"Namtimua leo leo" Rais SAMIA achukizwa na jambo hili, Papo Hapo AMTUMBUA DC, amuagiza haya kwa RC

  Рет қаралды 290,032

Habari Digital

Habari Digital

10 ай бұрын

Пікірлер: 610
@user-ug8gg6fg5f
@user-ug8gg6fg5f 10 ай бұрын
Mama unakosea unawabembeleza wezi. Unakosea Sana mama
@mkude
@mkude 10 ай бұрын
Nani kakuambia anawambembeleza,akiwakamata anawatimua
@simonhalfani-bh9ur
@simonhalfani-bh9ur 10 ай бұрын
Anawabembeleza sana aiseee,hawa watamsumbua sana,serikalini siyo sehemu ya kubembeleza
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 10 ай бұрын
Hawabembelezi huyu Rais yuko diplomacy. Anajuwa nini anacho kizungumza. Tusimhukumu tunavyo taka sisi.
@Worldunite
@Worldunite 10 ай бұрын
Dawa ni kuwatumbua na sio kuwakanya aisee
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 10 ай бұрын
​@@awatifalghanim1106diplomatic kwa nchi hizi za Africa will get u dead. Mnafikia diplomatic baada ya kuwa na utaratibu imara
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 10 ай бұрын
RAISI ACHANA TABIA YA UPOLE KUPITA KIASI! HAO WOTE WAONDOKE WAENDE KWA MAMA ZAO!!
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 10 ай бұрын
😂😂😂😂
@khlafanmwassa
@khlafanmwassa 10 ай бұрын
Huu sio upole isipokuwa yeye mwenyewe ni tatizo
@amaniabdi9755
@amaniabdi9755 10 ай бұрын
Wewe ndo tatizo unataka akamatekamate tu bila ushaidi
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 10 ай бұрын
​@@amaniabdi9755Kama wewe ni muislam na unaandika haya basi ni musibaaa kweli
@nzarekimoshi2251
@nzarekimoshi2251 10 ай бұрын
Hio system ni CCM mama usijifanye hujui hakuna jipya hapo ndo zenu hizo CCM
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 10 ай бұрын
Sana tu kaka
@JayjayNgare
@JayjayNgare 10 ай бұрын
Mama yy atumbua ma DC na rc daily lkn mawaziri wezi walao mabilion utamskia akiongelea we ss akil kichwan wetu😢
@mkude
@mkude 10 ай бұрын
Tutajie Kwa ushahidi waziri gani sasa aliekula mabilioni
@daudkhatib-qn5tr
@daudkhatib-qn5tr 19 күн бұрын
Uwoo wizi unamashirikiano ya taasisi nyingi
@user-nw1io4cz5u
@user-nw1io4cz5u 6 күн бұрын
Ukitajiwa majina unataka kuchukua hatua gan??​@@mkude
@patrickjohn4086
@patrickjohn4086 10 ай бұрын
Mama Samia i will blame you, umeamua kuwaachia. I miss magufuli
@Ibnimohd-tr6qc
@Ibnimohd-tr6qc 10 ай бұрын
Following Magu
@festokemibala5832
@festokemibala5832 10 ай бұрын
Kama umewabaini waondoe katika ofisi walizopo, mtaani soko liko saturated watu wanatafuta wapi pa kuonyeshaea umahili na weledi wao katika kuhudumia umma.
@RewardMmbaga
@RewardMmbaga 10 ай бұрын
Mama nimekusikiliza nimekuelewa sana,ombi kwa wana Mbarali tunaomba uturudishie arizi yetu
@drallan6879
@drallan6879 10 ай бұрын
polite advice achana na issue ya DP world inakuchafua our dear president nchi inagawanyika
@mkude
@mkude 10 ай бұрын
Hapana DPW ni muhimu kuja kuwekeza katika bandari yetu Kwa maslahi ya taifa letu
@patrickjohn4086
@patrickjohn4086 10 ай бұрын
Mama kama ndio namna ya kukemea watumishi waizi basi hakuna nchi
@hajihassan5433
@hajihassan5433 10 ай бұрын
Very true!
