No video

HALF KEKI ZA CHAPA MAANDASHI TAMU SANA

  Рет қаралды 303,852

keki plus

keki plus

Күн бұрын

Video hii ni ya kutengeneza half keki kwa kutumia chapa maandashi,rahisi na tsmu sana.
Kwa video zingine za half keki bonyeza link hizi
HALF KEKI ZA NAZI TAMU SANA
• HALF KEKI ZA NAZI TAMU...
HALF KEKI ZA GHARAMA NAFUU
• JINSI YA KUPIKA HALF K...
HALF KEKI ZA HAMIRA
• HALF KEKI ZA HAMIRA(YE...
HAKF KEKI ZA MAYAI NA ILIKI
• HALF KEKI ZA KUUZA 500...

Пікірлер: 202
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Sasa tuzungumze matatizo ya half keki. 1.half keki kuwa na mafuta ndani,inaweza kusababishwa na kutopekecha unga vizuri wakati wa kukanda,au kuzidisha mafuta wakati wa kukanda. 2.half keki kutopasuka au kujaa,inaweza kusababishwa na moto kuwa mkali sana,na mafuta kuwa ya moto..half keki hupikwa taratibu kwa moto mdogo sana..vilevile mafuta yakiwa kidogo wakati wa kuchoma half keki haziwezi kupata nafasi ya kuumuka. 3.half keki kuwa mbichi inasababishwa na mafuta kuwa ya moto sana na moto mkali,ivyo zitabadilika tu rangi nje ila ndani.zitakuwa mbichi
@imejachunga9958
@imejachunga9958 4 жыл бұрын
Tante sana ina maana halfcake haikandwi kama maandaz?ntajuaje kama unga wangu nimepekecha vizur
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Vipi kuusu kuuacha unga uumuke? Napika moja kwa moja nkiisha Kanda au Kuna muda wa kuuacha unga uumuke
@zipporahshore9688
@zipporahshore9688 4 жыл бұрын
Nilijaribu za biashara wanunuzi wamezipongeza ila kwangu mm naona hasara mafuta yanaenda mengi zinakunywa MaFuta.... Cjui kama utanisaidiaje ili nipate faida nzuri
@winifridadeograthias2751
@winifridadeograthias2751 4 жыл бұрын
Kwa dada aifai kupikwa na mafuta ya moto wa kundia unakuwa ya barid bila kupasha kwenye moto naombeni mieleweshe
@fatumasalimu9397
@fatumasalimu9397 3 жыл бұрын
Daaah kweli jmn
@asenathmathew436
@asenathmathew436 2 жыл бұрын
Asante Sana nimefanya kama unavyofundisha nimefanikiwa mungu akubariki sana
@raheema3919
@raheema3919 3 жыл бұрын
I tried them and they came out perfect yummmmmy
@sarahwanjiru6121
@sarahwanjiru6121 4 жыл бұрын
Tena hapa mydea nauliza,unga wenye natumia wafaa kua ulepia unabaking au wakawaida,,asante
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Tumia wa kawaida,unga plain
@abigailwanza9190
@abigailwanza9190 Ай бұрын
Asante kwa recipe, nimetengeneza half keki tamu sana❤
@zulphankyaa266
@zulphankyaa266 Жыл бұрын
Asante Sana dadayangu kwakutujuza
@aherejacton9712
@aherejacton9712 2 жыл бұрын
Hiyo njia ni nzuri Sana nimetamani Sana kijua kupika kangumu , pia umetumia njia rahisi na lugha rahisi inayoeleweka Asanti.
