Mama Samia i will blame you, umeamua kuwaachia. I miss magufuli
@Ibnimohd-tr6qc10 ай бұрын
Following Magu
@festokemibala583210 ай бұрын
Kama umewabaini waondoe katika ofisi walizopo, mtaani soko liko saturated watu wanatafuta wapi pa kuonyeshaea umahili na weledi wao katika kuhudumia umma.
@RewardMmbaga10 ай бұрын
Mama nimekusikiliza nimekuelewa sana,ombi kwa wana Mbarali tunaomba uturudishie arizi yetu
@drallan687910 ай бұрын
polite advice achana na issue ya DP world inakuchafua our dear president nchi inagawanyika
@mkude10 ай бұрын
Hapana DPW ni muhimu kuja kuwekeza katika bandari yetu Kwa maslahi ya taifa letu
@patrickjohn408610 ай бұрын
Mama kama ndio namna ya kukemea watumishi waizi basi hakuna nchi
@hajihassan543310 ай бұрын
Very true!
@mkude10 ай бұрын
Unataka akemee vipi au unataka atukane,
@hamisisonga934210 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂
@neemakingdom481610 ай бұрын
HAWA HARIMASHAURI NI WAIZI SANA SISI WANAICHI TUNABANWA KULIPA UTITIRI WA KODI NI SHIDA MAMA
@josephudoba556310 ай бұрын
Asante raisi ila wewe ni mpole sana tunataka tukuamini ila kitu kimoja tu mama uwe makini na watumishi wako pengine unapoona mabango ya kukupongeza achana nayo pengine unapopongezwa mamluki wametumwa pengine jambo hilohilo unalopongezwa kulifanya linakua halijafanyika wanakupongeza Ili kukuziba macho hivyo nakushauri uachane na pongezi pokea na malalamiko kama unavyopokea pongezi utajua pabovu
@gorgorabokor750910 ай бұрын
Mashallah ,mama sifa zote za kiongozi Bora unazo ,kuwapa nasaha ,kuwaadabisha, ,kufatilia,na kutoa maamuzi sahihi , mashallah nakuombea dua njema ,afya njema ,ibada endelevu ,umri mrefu wenyewe ibada na mwisho mwema.
@gabrielmarcel377610 ай бұрын
Tatizo mama unaongea kuliko kutekeleza, unabembeleza watu wanaokula mali za nchi😢
@judyngowi39110 ай бұрын
Yanaishia hapohapo
@SuwediYusufu10 ай бұрын
Upole na tanzania vitu viwili tofauti
@robsonlotyloy567810 ай бұрын
Kwa hili,do' sikupingi mama. Gonga nyundo. ❤
@EliatoshaLema-rw5hm10 ай бұрын
Leo umenifurahisha sana mama yetu .hiyo fuatilia wapo wengi
@SangioNgoo10 ай бұрын
Atafuatilia wangapi na nchi ni kubwa? Bila kubadilisha mfumo ni bure! Kuna mtu alikuwa anatumbua kama Magufuli? Mbona hakuwamalizika? Mnakuwa warahisi sana kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
@aishaalbalushaishabalush829110 ай бұрын
@@SangioNgoomfumo yeye samia ndio kaubadilisha adi sheria kazibadilisha alivoingia tu kama huamin kasikilize hutuba zake za mwanzo alivo apishwa tu akasema kuna sheria ziliwekwa kubana watumishi wa umma na kubana wawekezaji ambao ndio hao wawekezaji wizi akasema anazifuta hizo sheria na mfumo wa mtangulizi wake sasa we ulitaka mfumo gani wakat wanabadilisha kwa masirahi yao awam hii wizi umezidi mfumo wa jpm ulikua mzur wizi walibaki kidogo sana waishe sema wakamkata uhai wake ila mifumo inabadilishwa na ndio kilicho fanyika sasa huyu anaongea. tu ila udhibiti wa wizi hana ye mwenyewe anaiba ndio maana anakwambia nanyie mle urefu wa kamba zenu kwahiyo mfumo unabadilishwa ndugu
@hassanmfaume452210 ай бұрын
@@SangioNgoo kweli maneno yako ndio mgawanyo wa madaraka..!
