#hananja

  Рет қаралды 43,394

Uhai Online Tv

Uhai Online Tv

2 жыл бұрын

MASOMO YA UONGOZI NA FEDHA YAKO HAPA-- / @lifewordtanzania313
#UhaiOnlineTv#denismpagaze#ananiasedgar#Maombiyausiku
CONTACT : +255 752 348 789 Uhai Online Tv
E-mail- radiouhaioffice@gmail.com
PLAY LIST ZETU........
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...
#LifewordTanzania

Пікірлер: 39
@pericykiko6198
@pericykiko6198 2 жыл бұрын
Umeongea ukweli na hii ameiweza Pastor Huruma Nkone na Wachungaji wengine wakifuata hii tutajenga ufalme wa Mungu hakika
@julianadaudi4921
@julianadaudi4921 2 жыл бұрын
Amina nimekuelewa mchungaji
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 2 жыл бұрын
Tunawahubiria mambo ya mbinguni ukiwa bado tunaishi duniani true %100
@winfridaw.mwashala289
@winfridaw.mwashala289 2 жыл бұрын
Maneno yako yakawe chachu baba! Hili ni neno kubwa sana!
@shelyboyshely2928
@shelyboyshely2928 2 жыл бұрын
Ameen ubalikiwe kwa maono mema
@mr.michaelHb3491
@mr.michaelHb3491 2 жыл бұрын
Pasta Mungu akubariki kwa ujumbe
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 жыл бұрын
Baba MUNGU akubariki sana kwa hili neno
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 Жыл бұрын
Neno lako lishinde na liandikwe kwa miyoni hata mbingun.sema amee
@comforttv2257
@comforttv2257 2 жыл бұрын
Hakika hakika hakika. Nimekuelewa Mchungaji.
@saadamartin8866
@saadamartin8866 2 жыл бұрын
Kweli kabisa mchungaji, tunatamani tukienda kanisani tuzingatiwe na mahitaji ya Rohoni na ya mwilini pia
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 2 жыл бұрын
Uko sawa sawiaaaa💪
@neemamwalende9740
@neemamwalende9740 2 жыл бұрын
Amen mtumishi ubarikiwe.
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 2 жыл бұрын
Baba barikiwa
@briankisuya
@briankisuya 2 жыл бұрын
Nakubali baba
@patriciasanga9848
@patriciasanga9848 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisaa!
@elishangonyani9763
@elishangonyani9763 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@frahinimgonja1166
@frahinimgonja1166 2 жыл бұрын
Huukweli wahubirie wachungaji maana haiwezekani muumini akakope kwengine alafu utake sadaka huku anarejesho
@adeccenter9193
@adeccenter9193 2 жыл бұрын
ni kweli
@nyamwekomatoke9951
@nyamwekomatoke9951 2 жыл бұрын
Mchungaji Anahekma sanaaaa Kaona mbaliii
@isaacandrew1039
@isaacandrew1039 2 жыл бұрын
Aisee nimekukubali kwa hiki pastor una maono kwakweli!! Maana!!
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Africa kweli Vijana bado wana moyo huku nje balaa
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 жыл бұрын
Amina mtimishi
@prosperleslies8985
@prosperleslies8985 2 жыл бұрын
Kweli kabisa sahihi kabisa
@raymonddanielcosmas444
@raymonddanielcosmas444 2 жыл бұрын
Genius
@geofreykapesa9524
@geofreykapesa9524 2 жыл бұрын
Ubarikie888
@Utulivu444
@Utulivu444 2 жыл бұрын
HII IMEKAA PIA SANA
@johnmungwana8162
@johnmungwana8162 2 жыл бұрын
nikweri pasta nayoyote atakaekubishiya bas huyo nimchungaji wamshahara fanyahivo naakiukweri wewe unasitahiri kuwahubiriya mapasta wamakanisa yote iri wabadirishe mtazamo napiyahongera sana kwamaono mapya
@alfredjohn5693
@alfredjohn5693 2 жыл бұрын
Huwa anaongea kama utani lkn ndo ukweli kabisaa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Hahaha ni mfunny pastor
@agro-millenium9526
@agro-millenium9526 2 жыл бұрын
Ahsante
@mtanzaniahalisi1213
@mtanzaniahalisi1213 2 жыл бұрын
Umepiga nondo baba
@farajalaizer6556
@farajalaizer6556 2 жыл бұрын
Nimemuelewa
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 2 жыл бұрын
Pointi nzuri ila kwa nia isiyo sahihi... Nakubaliana na weye kabisa... Lakini kama lengo la kuwapata ni kuwatumia kujenga kilekile ambacho tunakazana nacho kujenga sasa ili kwa mtazamo wako pia, kitakuja kuuzwa kama mataifa ya magharibi, sasa totauti ipo wapi hapo? Pesa ya ni ya msingi, lakini kanisa haifai kuwa chombo cba kutengeneza mabilionea. Kanisa halipo kwa ajili ya kuanzisha njia nyingine ya kuchukiana na kuoneana wivu... Hao wafunga spika tu wanaoneana wivu, sembuse wawe mabilionea?? Njia sahihi ni kuwafundisha watu kumpenda Mungu na kuiepa dhambi, huu ndio upendo wa Mungu wa kwanza, yaani kuzishika amri zake. Tusipoangalia, injili sasa itakuwa ya mchongo mcgongo tu... Na kustaafu utumishia hakumpi mtu fursa ya kutumika kinyume na alivyoamini na kuaminika mwanzo.... Nadhanu sasa , shibe ya kulamba vidole itakuwa muelekeo sahihi ya yeyoye atayeamini kufahamika kwake sana ni njia ya kusena kila kitu ambacho ulimwengu wa fikra duni unamuongoza. Huwezi kumuongoza mla ngada kwa kutumia lugha na maisha karibu sawa na yake na kutegemea mabadiliko stahiki. Kuacha dhambi na kuamini injili ndio njia ya kwanza kisha ubatizo. Kuhusu pesa jambo jema kutafuta, bila kuwafundisha kiasi na kuithamini hakiba, hakuna mabilionea tunaunda bali watu wenye pesa za kusimangia wahudumu na kuhonga hata kwa thamani ya utupu wa anayepewa... Wewe si wa mchongo, usituaminishe kuwa pia ndiye ...
@successmaker7630
@successmaker7630 2 жыл бұрын
Nahisi hujaelewa sikiliza tena
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 2 жыл бұрын
@@successmaker7630 hapana shaka nitapitia tena🙏🙏
@eliahiluka830
@eliahiluka830 2 жыл бұрын
Wewe Fanya hayo kanisani kwako kama ndiyo maono yako yasimamie
@betrackjasson6698
@betrackjasson6698 2 жыл бұрын
Utakuja kufilwa kijan angalia utauponza
@mustafamsatimuhenga253
@mustafamsatimuhenga253 2 жыл бұрын
Nikweli mnakitega uchumi makanisa ni biashara andaeni watoasadaka ili mpate pesa kwamungu jikoni
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 52 МЛН
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,6 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 23 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 12 МЛН
Napenda Hii Sehemu ya Kauli ya Mwalimu Julius Nyerere.
1:37
DMM Visual Channel
Рет қаралды 87 М.
MCHUNGAJI HANANJA - "HAKUNA ANAYEJUA YESU KAZALIWA TAREHE NGAPI"
4:41
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 52 МЛН