“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche

  Рет қаралды 799,838

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Mbunge wa Tarime vijijini John Heche amesema kuwa Serikali inatakiwa kuzifanyia kazi baadhi ya taarifa zinazotolewa na wananchi kuhusu matukio yanayodaiwa kuhusisha Askari Polisi kuuawa watu bila hatia na iache kuwatishia watu wanaotoa taarifa hizo. Heche amesema hay oleo November 7, 2018 wakati akichangia mapendekezo yake katika mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali pamoja na kuandaa mpango wa bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2019/20

Пікірлер: 709
@priscahezron8418
@priscahezron8418 2 жыл бұрын
If you’re here 2022 listening to this guy again after missing these discussions on the Parliament…. Like here John Heche live long
@andreymalisa1625
@andreymalisa1625 5 жыл бұрын
uyu jamaaa huwa namwonaga mbali sana...mungu aendelee kumtetea....
@samwelpaul7334
@samwelpaul7334 Жыл бұрын
Moja ya wanasiasa bora sana
@gideonimathew6491
@gideonimathew6491 5 жыл бұрын
Unafaaa kuongoza Tanzania. Kama unamkubali Heche kua Rais wetu ngonga Like hapa
@bernadinangasi7664
@bernadinangasi7664 5 жыл бұрын
Wabunge wa upinzani ni noma yani nivichwa wanafaa kumsaidia rais wetu kiukweli
@iddyabdallah4823
@iddyabdallah4823 4 жыл бұрын
Heche kiboko sana
@sifuelinyaki3341
@sifuelinyaki3341 4 жыл бұрын
Bernadi Nangasi rais hataki kufanya kazi na wapinzani wakiwa upinzani unles kama watahamia tawala
@benjaminjulius8021
@benjaminjulius8021 4 жыл бұрын
Sisi tunaitaji mtazamo wake hatutaki awe msagaji
@gabrielmamela2206
@gabrielmamela2206 4 жыл бұрын
Kama rais hataki kufanya kazi na wapinzani huo ni upunguani kwani hii nchi ni ya mfumo wa vyama vingi na maendeleo hayana chama. Rais akishapita watu wote ni wa kwake awapelekee maendeleo bila ubaguzi eti kwa kuwa jimbo fulani mbunge wake ni chama cha upinzani au diwani ni wa upinzani eti mtasota miaka mitano yote bila kupata maendeleo yoyote.
@sarahwalles2607
@sarahwalles2607 3 жыл бұрын
@@gabrielmamela2206 kweli kweli kbs licha wakwake tu pia nchi ya watanzania wote sio yake peke ake
@shownewsdiamond1942
@shownewsdiamond1942 5 жыл бұрын
huyu ni mbuge wa watanzania namkubali sana
@majaliwawangdagangdullanga700
@majaliwawangdagangdullanga700 5 жыл бұрын
Kabisa
@mbwanaomary7537
@mbwanaomary7537 5 жыл бұрын
Waongo sana hawa jamaa kesho unaweza ukasikia anawasifia na kuponda huko aliko sasa hivi
@libwelaally3707
@libwelaally3707 5 жыл бұрын
True
@restjoel8968
@restjoel8968 5 жыл бұрын
Sana sana
@saidnzowa9913
@saidnzowa9913 5 жыл бұрын
nampenda sana heche
@twahiraliy3382
@twahiraliy3382 5 жыл бұрын
Hahahahahah Heche wewe kiboko nikiuza korosho nitakutumia vocha kaka hata msimbazi chief nanga kaka Noma
@imanimputa1926
@imanimputa1926 5 жыл бұрын
Jknn&ghbcbbv) v!v v b b
@agapehardware285
@agapehardware285 5 жыл бұрын
.
