"NILISUKUMIZWA KWENYE UVUNGU" LISSU ASIMULIA A TO Z WALIVYOKAMATWA, KUPIGWA NA KUSAFIRISHWA HADI DAR

  Рет қаралды 122,952

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 375
@KuluthumuMsuwakollo
@KuluthumuMsuwakollo 2 ай бұрын
Siasa ngumu mungu walinde viongozi wetu mungu lilinde taifa letu ameen
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm Ай бұрын
Inasikitisha sana. Mungu azidi kukulinda ndugu Tundu Lisu na wote Chadema mnaopitia haya. Amani ni kitu kimoja kikubwa sana. Haki jiletse amani. Mungu Yu nanyi nyote, wasiouona michango yenu , hekima zenu, uhodari na busara zenu hayuko Sawa. Nchi hii inawahitaji sana nyinyi. Wasiotaka kuliona hili ha wako kwa manufaa ya wananchi .
@isackmachiyanshoka6754
@isackmachiyanshoka6754 2 ай бұрын
Dah polen sana CHADEMA, haki haipo kabsa!.. sjui itakuwaje TU.
@GeraldistyFredrick
@GeraldistyFredrick Ай бұрын
Sisi wazalendo ndo tunajua maumivu ya ii nchi lakin sis Kam vijana hatutaacha kusema ukweli Kama mnatuua tuueni tuu
@BakariAthumani-vs8lk
@BakariAthumani-vs8lk 2 ай бұрын
Polen sana mm naona siasa mzee lisu mngeacha tuu muwaachie ccm yao itawale milele
@Juma-e8l
@Juma-e8l 2 ай бұрын
Katiba ndo inaongoza nchi pia nchi ni kubwa kuliko ccm na katiba inaruhusu mfumo wa vyema ving multiparty system not Monoparty system. Ufaham ni mkubwa kuliko kujua kukoment
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 2 ай бұрын
Itawale milele kwa vipi?
@GeraldMyuku
@GeraldMyuku 2 ай бұрын
Anaetawala milelele ni Mungu
@AfricaQueen
@AfricaQueen 2 ай бұрын
@@GeraldMyuku 🤝🙌🙌🙌🙌🙌💯💯🧚🏿🧚🏾‍♂️🧚🏿❤️
@immamunisi1312
@immamunisi1312 2 ай бұрын
Hawa mapolisi wanatumika vibaya one day yes
@AfricaQueen
@AfricaQueen 2 ай бұрын
@@immamunisi1312 Na ndio wamekuwa wabakaji Na waficha maovu mungu atawaona ma ccm 🫵🏾🗣️📢
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 2 ай бұрын
Hiyo sahih
@AfricaQueen
@AfricaQueen 2 ай бұрын
🤝💯💯✊🏾✊🏾✊🏾✌️✌️✌️📢🗣️
@IssaMwakifwamba
@IssaMwakifwamba 2 ай бұрын
Utafanyaje sasa
@bahiyalumelezy3016
@bahiyalumelezy3016 2 ай бұрын
​@@AfricaQueenvideo za kupatia pesa za wazungu tu hakuna lolote la maana wanafanya watz wajinga kila kukicha futuhi hkn jipya hapo.
@Danielmzungu-b4m
@Danielmzungu-b4m 2 ай бұрын
Pole Sana kiiongos lissu
@zedyabdulrwabilingo9042
@zedyabdulrwabilingo9042 2 ай бұрын
Polen sana ndugu zetu
@ThomasMmary-r7w
@ThomasMmary-r7w 2 ай бұрын
We ndo RAISI wangu lisu 👊
@AfricaQueen
@AfricaQueen 2 ай бұрын
@@ThomasMmary-r7w ✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✌️✌️✌️✌️🗣️📢
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Wa sisi wote
@pyelesyamwakatika540
@pyelesyamwakatika540 2 ай бұрын
Ila wanavyofanyiwa Sio vizuri Mungu hapendi jamani kumbuka cheo ni dhamana mbona wanaonekana hawanataka amani wangesikilizwa tu sio kuwafanyia vurugu nao si ni watanzania
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 2 ай бұрын
Ipo siku watu watachoka ila mungu baba tupe amani kwenye nchi yetu tz
@EvangelistJsolomonMkwata
@EvangelistJsolomonMkwata 2 ай бұрын
Mungu awasaidie kwa mateso hayo au myaache mje tuhubiri injir
@kikoitv828
@kikoitv828 2 ай бұрын
Hii ni zaidi ya Injili
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 2 ай бұрын
Jamaaa unasauti ya kishetani kwelikweli kama yalivyomambo yako ya kishetani la kuharibu taifa letu
@RayOmar-vk2nn
@RayOmar-vk2nn 2 ай бұрын
Living testimony ❤❤❤❤
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub 2 ай бұрын
Acha sisi watanzania tunyanyaswe,maana sisi ni majinga na mabwege,angalieni majirani zetu wakenya wenye akili hadi Ruto kashika adabu
@Clex-f5s
@Clex-f5s 2 ай бұрын
Dah vp wale wahuni waliofanya tukio binti yule mbona mnatutoa kwenye reli vijana wako wapi wale😢😢
@AfricaQueen
@AfricaQueen 2 ай бұрын
@@Clex-f5s umeona hii Nchi Na hao polisi wamegeuka wabakaji😭😭😭
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Waulizwe polisi ndiyo kazi yao.
