Hii mimama ndiyo ya Kwanza ukifika pale moshi inataka kitochi nimekoma
@PhilipoMwita-b2x6 күн бұрын
Hawa ndo mama zetu acha nipate dhambi tombanyako
@AyubuChacha-u6u7 күн бұрын
Wamama hawa wamepokea kitu kutoka ccm kwan hamuon walivyo nona hawa ni machawa makubwa wa ccm alafu mtu akipotea wanaendelea kulia hawa kweli walizaa maana wamama wengi wanalilia vijana waliopotezwa na kuwawa kweli hawoni.
@vickymlatie83134 күн бұрын
Hii ni njaa inatusumbua jamani Aibu sana..
@sophiamalinga187 күн бұрын
Matokeo ya uchafuzi
@mbikamtanganaki6 күн бұрын
Tunajiamin hatufuati mkumbo kwavile mbow mchaga ni sisi wote tumfuate kuna watu ambao hatuburuzwi
@JoyceKabula-in1sh3 күн бұрын
Yamebemendwa hato
@fidelismwakanyamale67877 күн бұрын
Hongereni sana Mama mumejiongeza
@RizwanAbdallah6 күн бұрын
Wampa hongera mama kajiongeza ww ni mzima wa kiakili
@MfiriFulgensi5 күн бұрын
Hovyo majambazi wanaorwkodiwani kosa?
@JoyceKabula-in1sh3 күн бұрын
Hayo makinamama yamebemendwa
@camilomassao89716 күн бұрын
Kudhalilisha gani, au hao wenyewe ndiyo wanajidhalilisha?
@IsmailAlly-u3l5 күн бұрын
Njaa inawasumbua hawa wamama
@PendoMakundi-xv6nh7 күн бұрын
Jamaniiii hata Leo huku Moshi kijiji Cha kileo nimemuona mtendaj wapo na mgambo wanapita na vitabu vyao nyumba Kwa nyumba vijiweni kuuwandikisha watu maajabu hayaaa watu wanasema hawatak kujiandikishaa maana serikal inajua mshindi
@loserian-mj1gj6 күн бұрын
Na ni majasri kwikweli
@zawadimbwambo10916 күн бұрын
Nimeona huku kahe vunjo nimeona muandikishaji anaoita vijiweni kuansikisha. Asasa ni nini maana ya vituo?
@TwalibuKimaro-th5mv6 күн бұрын
Njaa inatesa watu rushwa ni adui wa haki hao wamama ni wajinga kuliko maelezo
@rasnchimbi6 күн бұрын
Ikiwezekana Hizi shahidi zikusanywe,kwaajili ya uthibitisho,zipelekwe mahakamani zikaongezewe kwenye lile shauri lililoko mahakamani,ili sasa uchaguzi uahirishwe hadi hili 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi✍️🏿
@zachayojohn70657 күн бұрын
Hujuma hizi ni kala sehemu ya nchi hii. Hii nayo ndo mbunu ya 2024!
@salama11136 күн бұрын
Hadi wanawake mnatumika😢😢
@allyngoda7617 күн бұрын
Wakina mama wanajiamini sana utawapeleka wapi? Wakati wako chini ya MKWE?
Mwizi hanahaki anaweza kurekodiwa vyovyote vile kwa sababu tayari ni mhalifu ,hawezi kupewa heshima tena .huwezi KUTETEA mwizi na CCM wanafedha na watu wengi wa TZ ,ni masikini wakipewa elufu 20 wanatoa kura kwa yoyote bila kujali ni jambazi au ni mwizi. Ilimradi mama apate ugali wake wa siku
@benardkinde84966 күн бұрын
Unamuachaje mtu kama huyu anafanya jinai wanainchi zuieni uhalifu kwa kuwakamata watu kama hao
@camilomassao89716 күн бұрын
Mbege tamu 🤣🤣🤣🤣
@MusaOgwoko7 күн бұрын
Kumbe hata wachaga ni ovyio chawa
@EliaMunuo-u7o7 күн бұрын
Machawa wa Chadema mnajisumbua bure
@bcozhenry26986 күн бұрын
Zezeta kwani atajua hasara ya wanawake hao?
@allyngoda7617 күн бұрын
Acha Wama waitetee CCM angalia walivyo nona
@markoshem-ij6cf6 күн бұрын
Hawo wajinga
@ElieshPoul6 күн бұрын
sikutegemea kuna akina mama wajinga kiasi hiki Kili...hawafikirii vizazi vyao wataishia wapi