@abdalamfinanga3507
@abdalamfinanga3507 4 жыл бұрын
Abdala wewe mwanamke unae kierere tarifa tarifaunsjipya msikilize heche pumbavu haun ndugu zako ambao hwana ajira
@peterwakitaa1902
@peterwakitaa1902 5 жыл бұрын
mwanasiasa wangu bora katika huu mwaka huwa Una nipa ujasiri mkubwa sana
@dyanatanz6574
@dyanatanz6574 5 жыл бұрын
Bas tanzania ukiongea ukwel kama iv kesho unatekwa. Koma na ww dada et taalifa taalifa nenda choon ukanye fala ww
@raynellyaugustino3237
@raynellyaugustino3237 5 жыл бұрын
Hawa watu Wanaboa sana sana ndugu yangu
@dyanatanz6574
@dyanatanz6574 5 жыл бұрын
@@raynellyaugustino3237 nachukia mm hawa watu ingekuwa ni uamuz wangu bunge ningelifuta uwa sion cha maana
@limokisuda4145
@limokisuda4145 5 жыл бұрын
Dyana Tanz mbavu zangu jamanii eti nenda chooni
@dyanatanz6574
@dyanatanz6574 5 жыл бұрын
@@limokisuda4145 wanaboa maisha nimagum ndugu yang. Mbaka umsubil rais apite akupe hera mkonon iv nikwel
@dyanatanz6574
@dyanatanz6574 5 жыл бұрын
@@limokisuda4145 nahuyu kaka anauchungu wa kuuwawa yule mdogoake ww kisu kiliingia kile jaman
@yegokubebekamugurus8072
@yegokubebekamugurus8072 5 жыл бұрын
Dah! hii kichwa naipenda balaa. Piga kazi mura najivunia wewe kuwa mbunge wanguuu👏👏👏
@masrergaudens3967
@masrergaudens3967 5 жыл бұрын
Mwkt uwe unampa mh Heche hata nusu SAA azungumze tunamuelewa sana
@majaliwawangdagangdullanga700
@majaliwawangdagangdullanga700 5 жыл бұрын
Masrer Gaudens kweli
@tausimwambujule1642
@tausimwambujule1642 5 жыл бұрын
Woyoooo, tunamuelewa kwel kwel
@charlesimaregesi5949
@charlesimaregesi5949 5 жыл бұрын
mheshimiwa nakubalisana kweli mungu akujalie afyanjema mwambie ukweli hao mawaziri na wabunge hao waoneshe uzalendo wakula mlo mmoja kamacici wavuja jasho @##mnyamakazi kunthu
@peteropiyo5934
@peteropiyo5934 5 жыл бұрын
Aisee Heche ungekuwa speaker bunge lingenyooka
@optatusnkwela4666
@optatusnkwela4666 5 жыл бұрын
Heche wewe ni zidi ya msomi wa kitanzania
@vitalisnyagali2204
@vitalisnyagali2204 5 жыл бұрын
Kujiunga ccm na kufa Mimi bora nife kuliko kuwa mwanachama wa ccm
@vivianlenard3618
@vivianlenard3618 5 жыл бұрын
wajinga sana waliokimbilia huko warembo tuu wanazidiwa hadi na wakina halima mdee. tena wengine mwanaune wa kikurya kabisa unashindwa kutulia
@jimjam4162
@jimjam4162 5 жыл бұрын
Kweli
@zahramunir8596
@zahramunir8596 5 жыл бұрын
Hahaa
@kennykennedy9868
@kennykennedy9868 5 жыл бұрын
Atamimi
@emmanuelmussa8331
@emmanuelmussa8331 5 жыл бұрын
Mi pia
@muchomersonmichael4615
@muchomersonmichael4615 5 жыл бұрын
Naomba uwe rais kura yangu na ukooo wangu woooooote chukua. Akili yako nikama ya wana ...........wooooote, love u so much brother. Ongea ukweli asiependa ukweli atakuwinda, tuko nyumbani toka 2015 hamna ajira mimi ni moja wao, naomba namba nikutumie vocha bro.
