HATUA TANO ILI KUWA NA MFUNGO WENYE MATOKEO

  Рет қаралды 202,273

Pastor George Mukabwa (JRC Church)

4 жыл бұрын

Gospel Teachings for soul winning Purpose.

Пікірлер: 339
@user-kv3ho7dl8c
@user-kv3ho7dl8c 5 ай бұрын
mtumishi unakitu chenye u Mungu halisi ndani yako naomba ufunikwe kwa dam ya Yesu usije igeukia tamaa ukapoteza kusudi la Mungu alilokuwekea.
@dionisiakarata6824
@dionisiakarata6824 29 күн бұрын
Asante Kwa somo mtumishi
@alfredalmhejr5551
@alfredalmhejr5551 2 ай бұрын
Amen mtumishi 🙏🏿
@user-wq8qd1ny3t
@user-wq8qd1ny3t Ай бұрын
Amen🙏🙏🙏 mtu mishi Wa. Mungu nime barikiwa kwa SoMo Suri sana
@PeterYohana-n4x
@PeterYohana-n4x 14 күн бұрын
Ubarikiwee sana baba mungu wa mbinguni akubariki❤ by jonson matiko ktoka zanzibar
@vivianboaz8653
@vivianboaz8653 15 күн бұрын
Oooh my Lord sijawah kuupata huu ufunua..Mungu nakushukuru kwa hili..mtumishi ubarikiwe sana
@user-ur7ek2bc3l
@user-ur7ek2bc3l 24 күн бұрын
Nashukuru mungu kwa ajili ya mtumishi wako naomba mtunze
@user-wn5mo3ju6r
@user-wn5mo3ju6r 2 күн бұрын
Asante sana mtumishi kwa mafunzo nmejifunza mengi sikua najua kufunga wala hindi ya kufunga asante sana MUNGU akubariki
@farajafelix9964
@farajafelix9964 Ай бұрын
Amena!! Nimebarikiwa na kujifunza mengi kumbe nilikuwa naomba omba tu bila kufahamu hapa nimejifunza
@ericaedenthomas8710
@ericaedenthomas8710 3 ай бұрын
1. Nini lengo la kufunga Mithali 28:19 mfano wa malengo : shukurani ; kuhuishwa kiroho; nataka maongozi kutafuta mkakati; ruhusa...uponyaji wa uchumi; mwili; kupata neema kutatua tatizo 2. Kujitoa/ commitment -gharama inategemea na hitaji mzigo haraka.. 3. Jiandae kiroho ( jiweke sawa na Mungu- toba; tafuta maandiko ya kusimamia- Mungu hujibu neno lake ktk maombi Yer 1:12 4. Jiwekee ratiba 1kor 14:40. 5. Tarajia shukurani kwa shukurani- jenga jukwaa ..
@AmAm-xt1og
@AmAm-xt1og Ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa mungu nahisi kubarikiwa sana
@Florahtz
@Florahtz 7 күн бұрын
Nakuomba kokote ulipo Mungu akupe haja ya moyo wako leo 2024 ndo nimekuja kuliona hili somo jaman kumbe mtandao unasaidia ❤❤❤❤❤kuna kitu nime kupata asante Mungu 🎉🎉🎉
@godfreyngichabe2777
@godfreyngichabe2777 2 ай бұрын
Asante pastor kwa neno la mungu
@FransiskaJohn-fq1nf
@FransiskaJohn-fq1nf Ай бұрын
Amen amen ,ubarikiwe Kwa SoMo hili ,Mimi nafungaga tu bila malengo na kufuata utaratibu
@ChristinaSanga-pl5jm
@ChristinaSanga-pl5jm 5 ай бұрын
Mungu akubariki Mtumwa wake neno hili ni kubwa sana natamani kama ungekuwa na kipindi kwenye vyombo vikubwa vya habari ili kila mtu asikie kweli ya neno kupitia wewe
@Hekalueliasofficiel
@Hekalueliasofficiel Жыл бұрын
Amen amen amen baba yangu una towa chakula Mazuri Sana wewe una faaa uko Sisi ni wa Drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@dorothykinya4398
@dorothykinya4398 4 ай бұрын
Thanks Lord for meeting a wonderful man of God with search teaching be blessed man of God for blessings of word, umenitoa mbali.