@mkude
@mkude 10 ай бұрын
Unataka akemee vipi au unataka atukane,
@hamisisonga9342
@hamisisonga9342 10 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂
@neemakingdom4816
@neemakingdom4816 10 ай бұрын
HAWA HARIMASHAURI NI WAIZI SANA SISI WANAICHI TUNABANWA KULIPA UTITIRI WA KODI NI SHIDA MAMA
@josephudoba5563
@josephudoba5563 10 ай бұрын
Asante raisi ila wewe ni mpole sana tunataka tukuamini ila kitu kimoja tu mama uwe makini na watumishi wako pengine unapoona mabango ya kukupongeza achana nayo pengine unapopongezwa mamluki wametumwa pengine jambo hilohilo unalopongezwa kulifanya linakua halijafanyika wanakupongeza Ili kukuziba macho hivyo nakushauri uachane na pongezi pokea na malalamiko kama unavyopokea pongezi utajua pabovu
@gorgorabokor7509
@gorgorabokor7509 10 ай бұрын
Mashallah ,mama sifa zote za kiongozi Bora unazo ,kuwapa nasaha ,kuwaadabisha, ,kufatilia,na kutoa maamuzi sahihi , mashallah nakuombea dua njema ,afya njema ,ibada endelevu ,umri mrefu wenyewe ibada na mwisho mwema.
@gabrielmarcel3776
@gabrielmarcel3776 10 ай бұрын
Tatizo mama unaongea kuliko kutekeleza, unabembeleza watu wanaokula mali za nchi😢
@judyngowi391
@judyngowi391 10 ай бұрын
Yanaishia hapohapo
@SuwediYusufu
@SuwediYusufu 10 ай бұрын
Upole na tanzania vitu viwili tofauti
@robsonlotyloy5678
@robsonlotyloy5678 10 ай бұрын
Kwa hili,do' sikupingi mama. Gonga nyundo. ❤
@EliatoshaLema-rw5hm
@EliatoshaLema-rw5hm 10 ай бұрын
Leo umenifurahisha sana mama yetu .hiyo fuatilia wapo wengi
@SangioNgoo
@SangioNgoo 10 ай бұрын
Atafuatilia wangapi na nchi ni kubwa? Bila kubadilisha mfumo ni bure! Kuna mtu alikuwa anatumbua kama Magufuli? Mbona hakuwamalizika? Mnakuwa warahisi sana kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 10 ай бұрын
​@@SangioNgoomfumo yeye samia ndio kaubadilisha adi sheria kazibadilisha alivoingia tu kama huamin kasikilize hutuba zake za mwanzo alivo apishwa tu akasema kuna sheria ziliwekwa kubana watumishi wa umma na kubana wawekezaji ambao ndio hao wawekezaji wizi akasema anazifuta hizo sheria na mfumo wa mtangulizi wake sasa we ulitaka mfumo gani wakat wanabadilisha kwa masirahi yao awam hii wizi umezidi mfumo wa jpm ulikua mzur wizi walibaki kidogo sana waishe sema wakamkata uhai wake ila mifumo inabadilishwa na ndio kilicho fanyika sasa huyu anaongea. tu ila udhibiti wa wizi hana ye mwenyewe anaiba ndio maana anakwambia nanyie mle urefu wa kamba zenu kwahiyo mfumo unabadilishwa ndugu
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 10 ай бұрын
@@SangioNgoo kweli maneno yako ndio mgawanyo wa madaraka..!
@ahmedissa7882
@ahmedissa7882 10 ай бұрын
Kila la kheri Mama
@daudykasherente8667
@daudykasherente8667 10 ай бұрын
​@@SangioNgootru
@EliasEmmanuel-kw8wi
@EliasEmmanuel-kw8wi 10 ай бұрын
Si ndio hao wanaokusifia unaupiga mwingi, acha kazi iendelee mamaaaaa..
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 10 ай бұрын
nayeye akijisifu kuwa anachawa wake ndio hao
@sulemanmndeme8961
@sulemanmndeme8961 10 ай бұрын
Km anafanya kazi ana wajibu wa kusifiwa. Wizi ni sifa ya mtu. Dawa yao ni kutumbua.
@allanmbilinyi4826
@allanmbilinyi4826 10 ай бұрын
KAMA HUTAKUWA MKALI NCHI ITAKUSHINDA UWE MKALI PESA UNAKOPA MAJIZI YANACHUKUA.. KINASEHEMU ZILITOWA ML 130 KWA AJILI YA DARAJA MKARARASI ANALALAMIKA AMEPATA ML75 TU DARAJA CHINI YA KIWANGO PIA HAIJAISHA...UWE .KALI MAMA.
