mtumishi unakitu chenye u Mungu halisi ndani yako naomba ufunikwe kwa dam ya Yesu usije igeukia tamaa ukapoteza kusudi la Mungu alilokuwekea.
@dionisiakarata682429 күн бұрын
Asante Kwa somo mtumishi
@alfredalmhejr55512 ай бұрын
Amen mtumishi 🙏🏿
@user-wq8qd1ny3tАй бұрын
Amen🙏🙏🙏 mtu mishi Wa. Mungu nime barikiwa kwa SoMo Suri sana
@PeterYohana-n4x14 күн бұрын
Ubarikiwee sana baba mungu wa mbinguni akubariki❤ by jonson matiko ktoka zanzibar
@vivianboaz865315 күн бұрын
Oooh my Lord sijawah kuupata huu ufunua..Mungu nakushukuru kwa hili..mtumishi ubarikiwe sana
@user-ur7ek2bc3l24 күн бұрын
Nashukuru mungu kwa ajili ya mtumishi wako naomba mtunze
@user-wn5mo3ju6r2 күн бұрын
Asante sana mtumishi kwa mafunzo nmejifunza mengi sikua najua kufunga wala hindi ya kufunga asante sana MUNGU akubariki
@farajafelix9964Ай бұрын
Amena!! Nimebarikiwa na kujifunza mengi kumbe nilikuwa naomba omba tu bila kufahamu hapa nimejifunza
@ericaedenthomas87103 ай бұрын
1. Nini lengo la kufunga Mithali 28:19 mfano wa malengo : shukurani ; kuhuishwa kiroho; nataka maongozi kutafuta mkakati; ruhusa...uponyaji wa uchumi; mwili; kupata neema kutatua tatizo 2. Kujitoa/ commitment -gharama inategemea na hitaji mzigo haraka.. 3. Jiandae kiroho ( jiweke sawa na Mungu- toba; tafuta maandiko ya kusimamia- Mungu hujibu neno lake ktk maombi Yer 1:12 4. Jiwekee ratiba 1kor 14:40. 5. Tarajia shukurani kwa shukurani- jenga jukwaa ..
@AmAm-xt1ogАй бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa mungu nahisi kubarikiwa sana
@Florahtz7 күн бұрын
Nakuomba kokote ulipo Mungu akupe haja ya moyo wako leo 2024 ndo nimekuja kuliona hili somo jaman kumbe mtandao unasaidia ❤❤❤❤❤kuna kitu nime kupata asante Mungu 🎉🎉🎉
@godfreyngichabe27772 ай бұрын
Asante pastor kwa neno la mungu
@FransiskaJohn-fq1nfАй бұрын
Amen amen ,ubarikiwe Kwa SoMo hili ,Mimi nafungaga tu bila malengo na kufuata utaratibu
@ChristinaSanga-pl5jm5 ай бұрын
Mungu akubariki Mtumwa wake neno hili ni kubwa sana natamani kama ungekuwa na kipindi kwenye vyombo vikubwa vya habari ili kila mtu asikie kweli ya neno kupitia wewe
@Hekalueliasofficiel Жыл бұрын
Amen amen amen baba yangu una towa chakula Mazuri Sana wewe una faaa uko Sisi ni wa Drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@dorothykinya43984 ай бұрын
Thanks Lord for meeting a wonderful man of God with search teaching be blessed man of God for blessings of word, umenitoa mbali.
@TullyMwakibete-xt5xm9 күн бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri mtumishi wa Mungu
@andelynsanga-ei5td Жыл бұрын
Ameeen nimekuelewa Mtumishi kwa Somo zuri kuna mahali umeinua kiwango cha Imani yangu
@user-uu5fi2zz7h3 ай бұрын
Mungu akubariki sana pastar kwa kutufundisha, tunakushukuru sana
@wemachristopher891215 күн бұрын
Amina mtumishi❤
@NeemaaliceK25463 ай бұрын
Nashukuru sana kwa mwongozo huu nitaufanyia kazi ,ubarikie sana mtumishi wa Mungu
@susannjoroge32044 ай бұрын
Mungu hajibu maombi lakini ana lijibu Neno Lake! Very powerful revelation!
