Raisi ambaya alikuwa wa mvuto wa uongoz n magufuli
@aloycemisigalo39833 ай бұрын
Mpina umekuwa mtetezi wa wananchi, mimi kipindi cha nyuma niliona kama Bashe ndio alikuwa mtetezi, baada ya huu ufisadi ulio jitokeza kwenye sector yake nimeamini kuwa Bashe hafai kuwa hata barozi wa nyumba kumi.
@JosephatMsukuma11 күн бұрын
Kumbe we umefuatilia asante sana
@TitoNgomuo4 ай бұрын
Uko sahihi mzee Baba,,huu ndio uhuni wanaoifanyia Tanzania kwa maslahi yao binafs
@lameckbalekere19624 ай бұрын
Mpina uko vizuri sana mana tutaletewa mpaka sukari ya katani
@PatsonMbugh3 ай бұрын
Mpn umetipa jiwe gizan waliopgwa wanahamgaika
@TuntufyeBrayson4 ай бұрын
Mpina unajua sana kijana endelea uko vizuri
@NyasiluNyasilu-dl9yi2 ай бұрын
Kweli baba kazi nzuri unafanya
@PauloLeonard-ol5oo3 ай бұрын
Kaka kuna watu wanataman wakupoteze lakini hawataweza mungu aishivyo mahali palipoinuka hawataweza in Jesus name,ukweli lazima usemwe tena wazi wazi bila kificho na kila kilichositilika kitafunuliwa. bado kitambo kidogo Mungu atajibu maombi ya watanzania,tuko nyuma yako daima mpaka ukamilifu wa dahali.
@SamwelShigemelo-e1y3 ай бұрын
Hapa ka umenena mbunge wangu..... Kisesa oyeee
@medlucas56864 ай бұрын
Hi nchi bwana huyu bashe wakati sio waziri alikuwa anajenga hoja mpaka tukaomba apewe uwaziri Sasa hivi nataman huyu mwamba awe wazir
@sundaystanley53224 ай бұрын
Huyu bashe ni tajiri na anaiba kuongeza utajiri wake,lkn pia huyu sio raia wa nchi hii,ukweli hana uchungu na watanzania,
@adrianomaulaga15993 ай бұрын
Huyu mpina nae alishawahi kuwa waziri nae hamna kitu
@mejamiela74364 ай бұрын
Bashe nakukubali ila kwa hili jitafakali
@InnoRwabutit-wh7du3 ай бұрын
We ndo unafaha kuwa Rais kabsa
@TitoNgomuo4 ай бұрын
Watu wanateseka,,mawaziri wanatengeneza gep kuonyesha kuna shida kumbe wapi dili zao tuuuu
@bmdele58164 ай бұрын
Mpinaaaaaaaaa!.. Sema kweli kweli na iwe kweli!..
@TitoNgomuo4 ай бұрын
Wako kazin sio kuwaletea wananchi maendeleo ila kujaza matumbo yao,,alaf kiongozi wa juu anawalinda
@eliasemmanuel32953 ай бұрын
Vita ya kiuchumi ni ngumu sana Mh. Mpina, watakukata kugombea ubunge ila kumbk wananchi ndio waamuzi wa nani awe... Simamia ukweli na wanachi tutasimama na wewe💪💪
@AthamanRamadhani3 ай бұрын
mtasema naye kivip wkt kina lake litakuwa limekatwa asigombee kabisa
@MalijasJRCharles-vl2rq3 ай бұрын
mpina pambana na ujue mmebaki wabunge wachache wenye akili ccm hpo Bungeni, mungu akutangulie Ngosha.
@bcozhenry26984 ай бұрын
Jamani hili li Mpina lina akili nyingi na lifuatiliaji la masuala yanayohusu maisha ya watu wa taifa hili. Lipatiwe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@philemonkivuyo21843 ай бұрын
Hapo uko sawa,shida moja ya hapo Tz yetu ni tamaa za ulavi wa madaraka ya kichama kimoja
@revocatussebastian24273 ай бұрын
Hapo utawala wamama wamechukia kumuongelea magufuli
@coolruler68204 ай бұрын
Lisu kila siku anasema kuhusu Bashe,,,sasa mpina kaja na nyaraka kabisa na ushahidi
@ahmadmzoa742 ай бұрын
Hamna kitu ila "husda".Tactics za kupanga na kurudia rudia mpaka kwa watu wenye taswira hafifu kuona kama kuna uhalisia. Haya mambo yapo duniani lakini:"can not reach far ".MOLA MTUKUFU ndo Muweza wa yote.
@romaycer3 ай бұрын
Nasimama na Mpina
@omaryyusuph78773 ай бұрын
Mpina we waache 2025 sio mbali watajua kurukaruka kwa maarage ndio kuiva kwake maisha magumu sana .
@AugustKisaka-qy7kl3 ай бұрын
Wizara na, bodi ichunguzwe na watoe majibu na nini chakufanya.
@LucianSanga-q8j3 ай бұрын
Mpina yupo sahihi sana Apewe maua yake🎉
@sasha-ri7tf4 ай бұрын
Wadandia hoja wakalia kumbi la moto ni zaid ya "Lazaro Nyalandu" Chadema mjifunze kutokana na nyakati zilizopita.
