MPINA AMKAANGA VIBAYA SANA WAZIRI BASHE, ATUMIA RIPOTI ya CAG na HOTUBA ya MAGUFULI, AWEKA USHAHIDI.

  Рет қаралды 29,996

HABARIMPYA TV

HABARIMPYA TV

Күн бұрын

Пікірлер: 82
@mejamiela7436
@mejamiela7436 4 ай бұрын
Raisi ambaya alikuwa wa mvuto wa uongoz n magufuli
@aloycemisigalo3983
@aloycemisigalo3983 3 ай бұрын
Mpina umekuwa mtetezi wa wananchi, mimi kipindi cha nyuma niliona kama Bashe ndio alikuwa mtetezi, baada ya huu ufisadi ulio jitokeza kwenye sector yake nimeamini kuwa Bashe hafai kuwa hata barozi wa nyumba kumi.
@JosephatMsukuma
@JosephatMsukuma 11 күн бұрын
Kumbe we umefuatilia asante sana
@TitoNgomuo
@TitoNgomuo 4 ай бұрын
Uko sahihi mzee Baba,,huu ndio uhuni wanaoifanyia Tanzania kwa maslahi yao binafs
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 4 ай бұрын
Mpina uko vizuri sana mana tutaletewa mpaka sukari ya katani
@PatsonMbugh
@PatsonMbugh 3 ай бұрын
Mpn umetipa jiwe gizan waliopgwa wanahamgaika
@TuntufyeBrayson
@TuntufyeBrayson 4 ай бұрын
Mpina unajua sana kijana endelea uko vizuri
@NyasiluNyasilu-dl9yi
@NyasiluNyasilu-dl9yi 2 ай бұрын
Kweli baba kazi nzuri unafanya
@PauloLeonard-ol5oo
@PauloLeonard-ol5oo 3 ай бұрын
Kaka kuna watu wanataman wakupoteze lakini hawataweza mungu aishivyo mahali palipoinuka hawataweza in Jesus name,ukweli lazima usemwe tena wazi wazi bila kificho na kila kilichositilika kitafunuliwa. bado kitambo kidogo Mungu atajibu maombi ya watanzania,tuko nyuma yako daima mpaka ukamilifu wa dahali.
@SamwelShigemelo-e1y
@SamwelShigemelo-e1y 3 ай бұрын
Hapa ka umenena mbunge wangu..... Kisesa oyeee
@medlucas5686
@medlucas5686 4 ай бұрын
Hi nchi bwana huyu bashe wakati sio waziri alikuwa anajenga hoja mpaka tukaomba apewe uwaziri Sasa hivi nataman huyu mwamba awe wazir
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 4 ай бұрын
Huyu bashe ni tajiri na anaiba kuongeza utajiri wake,lkn pia huyu sio raia wa nchi hii,ukweli hana uchungu na watanzania,
@adrianomaulaga1599
@adrianomaulaga1599 3 ай бұрын
Huyu mpina nae alishawahi kuwa waziri nae hamna kitu
@mejamiela7436
@mejamiela7436 4 ай бұрын
Bashe nakukubali ila kwa hili jitafakali
@InnoRwabutit-wh7du
@InnoRwabutit-wh7du 3 ай бұрын
We ndo unafaha kuwa Rais kabsa
@TitoNgomuo
@TitoNgomuo 4 ай бұрын
Watu wanateseka,,mawaziri wanatengeneza gep kuonyesha kuna shida kumbe wapi dili zao tuuuu
@bmdele5816
@bmdele5816 4 ай бұрын
Mpinaaaaaaaaa!.. Sema kweli kweli na iwe kweli!..
@TitoNgomuo
@TitoNgomuo 4 ай бұрын
Wako kazin sio kuwaletea wananchi maendeleo ila kujaza matumbo yao,,alaf kiongozi wa juu anawalinda
@eliasemmanuel3295
@eliasemmanuel3295 3 ай бұрын
Vita ya kiuchumi ni ngumu sana Mh. Mpina, watakukata kugombea ubunge ila kumbk wananchi ndio waamuzi wa nani awe... Simamia ukweli na wanachi tutasimama na wewe💪💪
@AthamanRamadhani
@AthamanRamadhani 3 ай бұрын
mtasema naye kivip wkt kina lake litakuwa limekatwa asigombee kabisa
@MalijasJRCharles-vl2rq
@MalijasJRCharles-vl2rq 3 ай бұрын
mpina pambana na ujue mmebaki wabunge wachache wenye akili ccm hpo Bungeni, mungu akutangulie Ngosha.
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 4 ай бұрын
Jamani hili li Mpina lina akili nyingi na lifuatiliaji la masuala yanayohusu maisha ya watu wa taifa hili. Lipatiwe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@philemonkivuyo2184
@philemonkivuyo2184 3 ай бұрын
Hapo uko sawa,shida moja ya hapo Tz yetu ni tamaa za ulavi wa madaraka ya kichama kimoja
@revocatussebastian2427
@revocatussebastian2427 3 ай бұрын
Hapo utawala wamama wamechukia kumuongelea magufuli
@coolruler6820
