Mama akutana na mwanaye baada ya kupotezana miaka 30/ DADAZ LIVE

  Рет қаралды 8,902

EastAfricaTV

EastAfricaTV

5 жыл бұрын

Leo tutakuwa na binti aliyepotezana na mama yake kwa zaidi ya miaka 30, unataka kujua ilikuwaje!? Usikose #DADAZ leo saa 5:00 asubuhi.

Пікірлер: 24
@angelolukwembe1865
@angelolukwembe1865 2 жыл бұрын
safi sana Baba Namara akika wewe ni baba bora Mungu akubariki sana.pia Namara upendo wako kwa wazazi uendelee zaidi na zaidi.Mama Namara Mungu akubariki uzidi kuiombea familia yako .Mungu amekutendea na atazidi kukutendea zaidi
@tricemakau980
@tricemakau980 5 жыл бұрын
ulipata baba mzuri sana ongera baba ila wababa muige bas kuwa bora iv
@luizabahati5198
@luizabahati5198 5 жыл бұрын
Hongera Namara...kweli Una BABA BORA SANA Mungu aendelee kuwapa uzee wenye mema na upate nafasi ya kuwafurahia maisha yao....Mungu awatunze
@tricemakau980
@tricemakau980 5 жыл бұрын
na wamama wa kambo jmn kuwen na roho nzur kma hawa wenzenu wanaosifiwa na namara na mwanne tuache kuwa roho mbays asante sama wamama wa kambo wenye roho nzur kwa watoto wasio wenu mungu awabariki sana na wale pia wenye roho mbaya mungu wa mbingun akawabadilishe muweze kuwa wema maana sifa ya mama bora ni kuwa na upendo na hekima kwa jamii ongeren sana wamama wenye roho nzur
@wangwemseti7592
@wangwemseti7592 3 жыл бұрын
Dada namala pole sana mdogo wangu ni vigumu kwa mama mwenye ufahamu kukubali kumwaacha mtoto mwenye miezi mitatu mama alikua na umli wa miaka kumi na nane umli mkubwa SEMA mama yako alikutosa itabidi mama umuombe msamaha mwanao ulimkosea sana
@omarymwazela3525
@omarymwazela3525 2 жыл бұрын
Nimejifuza baba Namala anasitaili kupewa Tuzu ya mlezi bola
@najma3268
@najma3268 5 жыл бұрын
Hongera baba kwakweli, kama ni tunzo angepewa anajua kulea tena kamlea mwanae kwenye maadili anaonekana tu
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Ай бұрын
Baba muelewa sana
@shizayassin4341
@shizayassin4341 3 жыл бұрын
Aise mpende Sana babako Sasa Kama mama alikubali kumtoa mtoto akiwa na miezi mi3 uyo cyo mtu wakawaida mwanamke unakufa namtotowako athaway angemlea Hadi miaka 7 ndiyoampe
@mariamsuku7021
@mariamsuku7021 10 ай бұрын
Sana uyu mama ana roho ngumu sana
@lidyakahwa3613
@lidyakahwa3613 3 жыл бұрын
Miez 3 unamuachia mwanaume mtoto???? Bora kufa na masimango na mwanao mkononi
@miriamimani4986
@miriamimani4986 5 ай бұрын
Heeee Namala wa TAFES eti leo ndo nakuona
@atugilva9971
@atugilva9971 5 жыл бұрын
Huyo mama nae alimpa mtoto mdogo sana jamani miezi 3
@jacquelinelinja5079
@jacquelinelinja5079 5 жыл бұрын
Hakika nimejifunza kitu kwamba kila kitu n MUNGU na nimefurah kusikia mama alikua kwnyw maombi binti pia alikua kwenyw maombi jibu limetoka kwa Bwana wala sio kwa akili za kibinadamu hakika Yesu upo na unajibu kila hitaj la mtu
@ashamganga6636
@ashamganga6636 3 жыл бұрын
Mungu amuweke babio
@jacquelinelinja5079
@jacquelinelinja5079 5 жыл бұрын
Kubwa kuliko yote huyu baba amenifanya nimoumbuke baba yangu alie nilea yan km vile binti anavyoeleza ndivyo baba yangu alivyokua akinifanyia hasa hapo kwenyw usichana ( kuvunja ungo) najiona km mm maana niliumwa natumbo baba anaangaika na mm sijui kitu ilibid aombe mwanamke jiran ili anisaidie kuniuliza ili ajue cha kufanya na hapo mama yangu alikuja kugundua n binti nikiwa form3 nakuelewa kila kitu cku zote alikua akikwambia mama yangu huyu mtt n mzur sana Ila n baba wachache sana wenyw kujielewa wengi huzalisha na kulimbia watt hata hajali baba umetangulia mbele ya haki Ila nashindwa hata kukusahau wakat mwingine siwez kumueleza mama vitu vyangu nataman ungekuwepo nikwambie najua upendo wako kwangu nakushukuru sana kaz yako kwangu uliopewa na Mungu uliitendea haki nalia kwa malezi yako mazur kwangu ntazid kukupenda na kuyafata mahusia yako
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Ай бұрын
Pole sana
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 жыл бұрын
Uyu baba ni mimi
@OnlyRuky
@OnlyRuky 5 жыл бұрын
Wawoooo 😢
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 жыл бұрын
Huyo baba ni mimi
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s Ай бұрын
Mtafuteni baba mumpe tuzo.
@jessymalembeka6181
@jessymalembeka6181 5 жыл бұрын
Jamani hadi rahaaaaa
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Ай бұрын
Unahukumu wewe ulihusika
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 жыл бұрын
Uyu baba ni mimi
Sababu zinazomfanya mwanaume kulia
4:25
EastAfricaTV
Рет қаралды 603
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 9 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 100 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 12 МЛН
CHEKESHA : MCHAWI WA UKOO | MAMA EMMA, MPOKI NA MASANJA
9:28
FULL INTERVIEW MKE WA MZEE YUSUPH,KIFO CHA MKE MDOGO,KUACHA MZIKI
47:22
ReyTox Pro Network
Рет қаралды 26 М.
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 9 МЛН