Asante kaka niko Kenya na nimekufatilia Kwa miezi mtatu na nashukru nimefanya Mambo ambayo nilikua siyawezi be blessed brother
@zinhotz5366 Жыл бұрын
Binafsi nikushukuru sana Mimi ni dereva boda boda actually niseme natumia pesa ovyo sana nimejiwekea kiwango kidogo sana Cha shilingi ELFU kumi niweke Kila siku kwenye kazi yangu najiwekea Ndani kwangu ila haiputi siku Tano Nisha chukua so now umenipa njia nzuri na sahihi za kutunza pesa be blessed 🤌
@AshaMaulid-je6dq11 ай бұрын
Pmk
@saidsaido80645 ай бұрын
Boss amekuona
@RoseMbwanaАй бұрын
Asante.. mimi nimetafua watu 10 kila trh30 kila mmoja anatoa laki moja
@khamisomary742826 күн бұрын
Na tena tumia fixed account
@LincolnMoshi16 күн бұрын
❤❤❤ Bank ya NBC Malengo inasaidia sana utoi pesa mpaka miez 6 nimeijaribu maana M Pesa imenishinda natumia pesa nyng MB na kubeti😮
@AbubakariYahaya-ej9mc13 күн бұрын
Hilo la mb na kubeti ni msiba kqetu
@tukaesanatu2754Ай бұрын
asante joel,ila mimi nitakuomba wewe unisimamie ,,,,najua una kazi nyingi sana still nitakuomba wewe kila mwezi unanifatilia
@mariamnestory55432 ай бұрын
Binafsi napenda kukushukuru sana kupitia hili SoMo nmejifunza kitu katika maisha na nitaishi kwenye hii mikakati
@khadijakisingo7920 Жыл бұрын
Kaka Joel nimeyaona matunda kupitia ww una mchango mkubwa sana ktk mafanikio yng haswa 2021 -2022 alhamdulillah nimeongezwa mshahara pia Nina account bank nakushukuru pia namshukuru mungu 🙏💖💖💖
@halimayahaya5558Ай бұрын
Nashkuru mungu kwenye hizi njia zote nimepita and thank you 🙏
@tukaesanatu2754 Жыл бұрын
Joel asante kwa kutufundisha maisha yaani wewe kaka mungu peke yake aendelee kukutunza na kukubariki zaidi unafundisha vizuri sana nafatilia sana video zako.
@yahyahadji21 Жыл бұрын
Nidhamu ya fedha ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo maishani
@king-gtv2010 Жыл бұрын
Yan kaka Joel mungu akubaliki sana ❤🙏🙏🌎 uzidi kwenda viwango vya kimataifa 🌎🌎⛪️
@alexmushi6017 Жыл бұрын
Hakika
@hamadnassor2523 Жыл бұрын
Hongera kaka tunajivunia kwa class zako
@JustaTz2 ай бұрын
🙏🙏
@patelnay41249 ай бұрын
Mungu akubariki Sana,am learning a lot from you,na niseme tu hivi Sasa Nina uwezo wa kujiwekea akiba na kufanya vitu vya maana kupitia wewe, seminar zako na kitabu Cha money formula vimeniboost Sana🙏🏼🙏🏼
@king-gtv2010 Жыл бұрын
Nakukubali sana kaka Joel my Tz mentor I wish Nikuone one day 🙏❤️❤️
@soccerupdates5 Жыл бұрын
Nimepata hamasa kubwa Kwa hili fundisho lako, Lazima niyafanyie kazi mwaka huu 2023
@LovelyOutdoors-wd5nh2 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,mimi napenda kutumia njia ya kikoba nilichopata hapo ninunue vitu vya jumla nimechoka na rejareja
@MwasiMhango2 ай бұрын
Since i started following your classes, you have been such a big help kwenye maisha yangu hasa kifedha.Mungu akubariki
@user-oi8cn7hw8y11 ай бұрын
Thanks my friend for your advice God bless you
@user-fy4tl2te2r4 ай бұрын
Asante sana Kwa elimu nzuri hakika... Mungu akubariki
@lightnessmachua6587 Жыл бұрын
Kaka Joel , Asante Sana kwa mafundisho yako,mm Nina akaunti ya akiba na vikoba.
@omarimtau5162 Жыл бұрын
Ahsanteee Broo nanauka kwa kutewa kwenye njia kuu juu ya nidhamu ya fedha.. njia zote ni nzuri na muhimu sana kuzitumia lakini mimi ningependa kuanza na njia ya kumshirikisha mtu nnae muheshimu na kuweka akiba,, naamini zitanisaidia kama ntazifuata kikamilifu.. **Ubarikiwe sana kwa masaada wako kwenye jamii**
@mariamzambi1995 Жыл бұрын
Amina sana. Nimeipenda hii njia ya kuwa na account bila ATM CARD. ubarikiwe sana . Acc ya WADU POSTA.
