Shetan ashindwe kwa jina la Yesu christo. Kwa wasioelewa hawajui maana yake! Nasi tunaifunika kwa damu ya Yesu kristo ili kubatilisha umiliki wa shetani kwenye chombo hicho Amen!
@festokemibala58322 ай бұрын
@@AbelnegoPhilimon Yaani tunajitoa ufahamu badala ya kumwamini Mungu muumba tunaamini miungu wa baali eti watusaidie kuweka ulinzi ktk maeneo reli inamopita!! Tunafunika marneo yote walimopitisha vibweka vyao kwa damu ya Yesu. Adui asipate nafasi na hiyo mikafara yao na ufalme wao wa kuzimu tunaubatilisha kwa jina lipitayo majina yote. Amin
@marwawilliam36482 ай бұрын
Usiichafue bana
@festokemibala58322 ай бұрын
Hii haijakaa vizuri, hakuna uchifu nchi hii hayo ni mapepo mmeyategesha kwenye miundombinu yetu. Yashindwe kwa jina la Yesu
@amanijampion30452 ай бұрын
Yesu mwenyewe ni chifu
@aryanamendes87002 ай бұрын
😂😂😂jamani
@MussaJabiri-l5y2 ай бұрын
Chiefs God love
@petermogha70252 ай бұрын
Machief hoyeee nimpenda hiyo
@RubenMtuwaMungu-bz8ee2 ай бұрын
Uchifu ni kuendekeza uchawi tu.
@mosesnyelo13802 ай бұрын
Pole sana
@bongo392 ай бұрын
Kadogosa wawaeleze wahudumu wako wa shirika la reli wawe na tabasamu wanapotoa huduma wanakuwa wamekaza sura zao mpaka unaogopa hata kuomba maji wasituchafulie sgr yetu na jengine ni usafi kila baada ya mda fulani muwe munafanya famigation katika mabehewa yote kuepukana na kungunu ,chawa,mende,nge mijusi na kadhalika
@RichWise6712 ай бұрын
Uchawi machifu kwenda kwa Mungu ahaa!😂😂😂
@SalminTenga-fx6wi2 ай бұрын
So machfu wamekuja kwa LP hapo au wamesaidia nn mbona Kama mh
@mazaramatucha2 ай бұрын
Bado kuna uchifu na hatuambiani?
@yustomwaisomania25872 ай бұрын
Hii nchi basi an mpaka Machifu n Machawa😂😂😂
@neemayassin65092 ай бұрын
Kwenye kukata tiketi online ukishaingia kwenye malipo ya serikali kumbukumbu no ni ipi toeni maelezo vzuri
@haroungwiyamabuzohera-jk3vl2 ай бұрын
Hivi kweli kusafisha mabehewa ya SGR YANAHALIMU MILONI 4.8 KILA SIKU? HUU SIO UPIGAJI?
@wilhardtarimo3862 ай бұрын
😂😂😂hapo kwa lift
@Ranaimuye2 ай бұрын
Muhimu zaidi si trend kufika Dodoma bali shughuli gani zinaendelea pembezoni mwa hii reli. Hizi shughuli ndizo zitafanikisha ujenzi wake. Kamwe reli yenyewe hailpi. Reli ni kama msingi wa jengo. Shughuli ndani ya jengo ndizo zinazo lipa gharama ya ujenzi wa jengo. TUPO?
@selemankishema57802 ай бұрын
Machifu wa nini?
@MgasaEmanoeli2 ай бұрын
Machifu hawana maana kabsa
@MossesMshubi2 ай бұрын
Nikitu kizuri ila mngekabidhi muwekezaji kama mkorea Kwa wabngo zitakua kama mwendo kasi
@ikulunimahalipatakatifu76422 ай бұрын
UTALIIII WA KUTOSHA
@denisipaulo77852 ай бұрын
Yani waganga wanatangulia kusafisha njia kabula ya wachungaji na mashe.nchi imekwisha
@adamseleman58362 ай бұрын
haija kaa vzr hiyo mungeita hata watumishi na mashehe ndio ingekaa sw maana hao ni hawaabudigi miungu
@elinamilyatuu73372 ай бұрын
Walishapanda
@ilynpayne74912 ай бұрын
Walisha pewa zam yao
@oscarfilimbi32822 ай бұрын
Kuwa karibu na vyombo vya habari,siyo kila kitu kuponda tu,viongozi wa madhehebu ya dini ndiyo walikuwa wa jwanza kabisa,kizazi cha elfu mbili mbili huku hamuwezi kujua watu hao ni akina nani,ni viongozi wa kimila ambao walikuwa na nguvu kubwa sana ktk kuongoza Jamii zao,maagizo yao yalipokelewa kwa uzito wake na kuzingatiwa,so kwa hili sioni tatizo ktk kuwashirikisha.
@Kabwela7762 ай бұрын
Jamani mbona mkuniambia chifu kabwela suti viraka na mimi nije uko au mnataka kunipindua madaraka yangu 😢
@tanzcanmediatv44732 ай бұрын
Hixo lift wafundishen 😅😅😅😅😅😅
@edwinalexander11702 ай бұрын
Hao machifu wanasaidiaje kulinda Miundo mbinu ya Reli?
@zubeiramlanzi24802 ай бұрын
Magenge ndo ilikua sawa sio machifu
@aryanamendes87002 ай бұрын
Nimepita kwa comenti watanzania tufunguliwe ubongo maana wengi wetu wanadharau asili ya haapa kwetu na kuabudu asili isojjulikana
@SmilingApron-zw6ne2 ай бұрын
JAMANI NAOMBA MNISAIDIE KUELEWA, MACHIFU NI AKINA NANI? NI WAFALME WA MIKOA LAMA MKWAWA WA IRINGA NA MAZENGO WA DODOMA? AU NI WAGANGA WA KIENYEJI AU NI WALINZI LAMA MGAMBO? AU?
@billysisty28712 ай бұрын
First one😅🙌🏽
@princekagame82032 ай бұрын
Acheni upumbavu tren hii kama ilivyokuwa mwendokasi itakuja kufa tafuteni muwekezaji ninyi hamna kitu uwezi kama serekali kuongoza chchte na c ninyi 2 ni zote Dunia binafisishan kwakwel nasktika sana ,😢😢😢😢
@mathiasrobert90252 ай бұрын
Acha akili mgando, lini wao watajenga uwezo wa kusimamia wasipojifunza sasa hivi! Hadi lini tuendelee kuwa tegemezi kwa wengine! Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe, na siyo watu wa nje, wao wakija maslahi yao ni mbele! Tuache ufinyu wa fikra
@RoseMichael-oz7cy2 ай бұрын
@@mathiasrobert9025 na ww fungua akil yko bas mwekezaji c lazma atoke ulaya bro hta hapa bongo kuna mazimba kibao wanaweza simamia hyo shoo
@princekagame82032 ай бұрын
Nenda ufaransa nenda kokote akuna kitu kama icho serekal ni shamba la bibi