"Mnachoma moto nyumba na watu bado mnawafunga? "- John Heche

  Рет қаралды 192,433

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

November 8, 2017 mkutano wa sita wa Bunge la 11 umeendelea tena Bungeni Dodoma ambapo Wabunge walikuwa wakijadili na kushauri kuhusu mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa.
Ni mpango unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali pamoja na mwongozo wa kuandaa mpango na bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019.
Kati ya Wabunge waliopata nafasi ya kusimama na kuzungumza ni pamoja na Mbunge wa Tarime vijijini John Heche ambae alihoji uhalali wa Serikali kuchoma moto nyumba za Wananchi wa tarime pamoja na kukamata mifugo ya wafugaji.

Пікірлер: 153
@kelvinmbena8144
@kelvinmbena8144 7 жыл бұрын
mheshimiwa ahsante sema hata wasipokuelewa au wakubeze mungu ndo anaejua ipo siku mungu atajibu ubalikiwe heche.
@silversilas3634
@silversilas3634 5 жыл бұрын
Mbunge wangu yupo vzr sana mungu akutangulie uko vzr
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 7 жыл бұрын
Sema Mh. Cheche amna kuogopa huo ndio uongozi, vichanga kimara wanalala nje jua mvua yote yao inasikitisha sana
@annacarlos7925
@annacarlos7925 7 жыл бұрын
Mungu akulinde heche point tupu umeongea
@georgenjeri7196
@georgenjeri7196 5 жыл бұрын
John Heche for president ! from Kenya
@jomogimonge8333
@jomogimonge8333 4 жыл бұрын
big up heche kumbe hatukukosea
@kitongojitz6476
@kitongojitz6476 5 жыл бұрын
nikiwa kama mhamasishaji wa vijana kanad yakinondoni mh Henche 2po pamoja 2020 kileleni gonga like apa kama wew nikijana
@juliusuronu8812
@juliusuronu8812 7 жыл бұрын
Wewe ni kiongozi hasa Mungu akubariki kwa kuongea ukweli
@japhetnzunda5421
@japhetnzunda5421 6 жыл бұрын
Mungu akubaliki hata wapinge hoja yako mungu ndiye anatujua sisi watoto wake
@frankmahalanha6867
@frankmahalanha6867 6 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu maana kuna hekima na busara ndani yake. Kwa kweli ninakuombea saana kwa mtumishi wa Mungu nazan kila mtu akisikiliza hii clip nazan atapata hekimu na busara kutoka kwa Muumba wetu. Mungu akubariki kwa kweli
@gangangan1478
@gangangan1478 7 жыл бұрын
Safi sana Mh. Heche!!!
@flaviankiria435
@flaviankiria435 7 жыл бұрын
Duh! Heche unatisha kweli Chadema ndio habari ya mjini.
@zakayosanga1430
@zakayosanga1430 Жыл бұрын
mungu akubariki mshhua
@redimnapaul9311
@redimnapaul9311 7 жыл бұрын
UMEONGEA POINT SANA!UMEWASEMEA WANYONGE! UNGEKUWA KARIBU MAFUTWA YALIYOMIMINWA DAUDI KUWA MFALME NINGEKUMIMINIA KICHWANI
@jumakinonono-jj4zy
@jumakinonono-jj4zy Ай бұрын
Uyu jamaa alikua mbunge wa nchi nzima nimemfatiria Sana uchangiaji wake yaan hajawa tu mbumnge wa Tarime Ila alikua mbunge wanchi yaan daah mungu aendelee kukulinda mzee
@jensennashon6147
@jensennashon6147 7 жыл бұрын
Mhe. Heche 👍🏽👍🏽👍🏽
@joyceMwaikusa
@joyceMwaikusa 12 күн бұрын
Heche big up
@sojaman7825
@sojaman7825 7 жыл бұрын
wote mngeungana nakutusemea ingekuwa safi sana
@kimatamasasi6582
@kimatamasasi6582 6 жыл бұрын
big up jembe safi sana
@johnmabochela15
@johnmabochela15 7 жыл бұрын
uko vzr all things when you talking is true
@jeremiahmasunzu3437
@jeremiahmasunzu3437 4 жыл бұрын
Separation of power ...haipo🙏🙏
@lovenessgoodluck3486
@lovenessgoodluck3486 7 жыл бұрын
Bg up heche
@charleslaizer1749
@charleslaizer1749 6 жыл бұрын
Big up sana Mh Heche
@wilbardmussa8232
@wilbardmussa8232 7 жыл бұрын
Safi sana Heche, nakupongeza sana
@brownmshan2629
@brownmshan2629 7 жыл бұрын
Asante heche!!
