HARMONIZE AFAFANUA VIJEMBE ANAVYOMPIGA DIAMOND, “USINISEME TU NIKISTAHILI UNISIFIE PIA, SINA UKARIBU

  Рет қаралды 42,290

Millard Ayo

Millard Ayo

19 күн бұрын

Пікірлер: 77
@kelvinbeckson7554
@kelvinbeckson7554 17 күн бұрын
any one who like konde click like button here👍🏾
@dulladelzz13
@dulladelzz13 12 күн бұрын
Acheni kuongea utumbo sasa hapo amejigamba kitu gani hapo konde boy ni mtu mmoja pisi sn tuu ❤
@user-ps5el6ef2u
@user-ps5el6ef2u 16 күн бұрын
Kinachoongelewa na mlichoandika haviendani😅
@eggysulle7988
@eggysulle7988 17 күн бұрын
Jeeshiii la mtu mmoja jeshii kama jeshii 🔥🔥🔥🔥🔥
@ellyjimmy22
@ellyjimmy22 17 күн бұрын
Suel tv we are watching 🔥
@titoamani-e8b
@titoamani-e8b 12 күн бұрын
Harmonize hana imaani na kipaji chake tena ndio maana ameamua kua na uchawi..Mzee Popo...laana tupu😅😅😅
@boniphacemsafiri
@boniphacemsafiri 17 күн бұрын
Wale vywawa wako mbona hatujawaona pimbi na wasenge wengine kelele wote leo wapost na hili
@user-xp4re6tv8l
@user-xp4re6tv8l 17 күн бұрын
Vanny mkubwa sana
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 17 күн бұрын
MkubwaMungu tu siyo Vann
@yussufamour9979
@yussufamour9979 17 күн бұрын
We nn kafirwe uko Acha shobo
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 17 күн бұрын
@@yussufamour9979 Acha matusi toa maoni tu nenda shule usiitumie simu vibaya
@youngrickericjames1850
@youngrickericjames1850 17 күн бұрын
Mtangazaji unachokiongea ni tofauti na msanii anachojibu 💁🙄
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 17 күн бұрын
Unafiki wenu mm huwa siupendi
@AUGENSYLIVAND-rq7hz
@AUGENSYLIVAND-rq7hz 15 күн бұрын
Aaa Hawa hawaeleweki huwa ni kiki
@user-lb1nr2fw7t
@user-lb1nr2fw7t 17 күн бұрын
Harmonize bado sana kwa lukuga
@BurundiMedia
@BurundiMedia 17 күн бұрын
wa Tanzania acheni unafki bila kupepesa macho wa mdomo Hamonize ni musanii muzuri ila kujilinganisha na Diamond bado sana kwa kweli afike kwanza level Rayvanny kwasababu Rayvanny pekeake kamzidi mbali sana Hamonize ila Hamonize anataka anataka kujifanya kua haujuwi kua Rayvanny mkubwa kuliko yeye anajuwa sana
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 17 күн бұрын
Sahihi sana ndugu upo sahihi kabisa
@binkomhesi9019
@binkomhesi9019 17 күн бұрын
Poleni
@MbalasaJRMwakabalile
@MbalasaJRMwakabalile 17 күн бұрын
​@@binkomhesi9019Ukikuwa kidogoo ukiwa na akili ya kuona kitu utaelewa harmo is better broo
@Farida-jx5nz
@Farida-jx5nz 17 күн бұрын
Harmonize Yani bd sanaaa sema yeye anajikubari sana kuliko ata mashabki wanavyomkubari
@DM_15
@DM_15 17 күн бұрын
Duh unamjua konde kweli , kuna utofauti wakua popular nakua namafanikio kwa umaarufu naku shine diamond ni the best. But nguvu ya ku ficha ulichonacho na ku mention konde ni strong angekua dhaifu angepotezwa kabisa kwenye ramani ya muziki kama mavoko. Diamond usipokua imara ana hakikisha amekushusha hataki ushindani wa kuona mtu ana mpita ki ustar na umaarufu, kitu unatakiwa kujua ukiwa maarufu wafanya biashara wenye nguvu ya kuficha thamani wana tumia umaarufu wako kuingiza pesa, Diamond anatumika namakampuni mengi, mfano chibu perfume nimtu aliwekeza , diamond karanga nimtu aliwekeza wasafi media kunamtu kawekeza, wasafi bet, mkenya ka invest , peps mkubwa wao wahindi wamewekeza, air tel pia hivyo hizo kampuni zote hazi milikiw nayeye baadhi ana his nazo. Na unatakiwa kujua hakuna mtua anaweza kukulipa zaidiya anachopata. That means haimaanish hawezipitwa na wasanii wengine. Do you know that guy musion AY. He has a lot good result , bana boy wajuz tuu kawapita wengi kiuchumi, hivyo hata konde anawezakua wa juz aka mpita mondi pia inawezekana.
