🅻🅸🆅🅴 GODBLESS LEMA ANAJIBU MAPIGO YA WENJE MUDA HUU MAZITO YANAFICHULIWA

  Рет қаралды 113,897

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

Пікірлер: 216
@hassankidilikia5566
@hassankidilikia5566 14 күн бұрын
Deo ninajiunga chadema because of you brother 🎉
@davidjoel-mk4og
@davidjoel-mk4og 14 күн бұрын
Akili kubwa Kamanda Mungu akubariki
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
Maneno mengi zaidi lakini
@Rodelite11
@Rodelite11 14 күн бұрын
One of the National Assets.. Mr. Godbless Lema .. Akili Kubwa ✌🏾
@godwinkasaizi882
@godwinkasaizi882 14 күн бұрын
Good, Mr. Lema. God Bless You.
@bestman3651
@bestman3651 14 күн бұрын
Full Dose ktk ubora wake. Bravo
@richardmwita9085
@richardmwita9085 14 күн бұрын
Hongera sana Mheshimiwa Lema wewe ni icon kubwa ktk nchi hii na ukombozi
@TanzaniaAbroadTV
@TanzaniaAbroadTV 14 күн бұрын
Comrade umekiwasha sana tunakutegemea sana
@LuciaAgustino-pt5mg
@LuciaAgustino-pt5mg 14 күн бұрын
Mungu nimwema akubariki chama naviongozi wake
@KhalidAlly-je8ky
@KhalidAlly-je8ky 14 күн бұрын
Upo sawa brother
@ebitariho9720
@ebitariho9720 14 күн бұрын
LEMA IS GENUINE LEADER. YAANI MTU ANAYE ONGEA UKWELI UNAWEZA UKAUSIKIA KWENYE SAUTI NA ukauona kwenye FACIAL EXPRESSION.
@bettyinyasi1780
@bettyinyasi1780 14 күн бұрын
Damu y Yesu ikulinde sana❤❤❤❤❤❤
@NzingulaSonda-lo1qc
@NzingulaSonda-lo1qc 13 күн бұрын
Hiyo damu ya yesu haina kazi au kwendra huko
@davidmloge7277
@davidmloge7277 14 күн бұрын
🔥🔥 Mwaka wetu huu🔥🔥
@AllyWajihi
@AllyWajihi 14 күн бұрын
Jamaa yupo real sana huyu
@LiberiusKajoki
@LiberiusKajoki 14 күн бұрын
Kwakweli mimi nakuelewa sana mr lema.
@sambulugu9988
@sambulugu9988 14 күн бұрын
Safi sana Lema!
@danielshirima391
@danielshirima391 14 күн бұрын
Akili kubwa sanaa Lema ni mmoja tu asee🙌🙌🙌🙌
@Ushauri235
@Ushauri235 14 күн бұрын
Safi sana lema kwaukweli
@superexpertpst255.3
@superexpertpst255.3 13 күн бұрын
Lema nakuelewa Sana siku nyingi Toka ukiwa bungeni nawafatilia na kuwakubali wewe lema , lissu, na heche mpo 🔥🔥 sana
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
Tatizo kwenye maokoto lema hakuwa muwazi kuna wakati alifanya chama kama sacos yao. Mambo ya pesa hayako hivyo. Chama kina watu wengi.
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 14 күн бұрын
BRAVO KOMREDI LEMA!
@timothylukindo9839
@timothylukindo9839 14 күн бұрын
Kaka unatisha sana
@WalterLockManagement
@WalterLockManagement 14 күн бұрын
Well articulated Mr Lema
@Thevineyard9889
@Thevineyard9889 14 күн бұрын
Wenje jana alionekana wazi kuwa alikuwa amelewa. Na alikwenda kulewa ili kutoa aibu ya kuweza kusema uongo wake kwa ujasiri
@gabrielnjiapanda3710
@gabrielnjiapanda3710 14 күн бұрын
Lema Kichwa sana aiseee.....
