Wasafi nawaona nao ni watetezi wa watanzania ❤❤ WCB
@AwardHakimuАй бұрын
Kwa nchi kama hii wanaweza hata kuwafungia maana viongozi wanapenda machawa na watu wajinga wajinga ndio wanapendwa na viongozi
@allykwayaАй бұрын
Kuna saa Ukweli usemwe tu, Nchi hii ni huru na inasheria.
@rambostalon2888Ай бұрын
Hongera sana kaka kumbe unahekima na bisara mungu akukalie
@ipepeetube449Ай бұрын
Asante sana wasafi hamusifii usenge mko vizuri sana
@YohanaMwakajeАй бұрын
Baba levo 🙏🙏🙏🙏
@IssaMatandiАй бұрын
Baba levo upo vizuri sana.
@djfunk255Ай бұрын
Baba levo kwenye secta ya siasa upo vizuri sana na ingelikua umesoma dahh ungelikua mbali sana. You are doing good 👍🏾
@kwisa4899Ай бұрын
Kwani kakwambia ajasoma ?
@djfunk255Ай бұрын
@@kwisa4899 Mimi hajaniambia ila yeye mwenyewe anasema .
@NtamamiloGibsonАй бұрын
La seven huyo@@kwisa4899
@IssaMatandiАй бұрын
Ninakuelewa sana baba levo.
@BarakaEmmanuel-v8rАй бұрын
B levoooo
@mariozulu5743Ай бұрын
Kenya kiongozi Chama pinzani awezi kufanwnya hizo. Kama ni kweli polisi lazima afunguliwe kesi baba levo yuko sawa
@MrTop-wj7noАй бұрын
Kweli kabisa mapolisi wasenge sana yaani hujapinga amri lakini bado unapigwa
@nugwiziwe7577Ай бұрын
Mungu atusaidie sana mateso Kwa maabusu na watuhumiwa nimakali sana kiukweli yanaumiza mtu ambaye hajayapata au kumwona ndugu yako anafanyiwa kitendo hicho huwezi kuelewa
@user-jh4hg2ev9sАй бұрын
Mungu atatusaidia km tutachukua hatua. Chadema fungueni link katika mtandao kupinga hili.watu wa vote Ndio au hapana mtaona jinsi watanzania walio wengi watapinga ukandamizaji. Wote tunapenda haki na amani.
@PeterchipembaАй бұрын
Kitendo hiki kikemewe,,Leo hii amepigwa jirani kesho nitapigwa Mimi,,hawa tuwakemee sana,,
@MsendoPhinias-xc2jbАй бұрын
Asate sana kwa kuzungumza ukweli huu
@PeterchipembaАй бұрын
Wasafi,,MNA maneno ya hekima,,mpo vizur kwa watanzania,,kwa maana ccm niwatanania,,chadema nao niwatanzaia
@othinielkamyola3697Ай бұрын
HILI JAMAAA NI BORA SANA❤❤❤❤❤
@bestman3651Ай бұрын
Wakat mwingine dish la huyu chawa linatulia 😅
@maclucky4149Ай бұрын
Huwa najiuliza sana kwanini polisi wengi hawaendelei/ hawaendelezwi kimasomo(taaluma)? Wengi wao wanaishia form 4... Mungu ibariki Tanzania.
@Rai_online_tv29 күн бұрын
Kuna Hadi Madaktari siku hizi
@maclucky414926 күн бұрын
@@Rai_online_tv Daktari anakuwa hahusiki direct kwenye kazi wanazozifanya hao polisi. Hao hubaki kusave mahospitali yao
@Gdjn974Ай бұрын
Tunamsubiri Raia namba moja atasema nin
@MwarobainiАй бұрын
Go hard
@chancedallas9077Ай бұрын
Justice for Mandojo
@LassonDominickАй бұрын
CHADEMA wanaonewa saana na wakati wanatafuta haki daah!! Nihatari tu jaman
@chancedallas9077Ай бұрын
Itakuwa iyo police njo imemuuwa Mandojo ila watazingishia security
@kingrichboeАй бұрын
Wale wahuni walio mbaka yule binti vipiiiii??? Au ndio imeisha iyooo
@victorsemkiwa5043Ай бұрын
Hi ndio Tz
@kasimuhamidu8467Ай бұрын
Saf baba levo wewe ubunge mwaka ujao
@salama1113Ай бұрын
Sasa unasemaje kamakweli wamepigwa achakutetea ujinga
@edyboyChamilionАй бұрын
LAITI KM MHESHIMIWA RAISI ANGENIONA NA ANGENIPA NAFASI YA KUNYOOSHA HAYA MAMBO NA HUU UWONEVU BILA KUJALI ELIMU YANGU NCHI INGENYOOKA HII
@user-rz1bj1yj3zАй бұрын
Kama wanazima taa hapo fresh yaani labda wanifunge mikono na miguuu sitakubali lazima kuna mmoja atatoka hajitambui siku iyo
@aediayumgo8546Ай бұрын
Unacheza wewe unaingizwa kwenye Giza Na bumbu zako wenzako Wana virungu unalegezwa😂😂😂
@PeterSimba-e2fАй бұрын
Tanzania hatuko huru,Tanzania hatuna amani,bora arudi mkoloni kututawala kuliko CCM
@BendoubleАй бұрын
POLISI WOTE TUNAWAJUA NIWANYANYASAJI UTII USITII WANAKUPIGA TU ,WANAPENDA NA SELIKALI HAIWAFATILII SO THATS IT
baba levo 50 50 ya nn polisi ndo walivo ndomana walivunja camera za waandishi wa habari tusijue kilicho tokea na ww kumbe ni shaidi yalikukuta kumbe usilembe kuwasema hao
@GeorgeElias-p5o29 күн бұрын
Ndio mjue kwanini wakoloni walitutawala.. tumeachwa tujitawale lakini bado tunaumizana wenyewe kwa wenyewe
@allytv1714Ай бұрын
Lazima tuwarudishe chadema kwenye madaraka kwanguvu bungeni warudi hao kuongozwa na chama kimoja ndo changamoto yake hii wanajiamulia tyuu wapo juu ya sheria
@allytv1714Ай бұрын
Police wanapata nguvu kwa7babu wanapewa nguvu na ccm kuumiza vyama pizani na watu wanao wapinga kiufupi uongozi wa ccm niwa kidkteta
@joojombi2341Ай бұрын
Polisi hawakupigi bila kuwatendea makosa, hawakupigi tu bila sababu na midomo michafu inawaponza
@altonkanjolonga2380Ай бұрын
wewe lazima utakuwa kati yao
@joojombi2341Ай бұрын
@@altonkanjolonga2380 ni vitu vya kutumia akili tu bhana. Mmezoea ufatani mtupu utadhani hamuna dini
@aediayumgo8546Ай бұрын
Ukiambiwa unaenda kuisadia polisi jiandae😂😂😂
@jassonnelly3445Ай бұрын
😅😅
@agnessangawe3844Ай бұрын
Ajiandaaje?? Kwani ni uongo mahabusu hawapati mateso??
@joojombi2341Ай бұрын
Wacheni kupotosha umma nyie mmekwenda wauliza Polisi mkasikia??? Je mmewauliza walipigwa kwa sababu gani????? Wacheni kupotosha umma nyie bhana muogopeni mungu wenu
@stephenmsanzu9850Ай бұрын
Baba levo hapo ni uongo mtupu hakuna ukweli wowote ule,hiyo ni story tell tu, nonsense chadema