@coolruler6820 4 ай бұрын
Lisu kila siku anasema kuhusu Bashe,,,sasa mpina kaja na nyaraka kabisa na ushahidi
@ahmadmzoa74
@ahmadmzoa74 2 ай бұрын
Hamna kitu ila "husda".Tactics za kupanga na kurudia rudia mpaka kwa watu wenye taswira hafifu kuona kama kuna uhalisia. Haya mambo yapo duniani lakini:"can not reach far ".MOLA MTUKUFU ndo Muweza wa yote.
@romaycer
@romaycer 3 ай бұрын
Nasimama na Mpina
@omaryyusuph7877
@omaryyusuph7877 3 ай бұрын
Mpina we waache 2025 sio mbali watajua kurukaruka kwa maarage ndio kuiva kwake maisha magumu sana .
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 3 ай бұрын
Wizara na, bodi ichunguzwe na watoe majibu na nini chakufanya.
@LucianSanga-q8j
@LucianSanga-q8j 3 ай бұрын
Mpina yupo sahihi sana Apewe maua yake🎉
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 4 ай бұрын
Wadandia hoja wakalia kumbi la moto ni zaid ya "Lazaro Nyalandu" Chadema mjifunze kutokana na nyakati zilizopita.
@lanezboy7016
@lanezboy7016 4 ай бұрын
Mpina one more time
@emanuelpeter2489
@emanuelpeter2489 3 ай бұрын
Kwa hyo mla rushwa si atajwe jina ili wananchi tujitokeze apite hv shida ni kwamba huwa mnamjua mtu asiyejulikana
@Focusm-se2sd
@Focusm-se2sd 3 ай бұрын
Huko sahihi kabisa hata sisi tumesikia
@danielndam5997
@danielndam5997 3 ай бұрын
Ccm wanambunge mmoja tu ndani ya bunge
@AugustinoChalamo
@AugustinoChalamo 3 ай бұрын
Kaka hukweli siku zote humuwekatubwazi wape maneno
@omariabeid3291
@omariabeid3291 3 ай бұрын
Hii ndio Tz chini ya uongozi imara wa CCM mambo yanasonga bila shida.CCM hoyyeee
@blockchain1203
@blockchain1203 4 ай бұрын
Hili swala Ukiangalia kwa Haraka Utahitimisha Ila Ni la Muda mrefu sana Kati ya Mpina Na Bashe isitoshe Bashe Hanaga Positive kila siku bahati mbaya hata Yeye sio mkamilifu Kabisa wana mhifadhi tu hata enzi za Uwaziri wake Alipiga Sana Tu Ma ardhi kwa Ardhi kibao..Hii ni vita kwa Mgongo wa sukari Ila The end will Justify 🚶🚶
@MichaelJohn-x4u
@MichaelJohn-x4u 3 ай бұрын
Naomba wizara ichunguzwe tupewe majibu
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 3 ай бұрын
Maandamano yakianza mnishitue
@frankwakungwa906
@frankwakungwa906 4 ай бұрын
😮
@EmmanuelKazimili-ky1ss
@EmmanuelKazimili-ky1ss 3 ай бұрын
watanzania tuko na wewe kiongozi mpina kaza moyo watanzania tuko nawe
@jamespeter2187
@jamespeter2187 4 ай бұрын
Mpina ukabira unakusumbua Sana na ukanda na ndo maana sukuma gen ulipigwa bom
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 4 ай бұрын
Mimi naona ni vema Makapuni binafsi kuagiza kuliko ilivyosasa
@MarioNdanzi-kp9hp
@MarioNdanzi-kp9hp 3 ай бұрын
Baba mpina tutakulinda
@mzeebabumzee
@mzeebabumzee 3 ай бұрын
endelea kutu toa matongo tongo mpina
@simonkomba5875
@simonkomba5875 3 ай бұрын
Vema kuwa na viongozi imara wenye kutetea wanachi wote, hususani wanyoge kama super late president 😢 JPM😢
@jumanneselemani2172
@jumanneselemani2172 3 ай бұрын
Mbona bei ilikuwa juu kama hatukua na uhitaji mkubwa wa sukari.
@abelnikolas
@abelnikolas 4 ай бұрын
Tuko nyuma yako bro
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 3 ай бұрын
Daah yan sukari ime eksipaya wanaitoa kwenye ile mifuko wanaiweka kwenye mifuko mingine alafu tunauziwa wanaatuua kumbe ndio maana maradh ya presha na aina nyngine yamekua mengi yan viongozi wetu wanatulisha sumu daaah
@frankliston2136
@frankliston2136 3 ай бұрын
Namuumga mkono mpina
@jumanneselemani2172
@jumanneselemani2172 3 ай бұрын
NI VIZURI KUSIKILZA PANDE MBIL ILI KUTOA KUTOA HUKUMU MM NAONA BASHE NI MZALENDO WA KWELI.
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 3 ай бұрын