@TullyMwakibete-xt5xm
@TullyMwakibete-xt5xm 9 күн бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri mtumishi wa Mungu
@andelynsanga-ei5td
@andelynsanga-ei5td Жыл бұрын
Ameeen nimekuelewa Mtumishi kwa Somo zuri kuna mahali umeinua kiwango cha Imani yangu
@user-uu5fi2zz7h
@user-uu5fi2zz7h 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana pastar kwa kutufundisha, tunakushukuru sana
@wemachristopher8912
@wemachristopher8912 15 күн бұрын
Amina mtumishi❤
@NeemaaliceK2546
@NeemaaliceK2546 3 ай бұрын
Nashukuru sana kwa mwongozo huu nitaufanyia kazi ,ubarikie sana mtumishi wa Mungu
@susannjoroge3204
@susannjoroge3204 4 ай бұрын
Mungu hajibu maombi lakini ana lijibu Neno Lake! Very powerful revelation!
@bathshebanyaboke7192
@bathshebanyaboke7192 Жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN MUNGU nakushukru kwa Mtumishi wako ambaye amenielimisha kuhusu mfungo barikiwa Sana mtumishi
@jacklinemakali1826
@jacklinemakali1826 4 ай бұрын
Nafarijika kwa somo la mfungo amen
@neemaleonce1225
@neemaleonce1225 Жыл бұрын
Kiukweli nilikuwa sina huu ufahamu kabisa I know its Holly Spirit na sio kingine. Tunamsujudu yeye na kila mmoja amepata ufahamu. Ubarikiwe baba kwa kutupa haya maarifa
@jordanchisawilo6177
@jordanchisawilo6177 Жыл бұрын
Nipo Dodoma ila Mtumishi najengeka Santa na masomo haya
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 Жыл бұрын
Neema huyu mtumishi kanisa lake liko wapi?
@israelnsekwa3002
@israelnsekwa3002 Жыл бұрын
@@jordanchisawilo6177 Pastor BWANA YESU asifiwe MUNGU akubariki , jinsi anavyokutumia nimekuwa nikijengwa sana na mafundisho mimi ni mchangaji ila nimeanza kupata matokeo ninavyo endelea kujifunza
@gabriellumole814
@gabriellumole814 Жыл бұрын
Aminamtumishi
@gabriellumole814
@gabriellumole814 Жыл бұрын
Amina mtumishi
@pendoMwanji
@pendoMwanji 3 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
@naseeralbishi4726
@naseeralbishi4726 3 ай бұрын
Asante pastor kwa mafunzo mazuri aki nmejua mengi sana kuhusu mpangilio wa maombi
@user-vk6tv7hh8o
@user-vk6tv7hh8o Ай бұрын
Mafunzo ya ajabu mungu akuzidishie hekima
@EliauMtishbi-os5ky
@EliauMtishbi-os5ky 3 ай бұрын
Nimeinuliwa cna , na nimepata uwelewa mkubwa 🎉
@ppcltdppc3402
@ppcltdppc3402 Жыл бұрын
Na hii ndio Injili isiyogoshiwa nimekula kitu kilichokuwa kinanisumbua muda mrefu sana Mungu akubariki sana mtumishi
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 Жыл бұрын
Anakuwa sehemu gani jamani
@winfridamahali6349
@winfridamahali6349 2 жыл бұрын
Nimevushwa sanaaa na hili somo.barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa viwango vya juu 🙏
@ROSEMARYTARIMO
@ROSEMARYTARIMO 2 күн бұрын
Amen
@ruthmuchina3963
@ruthmuchina3963 4 ай бұрын
May God bless you richly mafundisho yenye nguvu za mungu na kuelewa kwa urahisi
@user-rs6cs3bs4i
@user-rs6cs3bs4i 4 ай бұрын
I'm so blessed by your gospel, may GOD bless your pastor sure I have get many things from you 🙏🙏🙏🙏
@monicakuziwa4434
@monicakuziwa4434 3 ай бұрын
Ameeeen Mtumishi umeniuniua upya sasa nitasimama
@KeziahKattawa-ed8lc
@KeziahKattawa-ed8lc 5 ай бұрын
Asante mtumishi wa Mungu umenifundisha kufunga kwa malengo na gharama ya mfungo wangu
@angelamgale3228
@angelamgale3228 4 ай бұрын
Nimependa Mafundisho yàko, sikuwa nimewahi kuyasikiliza. Barikiwa Sana Mtumishi wa MUNGU.