@subiramwaka9792
@subiramwaka9792 10 ай бұрын
Mwisho wa siku mwananchi ndie anae teseka. Makato na maendelea pia yanacheleshwa. Hongera mama leo umeongea mule mule.
@magrethmeela154
@magrethmeela154 10 ай бұрын
Mama ni mzalendo hapendi dhuluma hapendi rushwa hapendi wabadhilifu hongera mazaaa❤
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 10 ай бұрын
Mama mm mwanao nakupenda sn lkn namna unavyo ongea na viongoz wanao kwenda tofaut na muongozo wa Nchi una fanya nimkumbuke Magufur,nimesikiliza hutba yko ila nilivyo fika kwenye wafungaj na watu walio nyanganywa aridh yao nineumia sn namna ulivyo hitimisha hlo, yaan umesha jua waz hawakutendewa haki kwa sababu hawana kipato ww km mkuu wa Nchi na mtetez wa wanyonge unashindwa kutoa tamko la wao kupata haki yao et unamuagiza mkuu wa Mkoa wkt unajua waz na yy ni miongon mwa walio wazulum,hapo ndio utaona umuhim wa baba yetu Magufur 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@omanoman-ir1ez
@omanoman-ir1ez 10 ай бұрын
hahahahaa kweli kabisa mama ni mama tu hawezi kuwa kama baba mama yako amefeli
@gloryarnanidaud8748
@gloryarnanidaud8748 10 ай бұрын
Aseme wakati mpango mzima anaujua hiyo ni vunga TU.
@jackisonmlaari4556
@jackisonmlaari4556 10 ай бұрын
Utatoka 2 2025 c ni kesko
@Ibnimohd-tr6qc
@Ibnimohd-tr6qc 10 ай бұрын
Kila zama na nabii wke zam ya mama wa Taifa
@simontamba2189
@simontamba2189 10 ай бұрын
You make me cry
@husseinmpuruti1372
@husseinmpuruti1372 10 ай бұрын
mama mama mtu amebainika ameharibu rushwa au wizi mbona unawaacha kama vile zamani mtumishi kibaha Dareslaam eti adhabu yake anahamishiwa mwaza mama hivyo tumbua ili iwe fundisho kwa watumishi wako ukiwaacha wanakuchukulia powa tu eti mama ni mpole tumbua mama usiwaache
@karimmunis8302
@karimmunis8302 10 ай бұрын
Leo ndo unajua wamekuweka hapo , hii tabia ya kùpuuza kero za watu wamekoi kutoka kwko
@shebitaufik4607
@shebitaufik4607 10 ай бұрын
Kwa sasa mkurugenzi kawa waziri na waziri kawa raisi wakuu wa wilaya ndo usiseme mama yupo vizuri ila watendaji wake daa mungu atusaidie.tuu kwa kweli.
@peterbangari4273
@peterbangari4273 10 ай бұрын
Samia rais wetu sisi Wana nchi tunzidi kukugundua kuwa huna Nia njema na nchi hii kwa maneno yako haya Yani tatizo unaliona halafu eti unataka lipoti niyanini kama huwezi kuchukuwa maamuzi ya hao wezi unatudanganya kwa kutulagai mbona huchukuwi hatua kwa hao wezi?
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 10 ай бұрын
Shida kubwa umerudisha wezi watumbue
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 19 күн бұрын
Mama niteuwe hata mimi niwemkuu wawilaya nitaweza cyo kama hao walafi wanakula hawakumbuki hata wenzao kama wapo😊😢😢😢
@hajihassan5433
@hajihassan5433 10 ай бұрын
Kuupiga mwingi maana yake huo wizi mama! Awamu yako inatisha na hutafika mbali ukiwabembeleza hivyo.
@amadeokinyekile8804
@amadeokinyekile8804 10 ай бұрын
Asanteee sana mheshimiwa Rais dokt Samia kwa kusimamia vizr seriiali
@timboxlee919
@timboxlee919 10 ай бұрын
Mhhh si kweli, mbona huwatumbui wakurungezi na mawaziri wako wakula hela,na miradi inasuasua
@geofreydamas1697
@geofreydamas1697 10 ай бұрын
Toa oder don't complain these people of ccm wanafanya kazi kwa mazoea
@abuukarata9653
@abuukarata9653 10 ай бұрын
Hao ndio wa bara bwana
@gabrielmwikanu1160
@gabrielmwikanu1160 10 ай бұрын
Wanakudharau Mama kwa sababu unawalea. Matukio ya wizi wa fedha huchukui hatua mfano ripoti ya CAG inayowahusu hata Mahakama mbona kimya ? Ripoti ulikabidhiwa ya hayo madudu, Watu wanakosa imani na wewe kwa sababu huchukui hatua kwa wakati na wananchi wakajulishwa. Ndo maana watu wanasema hii ndo Tanzania yetu kiunyonge, rohoni tunaumia.
