Hapo mmechemsha. Unampeleka mwalimu akafundishe biashara huyo mwalimu mwenyewe pindi hamjampatia kazi alishindwa kuuza hata karanga amepigika ananuka kikwapa halafu akafundishe biashara. Biashara ni practical siyo nadhalia.
@claurianngowi7933Ай бұрын
Mimi nakuelewa vizuri sana professor, natamani wadau wa hii sector wakuelewe kama mm ila baada ya muda wataelewa.
@EsterMgaya-gr1ihАй бұрын
Mm nashauri advance iondolewe , badala yake iweke level ya chuo kwa ngazi ya chet , dipl ,kisha degreee
@matalo0551Ай бұрын
Huyu professor namhusudu, big brain, my roll model
@faustadonasian2777Ай бұрын
True
@igihamanuel127 күн бұрын
Nakubaliana nawe bro! Cha msingi kuwepo na ushirikiano: wazazi, waalumu na wanafunzi husika
@qamdiayboay-gv3byАй бұрын
Nchi iprint vitabu humu humu,kuna wataalam wengi sana wakuandaa vitabu,wataalam ni wengi sana jana,anayehitaji ananitafute ni mwelekeze, Vitabu bora sana
@Economically-Growth-MusiciansАй бұрын
From #EconomicallyGrowthMusicians Bora tu maana tulisomaga mengi sana bado maisha yatusapa Kitaa hivyo kwa Niaba ya Wasaka Tonge Bora hiyo Mtaala ya Biashara, Ujasilimali n.k ila Kwa Wale wa Muziki Mtupeni EGM🎉🎉🎉 Congratulations 🎉🎉🎉🎉
@MATHAYOPETROGARYAАй бұрын
Safi sanaaaaa hivyo ndo vitu vya kusomaaaa prof...
@ShaphyJamalyАй бұрын
Elimu .... Elimu... Elimu ... R. I. P LOWASA
@madeuslegembo8002Ай бұрын
Changamoto ni hawa mnaowafanyia majaribio ni watoto wa kitanzania ikitokea mabadiliko huko mbele wanakua hawana soko. Mfano mimi nilisoma Bs in Tourism and hospitality management, ila miaka kadhaa mbele imebadilishwa baadhi ya mambo tuliokwisha maliza tunaonekana weightless katika market,
@bakarimasanga3634Ай бұрын
Plan to do a post graduate certificate kwenye hiyo course utatisha sana kaka.dont stay dumb
@JosephineexsuperАй бұрын
Ulisomea wapi kaka?
@igihamanuel127 күн бұрын
@@bakarimasanga3634 Yaap! tatizo ni kuwa tunashindwa kujiongeza, elimu unayopewa hiyo ni basic tafuta foundations kujikita katika eneo lako na boresha na uzoefu hata kwa kujitolea kwa muda mfupi baada ya hapo unakuwa nguli na unakuwa na uwezo wa kutamba popote
@geraldluiso6792Ай бұрын
❤ kila kitu huendana na wakati tuliopo. Taaluma hubadiki pamoja na masomo yake.
@sammyaron3818Ай бұрын
Ina sikitisha kuona hata vitabu vina kuwa printed nje ya nchi 😂
@moshifrank9622Ай бұрын
Yaani sisi uwezo bado
@fabianalfredy5557Ай бұрын
Dili lao. Hilo
@TOUNDISELASSIE-xj8oyАй бұрын
Elimu yetu inayumbishwayumbishwa sana. Badala ya kuboresha sehemu zenye mapungufu, inabomolewa kabisa. Siku ikionekana tumekosea mahali, kizazi chote kilichopita kwenye elimu hiyo kinakuwa kimepoteza. Pamoja na kwamba leo ndio kwanza nausika mpango huu, naishauri usitishwe, sina imani na waliotafiti elimu yetu kwamba ni mbovu kiasi cha kubomoa boa hivyo. Nyerere na wenzake walikua makini sana kwenye uundaji wa elimu yetu. Mwanafunzi ukifanikiwa kumaliza darasa la saba, unakua una uwezo mkubwa wa ufahamu. Na unakua mzalendo haswa. Tofauti na sasa wasomi wengi hawaleti tija kwenye nafasi zao wanazosimamia. Ripoti za c.a.g mara zote zinaonyesha namna baadhi ya wasomi wasivyo wazalendo. Tujitafakari.