@ahmedissa788210 ай бұрын
Kila la kheri Mama
@daudykasherente866710 ай бұрын
@@SangioNgootru
@EliasEmmanuel-kw8wi10 ай бұрын
Si ndio hao wanaokusifia unaupiga mwingi, acha kazi iendelee mamaaaaa..
@aishaalbalushaishabalush829110 ай бұрын
nayeye akijisifu kuwa anachawa wake ndio hao
@sulemanmndeme896110 ай бұрын
Km anafanya kazi ana wajibu wa kusifiwa. Wizi ni sifa ya mtu. Dawa yao ni kutumbua.
@allanmbilinyi482610 ай бұрын
KAMA HUTAKUWA MKALI NCHI ITAKUSHINDA UWE MKALI PESA UNAKOPA MAJIZI YANACHUKUA.. KINASEHEMU ZILITOWA ML 130 KWA AJILI YA DARAJA MKARARASI ANALALAMIKA AMEPATA ML75 TU DARAJA CHINI YA KIWANGO PIA HAIJAISHA...UWE .KALI MAMA.
@subiramwaka979210 ай бұрын
Mwisho wa siku mwananchi ndie anae teseka. Makato na maendelea pia yanacheleshwa. Hongera mama leo umeongea mule mule.
@magrethmeela15410 ай бұрын
Mama ni mzalendo hapendi dhuluma hapendi rushwa hapendi wabadhilifu hongera mazaaa❤
@huseinshedrack618010 ай бұрын
Mama mm mwanao nakupenda sn lkn namna unavyo ongea na viongoz wanao kwenda tofaut na muongozo wa Nchi una fanya nimkumbuke Magufur,nimesikiliza hutba yko ila nilivyo fika kwenye wafungaj na watu walio nyanganywa aridh yao nineumia sn namna ulivyo hitimisha hlo, yaan umesha jua waz hawakutendewa haki kwa sababu hawana kipato ww km mkuu wa Nchi na mtetez wa wanyonge unashindwa kutoa tamko la wao kupata haki yao et unamuagiza mkuu wa Mkoa wkt unajua waz na yy ni miongon mwa walio wazulum,hapo ndio utaona umuhim wa baba yetu Magufur 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@omanoman-ir1ez10 ай бұрын
hahahahaa kweli kabisa mama ni mama tu hawezi kuwa kama baba mama yako amefeli
@gloryarnanidaud874810 ай бұрын
Aseme wakati mpango mzima anaujua hiyo ni vunga TU.
@jackisonmlaari455610 ай бұрын
Utatoka 2 2025 c ni kesko
@Ibnimohd-tr6qc10 ай бұрын
Kila zama na nabii wke zam ya mama wa Taifa
@simontamba218910 ай бұрын
You make me cry
@husseinmpuruti137210 ай бұрын
mama mama mtu amebainika ameharibu rushwa au wizi mbona unawaacha kama vile zamani mtumishi kibaha Dareslaam eti adhabu yake anahamishiwa mwaza mama hivyo tumbua ili iwe fundisho kwa watumishi wako ukiwaacha wanakuchukulia powa tu eti mama ni mpole tumbua mama usiwaache
@karimmunis830210 ай бұрын
Leo ndo unajua wamekuweka hapo , hii tabia ya kùpuuza kero za watu wamekoi kutoka kwko
@shebitaufik460710 ай бұрын
Kwa sasa mkurugenzi kawa waziri na waziri kawa raisi wakuu wa wilaya ndo usiseme mama yupo vizuri ila watendaji wake daa mungu atusaidie.tuu kwa kweli.