@nicholausnchimbi1599
@nicholausnchimbi1599 5 жыл бұрын
Yatapotoka majibu toka kwa mawaziri utasikia kuhusu utaratibu,mwongozo,taarifa mwisho haoooo nje
@isackmosesmabula3648
@isackmosesmabula3648 5 жыл бұрын
Tata muchomason hahaaaaaa
@documentariestvshow
@documentariestvshow 4 жыл бұрын
Ukabilaaa ndo unauelewa Sana eeee n ukooo wako
@samateryussuf5938
@samateryussuf5938 5 жыл бұрын
TZ ya Sugu,Heche,Zitto,Msigwa,HalimaMdee,Easter Bulaya Nyerere angefurahi sana
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 5 жыл бұрын
Umemsahau Tundu lisu
@rebeccampeta6650
@rebeccampeta6650 5 жыл бұрын
umeona e
@maijohn4815
@maijohn4815 3 жыл бұрын
Umemsahau na lema
@rasnchimbi
@rasnchimbi 5 жыл бұрын
Mbunge mmoja wa upinzani ni 10 wa ccm.
@thomashudson1083
@thomashudson1083 5 жыл бұрын
Mbunge wangu wa nguvu
@jifunzekusamehe4527
@jifunzekusamehe4527 5 жыл бұрын
mia mia
@hasanalihasani3236
@hasanalihasani3236 5 жыл бұрын
Sijawahi kukomenti ila leo mh hapo kwenye mahindi aaaa upo vizur mbunge mwaka huu mahindi hali ni mbaya mnoooo
@babalily4516
@babalily4516 5 жыл бұрын
Hili jamaa ni bonge la kiongozi sio hao wengine wanasifia kupanda kwa pesa ya budget kutoka 40% mpaka 57% ni uzuzu wa kiwango cha lami huu, kama mnapanga kutoa tsh 13T kwanini mtoe Tsh 6T na mjisifie, nyie vipi jamani, naunga mkono hoja ya sugu ya kupima akili za viongozi wote watakaotaka madaraka hapo baadae
@georgesamwelchacha7680
@georgesamwelchacha7680 5 жыл бұрын
Ongea Tata sisi tumekuangiza Ukawaambie waelewe
@dyanatanz6574
@dyanatanz6574 5 жыл бұрын
Semababa semaaaaaaaaaaa
@robisammeytv7547
@robisammeytv7547 10 ай бұрын
I wish to see this guy back.As Kenyan we have alot of hope in him.
@redmondmulilo4852
@redmondmulilo4852 5 жыл бұрын
Heche wambie ao mana wanawachanganya wananchi naujinga wao wakusema eti wanamuunga mkono rais kuleta maendeleo sijui ayo maendeleo nadoyepi make hatuyaelewi
@annaenglibert1763
@annaenglibert1763 5 жыл бұрын
Ukweli utabaki pale pale. Japo wanajifanya hawajui bt watz waelewa anaelewa tyuuu,,,! Wsape bro,,! Ipo cku watakuelewaa,,!
@abdallahchota9269
@abdallahchota9269 5 жыл бұрын
Waambie ao mama
@modestaabeli3389
@modestaabeli3389 5 жыл бұрын
Kweli kbc umeongea kaka heche mahindi hayana soko
@pauloolekooylaizer9363
@pauloolekooylaizer9363 5 жыл бұрын
uko juu
@rajabugassa6723
@rajabugassa6723 5 жыл бұрын
Ukiwa mpinzan Mungu anakuongezea akil na uwezo wa kufikir, hongera Heche
@georgegodfrey4776
@georgegodfrey4776 4 жыл бұрын
Ni kama ukiwa nje ya uwanja tu
@gililwise
@gililwise 5 жыл бұрын
Hongera sema kaka yangu
@vivianlenard3618
@vivianlenard3618 5 жыл бұрын
Dada punguza kelele tna dharau zako hizo kisa ccm. taarifa taarifa taaarifaa acha mura aongeee
@msafilyngeze4202
@msafilyngeze4202 5 жыл бұрын
Vivian Lenard ukosawa.mbunge.wangu
@husseinnyomi6120
@husseinnyomi6120 5 жыл бұрын
Sichok kukusikiliza piga nyundo manyumbu hawo
@franaelisumari5108
@franaelisumari5108 5 жыл бұрын
NI KWELI UMASIKINI SIYO SIFA,UZALENDO SIYO KUWA MASIKINI.