@fridalifa7575 Жыл бұрын
Nakuelewa sana brother @Joel Nanauka. Binafsi umenitoa mbali sana kuhusiana na nidhamu ya kifedha. Naendelea kujifunza zaidi🙏🙏
@osangoamosi4355 Жыл бұрын
Ahxante sanaa Mr Joel nanauka, hakika umetupa somo bora sanaa MUNGU AKUBARIKI,WEWE NI MTU MHIMU SANAA KTK HII JAMII MUNGU AKUBARIK SANAA
@jumabakary516610 ай бұрын
😊😊
@chrismassawe2939 Жыл бұрын
Shukran sana kiongozi kwa Elimu
@martinenkingwa1757 Жыл бұрын
Hongera bro kwa kazi nzuri unayofanya. Maana unatujenga kifikra,mitazamo ili tuache yasiyofaa tuimarishe Hali zetu.
@LadouceKulimushi-qb5oeАй бұрын
Asante nimejufunza kwa mafundisho
@joycekyando5321 Жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri nitaufanyia kazi japo nimechelewa
@OscarKalinga-zt3bk3 ай бұрын
More thanks
@shabanabdallah3766 ай бұрын
Shukran sana Brother Darasa limeeleweka vzur unastahili maua yako.
@rabiaiddi2884 Жыл бұрын
Hongera sana brother kwa somo zuri hata mimi vikoba vimenisaidia sana kwakweli 🙏🏼
@user-qe3lo3rn8p9 ай бұрын
Asante kwa ushauri, naendelea kujifunza
@jamesngasi7252 Жыл бұрын
Asante sana kaka leo nimekusikiliza na lipoti ijayo kwa neema ya Mungu itakuwa ni ushuhuda
@ashaidd2912 Жыл бұрын
Be blessed nakukubali sana ndugu shukran
@priscashairock26794 ай бұрын
MUNGU akubariki Sana our mentor..
@user-re2jl5rn4h9 ай бұрын
Asante kiongozi kwa kifungua vichwa vya wengi
@brackskinyozi328012 күн бұрын
Asante sana coach Joel
@alexmushi6017 Жыл бұрын
Shukrani kiongozi Nanauka tuko pamoj
@babybhalo8723 Жыл бұрын
Asantee 🙏🙏🙏🙏
@HeneryKhamisАй бұрын
asante sana nashukuru
@etiennenebus4087 Жыл бұрын
Asante sana baba Joel nanauka
@winfridaadam7951 Жыл бұрын
Nashukur sana kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa kwani nilikuwa sina utumiaji wa pesa vzr ilaa umenifungua sanaa akili yangu tangia nianze kufatiria ndundishi yako. Barikia sana 🙏🙏
@NeboSaulo26 күн бұрын
Be blessed
@jerolily3 ай бұрын
Asante sana bro .i have learned A lot 🙏🙏
@julietmateru57899 ай бұрын
Ubarikiwe Kaka!mafundisho yako mazuri sana
@sephaniachaula103010 ай бұрын
Nashukuru sana mungu akubarik sana
@thejames2649 Жыл бұрын
Thank you
@MakrinaPius3 ай бұрын
Asante sana na ubatikewe🙏🏼
@lebahatikeiya8666 Жыл бұрын
Asante sana brother nimejifunza mengi sana kwako toka nikufahamu
@GloryKakole2 ай бұрын
Njia ninayoona ni best kwangu ni kuweka ikiba kwa upatu na kufanya manunuzi ya ujumla... Ahsante sana kaka🙏🙏
@AbduMadandi-my6dc Жыл бұрын
Aksante sans bi.ejifunza mambo mengi kwako mungu akubarki
@atanasmwinyi06 Жыл бұрын
Najivunia sana hii class I believe that one day yes
@user-qz3od7go7h11 ай бұрын
Mbarikiwe mtumishi napenda mafundisho yako
@juliusluponde6628 Жыл бұрын
Shukrani sana Kwa somo zuri!
@AishaOman-qz7tn11 ай бұрын
Asante kwa somo nimejifunza kitu
@medlucas5686 Жыл бұрын
Asante brother
@johnmaduhu9435 Жыл бұрын
Asante sana kaka.
@GodlistenMassawe-nf8is23 күн бұрын
Be blessed brother umenipa funzo zurii
@julioclauditayaye9368Ай бұрын
Kazi njema zote nzuri ubarikiwe
@DionistaMsack3 ай бұрын
Asante sana nimepata funzo
@neemaryan9947 Жыл бұрын
Shukrani Mr Nanauka. Kupitia chaneli hii nimefanikiwa jinsi ya kuweka akiba. Cha kujiongezea nitafungua akaunti ya Benki ili nihame m pesa niweke akiba yangu Benki. Ubarikiwe sana.