@EZEKIELKASHINJE-w9f
@EZEKIELKASHINJE-w9f 14 күн бұрын
Piga Spana🙌🙌
@melichmahingule2896
@melichmahingule2896 14 күн бұрын
Mbowe hewa kabisa, Rema upo vizuri
@worldsmagic3024
@worldsmagic3024 14 күн бұрын
Lema, sio Rema.
@FikiriSarangi
@FikiriSarangi 14 күн бұрын
Good
@JoabJasson-u9t
@JoabJasson-u9t 14 күн бұрын
Lema anafundisha ambao Wapo tayari kusikia kweli .Ukweli wenye kweli uliwaumiza wengi kama Yesu,shedrack na abedinego,Petro lakini kweli yako imewafungua watu wengi na Sasa Wapo huru kifra .Mungu akubariki
@ZacchaeusKahemela
@ZacchaeusKahemela 14 күн бұрын
Well said
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 14 күн бұрын
Emwenyezi mungu mulinde huyukamanda wetu
@HijaSalimu
@HijaSalimu 12 күн бұрын
Lema up
@ebitariho9720
@ebitariho9720 14 күн бұрын
Mbowe kama kweli anaamini chadema ni kubwa kuliko interest zake. Basi huu ndio wakati wa kuonyesha dhamira yake ya kulinda chadema kwa kujitowa kwenye uenyekiti
@bsmonline8482
@bsmonline8482 14 күн бұрын
Hawezi yule inavyoonekana CHADEMA ni sehemu ya mambo yake kufanikiwa
@voomtv1254
@voomtv1254 14 күн бұрын
Nataka kijiunga chadema kwa ajili yako mbowe insha'Allah
@petroyohana1126
@petroyohana1126 14 күн бұрын
Akili kubwa 🎉🎉
@emmanuelgastine9826
@emmanuelgastine9826 14 күн бұрын
Huyu mbwa huwa anaongea fact kiasi kwamba labda anapewa na Mungu, simuiti mbwa kwa maana ya mnyama ila kwasababu ya akili yake nyingi,daaa! hata ungekuwa chama Cha upinzani hii ni must listen
@SaraSara-i1l
@SaraSara-i1l 14 күн бұрын
Umeeleweka kaka haikuwa na sababu ya kumjibu..maana alivyokua anarapu nyuma mbele😂 wenje tuliza mshono
@AnaniaIsaya-z9g
@AnaniaIsaya-z9g 14 күн бұрын
SAFI SANA KAKA LEMA TUNAKUELEWA SANA WEWE NA LISSU
@MtanaRashid
@MtanaRashid 14 күн бұрын
Hazina ya taifa
@AhmeidYussuf
@AhmeidYussuf 14 күн бұрын
Mm niko Zanzibar ila tambua wenje n mpumbavu hat mi ningemjibu
@thadeimlowe786
@thadeimlowe786 13 күн бұрын
Aliyejibu swali la namba yuko smart sana
@NyangoboNyangobos
@NyangoboNyangobos 14 күн бұрын
Lema lisu heche mkishinda hakikisheni tunamrudisha msigwa na slaa chadema mmetufumbua macho tumejua ukweli kamanda Mungu awabariki
@athumanhassani805
@athumanhassani805 14 күн бұрын
Tunaitaji viongozi kama rema❤
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 14 күн бұрын
Mh!rema tena,sio lazima nawe ucomment,bora ungekaa kimya
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 14 күн бұрын
Lema sio rema
@petroyohana1126
@petroyohana1126 14 күн бұрын
Mheshimiwa Lema 🎉🎉🎉
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 11 күн бұрын
Daah😂😂😂, eti muepuke Wenje(Siasa hizi).
@giselamndeme7776
@giselamndeme7776 14 күн бұрын
Waoooo Yesu akutunze kaka🫶
@ignacedaniel4204
@ignacedaniel4204 14 күн бұрын
Akili kubwaaaaa
@mwanzatv4611
@mwanzatv4611 14 күн бұрын
Lisu for life
@mwansasu
@mwansasu 14 күн бұрын
Naaam!
