Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii: / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti
Пікірлер: 29
@Mbeyaconscious Жыл бұрын
Technology Inenda Kasi Inabidi Tujiandae Kwa Matumizi Sahihi 👍
@hamoudcreator6343 Жыл бұрын
Interview nzuri, ila mungetuletea DjSma akaja akatueleza kiunaga ubaga.. Hapa Bado, Kuna Watu wameachwa...
@yusuphcharles1497 Жыл бұрын
Simulizi imepoa sana aisee
@mohdhajiali16622 ай бұрын
Thanks
@raymondmakaka8495 Жыл бұрын
Pokea zangu tano. Ningepnda simulizi kuhusu Haiti 🇭🇹 kwamapa bilashaka nipanasana lakini kwa uzowefu wako unaweza ukatuleta makala : 1.Makala historia yake. 2.Jeilikuaje ikjipata ilipo leo. 3.Mkono wa Mabepari katika juya Haiti. 4.Bada ya Umoja wa Mataifa kutofua dafu kuleta amani . tutarajie nini kuhusu fursa ya Kenya 🇰🇪 kupeleka kikosi Polisi huko Haiti 🇭🇹. Kenya 🇰🇪 pia itarajie nini mana naona fursahi sio lele mama? asante SNS.
@hassanmoalimmuse6014 Жыл бұрын
Point
@5Gents Жыл бұрын
Naomba msaada wa website ya kufanyia registration.
@dylankanyubi3700Ай бұрын
Akili mnemba siku hizi imenitia jakamoyo.
@kassimrajabu7805 Жыл бұрын
Wow
@francomwacha2262 Жыл бұрын
Kaka kabla cjaangalia hii interview yani naona tuu nitaenjoy mnoooooo napenda sana hizi Habari na mambo ya anga pia hizi mkiziweka bando langu ni halali yenu
@NassaniMussa3 ай бұрын
Kaka napenda sana uchambuzi wako naomba kujuzwa kuusu samsung A35 na infinix note 40pro+ niipi nzuri??
@Jane-tg3tt5 ай бұрын
Huyo jamaa mgeni mualikwa mbona kama Hana uelewa wa kutosha au naye kagoogle mana hawezi kurahisisha mazungumzo yake ya kitaalamu Ila yaeleweke kirahisi naona anajificha kwenye kujifanya anachanganya lugha,Mr sky ungegoogle Tu utuelezee mwenyewe
@kassiannyamba805Ай бұрын
😂
@Jane-tg3tt5 ай бұрын
Umemuokota wapi huyo chekbobuu
@MrNoLevel Жыл бұрын
Wakwanza nipe likes zangu
@onekisstv8412 Жыл бұрын
Chukua😂😂😂
@King_Of_Everything Жыл бұрын
👍👊✌️.
@Mina.15 Жыл бұрын
Alot of ppl going to jobless 🤣🤣🤣 here 🇺🇸 Walmart now no cashier the lines is better than before 👌🏾
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
Mtu wa kuogopwa ni mmiliki wa fb huyu jamaa ni hatari mbeleni
@vedastokeya3344 Жыл бұрын
Hii angepewa dj sma ingekaa pouwa sana
@rogerslwitiko3915 Жыл бұрын
Baadae ndiyo unapandikiziwa Microchips ili uweze kuendana na huo mfumo
@khamishussein3502 Жыл бұрын
Paka mafuta mrango ili kuondoa kelele
@HakizimanaJames-m4h Жыл бұрын
Hello guys
@rodsconehenry4249 Жыл бұрын
naskitika badae kama hakuna kufa nikiwa tayar nimekufa