@moudkinjiki9842
@moudkinjiki9842 4 жыл бұрын
Sema tata heche
@godfreymashana6111
@godfreymashana6111 7 жыл бұрын
umeongea point kabisa baba
@mtakitibezuka9604
@mtakitibezuka9604 7 жыл бұрын
heche uko sawa tuko pamoja ngoja 2020 kitaeleweka 2 waache wataipenda wenyewe
@anozacha611
@anozacha611 6 жыл бұрын
👊👊👊👊👊👊👊👊
@chancemtitu1852
@chancemtitu1852 6 жыл бұрын
Mi CCM lakin nimekuelewa mheshimiwa umeongea poiint🙋
@faridmobji
@faridmobji 7 жыл бұрын
Awakukosea kukuchagua big up
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 5 жыл бұрын
Heche oyee
@nathanmapunda1052
@nathanmapunda1052 5 жыл бұрын
Nakuelewa sana mzee baba
@sebastianmmary7040
@sebastianmmary7040 5 жыл бұрын
asante chief
@hamisimwilola3220
@hamisimwilola3220 6 жыл бұрын
nice heche man of people
@TitusNiwemugizi
@TitusNiwemugizi 7 жыл бұрын
Hilo suala la airport umeongea point sana. Spidi ya ujenzi na utaratibu uliotumika inaacha dukuduku sana
@michaelmuchomerson2658
@michaelmuchomerson2658 5 жыл бұрын
Good bro.
@renatusmgina4003
@renatusmgina4003 7 жыл бұрын
God ukwel husmama daima
@ndikumanakalenzo2440
@ndikumanakalenzo2440 7 жыл бұрын
duuuuh haya bhana
@jasminasha9551
@jasminasha9551 7 жыл бұрын
Asante sana kwa kutusemea Yaani inauma sana tunazidi kuwa maskini kwa bomoa bomoa serikalini inatuumiza sana
@kato_tz
@kato_tz 7 жыл бұрын
Duh bro umeongea Fact, Narudi darasani kusoma uchumi sana sana topic ya DD & SS VS Economic Development bila kusahau Market segmentation/Niche
@erickchikawe9109
@erickchikawe9109 7 жыл бұрын
Uko sawa kamanda
@johnsonbagambi1908
@johnsonbagambi1908 2 жыл бұрын
Hapo tatizo sio shule unafik,kujipendekeza,kutojiamin na uzwazwa wasomi nchi hii ndo changamoto
@petermwandenuka3711
@petermwandenuka3711 6 жыл бұрын
Moja kati ya wabunge wanaoniinspire ni John Heche, hajawahi kuwa muoga kusema kweli.
@brianbrayoo1590
@brianbrayoo1590 7 жыл бұрын
Positive thoughts
@kelvinalex5644
@kelvinalex5644 7 жыл бұрын
wanyonge wataeleweka tu na Kiongozi wao ,
@pauljohn3321
@pauljohn3321 5 жыл бұрын
Mh,heche msema ukwel mpenz wa Mungu,simamia ukwel
@lovenessgoodluck3486
@lovenessgoodluck3486 7 жыл бұрын
Kweli kbsa heche ya ukweli ongea baba no uoga ila ksho utitwa htiana
@anozacha611
@anozacha611 6 жыл бұрын
👍👍👍👍👍👍👍👍👍
@paulojosephy6338
@paulojosephy6338 7 жыл бұрын
Axante xana heche wapasue
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 6 жыл бұрын
Ukweli unauma wakitingwa ni tarifa taarifa taarifa. Hovyooo!
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 5 жыл бұрын
Painful truth
@thadeipeter2592
@thadeipeter2592 7 жыл бұрын
Ukweli mchungu.ambao mzalendo yoyote lazima aupongeze.
