Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Пікірлер: 210
@josephatmbilinyi89473 сағат бұрын
ingekuwa vile kwa watekaji ,Ingependeza
@twalibulomy-cd4zd2 сағат бұрын
Mheshimiwa Mboro ndogo na waizi wenzake wanajua walipo watekwaji.
@RamaMbwambo-ru8ymСағат бұрын
SAFI SANA..TUNAWAAMINI SANA WATULINDIE AMANI.. TANZANIA NI NCHI YENYE AMANI..ANAYEJARIBU KUHARIBU AMANI LAZIMA AZINGULIWE AKAE SAWA...MAANDAMANO HAYAJAWAHI KULETA TIJA DUNIAN...
@GoodTeck903 сағат бұрын
Maandamano yapo pale pale
@mr.yahzadochuno79143 сағат бұрын
Hakuna haki tanzania maandamano ni haki ya kila mtu
@starspreandprimaryschools30753 сағат бұрын
Mungu ataingilia kati siku si nyingi
@munikojulius66672 сағат бұрын
Hao ni wakawaida tu!
@salehmussa93713 сағат бұрын
Mmeshiba ugali nyinyi,acheni utumwa,haowakoloni mnaowatumikia washaambiwa wazi wajishuhulishe nashidazao sasa ngieni barabarani muijue tofauti ya Kenya na Tz. Watumwa wakisasa nyinyi.
@SabihaibrahimRajabu4 сағат бұрын
Hawajiamini serekali ya wizi
@nourannouuran35144 сағат бұрын
ALLAH ILINDE AMANI YA TANZANIA
@alimomade2712Сағат бұрын
Amin,lakini kumbuka Dunia yote aina amani
@PendoPetro-jl1zx4 сағат бұрын
Upuuzi tuu nchi imekuwa ovyo sana
@saidtembele30702 сағат бұрын
Hama
@ShukuruMsuwakollo52 минут бұрын
Safi sana. Hatutaki vurugu kabisa .
@MtanganyikaTanganyika29 минут бұрын
Kweli mungu anawaona
@williamfrancis872423 минут бұрын
Nanianafanya vurugu
@AnthonyChaula-d8l3 сағат бұрын
Kuzuia maandamo hapo mnaweza but kutafuta watu wasiojulikana ni ZEROOOOOOOO sisi tunataka akina soka na wenziwe wapatikane na walimuuwa mzee Kibao
@SuolFat3 сағат бұрын
Chadema vs polisi
@verdianabanabi22053 сағат бұрын
Kuna watu wanakosa dawa na wengine njaa inataka kuwaua wao wanaaribu mafuta sisi wanyonge tulipe kodi kisa eti maandamano. Ila mungu akijibu yetu macho.
@rajabukipara30083 сағат бұрын
Kodi Unauza nin Mku.du
@lucaschisamalo28523 сағат бұрын
Mama alipita kwa katiba Leo hii anaikanyaga katiba mungu atamlipa hapa hapa duniani tutaandamana njoni mtuuwe
@Zuwenamachela3 сағат бұрын
We chizi kufa unakujua Lkn kajiue mbwawee
@Zuwenamachela3 сағат бұрын
Andamana na bibi yko mamako mkeo nawatoto wako
@emmanuelfari89243 сағат бұрын
Heshima na utu ni bora👍 Matusi nq matukano ni tatizo na udhaifu hakika +MUNGU+ atusaidie 😢
@MirajiMbolile3 сағат бұрын
Kwani wewe sio maremu ajae ? @@Zuwenamachela
@aediayumgo85463 сағат бұрын
Aache kumlipa baba Na mbowe kiazi matosani 🌈
@ommyshopangi95433 сағат бұрын
Walivyosambaa hivyo wangesambaa kuwasaka wanaotuulia ndugu zetu na kuharibu amani ya Taifa hili....tungekuwa tumepiga hatua sana!!!!
@saidtembele30702 сағат бұрын
Ndiyo mnawataja sasa mkiulizwa mnawaficha na mnaishi nao mitaani 😂😂😂
@GodfreyTarimo-je4xo2 сағат бұрын
Tutaandm bila uog
@danielkanso2 сағат бұрын
Nguvu hiyo hiyo kubwa inayotumika kuzuia haliya amani basi washughulike na washughulike kuwarejesha watu waliotekwa na waliopotezwa
@christinenyagiro66622 сағат бұрын
Au kibibi kilimumaliza Magufuli jwa ahadi ya kufanya kazi fulani majibu niliyoyasikia skijibu wabalozi utajua na unaweza hata kupina ufahamu wa mtu ukisoma kwa kuokotaokota ndiyo hayo matokeo ya kisomo nusu.