@user-fc1pn6ee4z
@user-fc1pn6ee4z 3 сағат бұрын
Bado sana harmo
@donlee9992
@donlee9992 6 күн бұрын
Ukubwa wajna utapendeza ukiambatana na mkwanja.
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 5 күн бұрын
Yeye kila mara mpaka amtaje mwamba diamond
@zerochanneltanzania3797
@zerochanneltanzania3797 17 күн бұрын
Diamond will always be your papa…without him you aint shit. End of story.
@piusnyaboga903
@piusnyaboga903 17 күн бұрын
Wewe n ng'ombe kila mtu amesaidiwa hat diamond alipitia mikono ya mtu
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 17 күн бұрын
Mbona anaiga kwa mond mpaka anakosea ,,,anaongea kwa uhumble sana
@lamecknzuzu9734
@lamecknzuzu9734 8 күн бұрын
Mond apewe heshima yake
@NGOSHA
@NGOSHA 17 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@gustaphkadio5144
@gustaphkadio5144 9 күн бұрын
Ili muuze lazima mumtaje diamond for no reason
@RAZAKIMMALINDA
@RAZAKIMMALINDA 14 күн бұрын
Language barrier 😂😂😂
@DamasLehani
@DamasLehani 17 күн бұрын
Vanny kwani anaomba Nini ?
@enockezekiel4125
@enockezekiel4125 17 күн бұрын
Momentis duh
@richkaja3317
@richkaja3317 15 күн бұрын
Mond jini sio mtu konde afanye kazi aache unafiki
@AudaxLwekamwa-kt6eg
@AudaxLwekamwa-kt6eg 17 күн бұрын
Wewe Baba ako ni Diamond.. Diamond ni Baba ako wewe..
@JuliusOkanya
@JuliusOkanya 16 күн бұрын
Aje kuliko simba
@musiccaentertainment100k8
@musiccaentertainment100k8 17 күн бұрын
Naona mashabiki wa rayvanny wanavyo weweseka
@eggysulle7988
@eggysulle7988 17 күн бұрын
😂😂😂😂😂watapatapa😂😂
@shannarsaidSwahili
@shannarsaidSwahili 17 күн бұрын
Rayvanny ni mkubwa kuliko huyu harmonize.....maana harmonize anavimba saana na bado yupo chini ya platinumz na vannyboy
@user-in7ie3mj9o
@user-in7ie3mj9o 16 күн бұрын
Msiwe mna kurupuka bhana😂
@yokossiaks867
@yokossiaks867 8 сағат бұрын
Simba angemchukia harmonize angemuacha kabla bado haijatoka
@SiraMinanda-k1n
@SiraMinanda-k1n 5 сағат бұрын
Chuki inakuja baada ya kuona mafanikio ambayo ukuyategemea kwa ulimsaidia, Aliyekusaidia anatamani uwe chini yake uendelee kuwa muhitaji kwake.
@user-fh5xt9pr3v
@user-fh5xt9pr3v 17 күн бұрын
Jesh na kiba ninwakali
@karimjuma4019
@karimjuma4019 17 күн бұрын
Mtangazaji unaongea sana
@SmilingBeaver-rf6sf
@SmilingBeaver-rf6sf 17 күн бұрын
Dogo unajifanya wewe ni mkubwa
@d-manb-free3478
@d-manb-free3478 17 күн бұрын
Think about Konde Gang kumebaki tu Ibraah na yeye ni Kama yupo and hayupo 😂
@Barakanenealldays-bp8cd
@Barakanenealldays-bp8cd 16 күн бұрын
Anaongea kaaa mondi
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 17 күн бұрын
Diamond ni ya Kusaga yeye anashea ndogo na Ally Kiba yuko na waziri nyumq yake na ndiyo qliyemleta wa BBC London kuna siri nyuma ya pazia tulieni vijana
@amohamed4969
@amohamed4969 17 күн бұрын
Diamond anamiliki 45% unasema ndogo!? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 58 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 12 МЛН
DUDU BAYA:WANAWAKE NI WACHAFU KAMA MBWA MWENYE FANGASI
4:15
MAMBAZ 24 TV
Рет қаралды 6 М.
Rayvanny X Harmonize - SENSEMA (Official Dance Video)
4:18
Rayvanny
Рет қаралды 4,8 МЛН
MWIJAKU AMLIPUA HAMISA MOBETTO, KUTEMBEA NA AZIZI K NI UPUUZI
11:42
MZARAMO WA SIMBA: AZIPONDA JEZI ZA YANGA SC | SIKIA TAMBO ZAKE.
9:47
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 58 МЛН