Kwa ufafanuzi huu mpina amekosea wapi spika ulitaka tusiyajuwe. Hayaa mlitaka iwe sili yenu nyiye wabunge sasa tupo tayari kwa lolote kumsaidia mpina hilo bunge ni bunge la kutugandamiza watanzania asante mwanasheria kwa kutufafanulia mpina yupo sahihi ccm tuiyondowe madarakani ili haya yasiwepo mpina mungu atakulinda
@emmanuelpeter97443 ай бұрын
Well done 👍 Mr. lawyer, the true freedom is coming, Hawa watu wanatuona kama sisi mambumbumbu na wajinga wa mwisho ila wao ndiyo waliosoma. Shem on them na wanahitaji kulaaniwa kwa kutufanya sisi hamnazo na wao ndiyo wajanja.
@desiderihugo57043 ай бұрын
Asante sana Wakili kwa ufafanuzi mziri . Tunafanyaje na hawa majambazi ???
@margarethsaramaki39663 ай бұрын
Asante Wakili kwa ufafanuzi mzuri Mh Bashe na Mh Mwigulu mchunguzwe na msimamishwe kazi uchunguzi ukiendelea na pia msimamishwe kuingia bungeni cku 15
@Mima-cl2im3 ай бұрын
Katika wabunge wote ni Waitara tu ndiye aliyesimama na haki, wengine wote wameterea wizi. Wizi na udanganyifu wa mali za umma. Waitara nimekupenda bure. Asante sana kwa kuzungumuza ukweli. Unalisaidia taifa na Rais. Achana na wabunge thahifu wanaosema tuwaachie Bashe wawo, elimu ndogo. Bashe ni waziri ameajiliwa na Watanzania, na analipwa na kodi za watanzania. Shida tuna wabunge wengi hawajuwi ni kwa nini wako bungeni. Wanakula mishahara ya bure na kulifanya bunge ni mali yawo. Bunge ni la watanzania na jambo hili tunalifuatilia. Kwa niaba ya watanzania Mpina Ana haki ya kumuhoji Bashe. Kątowa ushahidi na Watanzania sio wajinga.
@hakiyangu3 ай бұрын
Wanajua sana sababu ya kua bungeni tatizo ni dharau kwa wananchi.
@Mima-cl2im3 ай бұрын
@@hakiyangukuna siku watanzania watauvuwa uwoga. Watatafuta njia ya kupitia
@RobertGwelela-zq2fr3 ай бұрын
Waitara naye wazee wanamlalamikia jimboni kwake kwa kuwatesa vijana eti kila akikosolewa ni kukamata vijana na kuwatia ndani.Kwa upande wa Kiukweli ameonewa.Kama ambavyo alisema kuwa waziri Bashe ni muongo ilitakiwa Spika awasomee wabunge ushahidi aliouleta Mpina bungeni Kisha Bashe ndio awe anajibu.Hiyo ndio ingekuwa haki,akishaonekana Mpina kamsingizia Bashe ndipo Sasa angepelekwa kwenye kamati ya maadili.
@bonifacekalima52733 ай бұрын
Kwa maelezo ya ndugu wakili ,,naamini haki ipo mbinguni,,hapa duniani nikuvunjiana heshima na kutoana roho,,kama vile mheshiwa mpina anavyo sulubiwa kwa kumvujia heshima na wengine wakiwa hawajui Sheria,, zaidi ya kutumia madaraka na kuula za kinafiki.
@NicolausOnidans3 ай бұрын
Shukuran kwa ufafanuzi wa sheria
@EmmanuelErnest-xd1rc3 ай бұрын
❤❤❤Asante kaka.tuamuke.
@HarunJonass3 ай бұрын
Duuuuuu!!!!!! Mungu tusaidie
@rashidabeid1723 ай бұрын
Ili mru achaguliwe kuwa mbunge, ni lazima awe mwanasheria. Wabunge wetu weeengi sasa ni wa kusema tu Ndioooo. Uwezo wao wa kuhoji na kurejea kanuni na miongozo ya uendeshaji wa nchi hawajui. Au kuwe na training za kila mara kuhusu sheria zetu wawapo Bungeni
@evelynmwaimu-vd9jo3 ай бұрын
Wakili asante sana kwa ukweli huu uliowazi lakini wenzio tunatafuta fedha za uchaguxi
@abelchacha59773 ай бұрын
Nicjangamoto. Mi nasikia kilimo cha umwagiliaji na bajeti kubwa. Ila sidhani kama nimewahi kula nafaka au mchele wowote wa umwagiliaji. Maji hata kwa matumizi ya kawaida ni changamoto. Haya ya kumwagilia inakuaje. Tunahitaji kuelewa sana hiki kilimo na jinsi kinavyofanya kazi.
@aganolamotoeliya20273 ай бұрын
Kwa namna hii kumbe bunge ndio limevunja sheria na sio Mpina ila sasa yeye ndiye anayeadhibiwa, kumbe waziri wa kilimo na waziri wa fedha ndio wamevunja sheria na kulidharau bunge ila sasa Mpina ndiye amedhibiwa hili bunge la chama kimoja linaharibu hili taifa ila hakuna chenye mwanzo kisichokua mwisho watakuja isha vibaya sana.
@ShabaniMukose3 ай бұрын
Wana sheria happy ndio mnaitajiwa kwenda mahakamani kumtetea ndungu mpina!
@AbdulmujibAhmed3 ай бұрын
Mabunge yetu haya ya nchi za kiafrica mtu ukiongea ukweli tu unakua mwiba kwa serikali husika mpina alikua mkweli sena ndohivyo alikosa sapota
@YasintaCharles-g8x3 ай бұрын
2025 itatoa majibu halisi ya Utawala bora .Ajira na maisha bora kwa kila mtanzania yanakuja
@SillinusNyanda3 ай бұрын
Nimeshindwa kuelewa kabisa.Mbunge msukuma mtu anasema kweli na unatetea bila aibu na mnatishia NEC.Hiii c sawa kabisa.