@ayoubbuchilly7456Ай бұрын
We nae kumbe hujamsikia vzr, hajasema kua waanabadilisha masomo , waanachofanya nikuboresha vitu vya msingi viendane kulingana na hali ya maisha ya saiv yanataka nini
@fabianalfredy5557Ай бұрын
Uzalendo, ni Swala la kiroho yaani ufundishwi, unaona baba , mama, kiongozi wako mzalendo ndiyo na wewe unakuwa mzalendo. Haiwezekekani uwahubirie WATU kitu usichofanya, mf. Haiwezekani mkataba wa uchimbaji madini tanzania inakubali kuchukua 16% na mwekezaji anachukua 84%. Na Hela zinaliwa hakuna hatua zozote. Hapo mwananchi utamwambia vp mambo ya kizalendo
@anuarymyekakimolo4785Ай бұрын
@@fabianalfredy5557 wew nan kafundisha hicho? Kiroho ndo nini? Ulisha wahi ona kitabu Cha kiroho wapi??? Biblia na Quran ni material,,, physical sawasawa na vitab vya shuleni tu lakin kutoka hiyo material unailisha roho. Aliye kuambia mambo ya rohoni hayafundishwi ninani huyo punguani? Unasoma darasan una transform yaliyo andikw kuwa abstract concept kutoka concrete concept... Tangu lini maarfa ndani ya mtu ni material thing. Akili na elimu ndani yake na maarifa ni roho by nature elimu siyo kitu Cha kushikika anaye wafundisha elimu ni nan mjinga huyu anatuharibia watu. Kiroho ndo nini? Eti uzalendo ni roho, na Akili ni nini na elimu ni nini? Elimu ndani ya mtu ni roho pia is not a thing, not a physical thing,, huwez fanya surgery eti uangalie elimu ndani ya mtu. Uzalendo UNAFUNDISHWA NDUGU YANGU sema hujui unafundishwaje. Uelewa mdogo huu. Ubongo siyo akili ZINGATIA hilo.
@anuarymyekakimolo4785Ай бұрын
@@ayoubbuchilly7456tatizo mna abudu elimu wala hamjui ni nini. Hapo hamna kitu people are not sensitive na Akili za watu. Hupasw kujaribu uone km itafanya kazi unapoteza kundi kubwa sana na linadumbukia kwenye umasikin kwasababu you are dealing with a wrong thing. Elimu ya Tanzania haijatibu tatizo la kiakil la watu wake na hii kuitana professor hii kitu hii . Mhhh nisiseme Mengi
@charlesmakuri792Ай бұрын
Bana futeni form six mujulishe form four
@yordanyona1234Ай бұрын
MASOMO ya uongozi muhimu sana
@edenusmrosso9225Ай бұрын
Shule za ufundi wanasoma theory hakuna practical
@lucianakweyunga8187Ай бұрын
Profesa usiwe na haraka mabadiriko ya elimu yanahitaji mda wa kutisha, ndio maana ya transition period . ukimsikiliza vzur Prof anakili amewahisha sana.
@ROZITHOMAS-y4qАй бұрын
Mie sasa hivi naona form five waende wale genius ambao watakuja kuwa professor, n.k Vyuo viwe vingi vya art. Veta iboreshwe
@lawrencesanga9420Ай бұрын
Jamani.... Vitubu kwenda ku print nje ya nchi, mbona fedhea hivo, mnaweza kununua magari hata 100 ya Moja kwa 600M halaf mnashindwa kununua mashine ya ku print vitabu🙊🙊 yaan hapa nchi inajali starehe na sio maendeleo
@mawanzachihoma6959Ай бұрын
Hawa wanatafuta kamisheni kwenye printing ya vitabu na ndio maana wanapeleka nje ya nchi. Tuache ubabaishaji na kuwa changanya watoto. Sisi tumesoma na hatuja choka.
