Paulo alisoma katika chuo Cha gamalieli je? wewe ni zaidi ya Paulo ushauri wangu mtumishi nenda kasome acha kushindana na serikali
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Uongo alisoma kipindi gani ameokoka au mpagani mwanadini
@janekilembe93942 жыл бұрын
Mtumishi SI wewe kuwabadilisha Bali Yesu ndie anawabadilisha,Mungu atuwezeshe
@Veni5842 жыл бұрын
Yesu anabadilisha kupitia kwa mtu
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Nyie mnaosubiri kubadilishwa na mungu ,waongo wakubwa huwa hambadiliki kumatendo Bali kimaneno tu
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Nyie mnao subiri kubadilishwa na mungu, waongo wakubwa huwa hambadilikagi, kimatendo Bali kwa maneno tu
@heritier51192 жыл бұрын
Kwann wanamzuia
@atonemusicstudio91552 жыл бұрын
Mhh kujiinuaa dhambi
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Kajiinua nn hapo
@taturashidi9111 Жыл бұрын
Jaman hao ni wachawi kafara zao wanatoa hadi viungo vya ndani kilicho nikuta hapo kimara temboni sasa natoa ushuhuda tu huku kilimanjaro maana huyo ni jini alivyo ni badilikia mm sitokaa ni sahau na hadi sasa nipo na sauti zake za kijini tunakuua tunakuua na huyo bongo wake anae vaa nguo za laiti bluu na huyo anae vaa za kijivu wote majini hao na freeemasoon pia
@taturashidi9111 Жыл бұрын
Jaman nateseka mm sio kidogo kweli hapo ni ngome ya uchawi
@apostleprophetkennethngoli6572 жыл бұрын
Nenda darasani Mtumishi itakusaidia Sana. Kuishia la Saba sio sababu ya wewe usisome chuo Cha Bible . Kuna masomo ya Uongozi yatakusaidia katika wito wako. Huduma umezaliwa nayo Lakini uongozi Lazima ufundishwe
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Petro, Paul, yesu, alisoma chuo gani mtmsh, mbona hata mliosoma mnahubiri Sadaka tu na mafanikio ya kimwili ,na mnastawi wa hubris tu ili Hali watu went wanatia huruma
@wilfredlukowo94762 жыл бұрын
Nyinyi mnao soma wengine mnakengeuka mnakuwa wapenda fedha injili ni moto
@wilfredlukowo94762 жыл бұрын
Unaelewa humu kuna watu waelewa kuliko unavyo fikili
@zawadichalale4047 Жыл бұрын
@@wilfredlukowo9476 ni sawa lakini suala la kukengeuka ni la mtu binafsi na kama ukiamua kumuishia Mungu utasoma na bado utamuishia Mungu tu na hutakengeuka kwani hakuna wasomi wanaomtumikia Mungu kwa ukamilifu?
@wilfredlukowo94762 жыл бұрын
Anayepinga ni wakala wa shetani
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Kweli
@apostleprophetkennethngoli6572 жыл бұрын
Huna Ufahamu kwenye idara hiyo ni vema ukanyamaza. Kuna Mahali Mtumishi anapaswa kusaidiwa
@wilfredlukowo94762 жыл бұрын
@@apostleprophetkennethngoli657 siwezi kaa kimya wewe umemsaidia? Vipande vya fedha vinawaponza wengi
@wilfredlukowo94762 жыл бұрын
@@apostleprophetkennethngoli657 wewe mwenye ufahamu umemsaidia nini tujuze
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Wilfred hakika wewe ni jembe la yesu apostal Hana la kujitetea