Mweshimiwa shigogo nime kuerewa sana ntafanyia kazii
@IgnassSwa-gd9iy25 күн бұрын
Erick shigongo baba angu nakuomba no yako...naomba Sana baba angu usipuuze
@omaryisingo569721 күн бұрын
❤❤❤❤❤😅
@Mapenzi263527 күн бұрын
Hongera sana, Mh. E. Shigongo
@SamwelSenwa4 күн бұрын
Mafunzo mazurii
@masomekitwala37584 күн бұрын
Amen
@user-uy1df5so8c5 күн бұрын
Mafunzo mazuri kabisa haya🎉
@user-rw4qn6zh6nАй бұрын
Very correct yaani ukiwa mwaminifu bas wew ni tajr tyr
@EdwardSamson-uf1ee29 күн бұрын
Eric Shingongo. One of the the best Author ever known
@MUSAMSAFIRI-th3gi3 күн бұрын
Asante sana🙏
@shukranjulius952621 күн бұрын
Ujumbe umenibariki😢😢 naanza leo kutokuwa na matumizi yasiyo na lazima
@hamasikatv10 күн бұрын
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@rehemadaudi439025 күн бұрын
Yaani nisoma magareti yako Kila siku, uko good sana
@MwanzalimaLeonard20 күн бұрын
Ni mwanga mzur wenye kutoa hamasa!
@EdwardSamson-uf1ee29 күн бұрын
Moja kati ya kitu wazazi wa kiafrika wanacho sahau kabisaa ni kutozingatia vipawa na talent za watoto wao. tunapoteza watu wakubwa wengi sana kwa kutokutambua nini ni bora na mtoto anaweza kufanya. kipaji ni kitu mtu anachoweza kufanya bila ugumu(kwa urahisi) . kuna watoto wengi hawawezi hata kuongea, ila kuna watoto wanaweza kusimama hata mbele ya kanisa au msikiti mzima na kuongea bila woga wala kusita sita. huo ni mfano wa kimoja tu kati ya vingi wazazi na walezi wasivyo viona. Kuna mtoto anakimbia kila sehemu akitumwa hata iwe karibu kiasi gani ataenda anakimbia na atarudi ana kimbia hata liwe jua kali la saa saba. lakini hakuna anae zingatia hayo. kila mtu ana focus na Sayansi tuuu, kumbe kuna utajiri mkubwa ambao kila mtu Mungu amempa kupitia kipaji. KIPAJI NI ZAWDI KUU NA YA THAMANI MNO AMBAYO MTU HUPEWA NA MUNGU . KIPAJI
@judithsalvatory289226 күн бұрын
Yaani huwa unibariki sana❤❤❤God bless you
@Thisislilian27 күн бұрын
This is so powerful
@eddahhawa747129 күн бұрын
Asante sana🫶🙏
@user-kl5ji9ue2q27 күн бұрын
Mungu ni mkuu Sana 🙏 🙏 🙏 🙏
@RynoFiree28 күн бұрын
Inspired speech Mungu akubariki Sana kaka Shigongo
@euniestherwilliam151325 күн бұрын
Ahsante Eric Be blessed
@user-hv6qw2zw2y29 күн бұрын
Asante sana kiongozi
@Magdalena-tz7uk27 күн бұрын
Shukran 🙏 kwamafunzo mazuri
@neemaemanuel771527 күн бұрын
Fact sana ,ahsante
@user-oc2zp6cg3z29 күн бұрын
Great advise Wiseman👊
@rodamakalwe57Ай бұрын
Nataman sana nipate hata namba yako
@masomekitwala37584 күн бұрын
Tulikutana Lamadi,( sereñgeti) tuliongea mengi,plz nisaidie no yako