@paulrwechungura4284
@paulrwechungura4284 10 ай бұрын
Upo vizuri mh Rais kwa kusimamia Taifa letu,unaonesha uzalendo wako kwa Taifa lililosimamia, .Binafsi nakupongeza sana kwa maendeleo tunayayona,,
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 10 ай бұрын
Mama hii ni system ambayo CCM waliitengeneza. Ni sawa na kofi la kujipiga hamtakiwi kulia
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z 10 ай бұрын
Sasa semina kashiriki itakuaje?,au hawalipwi hapo?.kweli unaweza kufa nimeona huruma.
@user-cj1ft4mw2l
@user-cj1ft4mw2l 10 ай бұрын
HUYU MAMA ANAONGOZA HII NCHI KIMWINYI SANA NA KIZANZIBA, NCHI IMESHAMSHINDA HII
@khamismwadini2169
@khamismwadini2169 10 ай бұрын
Umwinyi huo huo Leo ndio unakufanya ujambe
@joellongidare8280
@joellongidare8280 7 күн бұрын
Mama nakupenda sana maana unaogea ukewli
@user-zg4uf2sh6x
@user-zg4uf2sh6x 9 ай бұрын
Hongera mkuu kazi unaenda poa. Viongozi matatizo tusafishie mama
@EliyaMwaipopo-hf6nq
@EliyaMwaipopo-hf6nq 10 ай бұрын
Mama umekua mpolesana nandiomana nchi iinachezewa takukulu mbeya niwala lushwa ukipeleka tatizo umepeleka ulaji wachukuliweatua
@Fundi12345
@Fundi12345 10 ай бұрын
Mama huo ndo wizi wa tz kufanya tepng ndo zao hao piga chin usilembe mwandiko mswahili humuwezi tunaumia sana Hali mbaya sanaaaaa
@victorcephas3618
@victorcephas3618 10 ай бұрын
Tumbua hao wote ni mtandao huo wa ulaji wa fedha zetu sisi wananchi
@mgazamadigamadiga-sg5cd
@mgazamadigamadiga-sg5cd 10 ай бұрын
Mungu awape maisha maled dunian na akher
@elyotchisanga138
@elyotchisanga138 10 ай бұрын
Wote wapo chini ya Tulia atimuliwe kwanza yeye hata Kama anachaguliwa na wananchi mzembe huyo
@victorjames3730
@victorjames3730 10 ай бұрын
Kero ingine ni bandari zetu sikiliza hizo kelele pia?
@jumbeojaso5767
@jumbeojaso5767 10 ай бұрын
Suluhisho ni katiba mpya, na maoni ya wananchi, wakuu wa mikoa (magavana) wachaguliwe na wananchi, na asipofanya vema anapigwa chini kwa kura au kushtakiwa ( impeached). Kila.mtu atafanya kazi kwani haiwi kazi ya hisani ya rais,urafiki na kubembelezana kama sasa, Kila Miaka 5 anarudi kuomba kura na umma unaamua aendelee,au wanachagua mwingine wanayemtaka.
@malupex6299
@malupex6299 10 ай бұрын
Mh. upo sahihi kabisa
@HurumaAntony
@HurumaAntony 17 күн бұрын
Daaah mama hapo wanakutazama to😊
@Worldunite
@Worldunite 10 ай бұрын
Mama ungewaondoa hao wapigaji, umewasamehe? ina maana hiyo pesa iliyokusanywa kwa udanganyifu jee? Naomba utumbue wote hao vinginevyo huu mchezo hautaisha aisee, naomba uwe mkali sana usikanye wewe ondoa tu watendaji wasiokuwa waaminifu 7:38
@clarencelazaro9600
@clarencelazaro9600 10 ай бұрын
Yaani mama unachofanya ni k.m mbwa anayebweka harafu hang'ati
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 10 ай бұрын
SIJAWAHI KUSIKIA KIONGOZI MKUBWA ANASEMA KWAMBA ATAENDA KUULIZWA NA MUNGU JUU YA UONGOZI WAKE ,MUNGU AKUTANGULIE MH RAIS TUNAKUPENDAAAAAA❤❤❤❤
@oskamsafiri2814
@oskamsafiri2814 10 ай бұрын
Unakuwa mpole mno, kwanza ilitakiwa uwe umewasimamisha then yafate.majitu hayo ndio yanatutesa na kutunyanyasa wananchi
@gracemima5234
@gracemima5234 10 ай бұрын
Mama uongozi umekushinda. Watanzania wanafhulumiwa na watu wachache . Lugha yako hafifu. Chukuwa hatua
@christopheritungi1228
@christopheritungi1228 10 ай бұрын
Moja ya hotuba nzuri sana kuwahi kutolewa na Mh. Rais imegusa wananchi moja kwa moja.