@henrysanga1087
@henrysanga1087 5 жыл бұрын
ww ndio nyumbu hujitambui
@chikumatangwa8314
@chikumatangwa8314 5 жыл бұрын
Vivian Lenard 😂😂😂😂😂 yaan vina kiherehere hivi vidada ata hoja havina vinaendaga kuuza sura tu kula posho za bure
@vivianlenard3618
@vivianlenard3618 5 жыл бұрын
Safii muraaa mbabe, alaaa mtu kajitahili mwenyewe huyo bila kutoa chozi mamae.
@lelomsechu7569
@lelomsechu7569 5 жыл бұрын
Kafanyaje? Hahahahaaa
@vivianlenard3618
@vivianlenard3618 5 жыл бұрын
+Lelo Msechu kajitahili mwenyewe kwa sime akiwa kasimama bila kutoa chozi. eti leo aogope pyu pyu
@lelomsechu7569
@lelomsechu7569 5 жыл бұрын
@@vivianlenard3618 haha haha haha haha! Ni hatari sana mwaya...
@amirmotors9735
@amirmotors9735 5 жыл бұрын
Kwa kwel man of the people kinahusika tz umenikumbusha meng sana kwa kitab hiki
@verdianabanabi8230
@verdianabanabi8230 5 жыл бұрын
Heche hilo umeongea.fact.
@humphreybilly3258
@humphreybilly3258 5 жыл бұрын
Mh Heche Mungu aendelee kukutumia na kuendlea kukupa maono yanayo zidi hapo.Ubarikiwe sana kwayale ulio weza kuyafikisha Amani tele kiongozi
@nessa4899
@nessa4899 5 жыл бұрын
Pole sana heche, kwa kumpoteza mdogo wako, inauma sana, lakini ndio serikali yetu hiyo ya uonevu.
@amanipindu3403
@amanipindu3403 4 жыл бұрын
Kwer
@yohanakebacho3990
@yohanakebacho3990 5 жыл бұрын
huyu ndo Heche umorooooo 🔥
@michaelgideon625
@michaelgideon625 5 жыл бұрын
Kinacho uzi zaidi,,,, eti watanzania wanyonge, halafu watu tumesoma ili tuwa saidie wazazi wetu maana mazingira waliyo tusomesha ni siri zetu Lakin ajira hakuna, ukisema hivyo bas utasikia usisubili kuajiriwa Bali jiajiri mwenyewe,, ivi mtu ajiajiri vipi hata kianzio cha mtaji hana. Ila magufuli mungu anakuona.
@hassankaluta8864
@hassankaluta8864 5 жыл бұрын
Nawakubali sana chama langu lijualikali pascal haonga heche prof j
@devybernardlaizer7713
@devybernardlaizer7713 5 жыл бұрын
Mengine hapo yanakazana taaarifa wakati huku kitaa ndugu zao wanaishi maisha magumu, sema babaaa
@nicevictormkalimkali3776
@nicevictormkalimkali3776 5 жыл бұрын
winnie charles baby h i
@felistersanga6357
@felistersanga6357 5 жыл бұрын
tutetee baba tunakuelewa wananchi huku tunaishi maisha magumu sana
@charlesachar7460
@charlesachar7460 5 жыл бұрын
winnie charles
@pazzyamily2857
@pazzyamily2857 4 жыл бұрын
Watetee
@jacksonsangiwa4029
@jacksonsangiwa4029 4 жыл бұрын
Hahaha dada muelewa sana safi mami
@stanleylyimo7617
@stanleylyimo7617 5 жыл бұрын
umeongea hoja nzito sana hongera sana heche
@iddymanyama3742
@iddymanyama3742 5 жыл бұрын
Mungu mtangulie john heche popote aendako mpeujasiri wa kutukomboa
@abdulrahmansaliumalbry2615
@abdulrahmansaliumalbry2615 5 жыл бұрын
Majambazi watupu.
