Matusi ndo mnayoweza Lakin Lema mganga wako makonda Kaja arusha
@OmmyJames-xn7ji6 ай бұрын
Hawa WAHUNI ndio wapewe nchi kweli UPINZANI bado SANA 😢😢😢😢
@martinabayyo99826 ай бұрын
Na matusi yote hayo unalitaja jina la Mungu! Mungu akusamehe kwakuwa hujui utendalo
@MohammedAwadh-gq9si6 ай бұрын
Sidhani kama hii dio Sera za chamacha chadema ,ila ni kukosa maadili ! Kuishiwa na Sera ni kukiangamiza chama ! Msije mkatafuta mchawi ,
@neemanziku54036 ай бұрын
Makonda hoyee mtu mwenye nyota yake mjini kwanza Makonda njoo uchukue maua yako🎉🎉
@ManirakizaHashim6 ай бұрын
Hahahahaha
@umalqasimalhamhami67076 ай бұрын
Pombavu zakoo ww msengee tuu
@donatusdaniel37226 ай бұрын
Lema na uamini sana kama kiongozi mzuri wa kitaifa. Lafiki hatuba zako zako zimejaa matusi plz nakushauri k8ongea na kusimamia hoja zinatuhusu. Nakuamini Sanaa
@MsAggie56 ай бұрын
Wapinzani wanaongea kwa jazba hata wanakosa points. Unahutubiaje "upumbavu" 'kuwa na adabu"
@festokivuyo71216 ай бұрын
@@MsAggie5 yaani upande jukuani kitu unasema pamoja na somo yako nikutukanana nakupenda majina ya watu siasa safi utaji mtu jina ukitaka kukosoa huyu anafaa tu kwenda bungeni kwa kuteuliwa asiwakilishe maali
@lucaschisamalo28526 ай бұрын
Mpumbavu siyo tusi kwanza kauli za kistarabu sasahivi hakuna ccm wamekuwa siyo watu wakuambiwa maneno matamu siyo watu kabisa
@zawadichalale40476 ай бұрын
Kura haziwezi kuibiwa sera zenu ndio mbovu pigeni sera za maendeleo sio kishindana ninyi kwà ninyi hazitusaidii wananchi tunakiu na maendeleo tu sio sera mbovumbovu
@joscamwoshezi29866 ай бұрын
Mhh huyu kiongozi wa wapi jamani
@PrinceHendry-hp8vv6 ай бұрын
Utabaki kusikia lakini ccm ya sasa iko juu we endelea kutukana
@MathayoMagoti6 ай бұрын
Shida uenu mnatukana sana watanzania waliwapenda sana ila mmezalaulika kwajili ya matusi weken sela mezani tuwachamvue
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Kweli kwa matusi haya Chadema mtapata kura kweli
@mgosimkome92426 ай бұрын
Yaani huyu jamaa huwa simuelewi kbsa maana sijawahi kuona akiongea kitu cha maana yeye kila siku ni kulaumu, ongea kitu cha maana ongea hoja ya maendeleo, watu wenye akili zao sidhani kama wanaweza kuwasikiliza, Kifupi Lema siasa hajui huo ndo ukweli
@mwllughanosanga9606 ай бұрын
kwahiyo matusi ya CCM ndo halali?
@TanganyikaChakupewa5 ай бұрын
Weeee jinga kweli ni uchawa tu unakusumbuwa @@mgosimkome9242
@clemencemkondya85616 ай бұрын
Wewe ndiyo mjinga Lema .Wewe ni tatizo huna lolote .Unaomba huruma ya Mungu
@markoshem-ij6cf6 ай бұрын
Rema ndoo kiongozi mzr hapa Tanzania wewe
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Clemence huyo Lema ana laana ya kuwatukana viongozi wa dini ndiyo maana matusi mengi hata huo Ubunge hapati
@MsAggie56 ай бұрын
@@margarethpolepole7438weee si anajifanyaga ana hofu ya Mungu na nilisikia akijiita Nabii au pastor ........anatukanaje?
@MsAggie56 ай бұрын
@@markoshem-ij6cftutalijua hilo uchaguzi ukifika 😂
@zablonnyanda60956 ай бұрын
Acha woga bro! Unatuangusha banaa!!