@peterbangari427310 ай бұрын
Samia rais wetu sisi Wana nchi tunzidi kukugundua kuwa huna Nia njema na nchi hii kwa maneno yako haya Yani tatizo unaliona halafu eti unataka lipoti niyanini kama huwezi kuchukuwa maamuzi ya hao wezi unatudanganya kwa kutulagai mbona huchukuwi hatua kwa hao wezi?
@albertbunyinyiga758110 ай бұрын
Shida kubwa umerudisha wezi watumbue
@user-ex9sd8wm4l19 күн бұрын
Mama niteuwe hata mimi niwemkuu wawilaya nitaweza cyo kama hao walafi wanakula hawakumbuki hata wenzao kama wapo😊😢😢😢
@hajihassan543310 ай бұрын
Kuupiga mwingi maana yake huo wizi mama! Awamu yako inatisha na hutafika mbali ukiwabembeleza hivyo.
@amadeokinyekile880410 ай бұрын
Asanteee sana mheshimiwa Rais dokt Samia kwa kusimamia vizr seriiali
@timboxlee91910 ай бұрын
Mhhh si kweli, mbona huwatumbui wakurungezi na mawaziri wako wakula hela,na miradi inasuasua
@geofreydamas169710 ай бұрын
Toa oder don't complain these people of ccm wanafanya kazi kwa mazoea
@abuukarata965310 ай бұрын
Hao ndio wa bara bwana
@gabrielmwikanu116010 ай бұрын
Wanakudharau Mama kwa sababu unawalea. Matukio ya wizi wa fedha huchukui hatua mfano ripoti ya CAG inayowahusu hata Mahakama mbona kimya ? Ripoti ulikabidhiwa ya hayo madudu, Watu wanakosa imani na wewe kwa sababu huchukui hatua kwa wakati na wananchi wakajulishwa. Ndo maana watu wanasema hii ndo Tanzania yetu kiunyonge, rohoni tunaumia.
@paulrwechungura428410 ай бұрын
Upo vizuri mh Rais kwa kusimamia Taifa letu,unaonesha uzalendo wako kwa Taifa lililosimamia, .Binafsi nakupongeza sana kwa maendeleo tunayayona,,
@salimkhamis363810 ай бұрын
Mama hii ni system ambayo CCM waliitengeneza. Ni sawa na kofi la kujipiga hamtakiwi kulia
@user-rs4vz2vt9z10 ай бұрын
Sasa semina kashiriki itakuaje?,au hawalipwi hapo?.kweli unaweza kufa nimeona huruma.
@user-cj1ft4mw2l10 ай бұрын
HUYU MAMA ANAONGOZA HII NCHI KIMWINYI SANA NA KIZANZIBA, NCHI IMESHAMSHINDA HII
@khamismwadini216910 ай бұрын
Umwinyi huo huo Leo ndio unakufanya ujambe
@joellongidare82807 күн бұрын
Mama nakupenda sana maana unaogea ukewli
@user-zg4uf2sh6x9 ай бұрын
Hongera mkuu kazi unaenda poa. Viongozi matatizo tusafishie mama
@EliyaMwaipopo-hf6nq10 ай бұрын
Mama umekua mpolesana nandiomana nchi iinachezewa takukulu mbeya niwala lushwa ukipeleka tatizo umepeleka ulaji wachukuliweatua
@Fundi1234510 ай бұрын
Mama huo ndo wizi wa tz kufanya tepng ndo zao hao piga chin usilembe mwandiko mswahili humuwezi tunaumia sana Hali mbaya sanaaaaa
@victorcephas361810 ай бұрын
Tumbua hao wote ni mtandao huo wa ulaji wa fedha zetu sisi wananchi
@mgazamadigamadiga-sg5cd10 ай бұрын
Mungu awape maisha maled dunian na akher
@elyotchisanga13810 ай бұрын
Wote wapo chini ya Tulia atimuliwe kwanza yeye hata Kama anachaguliwa na wananchi mzembe huyo
@victorjames373010 ай бұрын
Kero ingine ni bandari zetu sikiliza hizo kelele pia?