@emmykagemb7993
@emmykagemb7993 5 жыл бұрын
Wizi mtupu
@jchuwatv1890
@jchuwatv1890 5 жыл бұрын
Konk konk konk master Heche John
@philemonviva7187
@philemonviva7187 5 жыл бұрын
Heche, hapo umesema yalo ya kweli.....toka 2015 had leo ajira n za kulenga kwa manati. Na bado tunalazimishwa kurejesha mikopo tuliyoitumia kwenye elimu yetu ya juu. How can we return the loans without being employed!
@chidybwax8080
@chidybwax8080 5 жыл бұрын
Father shikamooo wakulima tunateseka sema baba
@labankisunga4111
@labankisunga4111 5 жыл бұрын
Kwel
@selemansele3906
@selemansele3906 5 жыл бұрын
Sinachakusema tukomboee baba
@salmaabdillah1617
@salmaabdillah1617 5 жыл бұрын
longa heche longa I like this guy taking sense, that's what MP is supposed to do talk for the people GOD protect this guy
@rogerkibarua1108
@rogerkibarua1108 5 жыл бұрын
Heche mumuongezeage muda jaman.anafunguka vzr
@husseinnyomi6120
@husseinnyomi6120 5 жыл бұрын
Wambie tunawasubili 2020
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 5 жыл бұрын
Roger Kibarua kweli
@salumuhamissi3492
@salumuhamissi3492 5 жыл бұрын
Huyu mbunge anaupeo mkubwa sana kuliko wabunge wte wachama chetu
@annaenglibert1763
@annaenglibert1763 5 жыл бұрын
Haswaaaaah,,,! Hilo jembe
@majaliwawangdagangdullanga700
@majaliwawangdagangdullanga700 5 жыл бұрын
Salumu Hamissi kweli
@majaliwawangdagangdullanga700
@majaliwawangdagangdullanga700 5 жыл бұрын
Salumu Hamissi kweli
@nicholausnchimbi1599
@nicholausnchimbi1599 5 жыл бұрын
Sio kihivyo ila ungenimbia ana degree za uongo ntakuelewa ajira zipo jiulize umesomea nini,mazao hususa mahindi watu wamelima sana baada ya rais kusema hakuna msaada usipolima wafa
@barakamalrekano5993
@barakamalrekano5993 5 жыл бұрын
@@nicholausnchimbi1599 usiongee usivyovijua ,bora ukae kimya
@MajiTakaMaji
@MajiTakaMaji 5 жыл бұрын
Safi sana
@mwachamwacha5538
@mwachamwacha5538 5 жыл бұрын
wakiwa ccm tuu huko bungeni hatutakaa tusikie kauli kama hizi ..zaidi sana kutakuwa na kupongezana tuu
@nicholausnchimbi1599
@nicholausnchimbi1599 5 жыл бұрын
Hata mungu anahitaji sifa jaribu kumdhihaki uone,kumbe pongezi ni kimungu zaidi ni ni dalili ya unyenyekevu na adabu ili upate vingi lakini kutia moyo pia
@paolodebizza5078
@paolodebizza5078 5 жыл бұрын
Muraaaa waeleze hao Hawa elewagi
@fatmahamad2156
@fatmahamad2156 5 жыл бұрын
@@nicholausnchimbi1599 usifanishe kiumbe na Mungu brooo,Mungu hujawahi na wala hatawani kukosea sawa,viumbe peke yake ndio wenye udhaifu sawa broo,na Mungu anaenda haki na usawa kwa binaadam wote,kila mmoja amemkadiria jins wanavyotaka yy ,
@severinmmassy7627
@severinmmassy7627 4 жыл бұрын
Mwacha Mwacha kwakweli
@quarantine325
@quarantine325 3 жыл бұрын
Yametimia kaka
@samsonsamwel2388
@samsonsamwel2388 5 жыл бұрын
ww unaesema heche ovyooo ukapimwe akili haupo sawa sawa
@josephpezua189
@josephpezua189 5 жыл бұрын
Samson Samwel hujielewi wewe
@athanassongalimi5685
@athanassongalimi5685 5 жыл бұрын
@@josephpezua189 ni kweli serikali haijatoa ajira eti hahahaaaaa
@getaromagaiwa7918
@getaromagaiwa7918 5 жыл бұрын
wewe ni zwazwa!!!!!!