@adelinelyaruu30366 ай бұрын
Hao walitakiwa wamsikilize Dr. Nchimbi kwa aliyosema kwenye kongamano la kumbukizi ya Mwl.Julius Nyerere
@denisipaulo77856 ай бұрын
Safi kwa kuwashauli mana watu wanalewa madaraka wakati Mh Rais yuko safi mama wa watu
@ManenoAnthonyMachaku-dt4jm6 ай бұрын
Anavyotukana utazani mwamba kwer ,,lakin sasaiv UTASIKIA kakimbia Nchi kupitia Chocho na bodaboda 😂😂😂 mwoga uyooo .
@Rai_online_tv6 ай бұрын
H ha ha Daa
@StrongbowArrow20046 ай бұрын
Raia mwema utunza kinywa chwake kwa kutamka lugha za matusi🤔🤗 utausikia ubunge kwenye television tu
@kwayaviwawaparokiayabashne92816 ай бұрын
Mungu akubariki Sana Lema Nakuelewa kweli kabisa
@ndogoroedson1996 ай бұрын
Wewe ni mjinga kama Lema jambazi huyo
@Ibrahim-ne3in6 ай бұрын
Lazima umuelewe c n shoga mwenzio
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Lema nahisi una afya ya akili hauko sawa kabisa
@MsAggie56 ай бұрын
😂
@geey78936 ай бұрын
Kumanina umeshapigwaaaa huna ishu. Huwez kushinda Ubunge Arusha Makonda akiwa mkuu wa Mkoa Mbwa kokooo wewe😂
@phaustineJoseph6 ай бұрын
Hamna kura hapo lema
@ManirakizaHashim6 ай бұрын
Asante Ally Hapy lime mata mtoto Lema
@AnthonyKomba-o5f6 ай бұрын
Huyu jamaa anafanya siasa za kipuuzi!!
@augustinomhanje92256 ай бұрын
Mimi nashanga sana hivi wananchi wanategemea viongozi waweze kuwasaidia chaajabu kazi kupiga soga zisizo na manufaa yoyote kwa wananchi.
@rehemakimungu64946 ай бұрын
Sasa kwa matusi hayo nani akupe kura? Unatia kichef chef
@mgosimkome92426 ай бұрын
Ndugu yangu wajinga wajinga ndo wanaweza kumpa kura hivi kweli Lema anaweza ongea Huo mkutano niwe nimekaa kbsa nasikiliza, shule nzuri jmn tuache utani, watu somesheni watoto hata mtoto akisema anaingia siasa awe na utulivu, Japo sio wote ambao hawajasoma hawana busara, angalia Mashine Kishimba mbunge wa kahama yule mzee akiongea unatamani urudie rudie kusikiliza anaongea point tu, ukija akina Zito Kabwe, John Mnyika, Akina Kafulila enzi wakiwa wabunge wakisimama kujenga hoja hadi unasema kweli mbunge kaongea lakini Lema na Sugu jmn hebu jiangalieni angalieni hata clip zenu muda mwingine muone wapi mliwahi kusimama mkajenga hoja za maendeleo mkasema namna gani serikali ifanye kwa wananchi mkashauri nn kifanyike kwenye majimbo yenu zaidi ya mtu akisimama utasikia serikali ya CCM dk 15 zote speaker anatoa mtu ni kusema CCM CCM, kuna muda weka pembeni CCM ongelea hoja za Jimbo lako tetea wananchi hujatumwa kwenda kutoa lawama jmn. Mnajifanya mnajua siasa lkni Kiukweli Lema na Sugu kwa mtu mwenye akili timamu aisee hawezi wasikiliza ndugu zangu.
@rehemakimungu64946 ай бұрын
Unajitukana mwenyewe lemaa, huna jipya kwa wananchi, kaa kimya
@JaziraMustafa-g9p6 ай бұрын
Kweli Lema ni bangi si alikimbia huyu wakati wa kidume Makufuli.Mikwala ya kishoga tu hiyo huaga kisaini hiyo.
@neemanziku54036 ай бұрын
Lema usompenca kaja utampenda kwa lazima 😂
@PrinceHendry-hp8vv6 ай бұрын
Chumbani kwa mongela na chooni ulifata nini shehe unatutisha lema😎
@stevenmabungi32456 ай бұрын
😂 kwakweli anatutisha chooni kwa Mongera
@Yusufumoses-w5y6 ай бұрын
Kumbe magufuli hakukosea kuwanyima Uhuru 😢😢😢.