@bathshebanyaboke7192 Жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN MUNGU nakushukru kwa Mtumishi wako ambaye amenielimisha kuhusu mfungo barikiwa Sana mtumishi
@jacklinemakali18264 ай бұрын
Nafarijika kwa somo la mfungo amen
@neemaleonce1225 Жыл бұрын
Kiukweli nilikuwa sina huu ufahamu kabisa I know its Holly Spirit na sio kingine. Tunamsujudu yeye na kila mmoja amepata ufahamu. Ubarikiwe baba kwa kutupa haya maarifa
@jordanchisawilo6177 Жыл бұрын
Nipo Dodoma ila Mtumishi najengeka Santa na masomo haya
@paskaziasholla7471 Жыл бұрын
Neema huyu mtumishi kanisa lake liko wapi?
@israelnsekwa3002 Жыл бұрын
@@jordanchisawilo6177 Pastor BWANA YESU asifiwe MUNGU akubariki , jinsi anavyokutumia nimekuwa nikijengwa sana na mafundisho mimi ni mchangaji ila nimeanza kupata matokeo ninavyo endelea kujifunza
@gabriellumole814 Жыл бұрын
Aminamtumishi
@gabriellumole814 Жыл бұрын
Amina mtumishi
@pendoMwanji3 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
@naseeralbishi47263 ай бұрын
Asante pastor kwa mafunzo mazuri aki nmejua mengi sana kuhusu mpangilio wa maombi
@user-vk6tv7hh8oАй бұрын
Mafunzo ya ajabu mungu akuzidishie hekima
@EliauMtishbi-os5ky3 ай бұрын
Nimeinuliwa cna , na nimepata uwelewa mkubwa 🎉
@ppcltdppc3402 Жыл бұрын
Na hii ndio Injili isiyogoshiwa nimekula kitu kilichokuwa kinanisumbua muda mrefu sana Mungu akubariki sana mtumishi
@paskaziasholla7471 Жыл бұрын
Anakuwa sehemu gani jamani
@winfridamahali63492 жыл бұрын
Nimevushwa sanaaa na hili somo.barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa viwango vya juu 🙏
@ROSEMARYTARIMO2 күн бұрын
Amen
@ruthmuchina39634 ай бұрын
May God bless you richly mafundisho yenye nguvu za mungu na kuelewa kwa urahisi
@user-rs6cs3bs4i4 ай бұрын
I'm so blessed by your gospel, may GOD bless your pastor sure I have get many things from you 🙏🙏🙏🙏
@monicakuziwa44343 ай бұрын
Ameeeen Mtumishi umeniuniua upya sasa nitasimama
@KeziahKattawa-ed8lc5 ай бұрын
Asante mtumishi wa Mungu umenifundisha kufunga kwa malengo na gharama ya mfungo wangu
@angelamgale32284 ай бұрын
Nimependa Mafundisho yàko, sikuwa nimewahi kuyasikiliza. Barikiwa Sana Mtumishi wa MUNGU.
@blandinaleonard4058 ай бұрын
Asante sana Mungu nakushukiru Kwa ajili ya huyu pastor hakika nimepata kitu
@msafirishio3012 Жыл бұрын
Amina mtumishi Kwa kunifungua katika kuomba maombi ya mfungo
@user-mw6mn3xq4p4 ай бұрын
God bless you sikujua ratiba ya maombi mi hufunga but wee nachanganya Kila kitu Asante mutumishi wa Mungu barikiwa Kwa mafunzo mazuri nimejua Sasa ratiba ya mufungo
@reshinebakery28464 ай бұрын
Mimi pia
@esthershigongo85715 ай бұрын
Asante sana Mungu kwa kunifundisha namna ya kufunga asante mch nimekuelews ubarikiwe sana
@FridahFridahcent-qk8hw8 ай бұрын
Amina, asante sana mtumishi wa MUNGU umenizaidia kabsa
@user-ps2rv2bj2d4 ай бұрын
Amen Mimi hapa ulikua unanishambulia Mimi Tu wala sio MTU mwengine Yani umenitoa uchafu wote na mungu aniongoze Kwa Kila kitu ubarikiwe 🙏
@user-uj8jt2vz9r11 ай бұрын
Namshukuru MUNGU Kwa ajili yako mtumishi wa MUNGU najifunza nilikua nafunga kidini.sasa nitafunga Kwa malengo Asante YESU Kwa kuniona
@user-rs6cs3bs4i4 ай бұрын
Injili ya kweli ya mungu inayotakiwa ndyo hiiii mungu akubariki mnooo pastor George
@williethwilson18514 ай бұрын
Andika Mungu start with capital later
@naikeminja2 ай бұрын
Nimejifunza kiasi kikubwa. Sikuwa najua jinsi hii. Hakika nimebadilika sasa . Barikiwa sana Mtumishi.