@frankmosha5854
@frankmosha5854 5 жыл бұрын
Umekunywa maji ya ccm
@allygambwe7555
@allygambwe7555 5 жыл бұрын
Respect mzee John heche
@ummuzakariya798
@ummuzakariya798 5 жыл бұрын
Kweli kabisa heche watumishi tunashida sana
@ChiediTV
@ChiediTV 5 жыл бұрын
Hecheeeeeeeeee we ni nyundo
@verdianabanabi8230
@verdianabanabi8230 5 жыл бұрын
musa ausi Umeona ehh musa.
@josephatchristian7267
@josephatchristian7267 5 жыл бұрын
Nakukubali heche bigup
@emmanuelkitabi3437
@emmanuelkitabi3437 5 жыл бұрын
Heche unacho kisema ni sahihi sana
@amryzubery1051
@amryzubery1051 5 жыл бұрын
people power
@ChiediTV
@ChiediTV 5 жыл бұрын
Sana ukisoma hicho kitabu cha chinua Achebe kwa sisi tuliosoma language utajua kweli kazi ya fasihi
@benedictoshadrack2573
@benedictoshadrack2573 4 жыл бұрын
Huyu mbunge ni mashine ya hali ya juu nimempenda Mungu akulinde na akupe maisha marefu aise
@paschaljoh5729
@paschaljoh5729 5 жыл бұрын
Mh Heche nimekuelewa vzur sana, unaweza xana kiongoz propaganda nyingi serikal hii
@winnestonmwalukasa2398
@winnestonmwalukasa2398 5 жыл бұрын
Heche hats Mimi umeni inspire.MKULIMA nchi hii sijui nisemeje.hana haki mbolea elfu Sabin sawa na gunia NNE za mahindi. Serikali yangu sikivu embu liangalieni hili mambo mengine ni Nondo
@ayoubmsuya5871
@ayoubmsuya5871 5 жыл бұрын
Huyu ndo anafaa kua mwenyekiti chadema
@cleopastanley6683
@cleopastanley6683 4 жыл бұрын
Kiukweli Kama Kuna kada wa ccm hua anamsikiliza heche najua atakua anamuepewa sio hawa wabunge wa kupongeza tuu mungu mbaliki heche🙏🙏
@davidsaanane7939
@davidsaanane7939 5 жыл бұрын
knowledge is Power.
@zahramunir8596
@zahramunir8596 5 жыл бұрын
True... kukosa elimu mtihani!!!
@ericklibaba1198
@ericklibaba1198 5 жыл бұрын
Mh Heche yuko vizuri kimawazo... Gud Sana mh
@bonabonala8253
@bonabonala8253 4 жыл бұрын
Heche kama tundu LISU bigup john
@akidasalim9798
@akidasalim9798 5 жыл бұрын
Heche nakukubali
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 5 жыл бұрын
Jamani hapo kwenye ajira mpaka inanilizaaa. Ee MUNGU tuangalie sisi wanyonge. Binadamu anayejipa sifa ya kwamba yupo kwaajili ya wanyonge, anazungumza na moyo wake tu. Lakini tulio na huo unyonge tunaendelea kuteseka, EE MUNGU TUPIGANIE WAJA WAKO AMEEEEN.
