Sasa daraja hilo la3 ni kusimama au kuchuchumaa maana hapo sijaelewa kwa sababu daraja la2 kukaa, na la kwanza kulala mbona hamjafafanua Kuhusu daraja la3?......
@athumaniamiri880 Жыл бұрын
😀😀😀unavituko wewe unachuchumaa mpaka mwanza utafika taaban
@machaggechacha3422 Жыл бұрын
Vilaza hao wa reli. Wanawachanganya watu. Ufafanuzi mbaya. Hauweleweki. Hii ndio Tz ya leo inayoongozwa na mazwazwa waliochanganyikiwa.