@wilsonandlea8614
@wilsonandlea8614 2 ай бұрын
Daaah😭😭😭
@ambelemwakalobo3327
@ambelemwakalobo3327 2 ай бұрын
Nyie mnapenda vurungu
@zahiruhamisi4162
@zahiruhamisi4162 2 ай бұрын
Inasikitisha sana kuona polis wanajihusisha na siasa😭
@salmahalfani8634
@salmahalfani8634 2 ай бұрын
Wanawaonea sana
@RDobeye
@RDobeye 2 ай бұрын
sasa ivi kila mwananch anaona uozo unaofanyika inch hii si poli si ccm wala police traffic kuchukua rushwa barabarani,elewen kuwa mwisho wetu utafika tu.
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 2 ай бұрын
Ilionekana nchu hui haina uingozi.
@Fantsonmpango-uz3jw
@Fantsonmpango-uz3jw 2 ай бұрын
Awadh anajikosha
@Prophetelian
@Prophetelian 2 ай бұрын
Awadh Haji is typing....
@BarikiMlengu
@BarikiMlengu 2 ай бұрын
Bado hujasemaaaa
@JosephNgonyani-lh9js
@JosephNgonyani-lh9js 2 ай бұрын
Daaaaa
@MagsKitundu-wb2wm
@MagsKitundu-wb2wm 2 ай бұрын
Lissu Acheni Kuivuruga nchi Mjue Hali ya Nchi kwa sasa ni kila mtu Afanye kazi sio maandamano ya kuisumbua nchi wananchi wanataka kufanya kazi msilaum police
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
@@MagsKitundu-wb2wm unajifahamu. Lisu wavuruga nchi kiburi? Wavuruga nchi hawajui, àcha uchawa.
@vicentbunzal7342
@vicentbunzal7342 Ай бұрын
Ccm ndo inaviruga nchi chadema ndo wanafaa waongoze hii nchi ili tuone nao uongozi wao unapotupeleka,maana ccm tumeahachoka nayo sana Kama ni nguo iliyovaliwa imevaliwa siku nyingi bila kufuliwa na imepauka inahitaji ipumuzishwe kwanza.
@EmilianaInyasi-m6b
@EmilianaInyasi-m6b 2 ай бұрын
CCM kufuatilia uovu AAA,ila kwenye unyanyasaji wako vizuri
@ZainabuHassani-fe8ur
@ZainabuHassani-fe8ur 2 ай бұрын
Kazi iendelee
@damasnjojoli
@damasnjojoli 2 ай бұрын
Mungu ibariki Tz
@BoradaMbifile
@BoradaMbifile 2 ай бұрын
Mungu atatenda twamwachia mungu
@Boyfromtanzania
@Boyfromtanzania 2 ай бұрын
😢😢😢😢 Tanzania yangu 🇹🇿 inaelekea wapi jamani.. Tunatiana aibu Sana tutaogopa kurudi bongo kwaajili ya haya mambo dah
@emiryfaida2437
@emiryfaida2437 2 ай бұрын
Mh pole
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 ай бұрын
hampo juu ya sheria!!upinzani haimaanishi mtafanya mtakavyo!! Walinzi wa amani ni askari polisi!!tii sheria bila shuruti!!
