"UKIFUNGUA KIWANDA NDO UNAANDAMWA/KUNA MATATIZO MENGI SANA MHE. JAFO"WAFANYABIASHARA WALIA NA JAFO.

  Рет қаралды 9,426

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 50
@selemanmussa3459
@selemanmussa3459 3 ай бұрын
Shida hata mnaowaambia hawawaelewi, They can't interpret issues, They don't know anything about Industrial path and phases towards success, they don't know anything about protectionism policy, They don't know how business operates and works. kwakifupi wanaona kama mnawapigia makelele na kuwachelewesha kwenda kupanda mavieite wawahi kufanya unlimited spending...Politicians are the the Biggest problem in development of African countries, They use problems as the stepping stares. Poor guys..!
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 2 ай бұрын
Nikweli kabisa unakuta mtu amesomea Sheria unamleta mazingira au unamleta wazir wa viwanda ahhhh kwakweli mama ameupiga mwing
@selemanmussa3459
@selemanmussa3459 2 ай бұрын
@@PhilipoMwita-b2x Hawajui how modern economies operates, Lazima Africa wabadilike, Tujiepushe na politicians kwenye idara nyeti za nchi kama ulinzi, biashara na uchumi, mambo ya ndani, Viwanda na maendeleo, Elimu etc. Hivi vitu kadri vinavyochezewa na politicians ndivyo Taifa linavyozidi kuangamia. We are a joke everywhere, hadi waliokufa wanatushangaa...Poor Africa!
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 3 ай бұрын
Magari kutoka nje Kodi iongozwe hapana. ila incentives na Kodi kwa wazalishaji wa ndani zipunguzwe. Period
@Worldunite
@Worldunite 3 ай бұрын
Message sent
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 3 ай бұрын
But not delivered 😢😢😢
@chalokalunde9429
@chalokalunde9429 3 ай бұрын
Hiyo Safi sana ya kusikia kutoka kwa wadau ,na mwisho kufuata ushauri wao.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
wameshasema sana mpaka wanarudia kila kukicha,,hawaoni utekelezaji..
@farajiissa560
@farajiissa560 3 ай бұрын
Mm nikiwa mfanya biashara bora niwekeze nchi ya nchi Tanzania si sehemu salama kwa mfanya biashara yoyote
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 3 ай бұрын
Hapo kwenyewe Kodi kubwa kuliko Bado waongeze ongeze ni mmezoea kutukomesha Kodi mpaka jumuia ya ulaya Wana shangaaa mabalozi wanajiuliza
@kambamazig02024
@kambamazig02024 3 ай бұрын
Tatizo la wanasiasa wanaona ushuru mkubwa ndiyo ukuaji wa uchumi, badala ya kuona kuwa ni ushuru na kodi kandamizi!
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
Magufuli alisemaga hili..msiwakimbize watu na makodi makubwa..anaglia uwiano ili ndo tukusanye ziadi. Magufuli akaendelea kusema. mkuwapiga kodi kubwa watafunga duka kisha wafungue upande ule wakushoto..hioyo 5M uliokuwa unataka kukusanya umeikosa yote..mbona msiongee na w/biashara walau mpata hicho cha kiasi?
@SAMA-jw4fr
@SAMA-jw4fr 2 ай бұрын
Wa Tanzania/Watanganyika munazungumza sanaaaaaaa lkn vitendo ni Zeroooo
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 ай бұрын
Serekali ya kilaza samia , haijui ikifanyacho hatA kimoja
@MAGARITanzania
@MAGARITanzania 2 ай бұрын
Kilaza wewe hapo
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 2 ай бұрын
@@MAGARITanzania wee raisi gani kama sio kilaza mwenye elimi ya secondary division 0 zero . Vilaza nyinyi
@josephdimosso6380
@josephdimosso6380 2 ай бұрын
😮😮
@RoanCorporation
@RoanCorporation 2 ай бұрын
Uwezo ya Tanzania ny kubwa , lakini kero na urasimu anakusumbua sana , Kenya ny afhadali
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
umesema kweli
@Ushauri235
@Ushauri235 3 ай бұрын
Poleni jamani
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
Mh Jafo, hili swala la kodi inaitaji Dkt Mwiguli, Wewe, Mh Bashe na Yusufu wa TRA muanze kuifanyia amendment ili iwe rafiki kwa w/biashara na mazao ya wakulima. Kisha system itengenezwe wtu walipe bila TRA kuingia field kuanza kufatilia kodi..system zote iwe sync mpaka TRA kuondoa bugudha
@HamadiHussein-ru3qf
@HamadiHussein-ru3qf 3 ай бұрын
Mnatwanga maji kwenye kinu
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 3 ай бұрын
Vyura viziwi 😢😢😢
@farajiissa560
@farajiissa560 3 ай бұрын
Tanzania si sehemu salama kwa kuwekeza maaana hawa watawala hawawez kuendesha kazi kila kitu wao hawawez kila kitu labda kuiba
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 3 ай бұрын
Kusiwe na Kodi tu wafanyakazi walipwe mushara mzuri.