@nasramakau6966
@nasramakau6966 Жыл бұрын
Na mimi nimeipenda. Pia
@RoseMedadi
@RoseMedadi 10 күн бұрын
3:24 ❤​@@nasramakau6966
@aalatastykitchen786
@aalatastykitchen786 6 ай бұрын
Delicious yummy 😋 thank you so much for sharing my sister 💐
@fantasyworld9489
@fantasyworld9489 4 жыл бұрын
Jamani umaskini wa bando unafanya nakosa mambo mengi ...duh.. Asante keki plus kwa video nzuri...video ni nyingi ,zile biskuti za caramel na chocolate ndo kiboko..😋😋😋😋😋😋😋
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Oooh pole sana f@fantasy world...Mungu akufanyie wepesi,akufungulie milango mipya ya rizq.. Nashkuru sana kutumia bando yako kuangalia video zangu...Mungu akuzidishie daima
@bisimwaannebebe5410
@bisimwaannebebe5410 Жыл бұрын
Asante Sana Dada ume Ni saidiya kwa kweli endeleya ivo
@halimahalum3008
@halimahalum3008 4 жыл бұрын
Mashaa Allah nazipenda sana shukran mpendwa
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Karibu sana..enjoy kupika na kula pia
@elizajohaness5349
@elizajohaness5349 3 жыл бұрын
Daaaaa asante mpenzi nimeyapika ni matamu haswa naendelea kufatilia vitu vyako upo good sweetheart
@ElizabethNelson-bh2ij
@ElizabethNelson-bh2ij Жыл бұрын
Duu Bora wengine vizungu vimezidi had tnakua hatuelewi hongera dada
@ibraabuemu9231
@ibraabuemu9231 Жыл бұрын
Maa sha ALLAH
@MjuniAmosi-us2ze
@MjuniAmosi-us2ze Жыл бұрын
Nimetengeneza kiukweli nitamu sana
@samjuma-official4315
@samjuma-official4315 3 жыл бұрын
Asante sana hii channel imenisaidia sana🙏endelea vivyo vivyo
@Swahili14
@Swahili14 3 жыл бұрын
Unapka naww😂😂😂
@johnsonkariuki7811
@johnsonkariuki7811 2 жыл бұрын
I tried it and they came out perfectly
@nassraabdallah3585
@nassraabdallah3585 3 жыл бұрын
Mashaa allah zinaonekana ni nzuri sana
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Sana😚😚😚😚
@ivansovelo2125
@ivansovelo2125 3 жыл бұрын
Nimependa umeelekeza vzr nami nataka kujifunza samahani naomba vipimo nikianza na unga nusu
@dayaammakitchen3617
@dayaammakitchen3617 4 жыл бұрын
Like 2 6 yummy recipe sis 👌👌👌
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Thank you so much.@Daya amma kitchen
@maruunyange1091
@maruunyange1091 4 жыл бұрын
My dear hujawahi kuniangusha tangu nikufaham. Barikiwa sana
@TheodosiaKassianmkalanga
@TheodosiaKassianmkalanga Ай бұрын
Asante najfunza
@rachelkasheto3965
@rachelkasheto3965 4 жыл бұрын
Ahsante sana mpendwa
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Karibu sana mpendwa
@sarahwanjiru6121
@sarahwanjiru6121 4 жыл бұрын
Kuelezea nae namba 1
@fatumakiure6152
@fatumakiure6152 Жыл бұрын
Autumii amira
@user-sx7vv7rx8u
@user-sx7vv7rx8u Жыл бұрын
Nimeipenda iyo njia kwaiyo kwenye alf kek awaweki amila
@zipporahshore9688
@zipporahshore9688 4 жыл бұрын
Ni nzuri sana ila nisaidie tafadhali upande wa mafuta juu natengeneza za biashara
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Tumia vijiko 2 chapa maandashi, na usibadili moto..tumia moto mmoja mwanzo mwisho na usizigeuza ama kuzigusa mpaka muda wa kugeuza
@letoanfood
@letoanfood 4 жыл бұрын
Bánh ngon mỗi ngày 👍👍👍
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Thank you
@user-em5me6um5c
@user-em5me6um5c 7 ай бұрын
Naomba unielekeze Jinsi ya kupika hafkek yan kwamba nianze na nn had nn
@magdalenamasano
@magdalenamasano Жыл бұрын
Kaz nzur dada
@daisykoskei4512
@daisykoskei4512 3 жыл бұрын
Good video but i tried zangu zikakunywa mafuta
@user-ly3fs3tc9r
@user-ly3fs3tc9r 4 ай бұрын
Vp kuhus amira
@rahmaali5982
@rahmaali5982 4 жыл бұрын
Assante ubarikiwe dear
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Asante...ubarikiwe na wewe
@user-zo8tb5cr6z
@user-zo8tb5cr6z 3 ай бұрын
Asante maana ilikua inanisumbu
@pienicolaus2952
@pienicolaus2952 3 жыл бұрын
Asante,vip lakn kati ya chapa mandashi na mafuta ni kipi naweza tumia blueband kam mbadala yake jibu samahani
@twitikefumbo7706
@twitikefumbo7706 2 жыл бұрын
Mafuta
@user-ly3fs3tc9r
@user-ly3fs3tc9r 4 ай бұрын
Asante
@EMELIASKITCHEN
@EMELIASKITCHEN 4 жыл бұрын
Looks so yummy, joined
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
😋thank you for watching love
@bettymondakemei
@bettymondakemei 8 ай бұрын
Waw🙏🙏👏👏👏💯
@user-wl6sy9dt2e
@user-wl6sy9dt2e 6 ай бұрын
How many pieces of square do we got from 1kg and what brings them to crack?