@zakarialuhemeja4179
@zakarialuhemeja4179 10 ай бұрын
Ikiwa huko chini Kuko hivyo na yule wa juu kabisa hapo mbeya mchungulie
@WilliamKileta
@WilliamKileta 10 ай бұрын
Daaah tunasafari ndefu sana
@marklekasango9300
@marklekasango9300 10 ай бұрын
Vibaya mmno
@hamisihemedi1099
@hamisihemedi1099 10 ай бұрын
M a ma asante.sana mungu akuhifadhi wako wengi.wakuatumbua nakuwafukuza.kamahuyohuyoo
@agastokissatu2667
@agastokissatu2667 10 ай бұрын
...... Tumsifu Yesu kristo,Leo angalau nimekuelewa kidogo mama,gap ni kubwa mnoo kati ya watawala na maskini,chunguza sana maafisa elimu,kila sehemu ni rushwa tuu
@omaryluhanga9387
@omaryluhanga9387 10 ай бұрын
Asante Kwa kuliona hilo
@user-gp5wx1ev9f
@user-gp5wx1ev9f 17 күн бұрын
Mama Dr Samia Suluhu Hassan Mungu akupe nguvu utekeleze azima na ilani ya Chama kwa wananchi. Na watendaji na maofisaa wanaoporw pesa waende nyumbani.
@wanainchitvrdc6705
@wanainchitvrdc6705 10 ай бұрын
Uyu mama sijui ni kiongozi wa aina gani . Yeye kila siku kazi yake kulalamika kuliko kutoa majawabu na way forward. Kwa kifupi kazi ya uraisi haiwezi .
@StanleyMakombe-fh2tq
@StanleyMakombe-fh2tq 10 ай бұрын
Mama nakupongeza sana kwa kukutujali sisi wanyonge mama mh.RAIS pongezi kwako kwa nyongeza ya mishahara
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 10 ай бұрын
Overhaul the whole Mbeya government system kama kweli uko serious. Usirudie kosa kuhusiana taarifa ya CAG last year ulipofikia hatua ya kuwatukana wezi wa fedha za Serikali, ... Shenzi kabisa, ... Ajabu hukuchukuwa hatua yoyote hadi leo. Hapo ndipo mnawapa nafasi Chadema kuwapiga mawe.
@meshackmayenga969
@meshackmayenga969 10 ай бұрын
Moja ya maeneo ambayo yanarudisha maendeleo ya nchi yetu kwasasa ni ulaji mkubwa wa hela ya serkali.Hili nidoakubwa kwakweli.Kwa vile sasa mama umeanza kuyaona kuyafuatilia naona mbele majizi yataanza kuogopa.Hongera sana mama yetu.Tupopamoja nawewe mama.
@shabanimungazija7272
@shabanimungazija7272 10 ай бұрын
Mama kama umeuona hayo hongera sana keto ni nyingi lakini hazifiki ukiongea tu ni kichapo
@annetiadyeri5638
@annetiadyeri5638 18 күн бұрын
Mulibarikiwa watachaniya mushukuru mungu anaipenda tachaniya
@deborahmgedzi632
@deborahmgedzi632 10 ай бұрын
Mungu Baba Mwenyezi tuokoa Wanyonge.
@CharlesMasese-cp3oe
@CharlesMasese-cp3oe 10 ай бұрын
Nafikiria baadhi ya mawaziri nao ufuatiliaji uwepo,channel ni KUBWA mno
@KhamisHaji-fd5lw
@KhamisHaji-fd5lw 19 күн бұрын
Mama samia nakupenda sana kwa uchapakazi wako M/mungu akuongoze,kutokn na nia yako njema watajidhuru wenyewe hao mafisadi ya kiuchumi!