@OmmyJames-xn7ji6 ай бұрын
Kweli hawana HOJA
@lucaschisamalo28526 ай бұрын
Hapi nilijuwa kukaa benchi atakuwa kajilekebisha kumbe hamna kitu Ila Tanzania viongozi hakuna kweli kila siku wanaludi haohao mbona wasomi wapo wengi tu wanajeshi hebu tusidieni jamani angalau hata mwaka mmoja mtunyoshe kidogo
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Matusi yamezidi Lema ongea siasa yako tu
@Robust786 ай бұрын
Wanatia hasira
@MsAggie56 ай бұрын
@@Robust78kwenye upinzani au mashindano huoni mpinzani anakutia hasira halafu ukikasirika unakosa mwelekeo ndo unampa ushindi yeye? Kama kiongozi anatakiwa alijue hilo, kauli njema na hekima ni ushindi sio matusi.
@festokivuyo71216 ай бұрын
Lema we ni kiongozi MTU mweye uwezo mzuri sana wakuongea lkn mm na onauongeaji wako mara nyingi unakosea kidogo sana wapizani wa kuongea sana kuliko kufanya kazi wana maana ww muongeaji sana kuliko kazi
@husnashehe17216 ай бұрын
Chadema kuitawala Tanzania bdo sana kabisa yani
@AliKibwana-mg3uu6 ай бұрын
Hiyo ni press imepanda
@ashrona98846 ай бұрын
Ila umewatukana wanaum yaani Bung zima hamna mwanaume
@Robust786 ай бұрын
Kwa mantiki yake neno wanaume siyo kuwa na jinsia ya kiume la hasha, katika tafasiri ya fasihi neno mwanaume au wanaume amemaanisha watu walio shupavu, jasiri na wenye kujiamini kuweza kuiwajibisha serikali wakiwa katika jinsia yoyote ile. Kwahiyo hajatukana wanaume kwa maana ya jinsia. Angalia pia mfano katika lugha ya kiingereza kuna maneno kama " This is a man made problem" hapa haimaanishi kama tatizo limesababishwa na mtu mume bali limesababishwa na mtu au watu(Binaadam) Kwahiyo kwakusema pale bungeni hakuna mwanaume tafsiri ni kwamba hakuna mtu katika hao wote waliopo mwenye ujasiri na ushupavu unaopaswa au kustahili. Nadhani naeleweka vizuri.
@dorothmsuya16866 ай бұрын
Lema anaongea kama kavuta bangi vile!! Unamtukana mtu bila sababu! Hoja hujibiwa kwa hoja! Acha ujinga! Hawatakuchagua nakwambia!😅😅😅
@shabanikitula6456 ай бұрын
Lema kamanda achana na hii takataka ya pilipili haina issue anaacha kudil na mambo ya chama chake anazungumzia vitu tofauti makonda alipokuwa mwenezi hakumtaja lema wala mbowe ndiyo maana watu walimpenda hata alivyotolewa uenezi watu walilalamika sana
@SalumSaid-j8g6 ай бұрын
Wee mwenyewe muhalifu tu
@hamzakhamis15756 ай бұрын
Uongozi ni hekma na sio matusi kaka, jifunze siasa za kistarabu. kama nchi hii viongozi wote wangelikuwa na jazba kama wewe jee inchi ingelikalika.
@mgosimkome92426 ай бұрын
Huyu jamaa hajui siasa bana zaidi ya kuropoka ropoka tu, hivi lini Lema alisimama akaongea kitu cha maana jmn tuseme tu ukweli,
@wamburajohanes9526 ай бұрын
Lugha hii. Pole sana
@ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl6 ай бұрын
jamaa amejaaa Shari tu hanajipya matusi tu ndio Kaz Yako ndio maana nashangaa mbona kabila Moja TU hakunagauchaguzi hata wa Mwenyekiti Mkuu ni yuleyule inamaana wengine hawafai hata huyu njaa TU anataka ubunge maisha magumu
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Hata Siku moja hakutatokea mchaga kuwa Rais ndani ya Tanzania hii
@hamadsaburi35696 ай бұрын
Acha matusi kiongozi gani mlevi
@danielshauri63906 ай бұрын
Viongozi wa chadema wengi ni wavuta bange . Wanaongea ujinga sana
@MsAggie56 ай бұрын
Wanaongea kwa jazba, wanaishia kutukana na inafanya wakose points
@GracePaul-x3q6 ай бұрын
Kapimwe akiri kakaangu nchi hii c kijiwe Cha wahuni
@SalimAbdallah-mi1wc6 ай бұрын
Na wandishi mwatakiwa kuangalia vitu vya kupost ujinga kama huu
@adamlubawa12816 ай бұрын
Matusi ya kutajiana wazazi Zinatokea wapi Unatafuta njia ya kukimbia nchi tena
@albertinamichael61236 ай бұрын
Aseme Mbowe we ukitishwa kidogo unakimbia Nchi.