@YohanaMboma-vz3slАй бұрын
Vitabu hivi vya awali ni vigumu Kwa wanafunzi mkenda
@thomassalvatory8303Ай бұрын
tungejkita kwenye elimu ya ustadi wa jamii(nyenzo ya maendeleo ya jamii) kuanzia shule ya msingi mpaka chuo, kivip mfano kuwe na mitahala ya kilimo(kilimo,ufugaji,etc) kuanzia shule ya msingi, mitahala ya masomo ya sayansi(fundi ujenzi,mechanics,computer,etc) mtahala ya sanaaa(cherehani,michezo,uchoraji,ususi,etc) mitahala ya biashara, mitahala ya sheria and etc. hii inamsaidia mtoto akitoka chini anakuwa na uelewa anachofundishwa mpaka juu sasa unayoongea hapa saisa na uhakika haina son kwa jamiii
@jacksonchilongani4478Ай бұрын
Hello habari nashukuru sana professor nimekuelewa me ni moja ya walimu nilikuwa natoa ushauri naomba muangalie somo la history na civics kwa umakini sana huko ndio kuna ugonjwa mkubwa sana wa maadili yetu ya kiafrika ninaomba tuubadilishe maana hizi tamaduni za magharibi zinatuchanganya
@RichardDamas-fs3bpАй бұрын
Ww Profesa Mwanao anasoma kwa kutumia Mtaala gani?? Cambridge au wa Tanzania?? Mnalazimisha mambo ambayo hata nyinyi wenyewe hamuyaamini
@emmanuelgwanchele9795Ай бұрын
Ambaye hajaelewa tujuane
@edsonnelson4464Ай бұрын
Mimi sijaelewa
@alonchobasamiye6844Ай бұрын
mm hata sijaelewa kiti hapo
@AlhajiIssa-jb9hrАй бұрын
@@edsonnelson4464Wapi unatatizika kaka?
@juliuskitomari3057Ай бұрын
Nchi kama Nchi tangu uhuru hadi leo hata vitabu hatuwezi kuprint? Ni hatari sana aisee,Nchi kabisa,dah
@RabihuHusseinАй бұрын
Hakuna kitu hapo. bado elimu ni ya mkoloni na wala hamsaidii mwanafunzi kuja kujitegemea.
@SamhhIlo-ib4ijАй бұрын
Mnaakili sana nimewapata😊
@davidpetro1637Ай бұрын
yaani mtapanga yote lakini msipoondoa magape ya haves and have not yote ni ubatili wenye pesa watapata elimu bora maskini watapata elimu duni tu
@IsayaShauri-kn6efАй бұрын
Respect prof.
@maalimwenga452Ай бұрын
Kwenye hiyo mitaala muweke SoMo la katiba na Sheria watanzania hawajui chochote juu ya hivi?
@japhethotieno2285Ай бұрын
Wekeni na katiba ifundishwe kama somo
@abdulmajaliwa6376Ай бұрын
Wazo zuri sana hili
@mirajimsafiri932Ай бұрын
Shida ni kwamba serikali haipendi kila mtanzania aielewe ipasavyo katiba ya nchi yake......italeta vurugu pia
@josephjohn2114Ай бұрын
Kabisa
@josephjohn2114Ай бұрын
sekondari na vyuo tuanza kufundisha somo la falsafa Uraia na Saikolojia na Sheria.
@japhethotieno2285Ай бұрын
@@mirajimsafiri932 italeta vurugu tu wasiposimamia na kuitekeleza ipasavyo
@HassanMugireАй бұрын
Wanafunzi wetu Hawana uwezo wa ku competent na wanafunzi wa nje hta kidogo
@paulkambonya8001Ай бұрын
Veta ziongezwe na ziboreshwe iwe ni kwa practical zaidi
@brysonkaale3003Ай бұрын
Somo la dini kuingizwa mashuleni na kufundishwa na waalimu wasiona taaluma ya dini husika,hapa Professor Mkenda mmechemka!,serikali ifundishe dini?, na vyuo vya dini husika vitafundisha nini?!
@husseinmtima6106Ай бұрын
Tuweekeni na somo la katiba jaman 😂😂😂
@NicholausLaurent-t6xАй бұрын
Mkenda unataka kutuharibia mfumo wa elimu, watch out brother, mabadiko ya elimu ni gradual change sio immediately change, Utachemka, pole Sana Kwa kujaribu ila andaa mpango wa miaka 30 ijayo!!!!
