Hadithi ya kijana Juma aliyeuawa kwa shutuma za kuiba kuku | GG Podcast

  Рет қаралды 2,767

Gumzo la Ghassani

Gumzo la Ghassani

Жыл бұрын

Kijana Juma Abdulrahman Mohammed aliuawa na watu waitwao wenye hasira kwa tuhuma za wizi wa kuku watatu kisiwani Pemba. Akiwa na miaka isiyotimia 30, ndivyo hadithi yake ya maisha ilivyomalizwa.

Пікірлер: 36
@a.856
@a.856 Жыл бұрын
Mtihan Allah amlaze pema marehem
@nailamohd-wn6sb
@nailamohd-wn6sb Жыл бұрын
Ah siku hizi nyumbani ikifika siku 3 tuu km hujasikia tukio baya basi ushkur wallah stress tupu kumebadilika khasaa.
@kassimomar7589
@kassimomar7589 Жыл бұрын
Subuhallah roho mbaya tu una muuwa mtu kwa buku
@maryamhamoud9767
@maryamhamoud9767 Жыл бұрын
Yote hayo yanajitokeza kwasababu nchi yetu haina hukumu ya kiislaam , na pia umezungumza maneno sahihi hayo ya mwisho sheikh Mohammed Ghassan
@innocentman5954
@innocentman5954 Жыл бұрын
Asalam alaykum shkh Mohammed, huyu kijana wa pili alie chomwa kisu uliemuonesha pcha yke ni ndg yana anaitwa Ahmed Suleiman. Kama ulivyosema pungufu ya pesa ya dafu ndio ilio mtoa roho yke. Kwahakika ni kitu ambcho kinanipa unyonge sana😭😭😭
@GumzolaGhassani
@GumzolaGhassani Жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhir raajiun. Pole sana ndugu yangu. Allah amrahamu ndugu yetu.
@SuleimanAli-hz4yk
@SuleimanAli-hz4yk Жыл бұрын
Huyo kija ni mwizi sana sana alikua tena anaingia hadi majumbani kuvua watu nguo
@abbiecox1
@abbiecox1 2 ай бұрын
amepata anachostahili ingawa si jambo zuri
@SuleimanAli-hz4yk
@SuleimanAli-hz4yk Жыл бұрын
Anaiba mbuzi,ngombe,kuku,hadi anaingia katika majumba ya watu
@SuleimanAli-hz4yk
@SuleimanAli-hz4yk Жыл бұрын
Unsema tu
@SuleimanAli-hz4yk
@SuleimanAli-hz4yk Жыл бұрын
Weee muandishi na msimulizi
@hamadmaliki0029
@hamadmaliki0029 Жыл бұрын
Imani imetutoka, yaani unamuua mtu kwa kuku tu, je iyo ndo humu yake?
@dkakram2562
@dkakram2562 Жыл бұрын
Kaka ulichokisema ktk shairi sisi wazanzibari tumekuelewi na izo ndo athari zake na tusiojielewa bs hii ndo hatma yetu
@SuleimanAli-hz4yk
@SuleimanAli-hz4yk Жыл бұрын
Halafu naona wewe muandishi pia mnafiki tu
@mohammedkhkombo4439
@mohammedkhkombo4439 Жыл бұрын
Asalam alaikum, VP upo nchi Gani Bro nahitaji vitabu me nipo Germany
@GumzolaGhassani
@GumzolaGhassani Жыл бұрын
Alaykum salaam warahmatullah. Nipo Ujerumani nami akhuy. Unataka vitabu gani? Niandikie kwa kghassany@gmail.com.
@hilalal-busaidi4007
@hilalal-busaidi4007 Жыл бұрын
HAYA YOTE WAMEJIFUNZA UPANDE WA PILI AWALI YALIKUA HAYAPO HAYA
@SuleimanAli-hz4yk
@SuleimanAli-hz4yk Жыл бұрын
Tatizo pia polic wana sababisha huyo juma kapelekwa police zaidi ya mara 100 hawaja mpelekapo mahakamani
@abbiecox1
@abbiecox1 2 ай бұрын
akipatikana mwingine mpe zawadi ikibidi mpe mwanao aowe maana atakuwa mwkeo huyo
@aliriasi1359
@aliriasi1359 Жыл бұрын
Sheha kazungumzia negtive tyuú lakini piaa iwe funzo maana hao wezi vijna ni wababe snaa
@nailamohd-wn6sb
@nailamohd-wn6sb Жыл бұрын
Hayo yoote yanakuja kua nchi haina sheria ipo shaghala baghala tuu raia nao kila siku kuibiwa na hamna chochote kinachochukuliwa, mwisho hujichukulia wao tena mikononi mwao Hata wakimpeleka police wakitoka tuu na mwizi anachiwa haya ndio nn sasa hakuna fain wala kukaa ndani hayo ndio matokeo yke.
@sleemhamoud4394
@sleemhamoud4394 Жыл бұрын
Wangempiga tu sio.kumuua kumbuka kaacha mayatima maskin
@AaAa-vm8bb
@AaAa-vm8bb Жыл бұрын
Watu wamechoka na vijana hawa leo mtu anakuja usiku watu wamelala anavunja mlango anaingia ndani na silaha jee makusudio yake nini? Jee mtu anakuja na silaha kukusudia ubaya mimi nimuachie anidhuru nipate ushahidi ndio sheria? inamaana huyo mwizi anahaki kuiba na kuua? lakini mwenye kuibiwa hana haki kujihami asubiri ushahidi?
