Continue declaring the word of god in order to continue maintaining peace in Tanzania land
@AbediKaniki-vm1vn3 ай бұрын
Amina mtumishi wewe ninabii sio waziiri au mtumishi wa seikali upo sahihi kusema hayo hazarni
@alexmachare64953 ай бұрын
Continue
@HAAM6703 ай бұрын
Amos 3:7. Yoeli 2:28.
@user-wi8og3sv4j3 ай бұрын
Hata kama ujumbe niwaaibu Mungu akisema niwahadhara lazima uwe wa hadara
@janengaga29283 ай бұрын
Hii sababu ni nini kukosa makao maalum hasa kwa raia akiangalia ni mtumish wa MUNGU vizur tu.
@levissanga88673 ай бұрын
Toa ujumbe bila hofu ya mtu kupokea au la.
@mwakilamwaki1718Ай бұрын
Acheni kuongeea kwa mafumbo kama mnatumws na MUNGU semeni ukweli
@yohanamwakanyelenge37863 ай бұрын
Pole pole japo kuna ukweli kidogo!
@AnthonySilayo3 ай бұрын
Ooh
@valenakomba76863 ай бұрын
KWA HIYO WEWE UNAONGEA NA MUNGU MAMBO YA SIASA TUU. NDIYO KITENGO CHAKO ULICHOPEWA NA BWANA?😮
@frankjohn870615 сағат бұрын
Uongo
@baghabaghaingwengwe17503 ай бұрын
Huwezi kuwafikia kwa upesi hao uliopewa jumbe zao, endelea kutoa ushuhuda badala kufanya siri
@simboninsiandosi81353 ай бұрын
Kama kaambiw aseme wa nini anyamaze? Mtumishi sema kama uliyogizwa usiche neno tupone
@isayatippe64093 ай бұрын
Najua kitu kimoja! Rais hapangwi na kutangazwa na nabii ye yote hilo ni jambo la KIKATIBA. Jukumu letu ni Kumwomba Mungu awaongoze wapiga kura kumpata yule ambaye ni chaguo lake. Mungu ndiye awawekaye Viongozi, hata Askofu Gwajima anajua hilo. Ewe nabii, acha kuwachonganisha Watanzania, Watanzania waongozwe na Mungu kupitia katiba yao! Hata Madhehebu ya dini hatupangiwi Viongozi na nabii bali tuna katiba zetu na Mungu hutupatia Viongozi kupitia utaratibu huo wa katiba na si vinginevyo!!!
@severinkinunda52693 ай бұрын
Samia ni raisi 2025 sio Gwajima
@tumainjoseph71893 ай бұрын
Nashindwa kukuelewa sasa gwajima badala ya kuwa rais atakuwa makamu wa rais sasa una simama wap
@Leeeeeeee-963 ай бұрын
mungu akulinde mtumishi
@BeniJohn-xd3cn3 ай бұрын
Una leta uchochezi
@user-wi8og3sv4j3 ай бұрын
Kama ni kwani kakwambia uende siri?
@1961nungwi3 ай бұрын
Watu wanaingia na kutoka tangu Uhuru! Hakuna laana Wala Nini. Waziri Mkuu Uingereza anabadilika Kila wakati: wamelaaniwa??!
@allyomary22713 ай бұрын
Fungua code basi tujue
@BeniJohn-xd3cn3 ай бұрын
Una abari Magufuli alipita wapi
@user-qy4gb1kn4z17 күн бұрын
nakushauri sasa kwa muda uliotowa unabii kuhusu rais ajae tumekwelewa sasa twelesee mambo ya dini achana na mambo ya siasa wana siasa hawakubari ukweli wao wanajali matumbo yao watakuja wakuletee mizongwe sisi tuliowengi tunasubili unabii wenu utakapotimia kuna watu hawakubali kuna manabii wanoona mambo ya miaka ya mbele sanaaaa mimi ya 1958 nikiwa kijana.wa miaka 12 alikwepo mzee moja alikwa anapanda mlimani asubuhi na kutoa unabii watu walikwa wanamtukana kwamba chizi lakini leo hii tunaishii kwa yale mambo aliokwa anayasema mambo nikisikia mwenyewe ni haya 1 kuna ugonjwa utakuja usio na dawa =sasa ukimwi 2 kutokuolewa wanawake na ndoa hastadumu 3watawara wa Afrika hawatasaidia Afrika watasaidia kutorosha mali za Afrika kwenda ulaya 4 wakoloni waliotutawala wataludi kututawala kwa njia nyingine tutawakaripisha sisi wenyewe waje kutuipia kijanja =wekezaji tabili hizi za 1958 mpaka leo ni 67 tunaishi nazo
@augustabisetsa50073 ай бұрын
J
@user-mn7zq7cd5t3 ай бұрын
Hapo tu pa Mama anaenda kuanguka muda wowote, naona na yeye ameona akahisi akitumia njia ya kanisani atakuwa salama.