@BONGOINMOTIONАй бұрын
Mfumo w elimu bongo ni mrefu mno kumbuka zamani waisoma madarasa ma 4 tu... Na walikuwa poa.....
@munuoisaack418Ай бұрын
Bado tutaambiwa mwanadamu wa kwanza alikuwa nyani?
@RamadhanKicheleАй бұрын
Hapo Sasa elimu yetu saaaafi
@JohnMabustarАй бұрын
Professor toa iyo neno KUJARIBU weka neno KUFANYA tufanye kweli pendekezo langu o level wajifunze introduction of technical drawing
@LucianSanga-q8jАй бұрын
Tusomeshe Watu wetu kwa mahitaji yaliyopo na Mazingira ya Duniani Tusisomeshe Ili wawe Watumwa Bali washindane na Mazingira waya shinde
@LifebeaconupliftАй бұрын
Mm cjaelewa
@leahmgunda4154Ай бұрын
Sera huwa zintungwa na akina nani? Zenyewe hazinaga kukusanya maoni kwa wenye nchi? Akija waziri mwingine ruksa kuchezea katiba aliyoikuta? Naomba nijibiwe kwa faida ya wengi.
@Emma300bАй бұрын
Yaaani hapo naona ni kero sana. No hatari tunakoenda . Tuombe Mungu tu . Sioni mabadiliko yanayokuja haraka hivyo .
@paulkambonya8001Ай бұрын
Masomo kuanzia awali yafundishwe kwa lugha ya kibiashara(kiingereza)
@meshackjacobmwakalasya543Ай бұрын
Kukurupuka ni jambo baya sana ,,hatuwez kufanya mabadiliko kwa kuingiza jambo jipya kwa nchi nzima ,, tungeanza na makundi machache
@sule17942Ай бұрын
Cha msingi tunakosa kusoma kwa vitendo vya kutosha na wataalam katika ujasiriamal na hiz biashara, andaeni curriculum za vitendo mashuleni na waalim wenye utaalam na msimamie. Acheni kuhangaisha watoto kwa masomo meng na mitaala isio make sense wala haiboreshi skill za wanafunzi.
@akbarkisamo8392Ай бұрын
Maelezo mazur sana
@SamuelErnestАй бұрын
Hongereni
@JoakimworkproductionАй бұрын
Kikubwa dada ni kuongozwa na roho mbona hata sehemu zingine mnaalikwa na wachungaji ambao si wa kiMungu na tuna jua mtu asilokuwa wa Mungu huyo you kinyume nasi. Waimbaji wengi sikuhizi wanahudumu kwenye madhabahu za kishetani bila hata kujua. Sio yote yanayooonekana Ni makanisa Basi Ni makanisa kweli Kwa hiyo narudi pale pale Kikubwa ni kuongozwa na roho mtakatifu basi
@brysonzawad8521Ай бұрын
Hivi mh kwanini msifanye kitu rahisi cha kufanya vijana wenu kujikwamua na hali ngumu ya maisha kuliko kuiga kila kitu toka huko ulaya ikiwa mnapoteza muda na kutufanya vijana vilema wa kudumu hivi miaka yote hiyo hamjawahi kulifikilia hili ikiwa mnaona maisha ya vijana wengi yanavyokuwa magumu mkitaka ushauri nipo kwaajili ya kiwashauri serikali yangu
@ERICKRUGAMBILWAАй бұрын
Hizi comb Mpya zenye Fa na Li tunaomb kupata ufafanuzi
@salomeisaya1334Ай бұрын
😂😂 Asante msemaji, umetuwakilisha
@haidhabushiri9558Ай бұрын
Miundombinu na walimu wa shule ya msingi ndo shida ili mtaala uende vizur
@kessikahawamango4114Ай бұрын
Kwenye sekta ya elimu kila mmoja anajifanya ni fundi anajuwa kwa mfano tukupe nafasi wewe uanayecoment negative kwenye maelezo ya Waziri hunauwe hata wa kuongoza shule ya chekechea. Hebu nyamazeni kama hamuna la kuchangia.