@paulouma3958 Жыл бұрын
Thank you bro
@allyjuma9365 Жыл бұрын
Nashukuru kaka njia nzuri zaidi ni hiyo ya benk kuzuia kutoa baada ya muda flan nimeipenda ntaifanyia kazi
@magemwaipaja8650 Жыл бұрын
Yaan kuna kitu cha muhimu sana nmekipata hapa Asante kwa ushauri mzuri
@user-ni2cw9tp7d10 ай бұрын
Tremondous amount of respect thank you Mr Nanauka .
@barakajulius5938 Жыл бұрын
Nakuomba Uwe mentor wangu, na unanifuatilia kila mwezi. Asante
@CHIKUMARTIN-oc5icАй бұрын
Nimekupenda bule
@user-um6oj8ci9i19 күн бұрын
Asante tuku pamoja na darasa lako❤
@christopherndelwa28 ай бұрын
nimeipenda hiyo ya kuweka standing order be blessed brother
@Sibazurin8 ай бұрын
Hongera sana brother kwa somo zuri Mungu akubariki pia tunasahidika sana
@paulyusuph7572 Жыл бұрын
Honger sana bro joel nanaukakwasaaa una video 669 zote hiz nimeziangalia na kuvifanyia vitendo asante sana
@williamloserian5999 Жыл бұрын
##Nimekuelewa Sana broo...na nashukuru sana kwa SoMo maana kwangu mm hela napata Sana but matumizi makubwa...##
@manofgod4471 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
@tinoh7_9 ай бұрын
Mungu akuongezee kaka..nakukubali Nivilee hujuh 2..god be with you
@aboymoon997210 ай бұрын
Ahsante sana Kwa elimu Yako nimevutiwa sana na itakufatilia sana🙏🙏
@trustmhagama2375 Жыл бұрын
Asante kaka elimu unayitoa inanisaidia
@kelvooonowbert7427 Жыл бұрын
Asante mwalimu
@user-bp7pr7le3g2 ай бұрын
Asante sana🤔
@Magreth-uk2fq Жыл бұрын
Mungu Akubariki Sana
@user-vo5df3nu8o9 ай бұрын
Dah,bro nashukulu sana kwa ushauli wako.
@user-nn4nx2rp3t10 ай бұрын
Nashukuru umenifungua.
@daviddeus3443 Жыл бұрын
Asante Bro kwa hii elimu
@LilianfelixFelix-wg3wh6 ай бұрын
Asante sanaa naamini malengu yakununua Gari yatatimiaa
@harunaselupanga2146 Жыл бұрын
ahsante sana mwalimu
@user-mk7qe1bt8r8 ай бұрын
Brother ahsanteee sana kwa elimu Yako muhim ya maisha🙏🙏
@user-vj6tk3ur9j4 ай бұрын
I understand my brother
@AsteriaKomba3 ай бұрын
Nashukuru naendelea kujifunza
@christermlewa8471 Жыл бұрын
Asante sana kaka na Mimi ni mtumiaji mbaya sana wa pesa mpaka huwa najiombea Mungu aniongoze
@zankid9692 Жыл бұрын
Thanks bro nmepatakitu kipya hpo cha "stansting order" be blessed bro🙏
@hellenmwasalwiba6555 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@bernadette6266 Жыл бұрын
Asante Sana Kaka najifuza kwako
@nikolausmnanka93624 ай бұрын
Upo vizur sn umenijenga sn nanauka
@filorammbaga5710Ай бұрын
Asante Joel kwa mafunzo yako. Katika kuweka akiba nashauri watu wa Mungu watumie Utt kama njia nyingine ya uwekeza jwa kuwa wanatoa gawio nzuri kwa mtindo wa compound interest ni nzuri sana .just try!
@solangesoso3100 Жыл бұрын
Ubarikiwe mno kaka Joel na Mungu aendelee kukutumia zaidi
@Magreth-uk2fq Жыл бұрын
Asante Sana umenisaidi mno
@onesmomnkondya1725 Жыл бұрын
Asante kaka kwa somo hili mimi nipenda sana kutumia zaidi benki mala nyingi kwakuweka akiba
@abimelekiayubu36917 ай бұрын
Anhsante san maneno yako yamenisaidia
@suzanne9517 Жыл бұрын
Asante sana Kaka
@mathewmartin4413 Жыл бұрын
Asante sana kaka hakika unanipa hatua Kila Leo ndugu
@MakutaChrispro-lk8gj3 ай бұрын
Kaka Asante sana kwaushauli
@user-mu9dy4ml5p6 ай бұрын
Mtumish ahsante Sana najikuta nazidi kubadilika kamaisha kupitia masomoh yako
@barakajustine1145 Жыл бұрын
Asante Sana kaka
@franciscarsongea79483 ай бұрын
Asante Kaka ubarikiwe mambo mengi nshayajua sasa makosa ya matumizi ya pesa niko mayo Dana Sasa nshajua njia