Prof karibu st Mary's mazinde juu lushoto Tanga Tanzania Iko vizuri sana kitaaluma na nidhamu
@robinajonas3 ай бұрын
Safi sana prof,mageuzi makubwa sana yenye tija kwa taifa letu
@epimackjohn4613 ай бұрын
HAPA IMEJAA HEKIMA NA MAONO YANAYOENDANA NA WIZARA ALIYOIPEWA , WELL DONE PROF MKENDA !!
@TATUMGOILE3 ай бұрын
Hongera sana jumuia ya Iluhya sec school.
@gastordominic4103 ай бұрын
Kama zipo ambazo haziwez kuwafikisha ktk malengo yao zifutwe sasa
@mnyagamasinde68603 ай бұрын
Kama wanasayansi wanazingatiwa kwanini mashuleni walimu hao ni haba pia wapi mitaani?
@anthonygikuri3 ай бұрын
English ni LAZIMA.... Safi... But WAALIM mahiri wa lugha wapo? Waalim wanafunzi wanafunzi English kwa Kiswahili, hakuna miujiza hapo. Tujenge waaliimu mahiri kwa MAKUSUDI. Lugha ya mawasiliano inatokana na WAALIM mahari wanaotumia lugha hiyo!!!
@ntegrity2773 ай бұрын
Kwanini mumeweka hizo tahasusi? Kumbe zipo ambazo hazina umuhimu? Kwanini mmeweka tahasusi nyingi? Hizo nzuri ni zipi?
@SimonKasato3 ай бұрын
Huyu ni WA siku za usoni maana anafaa
@emmanueltillya20173 ай бұрын
Huyu jamaa ni kichwaa.kila wizara anayopangwa anafiti.watu wa Rombo mrudisheni huyu mwamba bungeni 2025-2030.
@tgeofrey3 ай бұрын
Waziri Prof Aliso, a Same secondary Hata Eng Kitwanga
@SimonKasato3 ай бұрын
Huyu ni rais ajaye anafaa
@jamesjohn92323 ай бұрын
Sjawah kumuelewa hata sku moja, nahamu aje mara hku