыл бұрын
Amiin
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Allah humma aamein
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 2 жыл бұрын
Amin
@abumoyo5341
@abumoyo5341 2 жыл бұрын
Amin rabil amin
@fatmasalima3847
@fatmasalima3847 2 жыл бұрын
Mash Allah God bless you ameen 🙏
@zainabohus4903
@zainabohus4903 2 жыл бұрын
Mashallah mashallah hongoera sana kwa kazi nzuri dada G
@raiye5621
@raiye5621 2 жыл бұрын
💗💗Allah ni mwing wa rehma ❤❤
@roseatieno6691
@roseatieno6691 2 жыл бұрын
DA Geah kweli ulifanya vizuri kwa kukutanisha hii familia. Nakupenda kweli maana kwenu tanga na kwetu Kenya ni majirani. Yaani kutoka tanga mpaka Mombasa msambweni karibu kuliko tanga hadi Daresalaam.
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah wapendanao
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Masha Allah
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 2 жыл бұрын
Mama wakambo asilimia kubwa huwa Ni waziri tatizo huwa linakuja watoto wakijua huyu sio mama yao hapo ndo shida huanzia
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 2 жыл бұрын
MashaAllah, Mungu ampe kauli Thabit mama aliowalea hao watoto kama wanae wa kuwazaa🤲🙏🙏🙏
@winfridakaaya2758
@winfridakaaya2758 2 жыл бұрын
Mungu ambariki huyo mama uko alikooo
@a.856
@a.856 2 жыл бұрын
Mashaallah
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 2 жыл бұрын
MashAllah daeya mwenyezi .mungu akupe maisha marefu kwakweli unayapambaniya maisha ya watu wenye mateso. Mama mungu awabariki na watoto wenu
@kilizajumainn826
@kilizajumainn826 2 жыл бұрын
Babu maashaallah anauliza muda WA salaa
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
maa shaa Allah
@AdoAshu80
@AdoAshu80 2 жыл бұрын
MashaAllah 👌🏾
@waminzashunu831
@waminzashunu831 2 жыл бұрын
Wasukuma kwa kuiba watoto hawajambo
@jamilasalimvilog6752
@jamilasalimvilog6752 2 жыл бұрын
Mashallah
@Manka-g5y
@Manka-g5y 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@razikimustapha4731
@razikimustapha4731 2 жыл бұрын
MA SHAA ALLAH
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 2 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, Alhamdulillah,
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
Alhamdulillah
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@rehemaothman2200
@rehemaothman2200 2 жыл бұрын
Ma sha Allah
@omantimes9699
@omantimes9699 2 жыл бұрын
Babu alivyo sikia kurudi mwakani Katulia tuli😆😆
@samsungoman5626
@samsungoman5626 2 жыл бұрын
Maashallah
@sheriibrahim6753
@sheriibrahim6753 2 жыл бұрын
Mashallah.
@sylviermuhonjah8411
@sylviermuhonjah8411 2 жыл бұрын
Furaha babu hadi,,amulize secretary wake bibi😀
@hawaamkubwa2020
@hawaamkubwa2020 2 жыл бұрын
mashaallah tabaraka
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 Жыл бұрын
Mashaallah wajukuu wazuri
@aliaden5512
@aliaden5512 2 жыл бұрын
Mjukuu ako sawa
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Big up
@alijuma675
@alijuma675 2 жыл бұрын
Nimempenda njukuu geah
@kreamagdfsa1697
@kreamagdfsa1697 2 жыл бұрын
Allah Kareem
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 2 жыл бұрын
Mashaallaah babu alishitukia mchezo
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@saadenassor4830
@saadenassor4830 2 жыл бұрын
Kweli Walitaka kumchukua bibi
@thuvakonde2584
@thuvakonde2584 2 жыл бұрын
Mtu chake bana 😂😂😂😂😂 babu
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
babu balaa🤣🤣🤣🤣
@ashamwandu6572
@ashamwandu6572 2 жыл бұрын
Masikini wazazi wao waliwalea kwa Upendo,lakini wasukuma hawanaga maneno Wala uswahili,walasema Mtoto wa mume ni wako,
@khazinawaziri1402
@khazinawaziri1402 2 жыл бұрын
Mahabba hayo
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Ай бұрын
Wapo bado wamama wanaolea watt😂 wa kufkia kama watt wao
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
Allah awarehem wote🤗🤗😥
@hadjamlkong0851
@hadjamlkong0851 2 жыл бұрын
Ata mmi nilipoterewa na mma yangu miaka 20 lakini tukaonana. Nilifanyiws sherehe kubwaa uko kijijini masasi lindi
@fatmaally7252
@fatmaally7252 Жыл бұрын
Weèeee
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 2 жыл бұрын
💕💕💕💕💕😍
@monadinadi5295
@monadinadi5295 2 жыл бұрын
Mashaallah mtu na ubavu wke bhana watu Wazaman Wana mahaba htr 🙏🙏
@sweetie6934
@sweetie6934 2 жыл бұрын
Yaani wee acha tu
@kiri5807
@kiri5807 2 жыл бұрын
ingekuwa hawa wengine ungekuta mwenzako ndani vitu vyako viko upenuni vyapigwa na mvua .