@dignakanje4508
@dignakanje4508 2 ай бұрын
Mungu arusaneheee Sana watanzania.Hivi vitu sio vyakushangilia Wala kuleta mzaa ,Bali nukuombea Tanzania yaraisi Samia suluhu mama ytu ioate uponyaji nahkma zakutukuka
@hashimmawazo5503
@hashimmawazo5503 2 ай бұрын
Police nawasifu wanavyokula sahani moja na waalifuu
@godfreyaugustino3813
@godfreyaugustino3813 2 ай бұрын
Ukiwa na kichwa kikubwa kisichokuwa na akili ni mzigo mzito kwa miguu.
@RechoMzava-gt7so
@RechoMzava-gt7so 2 ай бұрын
​@@godfreyaugustino3813kabisaaa mwambie huyo.mjinga hana akili huyo mpumbavu
@hashimmawazo5503
@hashimmawazo5503 2 ай бұрын
Tatizo ni uchache wa elimu uliokuwa nao, kwanza Rudi shuleni ukaongeze elimu utanielewa tu.
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 2 ай бұрын
Makamanda wetu kwer ukombozi wanchi hii kazi tunayo kwerkwer kwenye mikono yahawa mabepari
@kilimoufugajipesatv5751
@kilimoufugajipesatv5751 2 ай бұрын
Mumezidisha uvumilivu na nyie😢😢😢. Daaah
@AbdallahYanga
@AbdallahYanga 2 ай бұрын
Nakupenda sana lisu nakushauri kiongozi wangu msapot mama mbona mama anatuongoza vizuri nchi imetulia mnatupeleka wapi !!
@fumotv7914
@fumotv7914 2 ай бұрын
Kama umekua shoga endelea kumpenda mama yko
@samsonsimon3138
@samsonsimon3138 2 ай бұрын
Kma unaona ww unakuongoza vizuri muite akulelee watoto wako nyumban
@justinsamwel4946
@justinsamwel4946 2 ай бұрын
Wewe ni kumaa nchi inaenda kimabavu wewe unasema tunaongonzwa vizur
@nwntz
@nwntz 2 ай бұрын
Duh😢
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 2 ай бұрын
Usi sahau katiba mpya
@michaelhaule-fb2vs
@michaelhaule-fb2vs 2 ай бұрын
MI NDIOMAANA CPENDI KUJIHUSISHA NA MAMBO YA VYAMA KABISA; ILA NAMPENDA "MAGU" R.I.P😭
@MarianaMshanga-d4u
@MarianaMshanga-d4u 2 ай бұрын
Ipo siku
@mpologomaChristopher
@mpologomaChristopher 2 ай бұрын
Nilisha sema kuwa ni kazi kukiondoa madarakani hiki chama cha mafisadi, wauaji, wanyanyasaji, wapolaji, na wazandiki. Naomba msijate tamaa kukomboa nchi ni kazi kubwa sana.
@wisdomfolks
@wisdomfolks 2 ай бұрын
Wafanya biashara migomo kila siku vijana ajira hamna wanasiasa wanapigwa af kuna lijitu limetumwa kucomment ushuzi ila kwa kila mtu anayefanyaga ubaya kuna karoho kwa mbali kapo kanamkumbusha jifunze
@JacquelineMahumbe
@JacquelineMahumbe Ай бұрын
Kweli ila hua naumia matanzania mengi majinga yanashabikia hata kwny huzuni sijui yemelelewa wapi
@MariamMangula
@MariamMangula 2 ай бұрын
Wewe ulimsema vibaya sana magu, ila nilishaona shida ni kuwa siasa bado Tanzania hamko siliasi, mkipewa posho kidogo huwa hamuwajali maskini
@jaffaralimakame1533
@jaffaralimakame1533 2 ай бұрын
LISSU SITAKI HATA KUMSIKIA ANAMUONA MAMA SAMIA KAMA SIO MTU ANAMSEMA VIBAYA ANAVOJISIKIA, KWAMIMI NALIPIGWE KULIKO HIVYO NASHANGAA BADO LINAHEMA NA HALIHEMEI BUGANDO LIKIWA HOI.
@RazakAbarola
@RazakAbarola 2 ай бұрын
Sijui itakuwaje ikiwa utakuwa... Rais .......one day
@calvin6445
@calvin6445 2 ай бұрын
Etii lisu walikusukumizia wapi😂😂😂😂😂😂 Sasa na huo mwili ulienea kweli??😂 Na wakati mnajiandaa mkeshaa kuichafua serikalii ikawaje bhanaa😂😂
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 ай бұрын
Tatizo ww nikibaraka wa marekani kwahiyo mimi siwezi kukuerewa hata kidogo naukipita urais utaruhusu ushoga
@fumotv7914
@fumotv7914 2 ай бұрын
Kwamba ushoga sasa hv sio ruhusa kwan?