@gregoryogweyo4598
@gregoryogweyo4598 14 күн бұрын
Masha afanye press kesho
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
Inaonekana bwana Lema uko makini sana kwenye kutengeneza makusanyo lakini siyo nzuri kwenye kuweka matumizi wazi. Umesema nwenyewe kwa kurudia rudia kuwa ulipanga na kuelekeza matumizi unavyojisikia wewe kama vile chama ni chako binafsi. Hiyo haijakaa vizuri.. Matumizi hayakuwa yanaidhinishwa na chama bali wewe umetoa oda tu na kujichukulia unavyonisikia. Hiyo haileti taswira nzuri kwako wala kwa chama cha watu wengi
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
Kweli kabisa
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
Absolutely
@PaschalBoi-z8h
@PaschalBoi-z8h 14 күн бұрын
Napenda kuona chadema ikiw mikononi mwa lisu,heche,lema na mnyika
@dostovan5142
@dostovan5142 14 күн бұрын
Man and a half
@MASOUDSALUM-r5r
@MASOUDSALUM-r5r 14 күн бұрын
Uzuri wa lissu lema Heche hatujasikia kuwa ni wezi hata siku moja
@JosephMichaelMabula
@JosephMichaelMabula 14 күн бұрын
Mpaka hapo lisu 3 mbowe 0
@allyiddakizimana7103
@allyiddakizimana7103 14 күн бұрын
Akishinda Tundu Lissu upinzani utaanza kupata nguvu tena na uchaguzi wa 2025 unaweza kuwa mgumu kwa CCM
@rashidbakili4353
@rashidbakili4353 14 күн бұрын
Na ata wabunge wa upinzAn wataongezeka
@marieconnect6389
@marieconnect6389 14 күн бұрын
I wish Magu angekuwepo naye aweze kujitetea tuhuma anazobebeshwa akiwa kaburini. Siasa bana noma sana. Huo ndio uchungu wanaoupata watanzania familia yake na ndugu zake, viongozi waaminifu, na watanzania ambao ni wengi waliompenda Magu. Sera zake na utekelezaji wa kazi ulileta manufaa makubwa sana ya wananchi hasa wa chini. Siasa michezo michafu aisee. Kuumbuana ndio mkakati wa kupanda juu kisiasa.
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 14 күн бұрын
Kwani kufungia siasa uwongo au kupiga lisasi lisu uwongo we vp mzee mzee wetu alifelii padogo
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 11 күн бұрын
Masikini na wajinga ndo walimuona Magu kama mkombozi wao ila matajiri na wenye elimu waliteseka sana enzi za Magu. Magu alikuwa mtu wa visasi na roho mbaya na alichofanya ni kubana uhuru wa vyombo vya habari na kuzuia mikutano ya siasa ili kulinda na kuficha uozo wake na matokeo yake hapo aliaminisha kundi la wajinga kama wewe.
@ramadhaniOsujacki
@ramadhaniOsujacki 14 күн бұрын
Kiukwelii lema wewe ni mkweli sana hasa inspswa uwe kiongozi mkubwa ukiwa pamoja na tundu lisu hata bila mbowe chama kinaweza kuwa kubwa zaidi hata msipochukuwa dola me naona bado itakuwa vizuri sana kwa kuenndelea kuisemea serekali ili ifanye vizuri kwa maslahi ya wanachi wetu wa tanzania mungu ibariki tanzania mungu ibariki viongozi wetu wa upinzani wapatikane wanaoweza kuriski maisha yao kuiponda serekali ili wananchi wake wapate haki stahiki
@mkingaJulius-u5y
@mkingaJulius-u5y 14 күн бұрын
Sisi watu wa tarime tunamujua wenje ni mtu ambae haeleweki.
@KubiniNkondo
@KubiniNkondo 14 күн бұрын
Tetea Haki za Binadamu lakini usiuawe.Hiyo ndiyo Sheria Kuu ya Mwanaharakati yoyote ya waki za Binadamu.
@Jonathan-g4h
@Jonathan-g4h 14 күн бұрын
Wenje tapeli tu
@DR.SAIFILLAH.5363
@DR.SAIFILLAH.5363 13 күн бұрын
CHADEMA ni chama kikubwa cha upinzani Tanzania 🇹🇿 na kina ushawishi mkubwa ila kuna mambo fulani waliyoyafanya toka mwaka 2015 na haya yanayoendelea sasa yanaondosha uaminifu na imani kwa baadhi ya watanzania wenye akili na kufikiri.