@festinamwakipale391914 сағат бұрын
Mama unasema ataanguka nani atakuwa mama samia aliwekezwa na magu shujaa mama samia atachaguliwa tumuenzi magufuli shujaa wanafrica mama atapita tena kwa.kishindo mm nashangaa ma samia amewakosea nn mnaomchukia mbona.ameongoza vizuri kwan mnachukiachukia maraisi
@user-wi8og3sv4j3 ай бұрын
Mungu anahekima kuliko wote ingestaili siri Mungu angeagiza siri
@elibarikimollel71493 ай бұрын
Hivi kweli unaamuaje kutuma mjumbe apeleke sadaka na kuitangaza?! Kwani ni harambee au zaka! Kama ni yatima,wajane,ama makanisa machanga yanayosali kwenye vibanda pia mtu humtolea Mungu kimya kimya,na wenye uwezo pia humtolea Mungu kimya kimya, iweje basi mjumbe aseme nimetumwa nilete sadaka?! Harambee sawa...
@user-uq7kk4dw2o3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂heeeeeh ulisema gwajima atajuwa Rais,sasa Mungu mmegeuka tena???
@hudumayakristo3 ай бұрын
Sikiliza vizuri...utaelewa kilichosemwa
@benignajosephwatendewao20653 ай бұрын
Kweli...watu hawasikilizi vizuri...
@telesphorymajumbi3 ай бұрын
Ni sawa kwako unaye yasema.. Nabii huyo atakaposema uongo apigwe mawe afe. Nisingependa owe hi yo kwako bali na iwe baraka. Mimi ninakushukuru ktk hayo yote. Usitamke neno baya kwa MKUU wako ni sawa kama umemtukana kwake yeye. Paulo lisema sikujuwa ndugu zangu imeandikwa, usimtukane MKUU wa wakuu wako... Matendo 23:1-5.na iwe kama ulivyo nena isipo kuwa hivyo..!! ni hatari kwako duniani na mbinguni.
@telesphorymajumbi3 ай бұрын
Hayo yawezakana kabisa. Sasa kama sadaka inatolewa kwa Siri, ungefanya hivyo kwa raisi wako. Ungemuomba Mungu akupe nafasi ya kumuona yeye hashindwi. Yote ni mwema, Ubarikiwe.
@1961nungwi3 ай бұрын
Hakuna UDINI Tanzania. WanaNchi hatutaki!!
@KokoloLambinguni3 ай бұрын
We usisemee watanzania jisemee mwenyewe acha upambe kaa na ujinga wako na uelewa wako mdogo
@rweumbizalugaimukamu49053 ай бұрын
Upo vizuri sana kutasfiri ndoto
@melkizedekwiliam-hi7bz3 ай бұрын
Rafiki unatudanganya
@melkizedekwiliam-hi7bz3 ай бұрын
@@benignajosephwatendewao2065 umesoma vema kichwa cha habar? Kwanin kichwa cha habar ipishane na maelezo?
@user-fm3ew9tu9yАй бұрын
Tim Gwajima
@nyembobea72853 ай бұрын
Hivi nyinyi kazi yenu ni hii au wewe ni mtu wa kundi la siri umetumwa kutuletea propaganda ili mje mfanye uharibifu na kwanini kila siku mtabiri ni wewe
@KokoloLambinguni3 ай бұрын
Utoe ukipofu wako kama auko vizuri na MUNGU jua uo ujumbe autaupata kaa kimya
@CharlesMunge-di9em3 ай бұрын
Continue declaring the word of god in order to continue maintaining peace in Tanzania land
@user-qg1iy5ov3u3 ай бұрын
Kwanini mpaka Leo waliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya Arusha madai yao mpaka Leo yamechelewa kutoka?
@KokoloLambinguni3 ай бұрын
Acha utoto kwani mambo ya hotel yanaingilianaje na unabii kama auna la kuchangia nyamaza