Asante sana mama kwa maneno mazuri kwa mkuu wa tra. Kiukweli nimeipenda hii hotuba. Mungu akubariki raisi wangu. Tuweke mashushu kila kona kazi zitaenda .
@MashakaMagesa2 ай бұрын
Rais Samia siyo mbaya shida ni wasaidizi wake ndiyo pasua kichwa wanamuangusha hii nchi inatakiwa tupate watu kama Makonda na Majaliwa
@NicolasiLuhende3 ай бұрын
Seje mbona kimya hadi sasa 😢😢😢😢😢
@FestoMunishi3 ай бұрын
Tanzania hatunaa rais wala uongozi etu unasema mambo y kukosoa dah inakuwajeee Tanzania unakuwa ni ya kukopa tuu wakati tuna kila kituu