"Nisisikie mfanyabiashara analalamika" JAFO atumwa kazi maalumu KARIAKOO Rais SAMIA ampa somo

  Рет қаралды 18,062

Habari Digital

Habari Digital

25 күн бұрын

Пікірлер: 32
@aminaomary5567
@aminaomary5567 23 күн бұрын
Mama ujakosea hilo jembeeeeee Kariakooooooooo❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 21 күн бұрын
Mitano tena mama. I love mama❤❤
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 күн бұрын
Allah akujaalie kila la kheri na shari akuepushie
@khatibjuma9455
@khatibjuma9455 15 күн бұрын
Asante mama endelea kuwapa kazi vijana wafanya kazi
@wizydeko1496
@wizydeko1496 23 күн бұрын
Safi saana
@user-mt3jc6no5w
@user-mt3jc6no5w 17 күн бұрын
Mama tuko pamoja nawe mi5 tena❤❤❤❤❤❤
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 күн бұрын
Oooh allsh jaalia amani nci zote
@user-vp1zu3fb5w
@user-vp1zu3fb5w 23 күн бұрын
DU! KUMBE MWANAUME NI MWANAUME TU NA MWANAMKE NI MWANAMKE TU 😂
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 21 күн бұрын
Hata katika vitabu vya mungu imeandikwa
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 21 күн бұрын
Mama kaz ya kuongoza nchi huiwez achia ngaz hii nchi inahtaj watu wenye maamuz magum
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 18 күн бұрын
Kabisa samia must Go...!!
@user-mt3jc6no5w
@user-mt3jc6no5w 17 күн бұрын
Samia must remain for more 5yrs
@petersilas4234
@petersilas4234 23 күн бұрын
Be careful there is a catch there, Kariakoo na wamachinga ni siasa. Maandamano yanadoda kwa kukosa kuungwa mkono na wamachinga na bodaboda, ndio uhai wa vijana wa Hali ya chini.
@GrceLaurentkaboigora
@GrceLaurentkaboigora 6 күн бұрын
Huyu ni mchapa kazi, tunamjua, Sema ni majungu tu
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 5 күн бұрын
Huyu bibi😢😢😢😢
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 21 күн бұрын
Jafo ni kiongozi mzuri kama ataendelea kujisimamia kama Makonda
@NanaMaembe
@NanaMaembe 22 күн бұрын
HUYU MAMA NI MJANJA SANA AISEE...... KAONA MOTO UMEWASHWA KENYA KUUSU KUKOPA KOPA MADENI YA INCH
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 5 күн бұрын
Mama jiuzulu kama biden tunakoenda siko
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 5 күн бұрын
Kama mmemuona mwigulu chema anasinzia
@machujamathias7165
@machujamathias7165 23 күн бұрын
Aise katika siku zote ambazo nimesikiliza speech za Raisi wetu mpendwa mama Samia. Nasadiki kusema mitano tenaa kwa Mama
@user-mt3jc6no5w
@user-mt3jc6no5w 17 күн бұрын
Mama wachina wameisha shindikana apa bongo warudi tu kwao
@DaimaNyakunga-jb6do
@DaimaNyakunga-jb6do 19 күн бұрын
Kama mwanamke hawezi mbona ww upon kumbe mnajijua kuwa nyinyi ni dhaifu
@user-so8uh8bt5t
@user-so8uh8bt5t 23 күн бұрын
Mama kumbe unaweza hongera
@OmarMihulu
@OmarMihulu 23 күн бұрын
Kumbe unajuwa km kunakazi wanawake hawaziwezi
@stevenkatani3047
@stevenkatani3047 21 күн бұрын
Hahahhahahahha aiseeeee wa tz kazi mama yupo kazin na anajua vitu vingi ssh5 tena
@benjaminmiselya2622
@benjaminmiselya2622 21 күн бұрын
Hahaha ha kazi ya Uraisi mtoto wa like haimusitahili😂🤣🤣🤣🤣
@NanaMaembe
@NanaMaembe 22 күн бұрын
HAPO SAMIA NAKUPA HEKO KUBWA SANA KWA KUMCHAGUA JAFO KUWA KWENYE BIASHARA.
@SanziNzige
@SanziNzige 22 күн бұрын
Nyinyi mnafanya mchezo tu .haya!
@user-kw3yb2sh3s
@user-kw3yb2sh3s 20 күн бұрын
Naona mke wa Lisu bado unaleta siasa mpaka huku youtube mende wewe
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 21 күн бұрын
Pepeta😂😂
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 21 күн бұрын
❤❤❤❤
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,2 МЛН
Israel's Netanyahu addresses US Congress | Full speech live
53:51
FOX 5 New York
Рет қаралды 132 М.
MWENDOKASI IMEFELI? JIONEE RIPOTI YA UCHUNGUZI | KASRI LA KIKEKE
9:11
настоящий чемпион
0:59
QorabogTV
Рет қаралды 8 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
0:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 12 МЛН
Они не знали, почему он так поступил, пока
0:39
我说我不是故意的,你们信吗
0:25
侠客红尘
Рет қаралды 26 МЛН