@blandinaleonard405
@blandinaleonard405 8 ай бұрын
Asante sana Mungu nakushukiru Kwa ajili ya huyu pastor hakika nimepata kitu
@msafirishio3012
@msafirishio3012 Жыл бұрын
Amina mtumishi Kwa kunifungua katika kuomba maombi ya mfungo
@user-mw6mn3xq4p
@user-mw6mn3xq4p 4 ай бұрын
God bless you sikujua ratiba ya maombi mi hufunga but wee nachanganya Kila kitu Asante mutumishi wa Mungu barikiwa Kwa mafunzo mazuri nimejua Sasa ratiba ya mufungo
@reshinebakery2846
@reshinebakery2846 4 ай бұрын
Mimi pia
@esthershigongo8571
@esthershigongo8571 5 ай бұрын
Asante sana Mungu kwa kunifundisha namna ya kufunga asante mch nimekuelews ubarikiwe sana
@FridahFridahcent-qk8hw
@FridahFridahcent-qk8hw 8 ай бұрын
Amina, asante sana mtumishi wa MUNGU umenizaidia kabsa
@user-ps2rv2bj2d
@user-ps2rv2bj2d 4 ай бұрын
Amen Mimi hapa ulikua unanishambulia Mimi Tu wala sio MTU mwengine Yani umenitoa uchafu wote na mungu aniongoze Kwa Kila kitu ubarikiwe 🙏
@user-uj8jt2vz9r
@user-uj8jt2vz9r 11 ай бұрын
Namshukuru MUNGU Kwa ajili yako mtumishi wa MUNGU najifunza nilikua nafunga kidini.sasa nitafunga Kwa malengo Asante YESU Kwa kuniona
@user-rs6cs3bs4i
@user-rs6cs3bs4i 4 ай бұрын
Injili ya kweli ya mungu inayotakiwa ndyo hiiii mungu akubariki mnooo pastor George
@williethwilson1851
@williethwilson1851 4 ай бұрын
Andika Mungu start with capital later
@naikeminja
@naikeminja 2 ай бұрын
Nimejifunza kiasi kikubwa. Sikuwa najua jinsi hii. Hakika nimebadilika sasa . Barikiwa sana Mtumishi.
@alicewangare7653
@alicewangare7653 4 ай бұрын
Hakika wewe uko na neno sio maneno sikujui lakini wewe ni mtumishi wa Mungu utaenda mbali
@allymwanjota3111
@allymwanjota3111 6 ай бұрын
Barikiwa sana Baba hakika umenifungua MUNGU akutunze kwaajili yetu pia
@gloriamahuna6803
@gloriamahuna6803 21 күн бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji nliwahi kupita tu you tube nikasikiliza neno moja basi nimeanza kuwa nakusikiliza sana Kuna kitu Mungu ameweka ndani yako kuna namna unafundisha mtu anaweza kusikiliza bila kuchoka Asante sana na Mungu azidishe mafuta
@user-tv4fm7rf1p
@user-tv4fm7rf1p 5 ай бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu, Mafudisho yamekuja kwa wakati.
@magdalenandwete-zq9be
@magdalenandwete-zq9be 8 ай бұрын
Amen mtumishi Kuna kitu nimegain thanks a lot glory to God
@monicahjames7308
@monicahjames7308 25 күн бұрын
AMEEN SO INSIGHTFUL
@lucymurugi4743
@lucymurugi4743 7 ай бұрын
Thank you soo much man of God,wewe ni wa baraka katika mwili wa kristo
@user-od1bn8js7i
@user-od1bn8js7i 9 ай бұрын
Ameeen mtumishi wa mungu najifuza namna ya kufunga
@carolinembacha7
@carolinembacha7 3 ай бұрын
Haki umenifundisa mengi nimefunguka kiroho Amen
@TEDYMAKAVISHE
@TEDYMAKAVISHE 5 ай бұрын
Leo umenifungua masikio kumbe ndio maana tunaunga na hatupokei asante mtumishi Mungu alitumia zaidi na zaid
@user-zj2ev7yy6l
@user-zj2ev7yy6l 8 ай бұрын
Asante MUNGU kupitia mtumish wako ubarikiwe mlele 😢
@janetogalo9681
@janetogalo9681 8 ай бұрын
Ahsante sana Mtumishi kwa mafundisho haya mazuri
@EvelinaMahenge-xi8fp
@EvelinaMahenge-xi8fp 9 ай бұрын
Asante pasta nimepata maarifa makubwa sana yanisadie kukua kiroho kweli nilikuwa nafunga wakati mwingine nikawa nakosa muda wa kuomba kabisa,ubarikiwe!!