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Aisee we acha tu sasa hivi pasua kichwa
@kiri5807
@kiri5807 2 жыл бұрын
@@Mpakauseme 😂😂😂
@monadinadi5295
@monadinadi5295 2 жыл бұрын
@@Mpakauseme hta cm yke usingeipata yaan ndio ingekuwa hbd yke 🤣🤣🤣kwakulala nje anabadilisha tu magesti hkn wazee wala vijana wote chefuuu
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews 2 жыл бұрын
Mungu mkubwa
@saudmohammed3390
@saudmohammed3390 2 жыл бұрын
Mimi ushauri wangu hichi kipindi kiwe endelefu daima kiwepo akitokea mtu ana shida yake asirejeshwe kusubiria hiyo sherehe au hiyo May
@ZaharadaffaZaharadaff
@ZaharadaffaZaharadaff 2 жыл бұрын
Geah kumbe wa nyumbani 💕💕
@enockmaige8936
@enockmaige8936 Ай бұрын
Af mrembo sura Hadi rahaaa ❤❤
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 2 жыл бұрын
Bibianamwili mzuri tu
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Bass haya
@themagadir
@themagadir 2 жыл бұрын
Mimi namtafuta kakaangu huko kwenu TZ. Mara ya mwisho nakumbuka alikuwa akiishi Ruvu Juu. Mamake anaita Kidawa alikuwa akifanya kazi spitali ya Muhimbili. Jina la kakaangu ni Jumanne Ahmed Mzee
@issakessy1821
@issakessy1821 2 жыл бұрын
Namjua huyu kaka jumanne anaishi kinondoni mkwajuni kwel kabisa Dada angu
@themagadir
@themagadir 2 жыл бұрын
@@issakessy1821 ana umri gani?
@salehfakih4848
@salehfakih4848 2 жыл бұрын
Chukuwa namba za kina geah utatangazwa
@issakessy1821
@issakessy1821 2 жыл бұрын
hee unataka nikamuulize au
@themagadir
@themagadir 2 жыл бұрын
@@issakessy1821 kakaangu kwa uchache atakuwa katika miaka 60 ushei
@FatimaFatima-wk1jk
@FatimaFatima-wk1jk 2 жыл бұрын
Da gea kama ninashida na wewe nakupataje? Maana na Mimi Nina shida km hiyo
@tatutatu1570
@tatutatu1570 2 жыл бұрын
mtu chake babu analia wivu🤣🤣
@jeygayanijosewimboumenifar4256
@jeygayanijosewimboumenifar4256 2 жыл бұрын
Mungu mkubwa jmn babu Yani Hadi rahaa
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Aisee dah nimemkumbuka babu yangu 😓
@RahmaRahma-xp9jr
@RahmaRahma-xp9jr 2 жыл бұрын
Mashallah
@raziqashban345
@raziqashban345 2 жыл бұрын
Mashallah
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 39 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 8 МЛН
MAMA WA WATOTO NANE AONA MAAJABU MCHANA
6:43
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 31 М.
Mama Amwaga Machozi , Baada ya Miaka 29 Amekutana na Mtoto Wake
4:16
Mama akutana na mwanaye baada ya kupotezana miaka 30/ DADAZ LIVE
36:10
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 39 МЛН