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 6 жыл бұрын
Daaaaa hii issue ya Uwanja wa Ndege mimi pia cjajua kwa nini imekua hivyoo!!! Daaaaa hii INJIii
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 жыл бұрын
Mhe Heche tunakuelewa baba
@danielhasunga8740
@danielhasunga8740 7 жыл бұрын
nitakitunza kitambulisho changu cha mpiga kula
@hanzunimgogoro5722
@hanzunimgogoro5722 5 жыл бұрын
Upo uzuri kaka
@vickypoul9117
@vickypoul9117 7 жыл бұрын
Safiiii baba umeongea
@nestokisima5193
@nestokisima5193 5 жыл бұрын
Unatutetea sana watanzania ila tatizo ni kwamba unaowatetea hawajielewi
@nkwabimayunga473
@nkwabimayunga473 7 жыл бұрын
100%nakuunga mkono kila jambo jema lipimwe kwa fainda ya watanzania wote bila kujali rangi yake au chama alichotoka kazi bila mipango hovyo watanzania weye hali ngumu wanayaona kwa macho
@jonaslameck1563
@jonaslameck1563 6 жыл бұрын
Amina...na shule jamaa ipo
@jonaslameck1563
@jonaslameck1563 6 жыл бұрын
Nakuunga mkono 100%
@jonaslameck1563
@jonaslameck1563 6 жыл бұрын
Et taarifa taarif hovyoooooooooo
@anozacha611
@anozacha611 6 жыл бұрын
👍👍👍👍👍👍👍👍
@chongenyambarya2538
@chongenyambarya2538 6 жыл бұрын
Uko sawa imekubalika mtoto wa sikuda
@mariammobeto5512
@mariammobeto5512 4 жыл бұрын
Daaaaah tatzo wa2 wanapigwa sas me nmechok hta kupiga kura
@godypatrick6485
@godypatrick6485 6 жыл бұрын
Unaongea ukwer sana good kamanda
@chrismassawe326
@chrismassawe326 7 жыл бұрын
upo sawa mbunge
@fazeelshomary8743
@fazeelshomary8743 7 жыл бұрын
1000% fact
@macgeorge7693
@macgeorge7693 6 жыл бұрын
Selikali hii itoke madalakani hata Kwa nguvu absult nchi imeozaaa itoke tu selikali hii afai
@neemayo4693
@neemayo4693 4 жыл бұрын
Jamani tatizo sio chama tunaangalia ukweli na kazi
@abbamohamed6302
@abbamohamed6302 6 жыл бұрын
nakuunga mkono kwa asilimia zote ndg yng heche maana km 185 cyo padogo
@jacquelineboazy4641
@jacquelineboazy4641 7 жыл бұрын
Nyie Ccm tukutane 2020
@greensky9607
@greensky9607 7 жыл бұрын
Jacqueline Boazy tutakutana, sijui mna kitu gani cha kuwaambia wananchi kuwa mmewafanyia zaidi ya kuropoka hovyo na kuongozwa kwa matukio, ila CCM inayo mengi tu ya kusema mbele ya jamii, mfano kuubadili muonekano wa mji wa mbeya kwa barabara Safi na zenye kuvutia ambazo sugu aliwadanganya wananchi mbele ya Waziri mkuu kuwa ni jitihada zake pamoja na meya, bila ya kusahau na bukoba ambapo kama kawaida yenu rwakatale naye akasema ametafuta pesa wakati ni Serikali iliyopeleka fedha za kusimamia ukarabati wa miundombinu, Niishie hapa sababu najua wajua kuwa CCM imefanya meeengi ndani ya miaka 2
@jacquelineboazy4641
@jacquelineboazy4641 7 жыл бұрын
Mtanzaniahalisi 2910 kwan hƙo mɓy mnaongozwa na mbunge gan?? Halaf ss hatupoƙei kodi za wananchi hatuwez fanya kitu zaid ya kuihimiza serikali ifanye kama wananchi wavotaka na ndo maana pamoja na kwamba hatujafanya kitu ila ni watetez wa wananchi upinzan na ccm mnatetea serikal so wananchi!!