@manasejames7221
@manasejames7221 5 жыл бұрын
dah mungu awalinde upinzan siku zote maana mnaongea ukweli naskia raha pamoja na tunapigwa risasi
@redmondmulilo4852
@redmondmulilo4852 5 жыл бұрын
Sijui ao akina karanga na waitara sijui ndouo uzalendo wanaouunga mkono kuwaumiza wakulima nakuwauwa wanyonge au kunamengine wanayoyaunga mkono
@tumsifumunuo7428
@tumsifumunuo7428 5 жыл бұрын
Watu wa tarime mna bahati ya kuwa na mbunge mwenye uwezo wa kutoa hoja nzito zaidi ya wabunge kumi wa ccm
@dicksonmrema7584
@dicksonmrema7584 5 жыл бұрын
Ni ukweli
@jofuhamad8765
@jofuhamad8765 2 жыл бұрын
bungeni wanaonipa ujasiri mkubwa NI heche na mskuma niwatu hambayo waliubwa na talety kubwa mungu awalinde
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 4 жыл бұрын
Waeleze wasifikie wananchi hawaoni au viziwi na Mola atawalipa kuwapa maradhi yasiokuwa na kinga In shaa Allah
@haafidhaboubakary3097
@haafidhaboubakary3097 2 жыл бұрын
Who's watching this 2022 Let me see you're love Guys❤️❤️
@vicenteswai9556
@vicenteswai9556 5 жыл бұрын
Nikwiri muraa tenawasituone atuna akiri taata
@vicentinnocent600
@vicentinnocent600 5 жыл бұрын
Asante MUNGU
@rabunacharles8199
@rabunacharles8199 5 жыл бұрын
safi mkuu
@emanuelfissoo2015
@emanuelfissoo2015 3 жыл бұрын
Mbunge makini kuliko wabunge wengine wote anafaa hata kugombea nafasi ya urais
@sharifusharifu1935
@sharifusharifu1935 5 жыл бұрын
ivi awa wanadada mbona wanapenda taarifa taarifa yanini kaakimya wewe mdada unaboa saana naiyo taarifa taarifa acha upuuzi
@godfreyjacksonzamani9807
@godfreyjacksonzamani9807 Жыл бұрын
Heche nakukubali sana huwa unaongea pointi sana
@amonmathew9652
@amonmathew9652 5 жыл бұрын
Tanzania bila upinzaj haiwezekan.......
@deogratiusruhuro3584
@deogratiusruhuro3584 5 жыл бұрын
Tukiwa na vichwa Kama hivi 50 bungeni itakuwa poa sana mzee
@petercat9686
@petercat9686 5 жыл бұрын
Serikali hii inayo kusanya kodi kuliko serikali zote ituonyeshe bunge live mapoto yameongezeka cha kushangaza zile ambazo hazikukusanya kodi tuliona bunge live!!!
@armyofgodworshipersminitri7610
@armyofgodworshipersminitri7610 5 жыл бұрын
heche shikamoo brother,wewe kweli ni mwema kweli nakukubari asilimia 100 yani kama MUNGU azidi kukulinda udumu sana
@mimiliism
@mimiliism 5 жыл бұрын
Ni kweli kbsa police wanauwa watu
@zahramunir8596
@zahramunir8596 5 жыл бұрын
100% wanaua
@atubeka9317
@atubeka9317 4 жыл бұрын
Safiiiiiiiii
@mnikog1529
@mnikog1529 5 жыл бұрын
Daaaaah kaka nakushukuru umetusemea make mie ni mmoja wapo wa wahanga tangia mheshimiwa alipoingia mjengoni
@kalamuyantajajr2605
@kalamuyantajajr2605 5 жыл бұрын
Kuna watu wana akili sana aisee
@godymashana1968
@godymashana1968 5 жыл бұрын
Umenikuna heche Sana Sana mungu akulinde
@jackrinaman7521
@jackrinaman7521 5 жыл бұрын
Weshimiwa naomben kaz ya kufagia hapo bungeni . ili niwe na muona heche. Lema na sugu
@nicegabriely917
@nicegabriely917 5 жыл бұрын
Nimekupenda kwa kweli 🙌🙌🙌🙌
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 5 жыл бұрын
Big up sana Heche wataelewa tu hata kama wanajifanya viziwi
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada 3 жыл бұрын
Hakika hili ndio lilkuwa bunge la wabunge makini bhana
@kaminyogemwachelwa9884
@kaminyogemwachelwa9884 5 жыл бұрын
Heche anastahili kabisa hata kuwa MKT Wa upinzani salute mkuu
@leornaldngaja9749
@leornaldngaja9749 5 жыл бұрын
Henche waambie hao
@shd12m55
@shd12m55 5 жыл бұрын
Shikamoo heche
@bibukaelias9900
@bibukaelias9900 5 жыл бұрын
Tanzania inahitaji miaka takriban 50 iv ili tupate madiliko baada ya kufanyika mapinduzi makubwa ya kielimu na sio elimu ya sasa hivi ya kukaririshwa
@alextanzania
@alextanzania 5 жыл бұрын
Mabadiliko Tanzania ni mpaka Mungu akipenda inaweza fika hata mia lakini tukawa pale pale mpaka tuache unafiki na shortcuts. Mungu ibariki Tz
@williamchrispian1752
@williamchrispian1752 5 жыл бұрын
@@alextanzania wew ni geneus kaka, tatzo unafik na upeo mdogo.