@MohamedMohamed-jc3fi
@MohamedMohamed-jc3fi 13 күн бұрын
Lema kila kitu mkeo😂😂😂
@RamadhanNassoro-lu1wf
@RamadhanNassoro-lu1wf 14 күн бұрын
Lema tumekuelewa uko sawa mungu atawapigania ktk ukweli huo
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 13 күн бұрын
Kupiga picha kwenye madaraja😂😂😂😂 hii kweli ujinga huu upo kwa waafrika wengi wapuuzi
@starlily07
@starlily07 14 күн бұрын
Tenda wema usingoje shukrani, hakuna kanuni ya kumtendea mtu wema halafu unasubiri akurudishie wema wako, ukitenda wema kwa mtu atakulipa Mungu kupitia watu wengine period.
@OSWARDMJWAUKI
@OSWARDMJWAUKI 13 күн бұрын
Mtumishi lema.
@joshuasarakikya1442
@joshuasarakikya1442 14 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
Nahisi hiyo join the chain haikukuendea vizuri sana. Ka ulitaka kuwapa PARTNERSHIP KWENYE KAMPUNI yako binafsi ulitaka kusemaje nini? Hiyo inaonesha kulikuwa na mpango wa kijanja janja watu wakashtuka. Sina upande wowote bali najaribu kufikiria na kuchambua maneno yako
@mosesibrahimu-kg1ib
@mosesibrahimu-kg1ib 14 күн бұрын
Hakiri kubwa sio kama akina yeriko
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
Tatizo siyo kuchanga TATIZO KUPANGA MATUMIZI.....NANI ANAPANGA KWA MANUFAA YA NANI KAMA WANACHAMA WOTE HAWASHIRIKISHWI?
@severinmmassy7627
@severinmmassy7627 13 күн бұрын
Lema wew nizaid ya jina lako MUNGU akuongezee hekima
@maximilianludovick5407
@maximilianludovick5407 14 күн бұрын
Ukweli utajulikana tu, maneno ya Wenje yatapata nguvu siku moja kama ambavyo maneno ya Msigwa yamepata nguvu sasa.
@T_Darius
@T_Darius 14 күн бұрын
Unamuamini wenje, akiamungu🤣🤣🤣🤣
@donaldjoseph4847
@donaldjoseph4847 14 күн бұрын
Wenje ni kenge maji
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
Kwenye chama inaonekana kuna ujanjaujanja wa kupiga hela kijanja. Hilo limegundulika sasa kutokana na misemo yenu wenyewe. Ama kweli siasa ni mchezo mchafu
@vaxcraker99
@vaxcraker99 13 күн бұрын
Analysis yako finyu sana na yakipumbavu.
@mutatashanny1
@mutatashanny1 10 күн бұрын
Tofali za main by Lemma
@shijamakoye6013
@shijamakoye6013 14 күн бұрын
Takukukuru kazi imekuwa rahisi dogo kawahakikishia rushwa ilikuwepo
@mosesibrahimu-kg1ib
@mosesibrahimu-kg1ib 14 күн бұрын
Hakiri kubwa sio akina yeriko wapumbavu.
@worldsmagic3024
@worldsmagic3024 14 күн бұрын
Akili, sio hakiri.
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
HIVI JAMANI INAWEZEKANAJE ATI KIONGOZI WA CHAMA KUKIPA CHAMA CHA SIASA PARTNERSHIP KWENYE KAMPUNI YAKE BINAFSI? HIYO IKO KWENYE KATIBA YA CHAMA? MAKUSANYO NA MATUMIZI NANI ANASIMAMIA? MAOKOTI? LAKINI NANI ANAPANGA MATUMIZI YA HAYO MAOKOTO?