@bajagihaji89236 ай бұрын
Nchi ipo na amani na demokrasia inaendelea safi
@henryndosi20026 ай бұрын
Huyu🌈 mkanada anajiandaa kukimbia ni muoga kinyama😂
@mohamedhamsini91066 ай бұрын
HUYU BOYA LEMA ANAJIFANYA ANAJUA SANA MPUMBAVU SANA HHICHO CHA ARUSHA KITAKUPONZA ULIKIMBIA MBIO ULAYA KAMA JASIRI SIUNGEKAA???? CHAUWOGA MKUBWA ACHA KUCHANGANYA DINI NA SIASA UMESHAOMBA RADHI ULIYOYANYA ARUSHA WATU HAWATAKUSAHAU
@GracePaul-x3q6 ай бұрын
Ndo maana hamuwezi kuongoza nchi ,hivi ulitaka kuongea sera za kujibu hoja mpaka utu km umtukane kweli endeleen kukaa pemben mpaka mkuwe ki akiri
@martinabayyo99826 ай бұрын
Uongozi haupatwi kwa matusi uongozi utaupata ukiwa na hekima hiyo tabia yako itakuponza mbaba mzima unachafua kinywa chako kwa kutamka matusi jaman hata watoto watakudharau unatakiwa kuongea maneno ya busara
@MariamOmary-s1t6 ай бұрын
Makonda ndo kabaliyako
@abdullayahya87176 ай бұрын
Nimehisabu wanasikiliza (nyuma) 18 na mbele 150 😂😂 hapa mpaka 2040 mjipange
@Educatedmind-k9r6 ай бұрын
Bangi ni bora ikutume kulima sio kuwa kichaa kama huyu
@mangobase6 ай бұрын
Hivi huyu lema huwa anavutaga bangi? ... Anavyo toa povu...... 😮
@dorothmsuya16866 ай бұрын
Huwwzi kumuita mwanamme mwenzio mpumbavu! Jazba ndizo zinazokuponza! Unataka haki wakati umefivha mapanga nyuma ya migongo yenu! Kwani bila kutukana hueleweki?? Wewe pia ni mpumbavu mmoja! Na hutaongoza nakwambia! Nimekaa paleee!😢😢
@StanfordPopitol6 ай бұрын
Wewe sio mpiga kura, umesema asitukane wewe unatukana tena
@dorothmsuya16866 ай бұрын
@@StanfordPopitol Sijatukana! Nimemrudishia neno lake asikie kama linapendeza!
@zablonnyanda60956 ай бұрын
Huyu jamaa anaonekana ni muoga sana! Sasa maneno gani hayo?? Piga kazi bro! Kwa mtu muelewa atakudharau tuu! Angalia uhalisia, shindanisha hoja
@komuhsengo97966 ай бұрын
Ukiongea ujinga utajibiwa ujinga, chungeni kauli hii ni awamu ya 6, mama yetu hataki vitisho, ndio maana nchi imepoa, hata huyo mwenezi katolewa kwa kauli tata zisizo za kisheria,😮
@MsAggie56 ай бұрын
Hakutolewa Kwa kauli Makonda hajatoa kauli yoyote Tata na amemsifia Kwa kukiamsha Chama, ni ubabe alioufanya Dar uliomuondoa Kwa sababu aliyemfanyia ubabe nae ana watu wazito CCM
@GeofreyKalo-ot3we6 ай бұрын
Lema huna hekima fala ww
@istambulahmed66646 ай бұрын
Masikini chadema hawana viongozi wazuri hata kidogo badala ya kuongea sera badala yake ni kutukana na ............ hii ni aibu sana
@georgemassebu20836 ай бұрын
Mmebakiaga kudandia dandia maneno tu ktk kila kinacjotokea nchini,hamjengi hoja peke yenu ili wananchi tusikie,nyie mnasubiri wenzenu waseme yao ndo mnarukia maneno
@SubiranTimo6 ай бұрын
Nae hapi kakosea msitegemee huruma ya nn leteni katiba mpya uchaguzi wa haki wa wizi tu ccm
@MsAggie56 ай бұрын
Hata kwenye biashara huwa wanavutia vyao na kuviponda vya wenzao lakini hakuwa na haja ya kutukana angeongea sifa za Chama chake na points nzuri alizonazo. Asijetafuta mchawi uchaguzi ujao
@AnthonyThadei6 ай бұрын
Wew ni pembeni,hakuna kupewa nafasi arusha hii tena,kelele tu na huo mdomo wako usiokuwa na staa,
@davidkilajaga88426 ай бұрын
Cku zote hasira ni hasara, unajua siasa ni mchezo wa kutekenyana hv, kwa hio lazima akili itumike zaidi
@doiabel37936 ай бұрын
Lema unasifa gani ya kuwa kiongozi?? Sifa ya kiongozi huwa ni hoja za msingi, busara khekima na maono si matusi haya unayo toa sifa ya kiongozi ni kutoa hoja zako za msingi si kutukana watu.