@jumbeojaso576710 ай бұрын
Suluhisho ni katiba mpya, na maoni ya wananchi, wakuu wa mikoa (magavana) wachaguliwe na wananchi, na asipofanya vema anapigwa chini kwa kura au kushtakiwa ( impeached). Kila.mtu atafanya kazi kwani haiwi kazi ya hisani ya rais,urafiki na kubembelezana kama sasa, Kila Miaka 5 anarudi kuomba kura na umma unaamua aendelee,au wanachagua mwingine wanayemtaka.
@malupex629910 ай бұрын
Mh. upo sahihi kabisa
@HurumaAntony17 күн бұрын
Daaah mama hapo wanakutazama to😊
@Worldunite10 ай бұрын
Mama ungewaondoa hao wapigaji, umewasamehe? ina maana hiyo pesa iliyokusanywa kwa udanganyifu jee? Naomba utumbue wote hao vinginevyo huu mchezo hautaisha aisee, naomba uwe mkali sana usikanye wewe ondoa tu watendaji wasiokuwa waaminifu 7:38
@clarencelazaro960010 ай бұрын
Yaani mama unachofanya ni k.m mbwa anayebweka harafu hang'ati
@BIGBOSS-hl3bu10 ай бұрын
SIJAWAHI KUSIKIA KIONGOZI MKUBWA ANASEMA KWAMBA ATAENDA KUULIZWA NA MUNGU JUU YA UONGOZI WAKE ,MUNGU AKUTANGULIE MH RAIS TUNAKUPENDAAAAAA❤❤❤❤
@oskamsafiri281410 ай бұрын
Unakuwa mpole mno, kwanza ilitakiwa uwe umewasimamisha then yafate.majitu hayo ndio yanatutesa na kutunyanyasa wananchi
@gracemima523410 ай бұрын
Mama uongozi umekushinda. Watanzania wanafhulumiwa na watu wachache . Lugha yako hafifu. Chukuwa hatua
@christopheritungi122810 ай бұрын
Moja ya hotuba nzuri sana kuwahi kutolewa na Mh. Rais imegusa wananchi moja kwa moja.
@zakarialuhemeja417910 ай бұрын
Ikiwa huko chini Kuko hivyo na yule wa juu kabisa hapo mbeya mchungulie
@WilliamKileta10 ай бұрын
Daaah tunasafari ndefu sana
@marklekasango930010 ай бұрын
Vibaya mmno
@hamisihemedi109910 ай бұрын
M a ma asante.sana mungu akuhifadhi wako wengi.wakuatumbua nakuwafukuza.kamahuyohuyoo
@agastokissatu266710 ай бұрын
...... Tumsifu Yesu kristo,Leo angalau nimekuelewa kidogo mama,gap ni kubwa mnoo kati ya watawala na maskini,chunguza sana maafisa elimu,kila sehemu ni rushwa tuu
@omaryluhanga938710 ай бұрын
Asante Kwa kuliona hilo
@user-gp5wx1ev9f17 күн бұрын
Mama Dr Samia Suluhu Hassan Mungu akupe nguvu utekeleze azima na ilani ya Chama kwa wananchi. Na watendaji na maofisaa wanaoporw pesa waende nyumbani.
@wanainchitvrdc670510 ай бұрын
Uyu mama sijui ni kiongozi wa aina gani . Yeye kila siku kazi yake kulalamika kuliko kutoa majawabu na way forward. Kwa kifupi kazi ya uraisi haiwezi .
@StanleyMakombe-fh2tq10 ай бұрын
Mama nakupongeza sana kwa kukutujali sisi wanyonge mama mh.RAIS pongezi kwako kwa nyongeza ya mishahara
@pirminmatumizi546410 ай бұрын
Overhaul the whole Mbeya government system kama kweli uko serious. Usirudie kosa kuhusiana taarifa ya CAG last year ulipofikia hatua ya kuwatukana wezi wa fedha za Serikali, ... Shenzi kabisa, ... Ajabu hukuchukuwa hatua yoyote hadi leo. Hapo ndipo mnawapa nafasi Chadema kuwapiga mawe.