@user-gy5hu5fx8q
@user-gy5hu5fx8q 8 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe mtumishi naomba kuuliza ule mfungo wa Yesu wa siku arobaini ulikuwa kavu ama lah,maana umesema kibiblia mifungo mikavu mwisho ni siku tatu ,naomba unielekeze
@felsonsanga8502
@felsonsanga8502 7 ай бұрын
Mchungaji ni mvivu kusoma comment za Washirika so angalia namna nyingine ya kumpata
@beataselestine586
@beataselestine586 2 жыл бұрын
Kuna hatua naenda katika maombi.. Mungu akubariki pastor George hakika ww ni baraka katika kizazi hiki.
@priscilamroso5827
@priscilamroso5827 Жыл бұрын
Asante mtumishi wa MUNGU nimebarikiwa na hili somo ,nimefunguka macho ,Asante BABA 🙏
@maureenmgeni
@maureenmgeni Жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu! Jina la BWANA lihimidiwe Milele
@MnyabiGang
@MnyabiGang 7 ай бұрын
❤❤❤ wewe Mchungaji umebarikiwa sana napenda maneno Yako unafundisha VIZUR mnooo
@neemashuma4302
@neemashuma4302 Жыл бұрын
Mtumishi Mungu akubariki kwa somo zuri, na Mungu atusaidie sana kuweza kufwata ipasavyo, injili yako hii ya kweli isiyotuwa magumashi
@claricewasore
@claricewasore Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji kwa ajili ya mafundisho ya kufunga nashukuru MUNGU kwa ajili ya kesho kwa mfungo wangu KUPITIA haya mafundisho 🙏🙏🙏
@rosekenya9401
@rosekenya9401 11 ай бұрын
Amen,umenisaidia sana ubarikiwe pastor
@SikujuaEmmanuel-fj4mg
@SikujuaEmmanuel-fj4mg 9 ай бұрын
Mungu akubariki baba hakika unatufungua wengi
@WorshippersofGodarmy-ot1mk
@WorshippersofGodarmy-ot1mk 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana mafundisho yako nayapata nikiwa Zambia, Mimi ni mchungaji, Niko Zambia, naimarika sana mafundisho yako yananiletea mafunuo mengi, kweli yananisogeza sana
@halaali25
@halaali25 10 ай бұрын
Amen huwa naskia amani Sana ninaposikiliza mafundisho yako yananibariki na kunifungua pastor George Mungu yupo ndani yako ,natamani siku moja nije kanisani kwako nikuone Tu ,umenifungua vitu vingi Sana Sana , kwenye mafundisho yako.
@rachaeljames9364
@rachaeljames9364 5 ай бұрын
Nasikia aman sana nikisikiliza neno lako
@RuthMartin-pn4ww
@RuthMartin-pn4ww Ай бұрын
nabarikiwa sana na Mtumishi huyu ubarikiwe sana.
@salomepangani7969
@salomepangani7969 13 күн бұрын
NimebarikiwA
@256Angel-
@256Angel- Жыл бұрын
Wow sikuwa na ufahamu bt now am delivered thank you man of God More Grace upon u🙏
@WilliamNgazija-cd7cs
@WilliamNgazija-cd7cs 3 ай бұрын
Oooh Nabarikiwa cn kwa huduma hii
@user-nb4ms2vw8c
@user-nb4ms2vw8c 8 ай бұрын
l love this man of God😊...his teachings are bomb💪
@gladyskiprono2461
@gladyskiprono2461 Жыл бұрын
May God bless you for i learnt alot yenye sikuwa naifahamu.God thanks.