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Well said
@thedriver.michael.3975Ай бұрын
Bomoa tutajenga kesho, elimu ni biashara tutasomeje. Mbona hatuwaoni watoto zenu madarasani wanasomea wapi
@ebenezermbena2894Ай бұрын
Well
@NassorHamad-m5gАй бұрын
Kiongoz ikiwa wanafunz watosoma lugha zaid ya nne jee dhaman ya kiswahil chetu ipo wap c kitaenda kufa kwann tucwek hayo masom kwa lugha yetu hat kma itakua kifaransa bac iwe ni kam som tu na zisipew kipaombel tukasahau kiswahil chet
Hao wadau ni wapiii? Wakati walimu wenyewe hawajui
@foibennjeje7730Ай бұрын
Amai na mtaala ni masomo gani haya!!
@Happyworld-x3dАй бұрын
Muuingize , masomo ya mafunzo ya kujiajiri kwenye biashara mbalimbali, pia wanafunzi wa seconadary wafundishe vizuri kuhusu " sex transmutation " na namna ya kuitumia kwaajili ya maendeleo
@hakambashe8421Ай бұрын
Kumbe vitabu Havi printiwi hapa nchini?!?
@Alphonso_07Ай бұрын
Kwa maana hiyo hapo kwa form five tunaendelea na mtaala wa zamani as usual?
@paulkambonya8001Ай бұрын
Katiba nayo iwe kama somo naunga mkono
@edithlameck8170Ай бұрын
Kwenye mitaala hiyo mipya kumewekwa somo la mazingira? Mazingira ya usafi, athari za kutupa taka hovyo, litter management n.k.. n.k. na elimu hii ianzie kwenye shule za awali. Kwenye swala zima la usafi ni rahisi kufundisha tangu mtu akiwa mtoto na kumjengea mazingira ya usafi.
@abuukarata9653Ай бұрын
Hii inchi ni ngumu sana.
@merumount5988Ай бұрын
Ujinga ndio unauita ugumu..?these r foolish statements!
@elispiuselias1339Ай бұрын
Tujikite kwenye elimu ya ufundi stadi kila mtu atakuwa bize na kazi kuliko kutembea na nyaraka za vyeti kutafuta kazi. Pia tutapata watu wenye uwezo sahihi kivitendo kuliko maneno
@edsonnelson4464Ай бұрын
Elimu ya Tanzania bhana, eti mainginia makandarasi wanachanga hela na kumnunulia Rais HelikopitA wakati vijana wanamaliza form four wanaendesha bodaboda kutoka China, badala hata wajenge hata veta ziwe nyingi vijana waingie huko wabuni vitu mbalimbali ,tutaendelea kuagiza vitu china mpaka link?
@erickjosephat863Ай бұрын
PROF, unaeleza vizuri sana
@omariabeid3291Ай бұрын
Yaani hapo hamtuambii kitu,mumepuyanga mno tunavyo wachukulia ni kua nanyi ni vilaza maana hamuwezi pitisha sera ya kidwanzi.Mmekurupuka kama sio wasomi ni aibu.
@leeonlinetv1847Ай бұрын
Elimu ya bongo inayumbishwa sana, hakuna falsafa maalum inayoongoza elimu nchi hii
@jamaliahmadi1383Ай бұрын
Hamna vitabuta vya pure mathematics mnatumia vitabu vya nje kama chandi (India),Engenearing mathematics (England) Isaac Newton ,
@tgeofreyАй бұрын
Tulikiwa ma Kinunda sijui wamekizika wapi
@DigitalhhhhhgfggАй бұрын
Mupepuyanga toeni kiswahili dhule za msingi anza na English ndo lugha ya kibiashara swahili ikae lugha as subject
@mirzah117Ай бұрын
Ina wañasiasa anaongea hadi ananesanesa kama ana spring achokiongea chenyewe sasa
@mohamedbushoberwa9418Ай бұрын
Nataman kiingereza kitumike tangia primary mpaka chuo
@barakamelkizedeki5069Ай бұрын
Kisa
@lucasmartin431Ай бұрын
Naunga mkono Hoja
@alanusrespicius1796Ай бұрын
Tunapaswa kusoma kiswahili chetu. Tatizo tunaamini kingereza ndo elimu. Kiswahili ndo lugha yetu. English iwe somo tu na isiwe language of instructions.
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Huu Mtaala mpya ndivyo unaelekeza.
@OmarAmran-t7kАй бұрын
Kiko wapi kitabu cha fizikia cha nchi ?