@mokhimji
@mokhimji 7 жыл бұрын
Hamna cha CCM wala CHADEMA! Watanzania kwa ujumla tumekosa Uzalendo! Sekta ya Elimu tumeidharau kwa miaka mingi na tunaendelea kuvuna matunda mabaya. Tunajaribu kuiga Utamaduni ya Maghribi na tunajisahau wenyewe. Tunahitaji Raisi ambae ni Mchapakazi kama JPM (bila Ubabe) na ambae ni Mnyenyekevu kama JMK (bila Commission)
@shidaseleman7922
@shidaseleman7922 7 жыл бұрын
daah kwel aiseee
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 5 жыл бұрын
MUNGU BARIKI HECHE NA WA BUNGE WOTE WA UPINZANI KWA JINSI WANAVYO TUTETEA WA TANZANIA! HECHE UNAONGEA MPAKA MA CHOZI YANANITOKA.MUNGU AKUBARIKI HECHE!!! Freedom is coming tomorrow! !!!
@mbogomagembe6318
@mbogomagembe6318 7 жыл бұрын
tunataka wabunge kama hawa wanaongea ukweli ,kuliko kupeleka wabunge kama mbunge was bunda vijijini boni ketele yeye alienda kutafuta hela tu
@santibaniusabdy8857
@santibaniusabdy8857 5 жыл бұрын
Heche kumbuka tulipokatana mapanga kipindi kile tukiwa warisya mimi ndo nilikupa huo ujasiri wa kuwapasua vichwa akina wazir mpango
@fantmpango5506
@fantmpango5506 7 жыл бұрын
Kuna nyumbu niliskia inaomba taarifa, ccm mtuonee huruma tumechoka mbona mh heche kaongea fact tupu?
@crianussyliacus1995
@crianussyliacus1995 7 жыл бұрын
Yani zahanati ya kwetu ukienda unapenda panadol ata vipimo hamna
@matikosillamunanka9987
@matikosillamunanka9987 7 жыл бұрын
Hahahaha Safi
@johnrogath1066
@johnrogath1066 6 жыл бұрын
Daaaaah so sad why this shits happening jmn
@joshuamkali4598
@joshuamkali4598 5 жыл бұрын
kwakweli kunavitu vinaendeshwa kiimla nakuwafanya Watanzania hawayaoni. alafu viongozi waandamizi wamejaa kujipendekeza mpaka wanatia aibu wanasahau kwamba kesho yaja na watakuja kuwajibika mbele za Mungu na kwa Watanzania
@onesmolwambano9349
@onesmolwambano9349 7 жыл бұрын
millard mbona umekata hapo kwa mobutu
@erasmusnzibonela5151
@erasmusnzibonela5151 6 жыл бұрын
2020 wakitaka kujua watanzani tumechoka polic wasisimamie kula ili waone
@abdulkalimbenz7011
@abdulkalimbenz7011 2 жыл бұрын
Kwa nn usigombee uraisi
@abdallahshaaban1539
@abdallahshaaban1539 7 жыл бұрын
Dah!umenena kweli mkubwa kuna watu wanateseka humu duniani mpaka wamekata tamaa na maisha mpaka machozi yanakudondoka ukitazama inasikitisha sana hayo maneno mazito
@amirmotors9735
@amirmotors9735 6 жыл бұрын
hospital hazina dawa juz tu nimempeleka mama hospital bomba na dawa zakuchomea tumeambiwa tukanunue
@fantmpango5506
@fantmpango5506 7 жыл бұрын
Hizo billion wangekopesha mabenk nasi zingetufikia tu, sasa uwanja chato halafu kinyemela watanzania hatujui kupitia bunge. Kweli wajinga ndiyo waliwao
@delebm543
@delebm543 7 жыл бұрын
semeni tu msiogope
@mkmtepah9376
@mkmtepah9376 7 жыл бұрын
nisawa kabis
@JoyceGeorge-qv4ck
@JoyceGeorge-qv4ck 6 жыл бұрын
chademe oyeeeeeeeee
@julianusnambert2237
@julianusnambert2237 6 жыл бұрын
bora uwe rais
@erickmsuha1390
@erickmsuha1390 6 жыл бұрын
serikali ikifanya vizuri lazima tuseme,pesa za dawa zinaletwa,tuishauri serikali ituongezee bajeti ya kununua dawa maana 33% ya bf ni ndogo sana kwenye manunuzi ya dawa.
@ferdinandnkamu8638
@ferdinandnkamu8638 7 жыл бұрын
Wananchi tunafahamu hiyo ni Kampeni ya KATA FUNUA inayoendeshwa na watumishi wa umma ambao wameshawishika kuitekeleza kwa kutengeneza mazingira ya kwafanya wananchi kuichukia serikali.
