Acheni kuongea utumbo sasa hapo amejigamba kitu gani hapo konde boy ni mtu mmoja pisi sn tuu ❤
@user-ps5el6ef2u16 күн бұрын
Kinachoongelewa na mlichoandika haviendani😅
@eggysulle798817 күн бұрын
Jeeshiii la mtu mmoja jeshii kama jeshii 🔥🔥🔥🔥🔥
@ellyjimmy2217 күн бұрын
Suel tv we are watching 🔥
@titoamani-e8b12 күн бұрын
Harmonize hana imaani na kipaji chake tena ndio maana ameamua kua na uchawi..Mzee Popo...laana tupu😅😅😅
@boniphacemsafiri17 күн бұрын
Wale vywawa wako mbona hatujawaona pimbi na wasenge wengine kelele wote leo wapost na hili
@user-xp4re6tv8l17 күн бұрын
Vanny mkubwa sana
@margarethpolepole743817 күн бұрын
MkubwaMungu tu siyo Vann
@yussufamour997917 күн бұрын
We nn kafirwe uko Acha shobo
@margarethpolepole743817 күн бұрын
@@yussufamour9979 Acha matusi toa maoni tu nenda shule usiitumie simu vibaya
@youngrickericjames185017 күн бұрын
Mtangazaji unachokiongea ni tofauti na msanii anachojibu 💁🙄
@omarybakunda255417 күн бұрын
Unafiki wenu mm huwa siupendi
@AUGENSYLIVAND-rq7hz15 күн бұрын
Aaa Hawa hawaeleweki huwa ni kiki
@user-lb1nr2fw7t17 күн бұрын
Harmonize bado sana kwa lukuga
@BurundiMedia17 күн бұрын
wa Tanzania acheni unafki bila kupepesa macho wa mdomo Hamonize ni musanii muzuri ila kujilinganisha na Diamond bado sana kwa kweli afike kwanza level Rayvanny kwasababu Rayvanny pekeake kamzidi mbali sana Hamonize ila Hamonize anataka anataka kujifanya kua haujuwi kua Rayvanny mkubwa kuliko yeye anajuwa sana
@Peterchila-un2lx17 күн бұрын
Sahihi sana ndugu upo sahihi kabisa
@binkomhesi901917 күн бұрын
Poleni
@MbalasaJRMwakabalile17 күн бұрын
@@binkomhesi9019Ukikuwa kidogoo ukiwa na akili ya kuona kitu utaelewa harmo is better broo
@Farida-jx5nz17 күн бұрын
Harmonize Yani bd sanaaa sema yeye anajikubari sana kuliko ata mashabki wanavyomkubari
@DM_1517 күн бұрын
Duh unamjua konde kweli , kuna utofauti wakua popular nakua namafanikio kwa umaarufu naku shine diamond ni the best. But nguvu ya ku ficha ulichonacho na ku mention konde ni strong angekua dhaifu angepotezwa kabisa kwenye ramani ya muziki kama mavoko. Diamond usipokua imara ana hakikisha amekushusha hataki ushindani wa kuona mtu ana mpita ki ustar na umaarufu, kitu unatakiwa kujua ukiwa maarufu wafanya biashara wenye nguvu ya kuficha thamani wana tumia umaarufu wako kuingiza pesa, Diamond anatumika namakampuni mengi, mfano chibu perfume nimtu aliwekeza , diamond karanga nimtu aliwekeza wasafi media kunamtu kawekeza, wasafi bet, mkenya ka invest , peps mkubwa wao wahindi wamewekeza, air tel pia hivyo hizo kampuni zote hazi milikiw nayeye baadhi ana his nazo. Na unatakiwa kujua hakuna mtua anaweza kukulipa zaidiya anachopata. That means haimaanish hawezipitwa na wasanii wengine. Do you know that guy musion AY. He has a lot good result , bana boy wajuz tuu kawapita wengi kiuchumi, hivyo hata konde anawezakua wa juz aka mpita mondi pia inawezekana.
@user-fc1pn6ee4z3 сағат бұрын
Bado sana harmo
@donlee99926 күн бұрын
Ukubwa wajna utapendeza ukiambatana na mkwanja.
@nzitogondwe99765 күн бұрын
Yeye kila mara mpaka amtaje mwamba diamond
@zerochanneltanzania379717 күн бұрын
Diamond will always be your papa…without him you aint shit. End of story.
@piusnyaboga90317 күн бұрын
Wewe n ng'ombe kila mtu amesaidiwa hat diamond alipitia mikono ya mtu
@jeremiahcharles602717 күн бұрын
Mbona anaiga kwa mond mpaka anakosea ,,,anaongea kwa uhumble sana
@lamecknzuzu97348 күн бұрын
Mond apewe heshima yake
@NGOSHA17 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@gustaphkadio51449 күн бұрын
Ili muuze lazima mumtaje diamond for no reason
@RAZAKIMMALINDA14 күн бұрын
Language barrier 😂😂😂
@DamasLehani17 күн бұрын
Vanny kwani anaomba Nini ?
@enockezekiel412517 күн бұрын
Momentis duh
@richkaja331715 күн бұрын
Mond jini sio mtu konde afanye kazi aache unafiki
@AudaxLwekamwa-kt6eg17 күн бұрын
Wewe Baba ako ni Diamond.. Diamond ni Baba ako wewe..
@JuliusOkanya16 күн бұрын
Aje kuliko simba
@musiccaentertainment100k817 күн бұрын
Naona mashabiki wa rayvanny wanavyo weweseka
@eggysulle798817 күн бұрын
😂😂😂😂😂watapatapa😂😂
@shannarsaidSwahili17 күн бұрын
Rayvanny ni mkubwa kuliko huyu harmonize.....maana harmonize anavimba saana na bado yupo chini ya platinumz na vannyboy
@user-in7ie3mj9o16 күн бұрын
Msiwe mna kurupuka bhana😂
@yokossiaks8678 сағат бұрын
Simba angemchukia harmonize angemuacha kabla bado haijatoka
@SiraMinanda-k1n5 сағат бұрын
Chuki inakuja baada ya kuona mafanikio ambayo ukuyategemea kwa ulimsaidia, Aliyekusaidia anatamani uwe chini yake uendelee kuwa muhitaji kwake.
@user-fh5xt9pr3v17 күн бұрын
Jesh na kiba ninwakali
@karimjuma401917 күн бұрын
Mtangazaji unaongea sana
@SmilingBeaver-rf6sf17 күн бұрын
Dogo unajifanya wewe ni mkubwa
@d-manb-free347817 күн бұрын
Think about Konde Gang kumebaki tu Ibraah na yeye ni Kama yupo and hayupo 😂
@Barakanenealldays-bp8cd16 күн бұрын
Anaongea kaaa mondi
@margarethpolepole743817 күн бұрын
Diamond ni ya Kusaga yeye anashea ndogo na Ally Kiba yuko na waziri nyumq yake na ndiyo qliyemleta wa BBC London kuna siri nyuma ya pazia tulieni vijana