@veronicmkenda99393 сағат бұрын
Ila chadema wanawatesa sana 😂😂 sijui what secrets hidden behind
@AnnoyedDove-oo3kk4 сағат бұрын
Wanazunguka wamejaa kwenye gari moja mkipigwa bomu😂😂 thenx God
@abubakarimussa91313 сағат бұрын
Wata jua tu wanajisumbua tu hao pt
@batwelimahenge78503 сағат бұрын
Aaaaa jamani chadema kweli nichama kikuu Polis Jiji Zima wanazunguka na magali Poaho wata pewa Magali wamejaziwa mafita Nishilingi ngapi zinazo tumika Tunawagonjwa hawana madawa lakini mumgu anaona
@aediayumgo85463 сағат бұрын
Chama kikuu unacheza wewe Hao wanataka kutoa watu roho jipendekeze uone kawaulize Cuf😅
@ShamteMohmed-ed2kk2 сағат бұрын
Eti chama kikuu, peleka kwato zako ukaone Cha moto.
@exaverysimon10644 сағат бұрын
KAMA MLIFIKIR TANZANIA N SAWA NA KENYA KITAWALAMBA
@Gamba1773 сағат бұрын
Ipo siku mtafirwa ccm wote kumamazenu wasenge wakubwa.
@abuumuhammad71332 сағат бұрын
Wacha wanyooshwe hao wajinga
@BahatiIsangu22 минут бұрын
Askari wa Tanzania kazi yao kupambana na maandamano ya vyama pinzani tu ndo kazi yao
@MtazameKristoTv4 минут бұрын
Hao Askari watusaidie kudhibiti watu wasiojulikana achana na hao wanaojulikana wakifanya fujo kwenye maandamano watakamatwa maana wanaojulikana
@neemanziku54034 сағат бұрын
Yan nyie serikali ni hatar sana kumzuia mtu kusema ivi mnafikir ni nn kitaendea watu wanapokaa na kinyongo moyoni? Kwan mme ambiwa chadema watafanya fujo?iv hii serikali vp?
@AnociathaChuwa-cb5nk2 сағат бұрын
EE MUNGU TUONDOLEE WATAWALA WABAYA WANAOTAKA KUONEA KUKANDAMIZA NA KUTUMIA MABAVU mnaweka askari kuzu8a maandamano Mtawaweka pia kwenye mioyo ya watu kuwazuia wasi8chukie serikali au kutokuwa na imani nayo!!!!!!!!!!!! Keweli kukosa busara ni tatizo kubwa EE MUNGU TUONDOLEE WATAWALA WABAYA!!!
@festohaule97163 сағат бұрын
Ghalama ni kubwa sana hiyo... Chadema ikiitishia maandamano kwa siku 30 polisi wanakuwa wanakaa kira siku Barabarani!!! Polisi ni kazi ya laana !!!!!!
@SmilingCityMap-xb9md2 сағат бұрын
Maadamu mmeuwa watoto wetu tutaandamana msiojulikana andaeni vijiko na vikombe kunywa damu zetu maana huu msiba hauvumiliki hatutafanya fujo tutaenda na balabala huku tukililia damu ya vijana wetu
@MeryLyatuu-to9ks2 сағат бұрын
Polisi inatakiwa kulinda maandamano ndio kazi yao sio kipiga watu na wao si wanafamilia zao. Humo kwenye mandamano walinde raia kwa upendo Mungu awaepushe na roho.mbaya
@matanokitwana32492 сағат бұрын
Mmekosa Sera za kuwaambia wananchi ktk uchaguzi ujao mnatafut Kiki kupitia polisi ,tunataka mtuambie nyinyi cdm wapi mmefikia na wapi muelekeo wa Chama na tunataka uchaguzi wa mwenyeti mpya sio WWE ghadafi
@marthadominick22122 сағат бұрын
Hao vijana waliowateka wanashindwa nn kuwarudisha wakiwa hai au wafu au majivu tatizo lipo tena kubwa sana
@AlexEzekielMwaseba57 минут бұрын
Nataka kujua nini maana yamaanadamo lakini walio madalakani waonaje maandamano iwe sehemu ya wao kubaki madalkani wanaogopa nini please walusu tu ili wao wajue wapi wankosea na wapi wantaka kutupeleka watanzania naipenda nchi yangu forever sina ninapo pajua Zaid yaTz tangu kuliwa kwangu
@lucymtui86803 сағат бұрын
Wamuulize waziri mkuu wa Bangladesh
@joojombi23414 сағат бұрын
Maandazi wahed
@yohanakateko3 сағат бұрын
Polisi bhana
@verdianabanabi22054 сағат бұрын
Ni ujinga tu.