@doreen9516
@doreen9516 Жыл бұрын
Very insightful! Asante Mtumishi, God bless you!
@user-gh4ym7ji8v
@user-gh4ym7ji8v 9 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Mimi ni mmoja wa maelfu wanaoponywa kupitia huduma hii ya utumishi wako mbele za Mungu. Namuomba Mungu anipe neema ya kuyafanyia kazi mafundisho unayotupa na siku Moja nije nitoe ushuhuda mbele za Mungu Kwa jinsi yalivyonivusha. Naendelea kuchuchumilia hadi uzima wa milele. Amen
@LinetyNdenge
@LinetyNdenge 3 ай бұрын
Amen mtumishi. Wa mungu
@macrinajoseph1422
@macrinajoseph1422 Жыл бұрын
Amen.mungu.akubariki.sana.mtumishi
@NeemaMgaya-ez9un
@NeemaMgaya-ez9un Ай бұрын
Mungu wangu nisaidie
@OmAn-jw4jt
@OmAn-jw4jt 4 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
@catherineonyango6751
@catherineonyango6751 3 ай бұрын
Amen am blessed Man of God,may God bless you
@godfreyngichabe2777
@godfreyngichabe2777 2 ай бұрын
Orioh pastor wateka likhuwa liomwami
@winfridamahali6349
@winfridamahali6349 2 жыл бұрын
Asante mtumishi nimejengwa sana na hili somo Mungu aendelee kuiutumia kwa viwango vya juuu
@joycemabariki9303
@joycemabariki9303 Жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi, umenifungua pakubwa sana
@linahliz2130
@linahliz2130 Жыл бұрын
Umenifungua macho, nilikuwa sijui chochote,be blessed Man of God
@josephatombati6303
@josephatombati6303 Жыл бұрын
Mungu azidi kufungua mipaka yako mchungaji,nimesikia na kusonga hatua nyingine tena ningependa kukushukuru sana
@julianakimambo2057
@julianakimambo2057 2 ай бұрын
Ameen mchungaj mungu akubari sana
@emilianamtundu3426
@emilianamtundu3426 5 ай бұрын
Mungu naomba mwanangu aje kutumika hivi
@getrudamussa5699
@getrudamussa5699 2 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa BWANA,umenivusha,AMEN.
@irenekayombo5509
@irenekayombo5509 10 ай бұрын
Amen mchungaji huwa naelewa sana neno,ubarikiwe
@user-rn7ui4pp9f
@user-rn7ui4pp9f 2 ай бұрын
Nashukuru mungu kwa funzo
@user-du1gd6op3b
@user-du1gd6op3b 5 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananibariki sana sana kiukweli
@user-ne6cr5ku9l
@user-ne6cr5ku9l 7 ай бұрын
Mtumishi asante sana jee ukiwa na mtt mdogo nanyonyesha nitawezaje
@user-mu9vn1mq6v
@user-mu9vn1mq6v 10 ай бұрын
Asante sana nimlishwa neno hili hakika mungu anisaidie nikaliishi balikiwa sana mtumishi wa mngu
@sylvesterlogo8511
@sylvesterlogo8511 6 ай бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu umenivusha kiwango Kingine ubarikiwe
@user-zs1hk3no3f
@user-zs1hk3no3f 4 ай бұрын
Hakika mimi umenipeleka mbali sana kwa mafundiso yako ya kufunga asnte sana ni martin mpeketoni kenya
@sekelamwangobola1674
@sekelamwangobola1674 5 ай бұрын
Amen Mtumishi, hakika umenifungua, nashukuru sana na Mungu akubariki.
@user-es8vq5vk6l
@user-es8vq5vk6l 9 ай бұрын
Nimafundisho adimu sana mungu akubariki sana mtumisha
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 21 МЛН
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 46 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 17 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 9 МЛН
@juanchinbrodie #comedia #humor #juffec #felipecharry #amigos
0:15
Felipe Charry
Рет қаралды 4,2 МЛН
Сестра раскрыла тайну для брата 😱
0:42
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 2,3 МЛН
Утро начинается не с кофе
0:41
Онлайн-кинотеатр PREMIER
Рет қаралды 2,1 МЛН