@alicewangare76534 ай бұрын
Hakika wewe uko na neno sio maneno sikujui lakini wewe ni mtumishi wa Mungu utaenda mbali
@allymwanjota31116 ай бұрын
Barikiwa sana Baba hakika umenifungua MUNGU akutunze kwaajili yetu pia
@gloriamahuna680321 күн бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji nliwahi kupita tu you tube nikasikiliza neno moja basi nimeanza kuwa nakusikiliza sana Kuna kitu Mungu ameweka ndani yako kuna namna unafundisha mtu anaweza kusikiliza bila kuchoka Asante sana na Mungu azidishe mafuta
@user-tv4fm7rf1p5 ай бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu, Mafudisho yamekuja kwa wakati.
@magdalenandwete-zq9be8 ай бұрын
Amen mtumishi Kuna kitu nimegain thanks a lot glory to God
@monicahjames730825 күн бұрын
AMEEN SO INSIGHTFUL
@lucymurugi47437 ай бұрын
Thank you soo much man of God,wewe ni wa baraka katika mwili wa kristo
@user-od1bn8js7i9 ай бұрын
Ameeen mtumishi wa mungu najifuza namna ya kufunga
@carolinembacha73 ай бұрын
Haki umenifundisa mengi nimefunguka kiroho Amen
@TEDYMAKAVISHE5 ай бұрын
Leo umenifungua masikio kumbe ndio maana tunaunga na hatupokei asante mtumishi Mungu alitumia zaidi na zaid
@user-zj2ev7yy6l8 ай бұрын
Asante MUNGU kupitia mtumish wako ubarikiwe mlele 😢
@janetogalo96818 ай бұрын
Ahsante sana Mtumishi kwa mafundisho haya mazuri
@EvelinaMahenge-xi8fp9 ай бұрын
Asante pasta nimepata maarifa makubwa sana yanisadie kukua kiroho kweli nilikuwa nafunga wakati mwingine nikawa nakosa muda wa kuomba kabisa,ubarikiwe!!
@user-gy5hu5fx8q8 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe mtumishi naomba kuuliza ule mfungo wa Yesu wa siku arobaini ulikuwa kavu ama lah,maana umesema kibiblia mifungo mikavu mwisho ni siku tatu ,naomba unielekeze
@felsonsanga85027 ай бұрын
Mchungaji ni mvivu kusoma comment za Washirika so angalia namna nyingine ya kumpata
@beataselestine5862 жыл бұрын
Kuna hatua naenda katika maombi.. Mungu akubariki pastor George hakika ww ni baraka katika kizazi hiki.
@priscilamroso5827 Жыл бұрын
Asante mtumishi wa MUNGU nimebarikiwa na hili somo ,nimefunguka macho ,Asante BABA 🙏
@maureenmgeni Жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu! Jina la BWANA lihimidiwe Milele
Mtumishi Mungu akubariki kwa somo zuri, na Mungu atusaidie sana kuweza kufwata ipasavyo, injili yako hii ya kweli isiyotuwa magumashi
@claricewasore Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji kwa ajili ya mafundisho ya kufunga nashukuru MUNGU kwa ajili ya kesho kwa mfungo wangu KUPITIA haya mafundisho 🙏🙏🙏
@rosekenya940111 ай бұрын
Amen,umenisaidia sana ubarikiwe pastor
@SikujuaEmmanuel-fj4mg9 ай бұрын
Mungu akubariki baba hakika unatufungua wengi
@WorshippersofGodarmy-ot1mk8 ай бұрын
Ubarikiwe sana mafundisho yako nayapata nikiwa Zambia, Mimi ni mchungaji, Niko Zambia, naimarika sana mafundisho yako yananiletea mafunuo mengi, kweli yananisogeza sana
@halaali2510 ай бұрын
Amen huwa naskia amani Sana ninaposikiliza mafundisho yako yananibariki na kunifungua pastor George Mungu yupo ndani yako ,natamani siku moja nije kanisani kwako nikuone Tu ,umenifungua vitu vingi Sana Sana , kwenye mafundisho yako.