@meshackmayenga96910 ай бұрын
Moja ya maeneo ambayo yanarudisha maendeleo ya nchi yetu kwasasa ni ulaji mkubwa wa hela ya serkali.Hili nidoakubwa kwakweli.Kwa vile sasa mama umeanza kuyaona kuyafuatilia naona mbele majizi yataanza kuogopa.Hongera sana mama yetu.Tupopamoja nawewe mama.
@shabanimungazija727210 ай бұрын
Mama kama umeuona hayo hongera sana keto ni nyingi lakini hazifiki ukiongea tu ni kichapo
@annetiadyeri563818 күн бұрын
Mulibarikiwa watachaniya mushukuru mungu anaipenda tachaniya
@deborahmgedzi63210 ай бұрын
Mungu Baba Mwenyezi tuokoa Wanyonge.
@CharlesMasese-cp3oe10 ай бұрын
Nafikiria baadhi ya mawaziri nao ufuatiliaji uwepo,channel ni KUBWA mno
@KhamisHaji-fd5lw19 күн бұрын
Mama samia nakupenda sana kwa uchapakazi wako M/mungu akuongoze,kutokn na nia yako njema watajidhuru wenyewe hao mafisadi ya kiuchumi!
@ramadhanisalum227110 ай бұрын
Mama hongera xnaa, but punguza upolee penye ukali fanya kweli unaachaje watu 700 wanateseka kwa ajili ya manufaa ya mtu na familiya yake! Ni bora wafe 20 wapone 200 coz katik hao watapatikana wazur watao lipizia hao wapumbavu wanaoharibu then unatukanwa wew kuw nchi waendesha vby coz yao, wape adabu wanayostahik kwa uadilifu, ahsante Allah akuongoze pale penye mapunguf yako:
@bakarimkwizu433510 ай бұрын
Kuna waninga wachache hawaelewi lakini MAMA uko kazini
@songomary90810 ай бұрын
D' Mh Rais Samia Suluhu Hassan nimekusikiliza sana tena nimekuelewa sana na huwa nakusikiliza sana nitumie neno hili niseme Umechelewa mno ila mungu atakusimamia na yuko pamoja nawe ombi langu wanyooshe kweli usiwaangalie usoni matarajio ya watanzania wengi wa chini ni kuona upendo kwa watu wa chini na sio wa hao uliokua nao juu ambao ni wasaidizi wako tafakari Mh Rais
@user-jw9no5jx5p10 ай бұрын
Bravo Mama,keep it up, Mungu akubariki sana
@muyasaidy10 ай бұрын
Mama Leo nimekubali umenena nakukubali piga kaz,mtangulize Mungu utafika
@issarashidiferuziferuzi920110 ай бұрын
Allaahu ma aamiin
@evarestkway-md1qn10 ай бұрын
Leo mama kidogo. Sana nimekuelewa lkn shida umezungukwa na watu wanafiki chawa wenye tamaa wezi ukichanganya na hicho chama Chakotena yaani ni shida ccm ni mwizi anayefunga wezi yaani nichama cha ukoloni mambo leo pango la wezi na wanyanganyi
@elyotchisanga13810 ай бұрын
Anza na Tulia Aksoni atimuliwe yeye ndie mwangalizi na mwakilishi
@nashonkibayayu37764 күн бұрын
Kwa hili! Umesema kweli.
@berthamakortha838710 ай бұрын
Ooooh my god. WATUUUUU jamaniiiii khaaaa😢😢😢😢
@husseinally301510 ай бұрын
Mama siku onyesha rangi yako halisi maana wanao haribu wanajulikana
@charlesally602810 ай бұрын
Muheshimiwa raisi msamehe huyo mkuu wa wilaya ashafahamu kosa lake.