@MasoudyMichael-ox7xlАй бұрын
Hivi yale makombi ya watoto wa form five yanakazi kweli huko mbele Mana hamjasema ajira zitakuwaje😅 Niko pale
@kwisa4899Ай бұрын
nilitarajia kuona mchanganyiko wa wachina waturuki na walimu wetu kuungana mashuleni lakini mado munafanya makosa yale yale
@ROZITHOMAS-y4qАй бұрын
Tengenezeni shule za vipaji tangu shule za awali. Tupate wataalamu wakiwa wadogo. China vijana miaka 16 ameshaanza kutafuta hela
@MahangaofficiallyАй бұрын
Hongera professor wetu nakuamini
@thomassalvatory8303Ай бұрын
tatizo la elmu yetu inakuwa na msaada mdogo sana kwa watoto yaaan aliyesoma anaendesha bodaboda kama ambaye hajasoma so elimu nakuwa kama haina faida aliyesoma anauza mtumba kariakoo kama ambaye hajasoma so mtu anajiuliza umuhimu wa elimu ni nn soln tujikite kwenye elimu ambazo zitawasaidia watoto mfano
@DAUDIMAKARANGAАй бұрын
Hapo umesema maana ukiangalia kama hakna kinachoendelea.
@SaluMaige-sc8bmАй бұрын
Mfumo wetu wa elimu na mitaala bado niwakikoloni
@samsonhamery3809Ай бұрын
Professa tunakuelewa ila hofu yetu usije ukaturudisha kwa Waziri mwenzako Joseph Mungai alifikiri anajenga elimu badala yake akaua kabisa mfumo wetu wa Elimu: Mimi nafikiri ungeondoa mfumo wa elimu ya nadharia ambayo lengo lake ni kuajiriwa badala yake tungejenga mfumo wa elimu ya kujiajiri,tangu elimu ya awali:
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Mbona ndicho anatengeneza? Kapitie huo mtaala ulioboreshwa 2023. Shida hamsomi mko bize mitandaoni😂😂😂
@DanielLikangagaАй бұрын
Mmefeli vibaya waheshimiwa miitaara ya elimu haiwezi ikasomwa na mwanafunzi kwa muda mfupi kama Ivo alafu mwanafunzi akaielewa huu ni kuiua elimu ya watanzania
@walidmgonja3644Ай бұрын
Miitaara ni nini na wewe tutolee ushamba wako huko,sijui ni likuriaa au mshamba wa wapi
@thomassalvatory8303Ай бұрын
haya unayoongea hapa ni siasa nakuhakikishia hamna ktu kinatokea kwa wananchi mm spingi serikali nataman tubadilike na tufikirie watoto wetu wanakuja kuishje baadae hakuna ktu kinachomuuma mzaz kama anaona mtoto wake hana mbele wa nyuma alafu mzaz hamna msaada kwa huyo mtoto jambo baya sana tuache politics tujikite kuwasaidia watoto wetu wa baadae
@OmarAmran-t7kАй бұрын
Serikali haina kitabu cha fizikia 😢😢😢
@RaymondKilomeyeАй бұрын
Huo mtaala mpya km hakuna kipengele chakujifunza Sheria niwazi huo mtaala haujakidhi vigezo bado mnatengeneza kizazi kisicho jitambua namna gan yakuishi kiuongozi jambo ambalo nimuhm ktk maisha ya Kila cku, bado mnatekeleza agenda yenu yakuwafanya wa2 kuwa watumwa wakisiasa nautawala wenu hii mbaya San na hawez Sadia mwananch kujua wajib wake ktk taifa, nashangaa mnazunguzia somo la amani gan isiotokana na haki kuwafanya wananch wawe watumwa wawa watala namachawa wasio jitambua wanaojua kusifia2 nasio kukosoa amani gan hiyo yakishenzi mnawafundisha watoto wetu ujinga km tulivyo fundishwa sisi, watu wanajifunza maarifa makubwa kufanya tafiti kubwa nyie bado akili zenu zimeganda kisiasa nakuwalinda watawala wenu mavi nyie.