@jonaslameck1563
@jonaslameck1563 6 жыл бұрын
Kuna nyumbu et anasema taarif ..hovyo kabisa yanafata mkumbo tu ...tunakuelewa heche
@mwitereginakimbwi4924
@mwitereginakimbwi4924 7 жыл бұрын
kama mobutu na zaire yake
@ishivamgimba3672
@ishivamgimba3672 5 жыл бұрын
Hii serikali ya ccm nimbovu sina na sijahi kuona serikali kama hii kule mbarali wakulima wa mpunga mwaka juzi waliuza junia moja la mpunga sh,100000 mpaka 120000 leo hii junia moja la mpunga linauzwa 40000 mpaka 50000 nadhani utaangalia afu pima na wanasema hii niserikali ya wanyonge
@mulyainternationalmediakay679
@mulyainternationalmediakay679 5 жыл бұрын
Ok
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 7 жыл бұрын
hivi huyu serikali ni nani? maana nina hasira nae haswa
@salummaige3206
@salummaige3206 4 жыл бұрын
Mjinga wewe tulia
@gaspermassawe7397
@gaspermassawe7397 7 жыл бұрын
Mh .Huko vizuri sema tu NI kwamba MAJINGA YA KUSHANGILIA KILA KITU HAYAWEZI KUKUELEWA,stupidities
@greensky9607
@greensky9607 7 жыл бұрын
Gasper Massawe na majinga ya kutokuelewa yatamshangilia heche
@sadaramustafa8401
@sadaramustafa8401 6 жыл бұрын
Mtanzaniahalisi 2910 we ndo mjinga mkubwa
@anozacha611
@anozacha611 6 жыл бұрын
Kweli kabisa👍👍👍👍👍
@goodluckstepheny582
@goodluckstepheny582 6 жыл бұрын
Talime heche ni madini msimpotezeee
@khamisdaima1455
@khamisdaima1455 6 жыл бұрын
Huyu mbunge yupo sawa
@dracsonbreuzy1745
@dracsonbreuzy1745 6 жыл бұрын
Heche katoa hoja nzuri sana ila inabidi next time muwe mpost na majibu,maana ss kusikiliza hoja za upande mmoja bila kujua upande wa pili haitusaidii kujua clue ya kinachoendelea.
@andrealevayo6161
@andrealevayo6161 5 жыл бұрын
safii sanaa
@mashaallahmashaallah1658
@mashaallahmashaallah1658 3 жыл бұрын
Jembe la msoma
@johnsonbagambi1908
@johnsonbagambi1908 2 жыл бұрын
Mtaniiiiiiii
@onesmolwambano9349
@onesmolwambano9349 7 жыл бұрын
nchi ishakua ya kifalme bashite ndio mtoto wa mfalme hamna jinsi tutafika tu
@wangwemseti9758
@wangwemseti9758 7 жыл бұрын
Sisi tunataka utusemee matatizo yetu ya tarime vijiji hasa upande wa miundo mbinu barabara za rami Watu wa kule gibaso murito na bhuregha tunateseka na barabara halikadhalika nyamongo vijana hawana ajira pamoja na Dhahabu kutoka huku Maji ni shida tusemee sisi tuliokuchagua achana na mambo ya chato mura
@gambaryekumwita2619
@gambaryekumwita2619 5 жыл бұрын
Yani hata kma mm n ccm hapana inauma ukweli mtupu
John Heche aongea yote kuhusu kutishiwa usalama wake
13:27
Millard Ayo
Рет қаралды 78 М.
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,5 МЛН
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 46 МЛН
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,9 МЛН
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,5 МЛН
HECHE AUCHAMBUA MPANGO WA MAENDELEO 2019/2020, ATUPA VIJEMBE KWA DK MPANGO
9:40
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 312 М.
HECHE ATOA YA MOYONI, AKERWA NA UKIUKWAJI WA UTAWALA BORA
7:34
Mwananchi Digital
Рет қаралды 57 М.
Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'
17:29
Millard Ayo
Рет қаралды 379 М.
VITUKO vya MBUNGE BWEGE,  AMEANZA UPYAAAA, SPIKA Hoi, Awalipua CCM..
13:52
Global TV Online
Рет қаралды 488 М.
"Tusinunue Ndege Kama Tunanunua Machungwa" - JOHN HECHE
4:51
Global TV Online
Рет қаралды 279 М.
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,5 МЛН