@agathathobias8690
@agathathobias8690 3 жыл бұрын
Nimepika zimetoka nzuri mi nimejiongeza nimeweka vanila
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Woooow kama naziona utamu wake..hongera sana dear👏👏👏👏👏
@agathathobias8690
@agathathobias8690 3 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly Ahsante dear nawe nakushukuru kwa kutufunza mapish unaelezea vzr had tunaelewa
@dadaa9016
@dadaa9016 Жыл бұрын
Very nice
@sarahtito8549
@sarahtito8549 3 жыл бұрын
Asantee sana
@riphinemaria6697
@riphinemaria6697 Жыл бұрын
So nice
@saidatabdulrasul6718
@saidatabdulrasul6718 4 жыл бұрын
Zinaonekana nitamu sana
@asiyamuscat-oman2283
@asiyamuscat-oman2283 4 жыл бұрын
Unaweza kutumia siagi badala ya mafuta au samli. Asante ❤❤
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Ndiyo...ila iyeyushe kwanza..
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Ila itabidi upunguze kipimo...sababu siagi ni rich sana
@asiyamuscat-oman2283
@asiyamuscat-oman2283 4 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly 😘🌷
@janeesilayo4435
@janeesilayo4435 4 жыл бұрын
Ahsante 🙏
@rehemarashidi215
@rehemarashidi215 3 жыл бұрын
Yummi yummi
@user-rf9vn7lz1n
@user-rf9vn7lz1n 5 ай бұрын
Aziwekw amira
@sarahwanjiru6121
@sarahwanjiru6121 4 жыл бұрын
Napenda mapishi yako barikiwa dada
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Asante sana @sarah wanjiru tubarikiwe sote dear
@christinarashid3204
@christinarashid3204 Жыл бұрын
Vip dada kuhus amila haihitajiki au ni upond wa mtu
@sarahwanjiru6121
@sarahwanjiru6121 Жыл бұрын
@@christinarashid3204 nina shida kidogo hapa half keki yangu nikipika huwa ikauki inavyostahili yaaani kama kangumu nisaidie shida iko wapi
@sarahwanjiru6121
@sarahwanjiru6121 Жыл бұрын
@@christinarashid3204 nina shida kidogo hapa half keki yangu nikipika huwa ikauki inavyostahili yaaani kama kangumu nisaidie shida iko wapi
@sarahwanjiru6121
@sarahwanjiru6121 Жыл бұрын
@@christinarashid3204 nina shida kidogo hapa half keki yangu nikipika huwa ikauki inavyostahili yaaani kama kangumu nisaidie shida iko wapi
@FatumaIbrahim-w5q
@FatumaIbrahim-w5q 10 күн бұрын
Mafuta niyamoto sana na hamira je
@ZainabAli-kb2dt
@ZainabAli-kb2dt 3 жыл бұрын
Mashaaallah
@NoizerNoizer
@NoizerNoizer Ай бұрын
😊
@magdalenakulwa5384
@magdalenakulwa5384 Жыл бұрын
Nzuri sana
@josephwamalwa1299
@josephwamalwa1299 2 жыл бұрын
Asante sana
@Sunshine-li6ef
@Sunshine-li6ef 3 ай бұрын
Badala ya maji naweza kuweza nazi au maziwa kwa recipe hii
@user-zg6xn3mh9i
@user-zg6xn3mh9i 4 ай бұрын
Kwa kilo 5 natumia kias gan cha chapa mandashi
@faustapareso4661
@faustapareso4661 3 жыл бұрын
Nimependa sana
@fatumasalimu9397
@fatumasalimu9397 3 жыл бұрын
Mm nafeli kwny kipimo cha mafuta na baking soda nakanda kg1 na nusu apo vipimo vikoje nisaidie
@rachelkasheto3965
@rachelkasheto3965 4 жыл бұрын
Mpendwa wakati wa kukanda unga unatumia mafuta ya baridi au moto? Na je maji ya kukandia ni ya uvugu vugu au VIP?
