Mama ujakosea hilo jembeeeeee Kariakooooooooo❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@zainabumartin952021 күн бұрын
Mitano tena mama. I love mama❤❤
@FatnaAlly-go7yt2 күн бұрын
Allah akujaalie kila la kheri na shari akuepushie
@khatibjuma945515 күн бұрын
Asante mama endelea kuwapa kazi vijana wafanya kazi
@wizydeko149623 күн бұрын
Safi saana
@user-mt3jc6no5w17 күн бұрын
Mama tuko pamoja nawe mi5 tena❤❤❤❤❤❤
@FatnaAlly-go7yt2 күн бұрын
Oooh allsh jaalia amani nci zote
@user-vp1zu3fb5w23 күн бұрын
DU! KUMBE MWANAUME NI MWANAUME TU NA MWANAMKE NI MWANAMKE TU 😂
@MashakaMagesa21 күн бұрын
Hata katika vitabu vya mungu imeandikwa
@ponsianomnyaru914021 күн бұрын
Mama kaz ya kuongoza nchi huiwez achia ngaz hii nchi inahtaj watu wenye maamuz magum
@aishakhamis299618 күн бұрын
Kabisa samia must Go...!!
@user-mt3jc6no5w17 күн бұрын
Samia must remain for more 5yrs
@petersilas423423 күн бұрын
Be careful there is a catch there, Kariakoo na wamachinga ni siasa. Maandamano yanadoda kwa kukosa kuungwa mkono na wamachinga na bodaboda, ndio uhai wa vijana wa Hali ya chini.
@GrceLaurentkaboigora6 күн бұрын
Huyu ni mchapa kazi, tunamjua, Sema ni majungu tu
@tanzcanmediatv44735 күн бұрын
Huyu bibi😢😢😢😢
@MashakaMagesa21 күн бұрын
Jafo ni kiongozi mzuri kama ataendelea kujisimamia kama Makonda
@NanaMaembe22 күн бұрын
HUYU MAMA NI MJANJA SANA AISEE...... KAONA MOTO UMEWASHWA KENYA KUUSU KUKOPA KOPA MADENI YA INCH
@tanzcanmediatv44735 күн бұрын
Mama jiuzulu kama biden tunakoenda siko
@tanzcanmediatv44735 күн бұрын
Kama mmemuona mwigulu chema anasinzia
@machujamathias716523 күн бұрын
Aise katika siku zote ambazo nimesikiliza speech za Raisi wetu mpendwa mama Samia. Nasadiki kusema mitano tenaa kwa Mama
@user-mt3jc6no5w17 күн бұрын
Mama wachina wameisha shindikana apa bongo warudi tu kwao
@DaimaNyakunga-jb6do19 күн бұрын
Kama mwanamke hawezi mbona ww upon kumbe mnajijua kuwa nyinyi ni dhaifu
@user-so8uh8bt5t23 күн бұрын
Mama kumbe unaweza hongera
@OmarMihulu23 күн бұрын
Kumbe unajuwa km kunakazi wanawake hawaziwezi
@stevenkatani304721 күн бұрын
Hahahhahahahha aiseeeee wa tz kazi mama yupo kazin na anajua vitu vingi ssh5 tena
@benjaminmiselya262221 күн бұрын
Hahaha ha kazi ya Uraisi mtoto wa like haimusitahili😂🤣🤣🤣🤣
@NanaMaembe22 күн бұрын
HAPO SAMIA NAKUPA HEKO KUBWA SANA KWA KUMCHAGUA JAFO KUWA KWENYE BIASHARA.
@SanziNzige22 күн бұрын
Nyinyi mnafanya mchezo tu .haya!
@user-kw3yb2sh3s20 күн бұрын
Naona mke wa Lisu bado unaleta siasa mpaka huku youtube mende wewe