BASHE AJICHANGANYA, AINGIA KWENYE 18 ZA LISSU, WIZI KWENYE SUKARI, RAIS SAMIA ATAJWA, JE KUJIUZULU?

  Рет қаралды 30,027

Mwanzo TV Plus

Mwanzo TV Plus

23 күн бұрын

#TANZANIA: Bashe ajichanganya kwa Lissu, sakata la wizi kwenye uagizaji wa sukari nchini, Rais Samia atajwa, je kujiuzulu?
Zaidi: • BASHE AJICHANGANYA, AI...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZbin Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 35
@DullahKalanje
@DullahKalanje 19 күн бұрын
Hongera sana mwamba tuombe katiba mpya ipite tu
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 5 күн бұрын
Hongera mwambia kila kitu wanatengeneza na viongozi na wenye makampuni ujanja ujanja tu
@omaryyusuph7877
@omaryyusuph7877 4 күн бұрын
✌️
@MagrethKatondo-qs9oz
@MagrethKatondo-qs9oz 5 күн бұрын
Mungu wangu. Mmmmh ee mungu tuonee huruma sisi wanyonge ambao tupo hapa duniani kwa mpango wako. Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa tuhurumie mungu.
@user-on5cj4mj6s
@user-on5cj4mj6s 19 күн бұрын
Ni pamoja na mafuta machafu ya Korie Badala ya kutumia mafuta ya Alizeti!
@valerianmtowe7822
@valerianmtowe7822 6 күн бұрын
Daaa ila hii ichi mmh ina,watu wa,hovyo xana kweli kama haina raisi vile dah shida kweli
@MatayoLekitonyi
@MatayoLekitonyi 9 күн бұрын
Uglier Wamasai ndugu zangu watanzania natumaini kwamba sana mambo vpi wazima usiku mwema kwako kila mtu ❤😮
@AthonySaimon
@AthonySaimon 18 күн бұрын
Hivi haya maambwa ya CCM hayana huruma kwa wananchi😢😢😢😢
@zhaozlyoung
@zhaozlyoung 22 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 20 күн бұрын
Mungu wangu duuu tutakoma
@kisinza6077
@kisinza6077 16 күн бұрын
Shida ni moja, TULIA spika ni moja ya wanamapigo, hadi yamtandike ndiyo akumbuke shuka kama NDUGAI, jamani hii nchi inahitaji jambo fulani lifanyike. MABEYO ulipo Mungu anakuona.
@SalambaPeter
@SalambaPeter 21 күн бұрын
Ccm ni mchwa tusipojiepusha nao watatumaliza ,lkn watanzania sijui nani ametuloga utaona tuawashangilia pamoja na wizi huu ee mungu utondolee ccm inatuangamiza
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 20 күн бұрын
Shida
@user-uh3eg5cj2r
@user-uh3eg5cj2r 22 күн бұрын
Kina Abdul tena! Dah! Ee MOLA utusaidie!
@user-hj3ky9zy6y
@user-hj3ky9zy6y 16 күн бұрын
Du! Hatari
@obednyagani506
@obednyagani506 20 күн бұрын
Pambana lissu tunakutegemea
@Mwalazanyi
@Mwalazanyi 8 күн бұрын
Tutajuana tu
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c 9 күн бұрын
Abdul naye🤔🤔🤔😂😂😂😂
@daudysanga8492
@daudysanga8492 21 күн бұрын
Huyu jamaa akili kutwa sana
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 20 күн бұрын
Viwanda vyetu viko WAP masikinn hata. Mungu hawaogopi
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 19 күн бұрын
Soma gazeti la MWANAHALISI LA JUNE 20, UONE UCHAFU WA BASHE NA CCM YAO.Watanzania amkeni, pigeni chini Samia na manyang'au wake .
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 22 күн бұрын
Serkali hiii!! "
@martinisadru9899
@martinisadru9899 22 күн бұрын
👍🇹🇿💪🔥
@amosdickson6318
@amosdickson6318 20 күн бұрын
Hii serikari itajifunza lini
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 17 күн бұрын
Mkuu kesi ya nyani utampelekea ngedere?
@binismail2029
@binismail2029 21 күн бұрын
Alipokuwepo Mzee Magu hamkuwa mnakejelikejeli. ILA nyny mlipaswa kukosoa kwa nguvu MOJA lakini sio kutoa maneno machafu
@amosdickson6318
@amosdickson6318 20 күн бұрын
Mbona unakuwa mjinga kwenye suala la kizalendo Acha ulevi huooo
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 22 күн бұрын
Hatar kubwa hii
@user-uh3eg5cj2r
@user-uh3eg5cj2r 22 күн бұрын
Jamani wanyonge tunapigwa nje ndani! Nchi sijui tutaponea wapi lkn tubadike tu watanzania tuwajaribu na vyama vingine tuwe wapumbavu Watz! No way out Bila hivyo twafaaaaaaaaa!
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 8 күн бұрын
KUNDULISU shujaa
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 13 күн бұрын
LISSU amekuwa KASUKU tu,kazi kurukia maneno!!
@juliuskitomari3057
@juliuskitomari3057 21 күн бұрын
Sisemi tuandamane,lkn wenzentu Kenya wanaandamana kupinga Bujeti,sisi tunapiga makofi tuu hapa huku wajanja wanakula vyetu
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 20 күн бұрын
Wewe mama tuoneee huruma kdg duuuuu
@allymusira2153
@allymusira2153 19 күн бұрын
Siasa za kijinga kwahiyo mlitaka afanyeje
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
LIVE: Lok Sabha proceedings
2:26:47
ThePrint
Рет қаралды 12 М.