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 13 күн бұрын
Uyu ndo lema mwamba Sana
@TibihikaGerad
@TibihikaGerad 12 күн бұрын
Mh lema nilikuwa sikukubar lakin umenifulahisha kumuunga mkono mh Lisu maana mh mbowe atabiriki
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
Chama siyo sacos binafsi jamani. Wekeni miundombinu inayoeleweka yenye UWAZI wa kutosha kwenye UKUSANYAJI na MATUMIZI ya maokoto. Hasa hapo kwenye matumizi ndiyo kuzungumkuti kilipo. Unajipangia anavyotaka wewe.....imenikera sana. Kwani chama ni MALI binafsi?
@severinmmassy7627
@severinmmassy7627 13 күн бұрын
Kwann hizo kura zizipgwe online??
@mkingaJulius-u5y
@mkingaJulius-u5y 14 күн бұрын
Wenje na mboe wanataka kuuwa chama
@worldsmagic3024
@worldsmagic3024 14 күн бұрын
Mbowe, sio mboe.
@terepeter4933
@terepeter4933 14 күн бұрын
Ni hatari sana kuwa na mtu kama Wenje kwenye ngazi ya juu ya chama..kiongozi muongo hafai hata kwa dk 1!!!
@FelixMurishi
@FelixMurishi 14 күн бұрын
Wenje ni cha pombe,hafai😅😅
@CarolKimei-w1h
@CarolKimei-w1h 13 күн бұрын
Kuna ema kimambo mpaka aliwe ndio aweze mlisha mpiga picha yaan anaishi kwa kulala na wanaume wa chama ndio ale anasema lema msenge utafia na ukimwi kwenye chama mbwa ww tibu chunusi kwañza ata nauli ya dar ulitumiwa kahaba wa chama
@Mkopi-TZ
@Mkopi-TZ 14 күн бұрын
LEMA anaishi LALA LAND ! Mtazamo wake wa siasa haupo dunia nzima Hata huko kwao CANADA LEMA anataka kuwa mwenyekiti baadae Lissu watch out! Acha kejeli huwezi kumpa RAIS mashariti
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 14 күн бұрын
Kazi ipo
@marieconnect6389
@marieconnect6389 14 күн бұрын
Nimegundua kila mwanasiasa ana maneno mengi labda kazi ni kupima lipi linakaribia kufanana na ukweli zaidi kuliko lingine.
@melch3097
@melch3097 14 күн бұрын
Yaani hii mi jamaa ya chadema bora ingechinjwa yote inatia hasira
@rashidbakili4353
@rashidbakili4353 14 күн бұрын
Pole ujui siasa . km Baba wa Taifa alietoa wazo la kuwe na vyama vya siana unais alikosea au ukua sahihi?
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
@@rashidbakili4353 baba wa taifa anaingiaje hapo? Kwani yeye aliwaambia watengeneze the chain ya kupiga ulaji? Ati anatoa maelekezo ya matumizi kama vile chama hicho ni kampuni yake mwenyewe. Kisa ati yeye amekusanya pesa hizo kwa kutumia jina la chama kisha anachukulia kama pesa ni zake. Nimekereka sana kwa hilo. Kila kitu mmoja anajifanya mjanja kuliko mwenzie kwenye maokoto. Ujanja kuwahi etiiii
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 11 күн бұрын
​@@melch3097Duuh Namlaumu baba ako kuzaa na Mama ako Malaya, kazaa Bumunda tupu
@HijaSalimu
@HijaSalimu 12 күн бұрын
Lema umechemewa Arusha hata ccm wakiweka jiwe hupati
@marieconnect6389
@marieconnect6389 14 күн бұрын
Ujue uchungu wa kusingiziwa hutuma. Bahati yako bado uko duniani mshukuru Mungu kwa hilo. Sikuchukii kabisa bali najaribu kukuelewa na wewe utuelewe
@DR.SAIFILLAH.5363
@DR.SAIFILLAH.5363 13 күн бұрын
MAADILI MEMA, BUSARA, HEKIMA, UVUMILIVU WENYE TIJA, NI MISINGI BORA NA IMARA YA KIONGOZI MWENYE MAONO YA MBALI NA ENDELEVU.