@rachaeljames93645 ай бұрын
Nasikia aman sana nikisikiliza neno lako
@RuthMartin-pn4wwАй бұрын
nabarikiwa sana na Mtumishi huyu ubarikiwe sana.
@salomepangani796913 күн бұрын
NimebarikiwA
@256Angel- Жыл бұрын
Wow sikuwa na ufahamu bt now am delivered thank you man of God More Grace upon u🙏
@WilliamNgazija-cd7cs3 ай бұрын
Oooh Nabarikiwa cn kwa huduma hii
@user-nb4ms2vw8c8 ай бұрын
l love this man of God😊...his teachings are bomb💪
@gladyskiprono2461 Жыл бұрын
May God bless you for i learnt alot yenye sikuwa naifahamu.God thanks.
@doreen9516 Жыл бұрын
Very insightful! Asante Mtumishi, God bless you!
@user-gh4ym7ji8v9 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Mimi ni mmoja wa maelfu wanaoponywa kupitia huduma hii ya utumishi wako mbele za Mungu. Namuomba Mungu anipe neema ya kuyafanyia kazi mafundisho unayotupa na siku Moja nije nitoe ushuhuda mbele za Mungu Kwa jinsi yalivyonivusha. Naendelea kuchuchumilia hadi uzima wa milele. Amen
@LinetyNdenge3 ай бұрын
Amen mtumishi. Wa mungu
@macrinajoseph1422 Жыл бұрын
Amen.mungu.akubariki.sana.mtumishi
@NeemaMgaya-ez9unАй бұрын
Mungu wangu nisaidie
@OmAn-jw4jt4 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
@catherineonyango67513 ай бұрын
Amen am blessed Man of God,may God bless you
@godfreyngichabe27772 ай бұрын
Orioh pastor wateka likhuwa liomwami
@winfridamahali63492 жыл бұрын
Asante mtumishi nimejengwa sana na hili somo Mungu aendelee kuiutumia kwa viwango vya juuu
@joycemabariki9303 Жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi, umenifungua pakubwa sana
@linahliz2130 Жыл бұрын
Umenifungua macho, nilikuwa sijui chochote,be blessed Man of God
@josephatombati6303 Жыл бұрын
Mungu azidi kufungua mipaka yako mchungaji,nimesikia na kusonga hatua nyingine tena ningependa kukushukuru sana
@julianakimambo20572 ай бұрын
Ameen mchungaj mungu akubari sana
@emilianamtundu34265 ай бұрын
Mungu naomba mwanangu aje kutumika hivi
@getrudamussa56992 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa BWANA,umenivusha,AMEN.
@irenekayombo550910 ай бұрын
Amen mchungaji huwa naelewa sana neno,ubarikiwe
@user-rn7ui4pp9f2 ай бұрын
Nashukuru mungu kwa funzo
@user-du1gd6op3b5 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananibariki sana sana kiukweli
@user-ne6cr5ku9l7 ай бұрын
Mtumishi asante sana jee ukiwa na mtt mdogo nanyonyesha nitawezaje
@user-mu9vn1mq6v10 ай бұрын
Asante sana nimlishwa neno hili hakika mungu anisaidie nikaliishi balikiwa sana mtumishi wa mngu
@sylvesterlogo85116 ай бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu umenivusha kiwango Kingine ubarikiwe
@user-zs1hk3no3f4 ай бұрын
Hakika mimi umenipeleka mbali sana kwa mafundiso yako ya kufunga asnte sana ni martin mpeketoni kenya
@sekelamwangobola16745 ай бұрын
Amen Mtumishi, hakika umenifungua, nashukuru sana na Mungu akubariki.
@user-es8vq5vk6l9 ай бұрын
Nimafundisho adimu sana mungu akubariki sana mtumisha