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
Kaka nabid nkucheke sio kosa lako lakini good boy
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 ай бұрын
@@ChoroTesla sio kosa langu litakua lako🙏💪
@mtakamatv
@mtakamatv 2 ай бұрын
Ujinga tu,unaeleza kijana wewe ni kibaraka wa ccm? Na viongozi wako wa ccm ni vibaraka wa warabu! Wezi,mafisadi,si watenda haki,watoza Kodi kausha damu,wanajali zaidi matumbo Yao ndio maana wako tayari hata kuduru wengine kutetea madaraka ya udharimu,wewe una moyo Gani Hadi unaunga mkono uonevu Sasa ipo siku utakamatwa na polisi na utapewa kesi ya udhururaji na utakaa mahabisu siku tatu ndipo utapata akili
@erasmusaloyce4398
@erasmusaloyce4398 2 ай бұрын
Watu wenye mawazo kama Yako ndio sababu ya umaskini wa Tanzania.
@AlphaBlessing-qx7ep
@AlphaBlessing-qx7ep 2 ай бұрын
Sipendi kuongelea mambo ya siasa ila kimpiga huyu baba nimeumia sana😢
@neemanziku5403
@neemanziku5403 2 ай бұрын
Polen sana wana chadema,kura yang inawangoja
@AfricaQueen
@AfricaQueen 2 ай бұрын
@@neemanziku5403 🤝🤝🤝🙌🙌🙌🙌✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✌️✌️✌️✌️🗣️🗣️🗣️📢
@wilsonmsenga6447
@wilsonmsenga6447 2 ай бұрын
Police mm sijawahi kuwaelewa, kama leo hii itokee mm ni raisi lazima jeshi la police nilivunje na kulijenga upya.
@kiberitistartv8887
@kiberitistartv8887 2 ай бұрын
Utawala huuuuu 😢😢😢😢😢 kweli
@RamaMbwambo-ru8ym
@RamaMbwambo-ru8ym 2 ай бұрын
BROTHER NAKUSHAURI FANYA SIASA ZA KISTAARABU..MBONA MAMA ANAONGOZA NCHI VIZURI..KWA HAKI YA MUNGU WEWE HUPASWI KUMPINGA MAMA KWANI ALIONESHA UTU KWAKO..MUOGOPE MUNGU..LIPA MEMA KWA MEMA..
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 2 ай бұрын
Sio sababu ya kuacha taifa linapotea
@nicksonmbelwa1164
@nicksonmbelwa1164 2 ай бұрын
Hujui unachokisema
@bahatielias6443
@bahatielias6443 2 ай бұрын
Hiyo siyo hisani,zilikuwa haki zake,
@HulumaKisakali
@HulumaKisakali 2 ай бұрын
Usiwe chawa mpaka unapitiliza penye ukweli ongea ukweli acha kutetea ujinga
@evansdecaprio8196
@evansdecaprio8196 2 ай бұрын
Huna akiri wewe
@mombasa0076
@mombasa0076 2 ай бұрын
KWA HIYO TZ HAINA TOFAUTI NA GAZA.
@benjo_brighter
@benjo_brighter 2 ай бұрын
Kazi sana asee 🤔
@immamunisi1312
@immamunisi1312 2 ай бұрын
Huyu Awadhi hafai kuwa kiongozi ktk jamii
@piusjaphet2760
@piusjaphet2760 2 ай бұрын
Yaani chadema wanapenda kuonewa huruma kama watoto
@ZeynabAlly-k4j
@ZeynabAlly-k4j 2 ай бұрын
Kipele kimepata mkunajiwslikua aeana maneno ya kuzinginza aeana kazi yakufanya
@HamisiNguche
@HamisiNguche 2 ай бұрын
Yaani anayejenga urafiki na polisi hajielewi
@robertnyantile4291
@robertnyantile4291 2 ай бұрын
Walipigwa na akina nani na walisafirishwa na akina nan iovyo kabisa mild ayo
@KassimSalim-fi1me
@KassimSalim-fi1me 2 ай бұрын
Nchi hii haki hakuna waliobaka bint kimya wanateswa kina lisu duh
@jaffaralimakame1533
@jaffaralimakame1533 2 ай бұрын
HAYO ULIOFANYIWA NI MADOGO NIKITAKA USIKUWEPO HASA UNAMUONEA SANA MAMA SAMIA MIMI NI FAMILIA YANGU INANIUMA . LISU HUNA SIASA NI KEBEHI TUPU KWA MAMA SAMIA SITOKUONEA HURUMA .