@fanuelnary45792 сағат бұрын
Uzuri hata Jeshi la police wanafurahia kupata hata allowance
@edgarjoseph55733 сағат бұрын
Uwoga wetu ndio siraha yao mbwa hawa
@josephjohn21142 сағат бұрын
Wametanda jiji zima lakini mpaka leo wameshindwa kuwakamata watekaji na pia wameshindwa kuwapata waliotekwa.
@selemankishema57803 сағат бұрын
Serikali mnatia aibu hawa mbona wachache saana, hawa mgambo tu wanawatosha
@rajabukipara30083 сағат бұрын
Hakika Mwanang 😂
@Selemlaki1323 сағат бұрын
Kwa Hali hio hakuna cha maandamano hapo Askari wote hao
@NoufelSalim42 минут бұрын
Waache wazunguke hawatushtui,maandamano yapo pale pale
@yohanakateko2 сағат бұрын
Polisi wamefeli kwa mambo mengi
@ZainabuHassani-fe8ur3 сағат бұрын
Kazi iendelee
@francismomo70673 сағат бұрын
Ingekua hivi siku zote...tusingeshuhdia watoto wakitekwa na kuchomolewa Figo,watu kutekwa na kuulizwa.
@OmmyJames-xn7ji3 сағат бұрын
@@francismomo7067MLAUMU PALOKO 😢😢😢😢WAMEMALIZA MAALBINO NA WAGALATIA KIMYA
@francismomo70673 сағат бұрын
@@OmmyJames-xn7ji ipo siku haya yatahamia kwenye familia yako....sjui utasemaje...cdm wanapinga ukatil Kwa ajili ya wote wew unatetea ujinga
@francismomo70672 сағат бұрын
Mfano imeandkwa wapi kua askari polis ana haki ya kumpiga mtuhumiwa,au kumpiga had kufa( wangapi wamefia mikonon mwa askali? Uzalendo ndo kitu Cha msingi)
@jonaskweyamba97472 сағат бұрын
@@OmmyJames-xn7ji Naona akili.hazikutoshi kamwe Paroko ana hisusiana je na mada inayo tangazwa Ukome
Kamwe huwezi kuzia maji katika njia yake ila utaongeza muda tu kabla maji hayajavunja kizingiti, mnaweza kuteka kuuwa hayo yote yanawafanya watu kukizoea kifo na kuwaondolea uwoga, na hatimaye wakati utafika wanyonge mil 60 watavunja kizingiti kwa mikono yao
@kalebphilip34264 сағат бұрын
Hzo hela za doria zngeongeza hata madawat mashulen,aibu aibu
@HamisiSamweli33 минут бұрын
Ata wakizingira maandamano ni lazima askari ni rai kama sisi hatuwaogop
@FrancisThomas-jc8wq2 сағат бұрын
Wewe mwandishi unasemaje vurugu wakati unajua maandamano ni ya amani?