@magrethmbangama11993 ай бұрын
Huyu msukuma mimi nilikuwaga nampenda sana lkn toka kwenye DP WORD alivyo kuwa anatetea kwa nguvu zote kumbe kuna madudu ya kufa mtu nilimtoa maana kabisa.
@ephraimkabeya96483 ай бұрын
Rushwa hupofusha macho, penye rushwa akili nzuri hushindwa kufanya kazi
@hakiyangu3 ай бұрын
Wafanya biashara wa sukari kwa sasa wengi wao ni wabunge na ndio maana hawajali vilio vya wananchi na wanamuona mpina kama adui yao kwa kua anagusa maslahi yao 1kwa1. Mpina amehujumiwa kwa kuwambia ukweli wananchi.
@imaniandrea-ib6fy3 ай бұрын
nilini tutapata viongoz wazarendo natutawapataje mana viongoz wengi wanatete vyama vyao tu mim kama kijana mdogo waga naona nikama vyama havina faida yoyote asa kwenye Taifa kama la Tanzania linalojeng watu waumoja tunaposema dini makabila au ukanda najinsia vinagawa watu tusiache vyama pia nichanjo chakugawa watu hivyo cha ama ukabila dini kwatanzania no
@ShinjeMackenzie3 ай бұрын
Harafu anatokea mpumbavu mmoja amasema mpina apimwe afya ya hakir yeye ndiye anapaswa kupimwa maana kila kitu ndiyo mzee
@sospeterwan54363 ай бұрын
Gwanjima atetea ufisadi kwa kuleta vifungu vya biblia mpina yuko sahihi kaa jua
@ziadasadiki81963 ай бұрын
Tanzania 🇹🇿 nchi nzuri
@Aziz-p6s3 ай бұрын
Inamvuto
@rithaurassa2 ай бұрын
Safar viongoz mafisad wajiengue wenyewe kabla hawajaenguliwa.Hakika mim ndionimeona hivyo
@MosesMnyantope-zw4ed3 ай бұрын
Duh
@upendomokye68033 ай бұрын
Magufuli mtetezi wa wanyonge tumekukumbuka mno kifo shikamoo
@paulmteki81963 ай бұрын
Tunapoelekea sio pazuri, kwanza sinamuda na bunge kuangalia maana ni utoporo mtu ni watu wa masilayi yao sio wananchi
@ShinjeMackenzie3 ай бұрын
Tatizo watanzania hatujitambuwi kanisa ukifika uchaguzi yaani tunakuwa kama tumelogwa tunachaguwa viongozi wa ovyo tu kwa njaa,zetu
@amosdickson63183 ай бұрын
Umewachagua wewe au walijichagua na mwendazake
@JamesKanyenda-y9y3 ай бұрын
Wabungu wa ccm.ukimtoa gwajima.wengine wote katika jila la YESU kama MUNGU aishisho.awataludi bungeni 2025 wache tu wapge makofi Kwa kutetea ufisadi
@Aziz-p6s3 ай бұрын
Nchi yenye mvuto
@imanimahundi82933 ай бұрын
Nani msafi awe wakwanza kumpiga mwingine mawe?
@MenruphKahimba3 ай бұрын
Kaka iyo ndio ccm
@Felister-d4r3 ай бұрын
Kwani ninyi amjui kama kuna kifooo????
@VianeMakarious-lt3is3 ай бұрын
Nchi hii jamani!!!
@paulnsabi37793 ай бұрын
kwa hali hii mpina haponi kwa mkiti simiyu,kamati ya siasa mkoa kamati kuu taifa ukweli hali ya uchumi na bei ya bidhaa ni mbaya inapotokea janga ambalo lilitakiwa lishughulikiwe mapema linashughulikiwa kama zima Moto kupata ujiko
@marandoruzali19463 ай бұрын
Magu amka nchi hii imeshindikana
@DavidJosia3 ай бұрын
BONGO MATAMU
@HaulSidney3 ай бұрын
Awamu ya sita kichaka cha mafisadi
@victorkisenha59333 ай бұрын
Wew ni wakili msomi, sio AKINA SPIKA ALIEINGIZWA KWA MCHONGO, SASA KAMA MSUKUMA DARASA LA SABA ANAJUA SHERIA HAWA NDO WAPIGA MAKOFI , MBUMBUMBUUUUU!
@petermboje58392 ай бұрын
Nimekuelewa
@CharlesMwakaligita3 ай бұрын
Hili bunge walipita kibabe, sasa aliye wabeba katangulia. Patachimbika 25 nyie tufanyeni hatunazo!!
@rahimsadru-ct4ot3 ай бұрын
Watabebwa tena
@SaleheMkomwa3 ай бұрын
SELEKALI YA UKWELI ILIKUA YA ANKO MAGU BWSNA YAANI TUMEUZIWA SUKARI BEI KUBWA KISA WANAPIGA HELE WAO NA WABUNGE WANAKUA UPANDE WA KULE CC TUTUMIE KILO 6000
@nabiimgongolwa87283 ай бұрын
THE BEAUTIFUL ONES ARE NOT YET BORN......IT DOES NOT MEAN THAT THE BEUTIFUL ONES ARE NOT BEING BORN NO, BUT THEY ARE POLUTED BY CORRUPT SYSTEMS.....2025 IKO KAZI TENA KAZI KUBWA.
@AthanaseKiyoja3 ай бұрын
Spika unajifanya shera ni malli yako binafsi.Umeyakanyaga wewe na genge lako mtajuta .