@ramadhanisalum2271
@ramadhanisalum2271 10 ай бұрын
Mama hongera xnaa, but punguza upolee penye ukali fanya kweli unaachaje watu 700 wanateseka kwa ajili ya manufaa ya mtu na familiya yake! Ni bora wafe 20 wapone 200 coz katik hao watapatikana wazur watao lipizia hao wapumbavu wanaoharibu then unatukanwa wew kuw nchi waendesha vby coz yao, wape adabu wanayostahik kwa uadilifu, ahsante Allah akuongoze pale penye mapunguf yako:
@bakarimkwizu4335
@bakarimkwizu4335 10 ай бұрын
Kuna waninga wachache hawaelewi lakini MAMA uko kazini
@songomary908
@songomary908 10 ай бұрын
D' Mh Rais Samia Suluhu Hassan nimekusikiliza sana tena nimekuelewa sana na huwa nakusikiliza sana nitumie neno hili niseme Umechelewa mno ila mungu atakusimamia na yuko pamoja nawe ombi langu wanyooshe kweli usiwaangalie usoni matarajio ya watanzania wengi wa chini ni kuona upendo kwa watu wa chini na sio wa hao uliokua nao juu ambao ni wasaidizi wako tafakari Mh Rais
@user-jw9no5jx5p
@user-jw9no5jx5p 10 ай бұрын
Bravo Mama,keep it up, Mungu akubariki sana
@muyasaidy
@muyasaidy 10 ай бұрын
Mama Leo nimekubali umenena nakukubali piga kaz,mtangulize Mungu utafika
@issarashidiferuziferuzi9201
@issarashidiferuziferuzi9201 10 ай бұрын
Allaahu ma aamiin
@evarestkway-md1qn
@evarestkway-md1qn 10 ай бұрын
Leo mama kidogo. Sana nimekuelewa lkn shida umezungukwa na watu wanafiki chawa wenye tamaa wezi ukichanganya na hicho chama Chakotena yaani ni shida ccm ni mwizi anayefunga wezi yaani nichama cha ukoloni mambo leo pango la wezi na wanyanganyi
@elyotchisanga138
@elyotchisanga138 10 ай бұрын
Anza na Tulia Aksoni atimuliwe yeye ndie mwangalizi na mwakilishi
@nashonkibayayu3776
@nashonkibayayu3776 4 күн бұрын
Kwa hili! Umesema kweli.
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 10 ай бұрын
Ooooh my god. WATUUUUU jamaniiiii khaaaa😢😢😢😢
@husseinally3015
@husseinally3015 10 ай бұрын
Mama siku onyesha rangi yako halisi maana wanao haribu wanajulikana
@charlesally6028
@charlesally6028 10 ай бұрын
Muheshimiwa raisi msamehe huyo mkuu wa wilaya ashafahamu kosa lake.
@abdallahkungulilo7939
@abdallahkungulilo7939 10 ай бұрын
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Rais na Kiongozi, Kiongozi hatakiwi kulalamika, anatakiwa kuchukua HATUA!? Kama Rais pia unalalamika NANI achukue HATUA!?
@gotfriedmwesiga4234
@gotfriedmwesiga4234 10 ай бұрын
Tumbua ndo watakuelewa !
@patrickjohn4086
@patrickjohn4086 10 ай бұрын
Na mama unaongea kama mzaha, kuwa mkali chukua hatua na fatilia na tuone matokeo
@kisokimhagama9526
@kisokimhagama9526 10 ай бұрын
Asante sana Mama chapkazi.
@bharyasarbjit1187
@bharyasarbjit1187 10 ай бұрын
Mhe Rais Hongera sana Bado Mambo nyingi Sisi Becco Ltd tume fanya kazi Barabara kutoka kabiti mpaka Mloka wakati haipitiki 2020 ku lekea Nyerere Dam. Watu Yetu bada ku saidia Sisi local wana saidia Jv Arabs wasilipe sisi11B mpaka Leo Bank zina sumbua.
@paulina.baynit7970
@paulina.baynit7970 10 ай бұрын
Umesema kweli mama wakuu wa wilaya ni shida tupo, wachunguzeni sana na watumbueni wanarudisha nyuma maendeleo ya wanyonge.