@farajimmari1523
@farajimmari1523 3 ай бұрын
Hatuweziendelea kamwe
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 3 ай бұрын
Tanzania ya viwanda alishindwa Nyerere mtaweza wapi kiwaanda cha viatu urafiki viko wapi tajiri yangu mmoja alifungua kiwaanda cha nguo KTM kila kiongozi alikuja pale kuchota pessa😅😅😅
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
una sasa..kazi kweli
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 2 ай бұрын
Yani eti wazir ndoatatue changamoto kwakweli wananchi wanahitaji mabadiliko sasa
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 3 ай бұрын
uyu fala sijui anaongea nini
@Khamis_Waya
@Khamis_Waya 3 ай бұрын
Shida ni kwamba ao viongozi ata hawaelewi ni kwamba tunaongea tuuh ila wao wanajua kula tuuh
@ColinMhema-ne3lz
@ColinMhema-ne3lz 2 ай бұрын
Uliza miaka kumi baadae nini kilibàdilika nipo pale
@matikowambura7657
@matikowambura7657 2 ай бұрын
Mnawapigia mbuzi gitaa
@yordanyona1234
@yordanyona1234 3 ай бұрын
WEKENI kod ndogo mashart kidogo watu wafungue viwanda... 10%
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
hii hata Magufuli alisemaga....sasa sijui...
@Omarjumanne-zm9zh
@Omarjumanne-zm9zh 3 ай бұрын
Viongozi wetu ninamashaka uelewa just ya uchumi kulida viwanda
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 3 ай бұрын
Bandari ya Tanga Vipi ? Si papanuliwe ili nayo isaidie Bandari ya Dar es Salaam?
@zxcvbnmmkh
@zxcvbnmmkh 3 ай бұрын
😂 Thubutu utaambiwa tutafukuza wapangaji.
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 2 ай бұрын
Hakuna kitu hapo ni kujinufaisha wao tu apo
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 2 ай бұрын
Ndio maana watoto wetu waanzisha biashara za miili...bse hakuna kodi na tozo huko?
@Nedjadist
@Nedjadist 3 ай бұрын
Upumbavu mtupu. Waziri wenu wa Fedha analojua ni kumchinja kuku anayetaga yai moja la dhahabu kila siku, kwa kuamini atakuta mayai mengi y'a dhahabu kwa mpigo tumboni mwake!
@HaulSidney
@HaulSidney 2 ай бұрын
Mwigulu nchemba afukuzwe uwaziri
@liannsambu7264
@liannsambu7264 3 ай бұрын
Tz wanataka wote muwe MACHINGA ili wawatawale vizuri , unashangaa UCHUMI inakuwaje Kwa watu kuleta bidhaa za kichina tu na kituruki ?? TAIFA Zima wanataka muwe wamachingaaaa
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 2 ай бұрын
We mtu camera shida yako iko wapi kupeleka camera kwa uyo dada kila saa mbona kuna wanawake wengi uwamuliki na wanamme.
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 2 ай бұрын
Brother ningekusaidia niliwai kusema x moja cc watanzania bado atupendani special waliokuwa juu kuwapenda walikuwa chini na shida inaanzia hapo kwanza ukimueleza ki2 mtu cha ukweli anakuona wewe unamletea ujanja. Why kwasababu yeye katoka uswahilini anasema me mwenyewe mjanja bila yankujua position aliokuwa nayo
@knight6757
@knight6757 3 ай бұрын
🇹🇿
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 3 ай бұрын
Bagamoyo
@hassankongolilo8408
@hassankongolilo8408 3 ай бұрын
sera sera sera afrikaaaaaaaaaaaa. fuck
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 3 ай бұрын
Maandazi kweri Yani mzidi kutukamua tu huo mzigo wa Kodi ni wamwanchi wa chini kabisa sio kwa mfanya biashara hivi nyie mna akili kweri hamlipi Kodi nyinyi mtumiaji w amwisho ndio anae umiza sio nyinyi wenye viwanda wajinga kweri wasomi wengi ni mabumunda wanajiangaria wao pumbavu zenu
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,6 МЛН
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 27 МЛН
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,5 МЛН
ALIYEMPIGA RISASI TUNDU LISSU ABAINIKA
37:08
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 12 М.
Grand entretien avec Dominique de Villepin
1:03:33
Journal l'Humanité
Рет қаралды 955 М.
Posta Yatakiwa Kuhakikisha Mifumo Yake ya Utendaji Inasomana
3:11
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,6 МЛН