@abdallahkungulilo793910 ай бұрын
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Rais na Kiongozi, Kiongozi hatakiwi kulalamika, anatakiwa kuchukua HATUA!? Kama Rais pia unalalamika NANI achukue HATUA!?
@gotfriedmwesiga423410 ай бұрын
Tumbua ndo watakuelewa !
@patrickjohn408610 ай бұрын
Na mama unaongea kama mzaha, kuwa mkali chukua hatua na fatilia na tuone matokeo
@kisokimhagama952610 ай бұрын
Asante sana Mama chapkazi.
@bharyasarbjit118710 ай бұрын
Mhe Rais Hongera sana Bado Mambo nyingi Sisi Becco Ltd tume fanya kazi Barabara kutoka kabiti mpaka Mloka wakati haipitiki 2020 ku lekea Nyerere Dam. Watu Yetu bada ku saidia Sisi local wana saidia Jv Arabs wasilipe sisi11B mpaka Leo Bank zina sumbua.
@paulina.baynit797010 ай бұрын
Umesema kweli mama wakuu wa wilaya ni shida tupo, wachunguzeni sana na watumbueni wanarudisha nyuma maendeleo ya wanyonge.
@emmanuelmlowe-ew7gxАй бұрын
Mama anaweza sana, tuhuma nzito kama hii kukusanya pesa ya serikali ya serikali nakuila bado hakuna kauri anato? Et anasema kaangalieni mara kajiangalie, kweli?
@jalaryababilasi156210 ай бұрын
Hizo pesa ungekuwa umezitafuta wew usingeongea hivo ngoja tunakuona 2
@mbarouksalim156810 ай бұрын
Kazi nnayo !Ya Allah tunakuomba mama yetu huyu ashinde Asishindwe Amiin.
@severamtungi703610 ай бұрын
Weka watu wenye hof u ya Mungu,mama ikiwezekana waarabu
@matikoghat6210 ай бұрын
AHSANTE SANA Mama!! Ukweli you are innocent!!! Msikilize kwa makini MAMA MONGELA!!!
@barakarobert102910 ай бұрын
Alioni hilo
@maswamills316115 күн бұрын
Mama ongea tu,watu wanakula urefu wa kamba zao bora wasivimbiwe.
@MichaelRobert-ot9zh10 ай бұрын
Nakupenda mama angu ongeza ukali tumbua majipu sanaaa
@zianasalimuhivikunamchunga522410 ай бұрын
Pia mama nakuomba mrudishe makonda madarakani atakusaidia kupambana na wezi wa nchi .kwani makonda anajitambua
@neemakerefu487619 күн бұрын
Jamani mama mbona unabembeleza Sana wezi Sisi ambao hatupo kwenye huo mnyororo tunaumia sana
@martinisadru989910 ай бұрын
Ukiwa unayafunga mafisadi na majizi, tutakupenda sana.
@ummimustafa533010 ай бұрын
Mama usiwaachie hata hao wakuu wa mikoa wawajibishe ili wawe mifano. Hao ndio wanaokupaka matope. WAPE ULTIMATUMS ili wajue upo serious. Kwa mwendo huo wananchi tutakuamini tu.🎉
@bellam.vyampi552810 ай бұрын
Nchi inahitajii viongozi wazalendo ili tuweze kusonga mbele,,ila ngozii nyeusii na uzalendo mmh tutasubiri kwakwelii.
@jameskaizilege16922 ай бұрын
Mama pole Sanaa unakazi yingi Kwa viongozi pole sanaaaaa
@kulwastima399310 ай бұрын
Mama chukua hatua Kali huku chini sisi lzm tuchukie ccm coz wanaona hzo pesa ka zao Kuna sehemu maafsa elimu wanawatoa Waratibu wa elimu kwny nafas zao kisa kakataa kupiga hela.
@user-oc2ul4lk4g10 ай бұрын
Mama kuwa mkali wezi watuupu ulionao hapo unaongea kiupole mama wezi hao wamekuzunguka yaan wasafi hapo ni asilimia 40