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Ай бұрын
Mama anaweza sana, tuhuma nzito kama hii kukusanya pesa ya serikali ya serikali nakuila bado hakuna kauri anato? Et anasema kaangalieni mara kajiangalie, kweli?
@jalaryababilasi1562
@jalaryababilasi1562 10 ай бұрын
Hizo pesa ungekuwa umezitafuta wew usingeongea hivo ngoja tunakuona 2
@mbarouksalim1568
@mbarouksalim1568 10 ай бұрын
Kazi nnayo !Ya Allah tunakuomba mama yetu huyu ashinde Asishindwe Amiin.
@severamtungi7036
@severamtungi7036 10 ай бұрын
Weka watu wenye hof u ya Mungu,mama ikiwezekana waarabu
@matikoghat62
@matikoghat62 10 ай бұрын
AHSANTE SANA Mama!! Ukweli you are innocent!!! Msikilize kwa makini MAMA MONGELA!!!
@barakarobert1029
@barakarobert1029 10 ай бұрын
Alioni hilo
@maswamills3161
@maswamills3161 15 күн бұрын
Mama ongea tu,watu wanakula urefu wa kamba zao bora wasivimbiwe.
@MichaelRobert-ot9zh
@MichaelRobert-ot9zh 10 ай бұрын
Nakupenda mama angu ongeza ukali tumbua majipu sanaaa
@zianasalimuhivikunamchunga5224
@zianasalimuhivikunamchunga5224 10 ай бұрын
Pia mama nakuomba mrudishe makonda madarakani atakusaidia kupambana na wezi wa nchi .kwani makonda anajitambua
@neemakerefu4876
@neemakerefu4876 19 күн бұрын
Jamani mama mbona unabembeleza Sana wezi Sisi ambao hatupo kwenye huo mnyororo tunaumia sana
@martinisadru9899
@martinisadru9899 10 ай бұрын
Ukiwa unayafunga mafisadi na majizi, tutakupenda sana.
@ummimustafa5330
@ummimustafa5330 10 ай бұрын
Mama usiwaachie hata hao wakuu wa mikoa wawajibishe ili wawe mifano. Hao ndio wanaokupaka matope. WAPE ULTIMATUMS ili wajue upo serious. Kwa mwendo huo wananchi tutakuamini tu.🎉
@bellam.vyampi5528
@bellam.vyampi5528 10 ай бұрын
Nchi inahitajii viongozi wazalendo ili tuweze kusonga mbele,,ila ngozii nyeusii na uzalendo mmh tutasubiri kwakwelii.
@jameskaizilege1692
@jameskaizilege1692 2 ай бұрын
Mama pole Sanaa unakazi yingi Kwa viongozi pole sanaaaaa
@kulwastima3993
@kulwastima3993 10 ай бұрын
Mama chukua hatua Kali huku chini sisi lzm tuchukie ccm coz wanaona hzo pesa ka zao Kuna sehemu maafsa elimu wanawatoa Waratibu wa elimu kwny nafas zao kisa kakataa kupiga hela.
@user-oc2ul4lk4g
@user-oc2ul4lk4g 10 ай бұрын
Mama kuwa mkali wezi watuupu ulionao hapo unaongea kiupole mama wezi hao wamekuzunguka yaan wasafi hapo ni asilimia 40
@JonasKiria
@JonasKiria 10 ай бұрын
🎉arusha mh kumeoza na rushwa
@kulwamathias7680
@kulwamathias7680 10 ай бұрын
Leo mama umenifurahisha sana asante sana mama
ROCK PAPER SCISSOR! (55 MLN SUBS!) feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 1 МЛН
터키아이스크림🇹🇷🍦Turkish ice cream #funny #shorts
00:26
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 27 МЛН
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 410 М.
TAARIFA YA HABARI - AZAM TV,  01/07/2024
UTV Tanzania
Рет қаралды 235
КОГДА БАТЯ ЗАТЕЯЛ СТРОЙКУ😂#shorts
0:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 2,5 МЛН
Funny cat woke up early 😂👻🥳
0:38
Ben Meryem
Рет қаралды 6 МЛН
ЗА ЧТО ЧАПИТОСИКИ ТАК?🥹🥹
0:22
Chapitosiki
Рет қаралды 32 МЛН
Опасные облака!😱🌩
0:20
Взрывная История
Рет қаралды 4,1 МЛН
тгк: Логово FRIENDS
0:23
АлексДан
Рет қаралды 9 МЛН