Shida hata mnaowaambia hawawaelewi, They can't interpret issues, They don't know anything about Industrial path and phases towards success, they don't know anything about protectionism policy, They don't know how business operates and works. kwakifupi wanaona kama mnawapigia makelele na kuwachelewesha kwenda kupanda mavieite wawahi kufanya unlimited spending...Politicians are the the Biggest problem in development of African countries, They use problems as the stepping stares. Poor guys..!
@PhilipoMwita-b2x2 ай бұрын
Nikweli kabisa unakuta mtu amesomea Sheria unamleta mazingira au unamleta wazir wa viwanda ahhhh kwakweli mama ameupiga mwing
@selemanmussa34592 ай бұрын
@@PhilipoMwita-b2x Hawajui how modern economies operates, Lazima Africa wabadilike, Tujiepushe na politicians kwenye idara nyeti za nchi kama ulinzi, biashara na uchumi, mambo ya ndani, Viwanda na maendeleo, Elimu etc. Hivi vitu kadri vinavyochezewa na politicians ndivyo Taifa linavyozidi kuangamia. We are a joke everywhere, hadi waliokufa wanatushangaa...Poor Africa!
@mohamedomari61293 ай бұрын
Magari kutoka nje Kodi iongozwe hapana. ila incentives na Kodi kwa wazalishaji wa ndani zipunguzwe. Period
@Worldunite3 ай бұрын
Message sent
@adelinelyaruu30363 ай бұрын
But not delivered 😢😢😢
@chalokalunde94293 ай бұрын
Hiyo Safi sana ya kusikia kutoka kwa wadau ,na mwisho kufuata ushauri wao.
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
wameshasema sana mpaka wanarudia kila kukicha,,hawaoni utekelezaji..
@farajiissa5603 ай бұрын
Mm nikiwa mfanya biashara bora niwekeze nchi ya nchi Tanzania si sehemu salama kwa mfanya biashara yoyote
@NardhisMhagama-sy3eq3 ай бұрын
Hapo kwenyewe Kodi kubwa kuliko Bado waongeze ongeze ni mmezoea kutukomesha Kodi mpaka jumuia ya ulaya Wana shangaaa mabalozi wanajiuliza
@kambamazig020243 ай бұрын
Tatizo la wanasiasa wanaona ushuru mkubwa ndiyo ukuaji wa uchumi, badala ya kuona kuwa ni ushuru na kodi kandamizi!
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
Magufuli alisemaga hili..msiwakimbize watu na makodi makubwa..anaglia uwiano ili ndo tukusanye ziadi. Magufuli akaendelea kusema. mkuwapiga kodi kubwa watafunga duka kisha wafungue upande ule wakushoto..hioyo 5M uliokuwa unataka kukusanya umeikosa yote..mbona msiongee na w/biashara walau mpata hicho cha kiasi?
@SAMA-jw4fr2 ай бұрын
Wa Tanzania/Watanganyika munazungumza sanaaaaaaa lkn vitendo ni Zeroooo
@whatisthetruth.87933 ай бұрын
Serekali ya kilaza samia , haijui ikifanyacho hatA kimoja
@MAGARITanzania2 ай бұрын
Kilaza wewe hapo
@whatisthetruth.87932 ай бұрын
@@MAGARITanzania wee raisi gani kama sio kilaza mwenye elimi ya secondary division 0 zero . Vilaza nyinyi
@josephdimosso63802 ай бұрын
😮😮
@RoanCorporation2 ай бұрын
Uwezo ya Tanzania ny kubwa , lakini kero na urasimu anakusumbua sana , Kenya ny afhadali
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
umesema kweli
@Ushauri2353 ай бұрын
Poleni jamani
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
Mh Jafo, hili swala la kodi inaitaji Dkt Mwiguli, Wewe, Mh Bashe na Yusufu wa TRA muanze kuifanyia amendment ili iwe rafiki kwa w/biashara na mazao ya wakulima. Kisha system itengenezwe wtu walipe bila TRA kuingia field kuanza kufatilia kodi..system zote iwe sync mpaka TRA kuondoa bugudha
@HamadiHussein-ru3qf3 ай бұрын
Mnatwanga maji kwenye kinu
@adelinelyaruu30363 ай бұрын
Vyura viziwi 😢😢😢
@farajiissa5603 ай бұрын
Tanzania si sehemu salama kwa kuwekeza maaana hawa watawala hawawez kuendesha kazi kila kitu wao hawawez kila kitu labda kuiba
@Optionxll_Playz13 ай бұрын
Kusiwe na Kodi tu wafanyakazi walipwe mushara mzuri.