Unaumwa wewe mm nipo dar yanapita kila Kona nimeyaona wanatisha watu tu inchi imekuwa ya hovyo Sana ukisema ukweli unatekwa
@elizabethkisawa34073 сағат бұрын
Kwani Hi o ndiyo demands krasia? Mnatisha wananchi buree? Kwani wakiandamana kunà niji? Hivi watatuondoa kweli wana ccm? Mnawapa kiki tu chadema
@godfreymwikola82323 сағат бұрын
Kama ndo ivo kwann watu wanatekwa maandamano ndo mnayaheshim kuliko wananch wanao tekwa
@christophermbuga962329 минут бұрын
Hivi kuandamana kunabadilisha nini? Ni kujiumbua na kupingwa virungu bila sababu
@hemedjackson226112 минут бұрын
Hali sio ya kawaida wkt ni hali ya kawaida, ww ushaambiw usifny unatk kufny hlf mipakani broo hakuk hv usiipambe story
@joycemlay576255 минут бұрын
Tusije tu tukarud makazini mkatulenga kama aqulina mkatuuwa
@MASHIRAMADHAN6 минут бұрын
Mbona warudia sehemu hiyohiyo tu
@thanksrjhood95083 сағат бұрын
haya magari yenye sura mbaya. tuliyazoea mitaani enzi zileee za Mzee wa Msoga. hakuna jipya hapo
@ewaldambrose6136Сағат бұрын
Hii media nasikia ni ya Kenya
@lovenessvisent940815 минут бұрын
Ila pia nimegundua chadema ina nguvu na ndio chama pinzani nitawaunga mkono
@AlexcpetroCpetro4 сағат бұрын
Wamekosa kazi yakufanya akili awana😂😂😂😂😂 Tanzania akuna amani
@PrinceHendry-hp8vv4 сағат бұрын
Kenya walitoa mpk jeshi lakini walikomaa tuache uoga inatosha sasa
@ShukuruSanga-rq1lt4 сағат бұрын
acha kushabikia maandamano umewai tembea nchi zenye machufuuko achen i amani itawale TANZANIA MM NIPO KONGO NAONA HAPA ACHA KABISA
@NgamelaYussuph4 сағат бұрын
Mwisho wake Ikawwa Nini
@emmanuelmahenge-z7u4 сағат бұрын
Tanzania syo kenya kaka😂😂
@PrinceHendry-hp8vv3 сағат бұрын
@@NgamelaYussuph kwan hujui
@PrinceHendry-hp8vv3 сағат бұрын
@@ShukuruSanga-rq1lt pumbavu amani ni watu kutekwa hadharani na kuuwawa kwako ndo amani hamna uchungu nyie na maisha ya watu au ni vile hayajakukuta ww au mtu wa familia yako
@HajiKlein-so1rk4 сағат бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🫡🫡👏
@simonetz70362 сағат бұрын
Kwani maandamano yanashida yoyote
@ElishaMwakajila3 сағат бұрын
Uchawa.wenu.police.ukomwisho
@Alexanderlyimo3 сағат бұрын
Waache wajazane dar. Maandamano ni dodoma
@LindaMbilinyi-n3n2 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@LindaMbilinyi-n3n2 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@LeahLyimo-h1d53 минут бұрын
😂😂😂😂😂
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur3 сағат бұрын
gun boot mode iyo ya kuogopesha watu
@lovenessvisent940816 минут бұрын
Nani kafanya fujo? Sasa kama askr wanataka kuona hasira za watu ambao hatuna kazi bishana na sisi tuko wengi kinyamwezi
@bulayaconfidential7212Сағат бұрын
tutaandamana wala hatuogopi..
@JumaMkiji2 сағат бұрын
Mlikua mnashangaa unguja sasa yapo kwetu
@shivobs44852 сағат бұрын
Watakua wanawatafuta watekaji
@GabrielSky643 сағат бұрын
Duuh kwani Kuna vita.watu kudai haki zao wanashikiwa mitutu😂
@abednego38762 сағат бұрын
Hao chadema wakitoka 10000 tu wanatosha, tatizo watatoka 30. 😂
Wanafanya mazoezi kwaajili ya tarehe 23😂 Sasa hivi mbezi ukishuka unatakiwa uoneshe barua ya mjumbe wa kijiji ulichotoka unakuja dar kufanya nini, kwenda dar uwe na kibali 😂
@sabinambwei6368Сағат бұрын
Matisho
@JenniferTemba-t9iМинут бұрын
Uku mbeya Nako nimeona ni atar
@abdulkarimabdallah95363 сағат бұрын
Askar wote melaaniwa nyie Waiwaji wakubwa wa samia nyie
@sabasmichael75533 сағат бұрын
Rais na vijakaz wake hawajiamin ndio tatizo mngetulinda hiv c ata ukiacha cm njian uengeikuta? Pumbafu zao viongoz
@selemanimasatu24213 сағат бұрын
😂😂😂😂😂 acha tu nicheke maana ukute chadema nao huko waliko wanacheka tu.
@christinenyagiro66623 сағат бұрын
Waotekwa hawatafutwi kwa sababu wanawajuwa? Mbona wanataharuki hivi. Mama yao anasema tuzoee midiba hivi raisi unawza kuongea hivyo kwahiyo mwanaye akifa atasema nimezoea
@YekoniaKusiluka-jt2ju3 сағат бұрын
Mwandishi acha uhuni Nani kakwambia niyavurugu?
@StephanoMwanjemba54 минут бұрын
Wajipange tunakuja
@storytownTv46 минут бұрын
Wengine tunaanza usiku .😅
@lilhydon4523 сағат бұрын
😂😂😂eti huwezi amini kuna watu wanatekwa na kuuwawa?