hakuna Cha uzalendo hapo kwa huyo waziri wenu!
@DenisonTheonest-yj3mk
@DenisonTheonest-yj3mk 4 ай бұрын
Mweshimiwa mpina hamia chadema usichangamane na wezi hao
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 4 ай бұрын
Kama padre SLAA😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@michaelmabula7444
@michaelmabula7444 4 ай бұрын
Agombee urais 2025 nje ya ccm
@NicolasiLuhende
@NicolasiLuhende 4 ай бұрын
Ni kweli hadi dawa tuna usiwa muda umeisha hadi huruma
@Mussa-id9jb
@Mussa-id9jb 3 ай бұрын
Hakika we ni martens 😅
@KHALIDKIRAMA-iq6en
@KHALIDKIRAMA-iq6en 3 ай бұрын
Hawa Mimi siwaamini hata mmoja, kwasababu wote ni chama kimoja, wamejipanga huko ili kuja kuchezaa na Akili zetu
@jitihadazacharia8890
@jitihadazacharia8890 4 ай бұрын
Huyu jamaaa kama anaingia
@omarikhalfan1079
@omarikhalfan1079 4 ай бұрын
Hivi kwanini mnagombea fito wakati mnajenga nyumba moja?
@AbshirMubaarack
@AbshirMubaarack 4 ай бұрын
Inapendeza zaid hata km wanajenga nyumba 1,bd wanahitajika kuchalenjiana
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 4 ай бұрын
Viongozi wote wa CCM ni mafisadi majizi.
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 3 ай бұрын
MPINA KAFIYA MKIYA BADA WAZIRI WA MIFUGO WAZIRI KOLEGA BUGENI ANASEMA NILIKUWA NAIBU WAZIRI KWA MPINDA ANAYAKE ALIOYAFAYA MABAYA WAKATI YUKO WAZIRI KWAHIYO SIWEZI KUYASEMA HAPA BUGENI NIAIBUKUBWA KWAHIYO MPINA ALIPOKUWA WAZIRI WA MIFUGO PIYA KUNA MACHAFU ALIYAFAYA
@jumanneselemani2172
@jumanneselemani2172 3 ай бұрын
TUNAHITAJI SUKARI IWE NYINGI.IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI TUPATE UNAFUU
@wilfredywilhelm1426
@wilfredywilhelm1426 3 ай бұрын
Hiyo ambayo imeshaagizwa na imeshaletwa imekupunguzia bei? Maneno ya mawaziri ni ya kukutia moyo tuu lkn sii utekelezaji. Wanatamka namna wakijua mahala pa kupigia hela
@mindicarrashid3131
@mindicarrashid3131 4 ай бұрын
Nukuu yamagu, sio bibilia wala msaafu😂
@francismadirisha3511
@francismadirisha3511 4 ай бұрын
Huna lolote wewe unayemchukia luhanga mona Yuko vizur
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 3 ай бұрын
KWAHIYO TUSHA JUWA MPINA KUPANIKI BADA YA KUONDOLEWA UWAZIRI
@AmiriAmiri-x2z
@AmiriAmiri-x2z 3 ай бұрын
akili ndogo na uelewa mdogo.lakin mpina hafananishwi na vitu vya ajabu.ndoo mbunge alie baki ccm.wengine ni kusifia sifia.tu
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 4 ай бұрын
Kuna tatzo gani linalo fanya mbunge huyu asipewe uwaziri au tz wasaliti ndo mhimu kuliko wazelendo??????
@EmmanuelMatogolo-l2y
@EmmanuelMatogolo-l2y 4 ай бұрын
Watanzania hatupendi watu kama hawa wasema kweli kama mh. Mpina
@mohdkhamis2914
@mohdkhamis2914 4 ай бұрын
Mbona alikua waziri yakamshinda usishuhulike nankelele izo wakipewa wa uwaziri wanakaa kimnya hakuna wanalolifanya
@AmnaayMalley
@AmnaayMalley 4 ай бұрын
Wewe unamchafua san waziri wetu ambaya nikioo, taa na mwanaga wa Taifa letu! Au uataka wizara hiyo?
@danielsamwel9012
@danielsamwel9012 4 ай бұрын
Jitafakari na wewe😂😂😂
@ZainabuBakari-yb4vj
@ZainabuBakari-yb4vj 4 ай бұрын
Huna hoja ,nyavu zetu ulichoma,koma kabisa kumgusa bashe,bidhaa zikiwa nyingi bei itashuka,wewe vp
@NathanKanick
@NathanKanick 4 ай бұрын
Hujitambui
@TitoNgomuo
@TitoNgomuo 4 ай бұрын
Fikiria sawasawa bado hujafikiri vizur
@lanezboy7016
@lanezboy7016 4 ай бұрын
Tako lako
@NABSONLAMECK
@NABSONLAMECK 3 ай бұрын
Mpina yupo sahihi tena kabisa
@EdiTulawuthwa
@EdiTulawuthwa 3 ай бұрын
Alichoma nyavu kwa mujibu wa sheria
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 8 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56