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Mafuta tumia hata moto,hata baridi,kulungana mudi yako siku hiyi😂 Maji ya kawaida tu
@sundayeloiloi9257
@sundayeloiloi9257 2 жыл бұрын
Nimependa saana hii njia rahisi ya kuziunda
@JudyJoshua-zn7nc
@JudyJoshua-zn7nc 9 ай бұрын
Sawa
@sarahwanjiru6121
@sarahwanjiru6121 4 жыл бұрын
Nimeshukuru
@JamesLusamla
@JamesLusamla 7 ай бұрын
Nimeelawansana
@mkwandasaid4063
@mkwandasaid4063 3 жыл бұрын
Ni tamu kweli ila hazipaki vizuri
@everlynewesonga5892
@everlynewesonga5892 5 ай бұрын
Haibebi mafuta
@nankwangaamulas6335
@nankwangaamulas6335 3 жыл бұрын
Thanks dear
@nankwangaamulas6335
@nankwangaamulas6335 3 жыл бұрын
Good thanks
@user-ch7tu6ek6z
@user-ch7tu6ek6z 6 күн бұрын
Vip kuhus amira na magad soda ?
@user-zo8tb5cr6z
@user-zo8tb5cr6z 3 ай бұрын
Mbona wengine Wana weka chapa mndash na simba hapo inakuaje naomba nielekeze
@onesterjoseph5995
@onesterjoseph5995 4 жыл бұрын
Mm Jana nimepika Kama hivyo lakini sijui nilifeli wapi maana naweka jikoni nageuza naona Zina mungunyuka basi nikazimwaga
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Pole sana dear,labda uloweka moto mdogo sana...yaani mdogo.wa kupitiliza.. Half keki zina complication sana,kila siku ni siku nyingine ya kujifunza...anza kutengeneza ata za robo za kujifunzia ...ili upunguze garama..
@ManDeviepdkm
@ManDeviepdkm Ай бұрын
Samahani unatumia unga Gani ngano au
@sofialucas5790
@sofialucas5790 2 жыл бұрын
Dada mi nimejaribu kupika zimetika vzr ila hazija pasuka saaa nijirekebishe wap
@neemacharles8046
@neemacharles8046 Жыл бұрын
Nimejua kpika keki
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
Aaaaawwwww mashaAllah
@tiktoktanzania2832
@tiktoktanzania2832 2 жыл бұрын
Boss zangu zimetoka namafuta na zinapukuchuka juuu
@tiktoktanzania2832
@tiktoktanzania2832 2 жыл бұрын
Nimekosea wapi
@ARICHEKITUSI
@ARICHEKITUSI 2 ай бұрын
Et naomba kuuliza n nn kinasababisha halfkeki kuwa ngumu ?
@rickydiamond2276
@rickydiamond2276 3 жыл бұрын
Can one add milk in Dough ?
@MercyAnzazi-uj9zu
@MercyAnzazi-uj9zu Жыл бұрын
Kukuliizaa tu majii yanayotumiwa n baridi au moto?
@marysvloguganda
@marysvloguganda 4 жыл бұрын
Joined Yummy 🤤
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Thanks Mary's vlog uganda
@user-lw1wj8nc8g
@user-lw1wj8nc8g Жыл бұрын
Aunt mbona mimi nikitengeneza half keki zinakuwa ngumu sana kwann
@fatumadaud7753
@fatumadaud7753 3 жыл бұрын
Asante mpenz
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Karibu tena dear
@user-zb3zv7si6q
@user-zb3zv7si6q 4 ай бұрын
Hamna kuumua ubga?
@erickmulwa-wi4px
@erickmulwa-wi4px Жыл бұрын
baada ya kukakanda unga tunapika moja moja kwa moja ama tunaupatia unga muda
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
Wewe tu
@sabrinamauga4674
@sabrinamauga4674 2 жыл бұрын
Amira hauweki?
