Hii Nchi Msigwa Pekee ndio Mwenye Akili Timam😢😢Hii Nchi CCM wameiweza
@PaulKivisile2 ай бұрын
kwanin mnawalea ha polis wala lushwa. kwan nyie mnawaulizanga kuhusu mazimisho yao
@barrynzeyimana62702 ай бұрын
Lisu ni wakili. Kama amepigwa na police afungue mashitaka
@AnnaNelson-f8x2 ай бұрын
Wakome
@EmmanuelNyinyigwa-m1o2 ай бұрын
Shida yenu chadema mnawashambulia polis wakati mnajua wao wapewa maelekezo
@ndukulusudikucho_2 ай бұрын
waache uzushi, yote mnafanya ili mpate huruma za Wazungu, sarakasi na cinema zote mnafanya yote ili kuichafua serikali, mmeruhusiwa kufanya siasa fanyeni siasa na sio kuleta taharuki, yaani hiki kirusi kikiachiwa ipo siku mtaja kumbuka shuka alfajiri
@AleiHadji-js3ed2 ай бұрын
Hiii Nchi nimejifunza Kua Nyerere alitutengezea Kitu cha Umoja na Yeyote mwenye Nia mbaya mabaya humkuta..... Chadema muna Kauli mbaya za kutangaza vita ya Nchi😮😮😮
@BilalMuhammad-jt6sq2 ай бұрын
Uko sawa kabisa tumewachoka chadema
@hellenngwilla5502 ай бұрын
😭😭😭
@BilaliNuhu2 ай бұрын
Sasa si walikuwa wabishi kufuata maelekezo. Wapigwe tu
@rambostalon28882 ай бұрын
Choko ww
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
CHADEMA WAPEWE AWARD KWA MOVIE MPYA NA KULIALIA 😢😢😢😢
@raphaelmramba45732 ай бұрын
Jutafakari kiwango chako Cha kufikili
@silvanus1990blockchain2 ай бұрын
Wanatuchokoza kutupigia viongozi wetu hatupoi tupiganie haki yetu
@abdallahsaleh51942 ай бұрын
Sisi wenyewe mitaani huku tukizingua tunapigwa sasa nyie muachwe mna nini kazeni sisi mbona hatutii huruma kwa vyombo vya hbr polisi ndio kazi yao unafikiri bunduki na mabomu huku mjini wanawinda swila au simba
@AbdallaMwagora-sm1rj2 ай бұрын
Dhulma dhulma dhulma Tanzania uhuru wa kukutana hakuna?uhuru wa kutembelealea mkoa wa mbeza hapo?au mfumo wa chama kimoja unatusumbua.