@farajimmari15233 ай бұрын
Hatuweziendelea kamwe
@aediayumgo85463 ай бұрын
Tanzania ya viwanda alishindwa Nyerere mtaweza wapi kiwaanda cha viatu urafiki viko wapi tajiri yangu mmoja alifungua kiwaanda cha nguo KTM kila kiongozi alikuja pale kuchota pessa😅😅😅
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
una sasa..kazi kweli
@PhilipoMwita-b2x2 ай бұрын
Yani eti wazir ndoatatue changamoto kwakweli wananchi wanahitaji mabadiliko sasa
@kaaakwakutuliaa51793 ай бұрын
uyu fala sijui anaongea nini
@Khamis_Waya3 ай бұрын
Shida ni kwamba ao viongozi ata hawaelewi ni kwamba tunaongea tuuh ila wao wanajua kula tuuh
@ColinMhema-ne3lz2 ай бұрын
Uliza miaka kumi baadae nini kilibàdilika nipo pale
@matikowambura76572 ай бұрын
Mnawapigia mbuzi gitaa
@yordanyona12343 ай бұрын
WEKENI kod ndogo mashart kidogo watu wafungue viwanda... 10%
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
hii hata Magufuli alisemaga....sasa sijui...
@Omarjumanne-zm9zh3 ай бұрын
Viongozi wetu ninamashaka uelewa just ya uchumi kulida viwanda
@Optionxll_Playz13 ай бұрын
Bandari ya Tanga Vipi ? Si papanuliwe ili nayo isaidie Bandari ya Dar es Salaam?
@zxcvbnmmkh3 ай бұрын
😂 Thubutu utaambiwa tutafukuza wapangaji.
@kalengashoppingcenter11082 ай бұрын
Hakuna kitu hapo ni kujinufaisha wao tu apo
@DiwaniMwafongo2 ай бұрын
Ndio maana watoto wetu waanzisha biashara za miili...bse hakuna kodi na tozo huko?
@Nedjadist3 ай бұрын
Upumbavu mtupu. Waziri wenu wa Fedha analojua ni kumchinja kuku anayetaga yai moja la dhahabu kila siku, kwa kuamini atakuta mayai mengi y'a dhahabu kwa mpigo tumboni mwake!
@HaulSidney2 ай бұрын
Mwigulu nchemba afukuzwe uwaziri
@liannsambu72643 ай бұрын
Tz wanataka wote muwe MACHINGA ili wawatawale vizuri , unashangaa UCHUMI inakuwaje Kwa watu kuleta bidhaa za kichina tu na kituruki ?? TAIFA Zima wanataka muwe wamachingaaaa
@hajjiomary23832 ай бұрын
We mtu camera shida yako iko wapi kupeleka camera kwa uyo dada kila saa mbona kuna wanawake wengi uwamuliki na wanamme.
@hajjiomary23832 ай бұрын
Brother ningekusaidia niliwai kusema x moja cc watanzania bado atupendani special waliokuwa juu kuwapenda walikuwa chini na shida inaanzia hapo kwanza ukimueleza ki2 mtu cha ukweli anakuona wewe unamletea ujanja. Why kwasababu yeye katoka uswahilini anasema me mwenyewe mjanja bila yankujua position aliokuwa nayo
@knight67573 ай бұрын
🇹🇿
@mohamedomari61293 ай бұрын
Bagamoyo
@hassankongolilo84083 ай бұрын
sera sera sera afrikaaaaaaaaaaaa. fuck
@bakarikayugwa32953 ай бұрын
Maandazi kweri Yani mzidi kutukamua tu huo mzigo wa Kodi ni wamwanchi wa chini kabisa sio kwa mfanya biashara hivi nyie mna akili kweri hamlipi Kodi nyinyi mtumiaji w amwisho ndio anae umiza sio nyinyi wenye viwanda wajinga kweri wasomi wengi ni mabumunda wanajiangaria wao pumbavu zenu