@EliaHiluka
@EliaHiluka 13 күн бұрын
Mzee mbowe anapaswa kutojihesabia haki anapaswa kuwahesabu wengine kuwa ni bora akubali kuwatanguliza wengine asitafite mambo yake mwenyewe
@rasmasangula7989
@rasmasangula7989 14 күн бұрын
Lissu akishindwa kwa mimi na chadema ndio mwisho maana kitakuwa kama CUF
@Snoker101
@Snoker101 14 күн бұрын
Ivi suguu yupo kweli🤔
@EMMANUELMBWAMBO-is4tn
@EMMANUELMBWAMBO-is4tn 14 күн бұрын
Mengi yaliyozungumziwa binafsi naona ni sahihi kwa sasa. Yaliyo zungumziwa upande wa Wenje dhidi ya Lema ni sawa na upande wa Lema uliyo yasema dhidi ya wenje ni sawa tu. Mmeamia siasa ya kishamba kupeana shutuma kila mmoja anaibuka kujitetea na kusema ni uongo. Kapigeni kura mkatafute viongozi acheni kujichafua
@AMOAM_49
@AMOAM_49 14 күн бұрын
WENJEE bila Abdully haiwezekani...😂😂😂
@marieconnect6389
@marieconnect6389 14 күн бұрын
Nawaunga mkono sana lakini ngoja niwe muwazi. DIASPORA si wote wanaowaunga mkono. Wapo wengi sana tu hawako kwenye siasa hizi wala chama.
@bsmonline8482
@bsmonline8482 14 күн бұрын
Kwani aliyesema wote ni nani hata yeye hajasema wote na haitakaa iwe hivyo coz hata ndani ya ukoo tuu hamwezi wote mkawa na mitazamo inafanana kama vifaranga vya kuku vilivyototolewa siku mojq
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 14 күн бұрын
Sasa nani kasema wote
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
@RomanMwinyi aseme wazi kuwa ni BAADHI YAO na siyo kujumlisha diaspora wote. Anapotosha uma na anawakwaza wale wasiotaka hiki chama wala siasa. Tuwaheshimu misimamo yao.
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
@RomanMwinyi Mbona hajasema ni baadhi yao? Kujumlisha wote
@marieconnect6389
@marieconnect6389 13 күн бұрын
@@bsmonline8482 Lakini pia wala hajasema ni baadhi yao bali anaonekana kujumlisha wote. SIYO poa kwa wengine wasiopenda siasa au chama chake
@mkingaJulius-u5y
@mkingaJulius-u5y 14 күн бұрын
Kama watazingua hebu jioganizi mtafute chama kingine na sisi tutawaunga mkono
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 14 күн бұрын
Hakika chadema mnafanya siasa za chi hii kushamiri sana, hata serikali inawaamini sana
@BarikiRaphael-r8j
@BarikiRaphael-r8j 14 күн бұрын
Wew unatakiwa useme hela za join the chain zilikuwa zinakusanywa kupitia account X ambayo ni ya chama ambayo signatory walikuwa ni XY&Z ambayo lemma anayeshutumiwa hakuwa signatory hiyo account X na mapato yake yamekaguliwa na internal audit wa chama au na external Auditor ambaye ni CAG
@terepeter4933
@terepeter4933 14 күн бұрын
Ni makosa sana kuwa na mtu kama Wenje ngazi ya juu ya chama..Kiongozi muongo...
Tundu Lissu: "Hakuna tena kuimbiana mambo ya maridhiano  yasiyokuwepo"
32:08
СИНИЙ ИНЕЙ УЖЕ ВЫШЕЛ!❄️
01:01
DO$HIK
Рет қаралды 3,3 МЛН
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
Support each other🤝
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН
UMUHIMU WA KUPATA WATU SAHIHI WA KUKUSAIDIA UTIMIZE MALENGO YAKO   || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
3:26:30
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 111 М.
Kauli ya Ask. Bagonza baada ya mikutano ya #CCM na #CHADEMA. Ahimiza Maridhiano.
18:45
СИНИЙ ИНЕЙ УЖЕ ВЫШЕЛ!❄️
01:01
DO$HIK
Рет қаралды 3,3 МЛН