@AaAa-vm8bb
@AaAa-vm8bb Жыл бұрын
Pemba peremba ukienda na joho utarudi na kilemba imani bado ikaliko Pemba sio mtu akaibe naende akamuombe mwenye nacho atapewa tu sio akaibe anakwenda kuiba ndizi analisha watoto haramu au anakwenda kuuza jee huyu mwenye kua na ndizi kweli atashindwa kumgaia aende kula na watoto? wanajitakia wenyewe vijana .
@AaAa-vm8bb
@AaAa-vm8bb Жыл бұрын
Hilo ndio linarudisha nyuma na kukata tamaa mimi hivi juzi huko Pemba mtu alichomoa pipe ya chemba na kuondoka nayo baada ya siku 3 akaonekana kijana anaiuza jee huu ni utu gani?
@hilalal-busaidi4007
@hilalal-busaidi4007 Жыл бұрын
Alla àmhfadhi
@HafidhOmar-rs4ty
@HafidhOmar-rs4ty Жыл бұрын
Mohd hyo kijna kachosha mwanye aende2
@sleemhamoud4394
@sleemhamoud4394 Жыл бұрын
​@@HafidhOmar-rs4tymm nahis angepigwa ikisha wanaenda kwa familia yake na kumtahadharisha
@nailamohd-wn6sb
@nailamohd-wn6sb Жыл бұрын
@@sleemhamoud4394 ww huajui wizi naona si km tunaunga mkono laa ila wizi wanakera wanaumiza na wanarejesha nyuma utakwenda kwa wazee utashtaki mpk huendi tena unawaonea huruma wazee wake kubwa dua tuu mana haachi wizi kubwa kumtia khasara mzee wake.
@collinsoconnor5843
@collinsoconnor5843 Жыл бұрын
Apunguze wizi wa kuku, ama tutanyonga yeye. Ingekua Oman ama Saudi, shingo ingekatwa na upanga, kichwa kianguke chini kando ya mwili.
@omarkapula588
@omarkapula588 Жыл бұрын
Muongo hakatwi kichwa kisa kuiba kuku lete ushahidi
@omarkapula588
@omarkapula588 Жыл бұрын
Mbona sielewi kutoka kwenye mauji ya kuku kwebda kwenda kwenye siasa mantiki yake nini
@collinsoconnor5843
@collinsoconnor5843 Жыл бұрын
@@omarkapula588 Ushahidi uko humo matakoni mwako.
@SuleimanAli-hz4yk
@SuleimanAli-hz4yk Жыл бұрын
SHEHA YUPO SAHIHI YEYE MWENYEWE KESHA CHOSHWA NA KAPIGWA NA WANANCHI WA VIJIJI VITATU WATU ZAIDI YA 400
@SuleimanAli-hz4yk
@SuleimanAli-hz4yk Жыл бұрын
Huyo JUMA ABRAHAMAN ni mwizi mkubwa alikua anaibia watu hadi anaingia majumbani kwa watu usiku
@SuleimanAli-hz4yk
@SuleimanAli-hz4yk Жыл бұрын
Nimwizi huyo alikua kesha shindikana
Je, Wairaqw wa Tanzania wana asili ya Kiarabu? | GUMZO NA WALIMU WETU
13:49
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 27 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,1 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 12 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 10 МЛН
Ida Hadjiyavanis adhamiria kuzirejesha kazi za Gurnah  nyumbani
15:32
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 972
MAHOJIANO YA ASKOFU GWAJIMA NA TBC KUHUSU TUHUMA ZA MAKONDA
17:56
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 131 М.
WAZANZIBARI WAKIONESHA HISIA ZAO -KONGAMANO KIDUTANI 4
36:20
Bin Seif
Рет қаралды 23 М.
Historia ya  Kumbukumbu za  Mapinduzi ya Zanzibar
10:24
Iddi Mtumweni
Рет қаралды 300
Bi Mariam Hamdani, kichwa kilichojaaliwa mengi | GUMZO NA WALIMU
1:13:35
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 4,3 М.
JUA TAREHE YAKO YA KUZALIWA NA MAANA YAKE
25:31
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 3,5 М.
Kujikolonisha na Hatari za Wakati Tuliomo
21:57
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 315
Translating Home. Kuitafsiri Nyumbani
39:01
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 354
Этот парень написал картину... 😎
0:29
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 6 МЛН
Откуда эти паучки??? @zackdfilms - автор анимации.
0:29
Время знаний
Рет қаралды 3,6 МЛН
НИЧЕГО СЛОЖНОГО
0:21
KINO KAIF
Рет қаралды 3 МЛН
Как мама ухаживает за мной VS гостями
0:50
Время горячей озвучки
Рет қаралды 3,1 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
0:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 20 МЛН