@balozikaniki38086 ай бұрын
Chizi katoroka milembe
@AdamEvarst6 ай бұрын
Ww lema mpuzii kwli huna lolote
@maggiehiza58846 ай бұрын
Nchi hii hatuendelei kwa sababu ya upumbavu wa watu. CCM imewafikisha wapi??? Pumbavu kabisa!
@Ibrahim-ne3in6 ай бұрын
Vibaka kama hawa tunawapaje nchii hii...bangi bangi bangi vichwa maji panzi
@abdulwadi86676 ай бұрын
Lema unatukana ndio siasa safi hiyo?lete hoja sio matusi sasa ww mwite mpumbavu makonda uone maana ya upumbavu ni nini
@clemenceparokola6 ай бұрын
Kwa wataalam wa biblia neno alilotumia si matusi,maana limea dikwa kwenye kitabu kitakatifu zaidi ya mara 200
@PrinceemanuelBusungu6 ай бұрын
Yaani Huna maneno ya stara hadi unatukana . nani atakupa uongozi wewe
@SalumSaid-j8g6 ай бұрын
Utaharibiwa wewe boya wee
@samochristopherroche99536 ай бұрын
Tulia wewe huna lako tulishachoka mambo yako na ndio maana tulikukataaa
@elihurumamushi25216 ай бұрын
neno mpumbavu maana yake ni nini jamani kwa anayejuwa mimi kwa huelewa wangu mdogo ni mtu anayejuwa jambo fula lakini anafanya tofauti mfano unajuwa 5+5=10 lakini lakini wewe unafanya 5+5=13 wakati unajuwa ni10 mjiga nalo siyo tusi kwa sababu yeye hajui 5+5= ni10
@stafordchamgeni84306 ай бұрын
Lema unaonekana umezeeka huna la kuongea? Pole sana karne hii kuna kauli za hivyo katika siasa za kistaarabu wajinga ,wehu,wapumbavu ,washenzi na Mabwege ni wepi? mbona unaongea kilevi hivyo na nyie wananchi mnaohudhuria mikutano ya watu waliokunywa pombe mnajisikiaje? Kwahiyo Rais akifanya vizuri asifiwe na nani?mbona wewe unasifu Chadema mmefanya nini?
@steveouko75376 ай бұрын
Kweli kabisa
@AllyMaya-yj3xd6 ай бұрын
HAKUNA SIASA ZA HIVYO HUTAPATA KURA UNAINGIZA MAMBO YA WAKE ZA WATU NA WATOTO NN ? 😂😂😂😂 MBONA KAMA UNA STRESS BAADA YA MAKONDA KUJA MTAANI ?
@GodfreyibrMyagila6 ай бұрын
Mjinga sana wewe mbona wewe huongei na mkeo mjinga wewe
@BonaBonala-bp5qm6 ай бұрын
Ccm wote wajinga tuu
@MsAggie56 ай бұрын
Hahahaha na chadema wote wajanja tu 😂😂😂 bado wanaibiwa kura pamoja na ujanja wao 😂😂😂😂😂 so funny 😂
@dorothmsuya16866 ай бұрын
Wewe mwenyewe mjinga tu Huna sera! Tulieni dawa iwaingie...uongozi mtausikia redioni....!