@mercybyashara9711
@mercybyashara9711 5 жыл бұрын
Duu aisee inauma sana
@jipozeonline3983
@jipozeonline3983 4 жыл бұрын
Uzalendo unahubiriwa kwa wasio na kitu hongera sana mp heche
@salumumuhamedy9905
@salumumuhamedy9905 5 жыл бұрын
Umeongea pwenti sana bgp
@ChristerShao
@ChristerShao 10 ай бұрын
Heche na Dr Mpango ni watani.
@solanuskomba82
@solanuskomba82 5 жыл бұрын
ahsante sana dokta heche ..ni kweli kabisa flyover ya DAR sisi hatuijui..serikali inakusanya lakin hakuna kinachoendelea hakuna ajila
@shukuruantipas8712
@shukuruantipas8712 5 жыл бұрын
kichwa hicho
@officialchox3580
@officialchox3580 4 жыл бұрын
Hizi ni akili kubwa sana Mungu akubariki ufanikiwe wewe na familia yako
@albertkileo6132
@albertkileo6132 5 жыл бұрын
Asante KAMANDA,UKO SAWA.VIPOFU NA ZE,ZETA WANAOSHANGILIA CCM WASIKIE HAYO LABDA WATAPATA UFAHAMU
@bwabukekitwika9280
@bwabukekitwika9280 5 жыл бұрын
Nimekuelewa sanaaa
@emmanuelalphaxard9276
@emmanuelalphaxard9276 5 жыл бұрын
Baada ya magufuri , nchi tumpe huyu jamaaa
@bonabonala8253
@bonabonala8253 4 жыл бұрын
Toka na taarifaa yako were CCM
@kasimugullum5862
@kasimugullum5862 5 жыл бұрын
Safisana mh Heche
@manfredymahinya9511
@manfredymahinya9511 5 жыл бұрын
tumepewa macho kwa ajiri ya kuona,tumepewa masikio kwaajiri ya kusikiliza na tumepewa ubongo kwa ajiri ya kutunza kumbukumbu.kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho msijisahaulishe viongozi wetu asante sana Heche kwa mchango wako mzuri
@dckson2192
@dckson2192 5 жыл бұрын
Kama umemuona lijua likali like zenu
@timothysteven7387
@timothysteven7387 5 жыл бұрын
Safi
@michaelsimion720
@michaelsimion720 5 жыл бұрын
mungu akubaliki sana heche unachoongea ni kweli kabisa huku kwetu barabara ya mtaa wa mapelele hawatengenezi eti kisa ni wanachadema
@dickisoniryoba3989
@dickisoniryoba3989 5 жыл бұрын
Yani uyu jamaa sio wakawaida mungu akupe maisha malefu mweshimiwa.heche👏👏👏👏👏👏
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 29 МЛН
iPhone or Chocolate??
00:16
Hungry FAM
Рет қаралды 43 МЛН
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 75 МЛН
规则,在门里生存,出来~死亡
00:33
落魄的王子
Рет қаралды 25 МЛН
ZITTO KABWE: "Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi"
8:01
Global TV Online
Рет қаралды 662 М.
BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
11:41
Millard Ayo
Рет қаралды 666 М.
Vituko vingine vya Mbunge BWEGE bungeni leo, “tutaandamana”
13:54
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 578 М.
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 29 МЛН