@JoshuaLutindi
@JoshuaLutindi 2 ай бұрын
ukikua utaacha
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Àcha uchawa wa kijinga
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 2 ай бұрын
Huyu wangemsukumiza kama anavyoongea si angelazwa mwezi mzima kiki hizi
@dominickndomba4474
@dominickndomba4474 2 ай бұрын
Haya tumesikia mbwembwe zenu poleni msirudie tena ila hatuna huruma na wazembe kama nyie tena mkome kabisa
@YasiniMkakile
@YasiniMkakile 2 ай бұрын
God bless hero lissu.
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 ай бұрын
WATANZANIA WALISHA TOKA UKO ,
@yokoi3970
@yokoi3970 2 ай бұрын
Ww ndio umetoka huko speak for urslf
@ABuuIbrahimMTENJE
@ABuuIbrahimMTENJE 2 ай бұрын
Na mie sipo ​@yokoi3970
@JuliusWerema
@JuliusWerema 2 ай бұрын
Mbona muda wa sisa tiyali kwanini muwai haraka ifike sehem twende ikulu Kwa hoja siyo Kwa mandamano yanarudisha maendeleo nyuma na kiongozi yoyote anapangwa na mungu msiwahadae watanzania na kuwatia hofu,
@oswardmgaya7400
@oswardmgaya7400 2 ай бұрын
Tumuombe mungu tuu😂😂
@ShekhSimba
@ShekhSimba 2 ай бұрын
Nyinyi Chadema hamna Nidhamu - Lazima mjue kuwa Kuna MKONO WA DOLA
@loserian-mj1gj
@loserian-mj1gj 2 ай бұрын
round ingine hutoboi
@fransiscajohn4373
@fransiscajohn4373 2 ай бұрын
Kuweni na mtazamo mkubwa
@MtazameKristoTv
@MtazameKristoTv 2 ай бұрын
Nafikiri serikali ilikuwa inadhani mnaandaa Gen z wa bongo 😂😂😂😂😂
@simonMollel-rr3gb
@simonMollel-rr3gb 2 ай бұрын
Yes but ngumu sana ilkuwa siasa tu gen z haina chama
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 2 ай бұрын
Mapolisi wanatumia vibaya madalaka yao yaan kama dio Tanzania
@aminattai2676
@aminattai2676 2 ай бұрын
Wewe hukusukumizwa kwenye gari ila ulisukumiziwa kwa nyuma
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 2 ай бұрын
Lisu mwacheni tu aongee;;we zile 16 plus afu unatoka ndani ya 18;;;waongoze vyema;;vibaya vyama pinzani haviwezi kuacha kukandia
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 2 ай бұрын
😂ila police mjue kuna maisha baada ya kazi tunawaona huku mtaani mnavyotia huruma
@kulwastima3993
@kulwastima3993 2 ай бұрын
Hili watumishi tuheshimu kazi zetu hii ishu ilitakiwa watu wakutane mahakamani akishindwa kesi Hana kazi maana hii imechafua serikali Hawa Chadema hawakfanya fujo Sasa yote haya yamesababishwa na police ifikie wkt mzungu aingilie kati kama demokrasia imetshinda.
@MinziNdulu-k9i
@MinziNdulu-k9i 2 ай бұрын
0:35
@wazinzatv3152
@wazinzatv3152 2 ай бұрын
Police sio wajinga inawezekana kuna mpango mchafu mlikuwa mnauratibu kupitia vijana wenu
@MUSAMWAMBENE
@MUSAMWAMBENE Ай бұрын
Ccm apana jamani
@RashidyRoggo
@RashidyRoggo 2 ай бұрын
TZ ukienda kupiga kura huna Kaz za kufany maan Nape kashatuelez ukwel
@sammymdemeka7937
@sammymdemeka7937 2 ай бұрын
Hiyo 4R ni usanii mtupu
@emanuelgavile3503
@emanuelgavile3503 2 ай бұрын
Hamuwezi kuonewa tatizo lenu nyie nikuwajadili watu nakuwasimanga takataka
@GeorgeElias-p5o
@GeorgeElias-p5o 2 ай бұрын
Wew ni mtanzania, unaelewa nin maana ya siasa za vyama vingi..!?
