Matonya nimekupenda unawaheshim fighters wenzako nimeona umewaja kina q,Babylon,sugu,jide,nk kwa. Wema.big up
@raymondmushi87563 ай бұрын
Hakuna maisha hapo wanaishi maisha ya kinafki sana,
@amisamaurid18824 ай бұрын
Good brother nimekuelewa vizuri xana nyimbo zako kila cku mpya hazituchoshi kuzisikiliza❤❤❤❤❤
@manp90913 ай бұрын
Sasa mama samia kaingiaje 😂😂😂
@witnaofficial5 ай бұрын
Nataka matonya aimbe tena. Nina miaka sasa2024, Mpaka naskia b Vailet.❤❤
@MethodkasyupaMwifyusi4 ай бұрын
Matonyaaa ni zaid ya haoo maboyaaa wote mnaowapenda saiz
@KabiSaidi3 ай бұрын
Wape.. uqwel kaka
@alphatwaha37015 ай бұрын
Umeongea vzr sana
@sapatdiary12384 ай бұрын
culture of describing artist with terms that dont make sense....Matonya kawa mkongwe aje....very old person...really anyway respect to Matonya and if you love good music checkout Moyoni by Mr Lenny
@DM_155 ай бұрын
Huyo wapembeni ya Tonya ni chawa au sielewi anatingisha kichwa utadhani nae ni legend 😂 siunge mpunguzatuu huyo jamaa anajirambarambatuu
@emmanuelmayunga15185 ай бұрын
😂😂😂
@deejaychidybishow1764 ай бұрын
Ndio mwenye gar😂
@EmmmaTembo4 ай бұрын
Ni kwabahati mbaya tu amejisahau😂
@DM_154 ай бұрын
@@deejaychidybishow176 😂😂usikute ndiokweli
@user-uo5qq2lu2b4 ай бұрын
Chawa anakenua tu 😊😊
@user-pt4ft7ow1s5 ай бұрын
Wa 1
@karmalyshaft97425 ай бұрын
Mmmh toka lini
@user-wy4fv9vd7w5 ай бұрын
vyombo vya habari havikuwepo sio kama sasa
@raymondmushi87563 ай бұрын
Alitaka kunizulumu hela yangu ya nauli huyu fara, na kafeli hana lolote mlevi wa kutupwa
@user-oe5eg9ji4h5 ай бұрын
Ata uku kuetu adi leo iko pale pala🇲🇿
@hilalmohd89414 ай бұрын
sina uhakika na life yake ila hana baya❤❤❤🎉🎉🎉
@yusuphswai68514 ай бұрын
Maisha anayo kweli uyo jamaa
@user-ti1ol3ti9j4 ай бұрын
Kwanini wa Tazania munakuwaga na wivu nawezenu kwanini hanakitu anayishi kwako acawujinga🎉🎉🎉🎉🎉
@kingkendrickk4 ай бұрын
Tonya time
@sethstiven33934 ай бұрын
Pesa anazo ila madawa yanaua watu wao wanapata pesa
@saidilome-ue2df5 ай бұрын
Watu wengi ni wajinga sn,wasani wa zamani wamefanya vzr zaid.saabu kulikua hamnaa social media km ss.hata sim za mkononi zama hizo ilikua hamna.ndomana utaskia kibanda cha sim
@antidote2544 ай бұрын
ziko wapi izo nyumba
@user-gj1go3bq5m4 ай бұрын
content za bongo hazinaga ushahidi
@DavizJohn4 ай бұрын
Matonya hana kitu acheni kupotosha
@judithsimon78924 ай бұрын
Hii nimeilewa..inaweza kuwa kweli
@MM-pb7fw4 ай бұрын
hicho kijamaa kimekaa hapo pembeni kina lamba lips kinafanya nini hapo?
Ha ha ha ha ha haa akamkomboe kaka ake faraji south uko kula unga
@nassercurtis95795 ай бұрын
Akamkomboe kwani yeye ndio alinshawishi aule? Alichagua unga basi umtengeneze halafu nyie mnaosema anaunga unga inawezekana pia maisha yenu ni mabovu kuliko yake sababu rijali mtafutaji hawezi kuongea pumba kwa muhangaikaji mwenzie, labda uwe uwe mtu wa rangi rangi😅 ndio unaweza kuwa na tabia za umbea.
@ikokijuma-zv7wd4 ай бұрын
😂
@salmamakweta11984 ай бұрын
Kaka yake ni muarifu, acha sheria ichukue mkondo wake
@BabuuErick4 ай бұрын
Kitu kivp yan ww unanini matonya yupo sawa
@fatmafatu11284 ай бұрын
Kwani wewe shoga unavaa hereni
@user-mi3ro2jt5b5 ай бұрын
Hana kityu huyo
@EmilianKomba-sb4kn5 ай бұрын
Acha uboya na wivuuu Hawa wamefanya makubwa katka indry....ya mzikiii . Wewe SI ulikuwa mdogo boya wewe
@sarapy31635 ай бұрын
Njoo madale umuone maisha yake halisi tapeli mkubwa huyu kaka Hana kituu ,,,
@DavizJohn4 ай бұрын
@@EmilianKomba-sb4kn hana kitu kweli sio wivu,alipata akachezea sa hivi anatafuta kiki tu