@JohnMabustarАй бұрын
Watoto wanasisitizwa tuwanunulie mkebe je wafundishwa Nini thamani ya huo mkebe
@DanielLikangagaАй бұрын
Wanafunzi na wataalam wengi wanalitia hasara Taifa ,(wasomi)serikali unatumia gharama kubwa kuwasomesha watu ambao baada ya kuhitim elim ya juu wanaludi mtaani kufanya kile alichomea kwa vitendo hawezi Sasa ukimuuliza elim alio nayo atakwambia anadigri ya taaruma frani na hii yote ni kwa sababu ya miitaara yenu mibovu
@AnethMushi-c3eАй бұрын
Kila kitu kina historia iwe mbaya iwe nzur mf familia ina hist yake ukoo kabila din ugonjwa bila historia ya kitu nchi kwahiyo tunaenda kwa historia
@thomassalvatory8303Ай бұрын
hamna alichofanya, analyse tatizo la elimu ni nn then unatengeneza staterges then una deploy soln
@christophermwatendela9500Ай бұрын
Katika kitu kinachonishangaza ni kuingiza SoMo la dini wakati serikali yetu Haina dini !!!
@Emma300bАй бұрын
Professor unaongea vizuri sana ila mabadiliko ktk Elimu hayahitaji haraka ni polepole . Mkikurupuka tutarudi nyuma sana. Hakuna haraka .fanyeni taratibu.
@charlesseba2000Ай бұрын
Hii elimu itakuwa ni mbovu kuliko elimu zote duniani, kwa namna hii tutakuwa na wajinga wengi mtaani kuliko siasa mnazoweka kwenye elimu
@nguruwekikwete1635Ай бұрын
Maprofesa uchwara ni wengi sana tz
@BABAJOAN1604Ай бұрын
Darasa la pili vipi
@mbwanakiting7180Ай бұрын
Wanajaribu kwanza
@mbwanakiting7180Ай бұрын
Rais u.etuletea mtu wa kujaribu sasa...wakishindwa watasema tulikuwa tunajaribu...na wale waliojaribiwa watabaki na ujinga au watarudia vidato?
@mbwanakiting7180Ай бұрын
Watu wa nchi hii kama hatuna akiri...eti anasema kwa bahati mbaya vitabu vinachapwa nje ya nchi..du...kuna makampuni ya uchapaji pale pugu road yanachapa hadi nakala milioni moja kwa siku inategemea na ukubwa wa kitabu kwa ubora wowote mnaohitaji. Itakuwa mmewapa wachina nyie. Uchapaji wala sio ishu kama kazi iko tayari ktk pdf na vipimo vyake hakuna utaalamu zaidi ni kuweka karatasi zinazoitajika na kuprint tu...machine zinakata na. Kupanga . Ukimuuliza watakwambia wataalamu
@yonahgideon7561Ай бұрын
Sasa nyie mbona hata hawo walimu wa biashara wenyew mnaajiri wachache Tena Yani walimu wa commerce 24 ndo watatosha nchi nzima au mnataka mda ukifika mseme Tena hatuna walimu wakutosha
@kakuyajumanne7335Ай бұрын
Hamnamo mali humo kaja kuvuruga kila kitu huyu
@jumashedafaАй бұрын
Toen somo la historia shulen halina tija ya leo na kesho ya vijana ila mchango finyu mno..Vitabu vya historia vibaki maktaba na katika majumba ya makumbusho... Hilo liwe ni shauku ya mtu akipenda kujua historia ya nchi yake au kitu flan ataenda kujisomea..Hata mchepuo wenye Hkl nk umekosa mvuto ktk soko la ajira
@jacobsimkoko3096Ай бұрын
Haki ya Mungu mbona hujafikiri kabisa, ukiona Magufuli amesoma chemistry Hadi PhD, lakini baadaye akasema Kuna haja Kila mtu asome history ujue Kuna kitu aligundua. Kuna umuhimu mkubwa sana wa history.
@felisteronesmo3091Ай бұрын
Kapungize sumu mwilini, upeo wako usafishike ... Hoja yako hii ni dhahiri shahiri una sumu nyingi mwilini ..
@graysonpastory1918Ай бұрын
Kweli huna akili wewe
@ephesongailo8564Ай бұрын
Hii ni hatari sana,,,,,! Kila nchi watu wanasoma historia Yao.....! Labda wangepunguza historia za nchi za ulaya ndio imgeachwa