@AnociathaChuwa-cb5nk
@AnociathaChuwa-cb5nk 2 ай бұрын
Uonevu wa ccm ni endelevu Wananchi msipoamka uonevu utakuwa hauishi Demokrasia itakuwa shida sana
@sarastephano3409
@sarastephano3409 2 ай бұрын
Mlisema mahufuli ndo alikuwa mkatili alikuwa anawanyanyasa wapinzanj haya semeni Sasa na Hawa amewatuma yeye
@jessegodson8575
@jessegodson8575 2 ай бұрын
Ungeenda kuwashtaki hao polisi mahakamani. Ila ningekuwa mimi ningemuua huo alikupokonya kofia
@DeoLyimo-y3v
@DeoLyimo-y3v 2 ай бұрын
Inatia hasira sana😢
@CatherineKuyumbe
@CatherineKuyumbe 2 ай бұрын
😢
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 2 ай бұрын
Yan hili ndio liongoooo😂😂😂😂
@HulumaKisakali
@HulumaKisakali 2 ай бұрын
Nyie vibaraka wa ccm mnyamaze mmeaibika
@evangelistfrank1911
@evangelistfrank1911 2 ай бұрын
Ipo siku utajua hii nchi haina haki kabla hujafa nakwambia utalia
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 2 ай бұрын
@@evangelistfrank1911 utatangulia kwanza kufa wewe
@evansdecaprio8196
@evansdecaprio8196 2 ай бұрын
Akiri yako ipo kichwani au matakoni
@mahengepascal
@mahengepascal 2 ай бұрын
Tuambie wew ukweli
@ambelemwakalobo3327
@ambelemwakalobo3327 2 ай бұрын
Kwanini msifanyie Arusha au singida mkaona mbeya ndio
@HusseinChegu
@HusseinChegu 2 ай бұрын
Ooh umemchongea kamanda wa mbeya watamtoa madhalimu
@storytownTv
@storytownTv 2 ай бұрын
Dah.. kwen nyie hamkua na ulinzi binafs
@AmaniMathod
@AmaniMathod 2 ай бұрын
Kiukweli kuna polisi wengine wana matatizo kumbukeni ...mna familia...
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 2 ай бұрын
Acheni upuuzi.
@AironKanduru-oi7ky
@AironKanduru-oi7ky 2 ай бұрын
HIVI WEWE UNAJIJUA KWELI MBONA WA GO TO WA TO WAKO WANAKUANGALIA
@alliymohammed4227
@alliymohammed4227 2 ай бұрын
Walitakiwa wakupige ata fimbo kdg
@EsterAloyce-m4j
@EsterAloyce-m4j 2 ай бұрын
Mungu anawaona lakini pia tutambue sote tunapita duniani
@SaidKipe-zm8wt
@SaidKipe-zm8wt 2 ай бұрын
Tutakutana kwenye uchaguzi mungu awalan awo mapolis
@toyotaqrcode
@toyotaqrcode 2 ай бұрын
Siasa Bwana sijui ni mchezo wa aina gani mm nipo paleee naangalia tu
@aaa64sa13
@aaa64sa13 2 ай бұрын
Afadhali angalia kwa mbali tu....😁😁
@ronaldobenetson
@ronaldobenetson 2 ай бұрын
Ukisikia neno story za kufikirika ndo hizi sasa
@samsonsimon3138
@samsonsimon3138 2 ай бұрын
Hii nchi ni yademocracy halafu hii nchi si ya mtu mmoja bali kila mtu anahaki yakufanya anachoona ni sahihi kwake ila asivuje tu sheria tulizozituga
@HASSANWAZIRIGAO
@HASSANWAZIRIGAO 2 ай бұрын
Msidanganye Watu Mara Ngapi Mumetaja Maandamano Ya Kenya Mnatoa Mfano Mnataka Iwe Kama Kenya Kule Kenya Walikufa Watu wangapi
@DennisFandi
@DennisFandi 2 ай бұрын
Shida mnajifanya mna akili nyingi kutumia sheria kukimbiakimbia sasa watu washakuwa waelewa wanataka vitendo, watawagonga mpaka mseme
'Sikutoroka' - Dereva wa Lissu aiambia DW
16:33
DW Kiswahili
Рет қаралды 802 М.
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 25 МЛН
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 85 МЛН
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,7 МЛН
Wait for the last one 🤣🤣 #shorts #minecraft
00:28
Cosmo Guy
Рет қаралды 13 МЛН
Traditional Pottery-Making process | How to make traditional potteries
15:10
Village Real Life by Manu
Рет қаралды 389 М.
Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha
49:01
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 25 МЛН