@lanezboy70164 ай бұрын
Mpina one more time
@emanuelpeter24893 ай бұрын
Kwa hyo mla rushwa si atajwe jina ili wananchi tujitokeze apite hv shida ni kwamba huwa mnamjua mtu asiyejulikana
@Focusm-se2sd3 ай бұрын
Huko sahihi kabisa hata sisi tumesikia
@danielndam59973 ай бұрын
Ccm wanambunge mmoja tu ndani ya bunge
@AugustinoChalamo3 ай бұрын
Kaka hukweli siku zote humuwekatubwazi wape maneno
@omariabeid32913 ай бұрын
Hii ndio Tz chini ya uongozi imara wa CCM mambo yanasonga bila shida.CCM hoyyeee
@blockchain12034 ай бұрын
Hili swala Ukiangalia kwa Haraka Utahitimisha Ila Ni la Muda mrefu sana Kati ya Mpina Na Bashe isitoshe Bashe Hanaga Positive kila siku bahati mbaya hata Yeye sio mkamilifu Kabisa wana mhifadhi tu hata enzi za Uwaziri wake Alipiga Sana Tu Ma ardhi kwa Ardhi kibao..Hii ni vita kwa Mgongo wa sukari Ila The end will Justify 🚶🚶
Mpina ukabira unakusumbua Sana na ukanda na ndo maana sukuma gen ulipigwa bom
@KamwandaNzowa-eo4ur4 ай бұрын
Mimi naona ni vema Makapuni binafsi kuagiza kuliko ilivyosasa
@MarioNdanzi-kp9hp3 ай бұрын
Baba mpina tutakulinda
@mzeebabumzee3 ай бұрын
endelea kutu toa matongo tongo mpina
@simonkomba58753 ай бұрын
Vema kuwa na viongozi imara wenye kutetea wanachi wote, hususani wanyoge kama super late president 😢 JPM😢
@jumanneselemani21723 ай бұрын
Mbona bei ilikuwa juu kama hatukua na uhitaji mkubwa wa sukari.
@abelnikolas4 ай бұрын
Tuko nyuma yako bro
@Shokolokobango93853 ай бұрын
Daah yan sukari ime eksipaya wanaitoa kwenye ile mifuko wanaiweka kwenye mifuko mingine alafu tunauziwa wanaatuua kumbe ndio maana maradh ya presha na aina nyngine yamekua mengi yan viongozi wetu wanatulisha sumu daaah
@frankliston21363 ай бұрын
Namuumga mkono mpina
@jumanneselemani21723 ай бұрын
NI VIZURI KUSIKILZA PANDE MBIL ILI KUTOA KUTOA HUKUMU MM NAONA BASHE NI MZALENDO WA KWELI.
@EzekiaMtwale3 ай бұрын
hakuna Cha uzalendo hapo kwa huyo waziri wenu!
@DenisonTheonest-yj3mk4 ай бұрын
Mweshimiwa mpina hamia chadema usichangamane na wezi hao
@OmmyJames-xn7ji4 ай бұрын
Kama padre SLAA😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@michaelmabula74444 ай бұрын
Agombee urais 2025 nje ya ccm
@NicolasiLuhende4 ай бұрын
Ni kweli hadi dawa tuna usiwa muda umeisha hadi huruma
@Mussa-id9jb3 ай бұрын
Hakika we ni martens 😅
@KHALIDKIRAMA-iq6en3 ай бұрын
Hawa Mimi siwaamini hata mmoja, kwasababu wote ni chama kimoja, wamejipanga huko ili kuja kuchezaa na Akili zetu
@jitihadazacharia88904 ай бұрын
Huyu jamaaa kama anaingia
@omarikhalfan10794 ай бұрын
Hivi kwanini mnagombea fito wakati mnajenga nyumba moja?
@AbshirMubaarack4 ай бұрын
Inapendeza zaid hata km wanajenga nyumba 1,bd wanahitajika kuchalenjiana
@albertinamichael61234 ай бұрын
Viongozi wote wa CCM ni mafisadi majizi.
@janiafaomaa51203 ай бұрын
MPINA KAFIYA MKIYA BADA WAZIRI WA MIFUGO WAZIRI KOLEGA BUGENI ANASEMA NILIKUWA NAIBU WAZIRI KWA MPINDA ANAYAKE ALIOYAFAYA MABAYA WAKATI YUKO WAZIRI KWAHIYO SIWEZI KUYASEMA HAPA BUGENI NIAIBUKUBWA KWAHIYO MPINA ALIPOKUWA WAZIRI WA MIFUGO PIYA KUNA MACHAFU ALIYAFAYA
@jumanneselemani21723 ай бұрын
TUNAHITAJI SUKARI IWE NYINGI.IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI TUPATE UNAFUU
@wilfredywilhelm14263 ай бұрын
Hiyo ambayo imeshaagizwa na imeshaletwa imekupunguzia bei? Maneno ya mawaziri ni ya kukutia moyo tuu lkn sii utekelezaji. Wanatamka namna wakijua mahala pa kupigia hela