@reginangogo2858
@reginangogo2858 2 жыл бұрын
Huweki hamira
@paulkaguora9232
@paulkaguora9232 2 жыл бұрын
Baada ya kukanda unga, unauacha Kwa muda gani kabla ya kupika
@berthadickson9911
@berthadickson9911 3 жыл бұрын
😘
@winifridadeograthias2751
@winifridadeograthias2751 4 жыл бұрын
Mimi nikipika hayapasuki vizr
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Pole dear,endelea kujaribu,mwanzo mgumu... Labda unafanya unga laini sana,au moto mdogo sana
@winifridadeograthias2751
@winifridadeograthias2751 4 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly sawa dear ila kabla ya kuweka half kake kwenyew mafuta mim nachemsha mafuta kwanza au ni vibaya ila moto naweka mwingi
@winifridadeograthias2751
@winifridadeograthias2751 4 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly hata maanda sipakagi vizr jamani nielekeze my
@EdnaLupande
@EdnaLupande 4 ай бұрын
Naweka sukari ila haiyayuki vizuri tatizo nn msaada jamani
@ZainabuAlly-tu5rs
@ZainabuAlly-tu5rs Жыл бұрын
Kumbe aziwekwi amila
@domiexcel
@domiexcel 2 жыл бұрын
Kwa hiyo recipe unapata half cake ngapi tafadhali?
@chimwemweJere-xj5zb
@chimwemweJere-xj5zb 3 ай бұрын
Kwan huwekag hamila??
@JohnbulayaGelivas
@JohnbulayaGelivas 2 ай бұрын
Dada uweki amila
@AlanusPastory-ly5be
@AlanusPastory-ly5be Жыл бұрын
VIP halfkake kuwa na mafuta Ndani baada ya kukaanga?
@jerellmejah8486
@jerellmejah8486 2 жыл бұрын
Hiyo maji n warm ama baridi
@faithmasai1555
@faithmasai1555 Жыл бұрын
That is the quiz I want to knw
@janetbrayson606
@janetbrayson606 2 жыл бұрын
Zangu hazichambuki
@AbdulliIbulaim
@AbdulliIbulaim 2 ай бұрын
ngano kilomoja unaweka vijiko vingapi
@wesongaeugine4530
@wesongaeugine4530 3 жыл бұрын
Unaweza ganda half keki alafu uiache ilale kama maandazi
@lizzymwandry811
@lizzymwandry811 2 жыл бұрын
Naomba kujua kwa unga kg 1 naweza kata hlf keki ngapi ili nipate faida jmn za biashara
@modestamosha1494
@modestamosha1494 2 жыл бұрын
Kg moja toa 60 za sh. Mia
@fatmabakari7350
@fatmabakari7350 3 жыл бұрын
Shukram
@naellashabani2734
@naellashabani2734 3 жыл бұрын
Hatuweki amila
@maryamsalim3233
@maryamsalim3233 4 жыл бұрын
Kwa nn zangu zaingia mafuta ndani
@iddahhaule8575
@iddahhaule8575 Ай бұрын
Baking soda nayo vp 2nawek au
@irenemathias5667
@irenemathias5667 3 жыл бұрын
na je ukiweka amira
HALF KEKI ZA NAZI TAMU SANA
6:52
keki plus
Рет қаралды 441 М.
You will want to make your OWN Samosa Wraps at Home | Chef D Wainaina
19:53
Chef D Wainaina
Рет қаралды 1,7 МЛН
Harley Quinn's desire to win!!!#Harley Quinn #joker
00:24
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 16 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 110 МЛН
Look at two different videos 😁 @karina-kola
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 14 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 33 МЛН
Donut Recipe | Homemade Donut Recipe
6:32
Spicy Foodz
Рет қаралды 10 МЛН
HALF KEKI ZA KUUZA 500 ZENYE MAYAI NA ILIKI
3:42
keki plus
Рет қаралды 105 М.
HALF KEKI ZA BIASHARA ZENYE FAIDA KUBWA/HALFCAKES/KANGUMUU
4:05
Hadija Sheban
Рет қаралды 159 М.
JINSI YA KUPIKA HALF KEKI MZURI SNAA
10:27
SUNRISE TZ
Рет қаралды 9 М.
Jinsi Yakupika Half Keki Zakupasuka/Half Keki/Kangumuu/Half cake
8:03
Hadija Sheban
Рет қаралды 1,7 МЛН
Jinsi Yakupika Half Keki /Half Keki Recipe /Kangumu
4:43
Tajiri's Kitchen Swahili Flavor
Рет қаралды 38 М.
JINSI YA KUPIKA "KACHORI" KWA NJIA RAHISI KABISA
6:55
Mswahilikitchentz
Рет қаралды 64 М.
Jinsi ya Kupika Vitumbua Laini Kiurahisi (Swahili)
10:52
Kilimanjaro flavour
Рет қаралды 155 М.
Harley Quinn's desire to win!!!#Harley Quinn #joker
00:24
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 16 МЛН