Hii ni gari aina ya Raize ya mwaka 2022 kutoka Toyota. Ni gari la Hybrid na Petrol. FAHARI MOTORS (T) LTD / faharimotors_sales wamefanikisha mchongo huu mzima.
Пікірлер: 158
@rahimaidd11 ай бұрын
Ungekuwa vizuri kila unapotangaza gari ungekuwa unaweka bei ili iwe wepesi kwa wazamaji wanunuzi
@peninashungu663310 ай бұрын
Kama mm nataman Gari Nina M2 tayari
@fallykhan238311 ай бұрын
Saut imechanganyika na upepo so jitahidi video nyingine utakayofanyia nje uwe makin kweny saut. Vinginevyo kua unaingizia saut kwa mala ya Pili studio❤
@sebatech395111 ай бұрын
Asante kaka Snash nime furahia sana
@outzone6611 ай бұрын
Location nzuri. Ila maudhui yamerushwa na noise(sound) distribution, pia camera cloud (sky) distraction. But umejitahidi
@Kim36078 ай бұрын
Mbona huja taja bei ya toyota Raize #snash ume tisha
@sydneymdindile480411 ай бұрын
Sio kweli kaka fanya utafuti zaidi watu tunaelewa
@UWESUHMADY10 ай бұрын
Kaka kama kweri up tayali kuifanya iyo kazi basi tafuta maiki nzuri ili weze kusikika ❤❤❤
@christopherongenga767610 ай бұрын
100%
@absonfungo509111 ай бұрын
asante bei yake mkuu
@kawanga007311 ай бұрын
Gari moja kaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏👏
@barakamateru761511 ай бұрын
Hii gari nilitaman saana kuijua ...and I love it
@jibririjamshidi11 ай бұрын
Upo sahihi sana mzee nakukubari sana
@snashtz11 ай бұрын
🙏🏽
@Kim36078 ай бұрын
Snash upepe sisi sikii vizuri
@princemosha456611 ай бұрын
Upepo snash tumia Adobe Podcast ina AI mzuri Sana. Wa kupunguza noise hizo
@beberu2911 ай бұрын
Snash kaka naomba nipe review ya move moja ya BIRD Box BARCELONA please
@samigofute11309 ай бұрын
Gari kali sana
@Maxpaul-oi8pw10 ай бұрын
Inauzwa bei gan
@Matatasaid11 ай бұрын
Sawa
@benjaminchengula867411 ай бұрын
Mnaweka namba tukipiga hazipokelewi je nikiagiza hamtapokea sm miaka mingapi??
@erickbabu440410 ай бұрын
Bei gan
@eizerbitz671511 ай бұрын
Kuna upotoshaji baadhi ya maeneo. Hada hizo KM si kweli
@HashimMbamba-zl1in11 ай бұрын
Jaribu kutuwekea bei ili tupate movition ya kununua na ss tujue kiwango Cha mifuko yet......lakin tumia mic unapo record upepo una fanya usisikike vzur
@percivalmkanyia649410 ай бұрын
Nimeingia Google nimeona kiasi hicho cha mafuta si kweli
@user-oq6sh8qh5g11 ай бұрын
Nipe bei
@patrickKitambo11 ай бұрын
Hii ninayo mim daihastu rocky ya 1995 gari nzuri sana
Watu wengi tunapenda kujuwa bei siyo maneno mengiii
@mwesigwambeikya361211 ай бұрын
Brother tunaomba review ya Mitsubishi outlander
@lusajomoses70097 ай бұрын
Habari kaka, hili gari ni kiasi gan cha pesa?
@shedyclever901411 ай бұрын
Gari Kali mno. Tatzo ndan plastic nying inafanya gari inakuwa inaingiza saut za nje ata kama umefunga vioo🤔
@dausonnelson412511 ай бұрын
Tatizo Upepo mwingi aisikiki vzr
@godfreylasway145011 ай бұрын
Bei
@ommymwamba10 ай бұрын
Snash watu wa android umetuchukuliaje lkn
@MartinDavid-yt3nz11 ай бұрын
Itakuwa bei mbaya
@daudimanjeleza241611 ай бұрын
Hii kila kitu kama Daihatsu Rocky mpaka muonekano
@joelmutagwaba2559 ай бұрын
Ni gari hiyo hiyo, toyota wakiiuza ndio inakuwa inaitwa toyota raize. Ila design na utengenezaji ni daihatsu rocky.
@jakembazi11 ай бұрын
Umeua mkuu
@emmanuelchiza773311 ай бұрын
Gari ya mwaka 2022 aina android radio!!!!!?????????????
@abrahamkaksi304010 ай бұрын
Video sauti mbaya haijatulia Kwanin usitafute sehem nzur ili ufanye revew ikawa na saut nzur
@user-oe8ee5tw7l11 ай бұрын
Ni bei gani Injinia
@francolazaro864611 ай бұрын
Sasa we Mtangazaji... USB na typ C hujui tofaut yake 😁 😁 😁.... USB ni USB lakin typ inategemeana na wew unatmia typ ipi... USB typ c... USB typ iphone... USB typ smart........ Sas wew unasema kwann ety wameweka USB badala ya typ C 😂😂😂😂
@habililailo27111 ай бұрын
Ujasema inauzwaje
@abdallahabibu834011 ай бұрын
Labda ni IST iyo
@chrizostomchristian188411 ай бұрын
Weka bei
@BenLeeBl10 ай бұрын
Sikunyingine tafut sehem isiyo na upepo
@solomloganzala67811 ай бұрын
Naiitaka hio gari
@user-rp2yq4il6u11 ай бұрын
Price plz
@saidallysaid798111 ай бұрын
28km/l sio 40km
@victorcephas361811 ай бұрын
Muwe mnaweka bei
@flackomasterbaddest415510 ай бұрын
Toyota = takataka
@thomasshebila7218 ай бұрын
Dollar ngapi gari hiyo!
@LoemaGwaltu3 ай бұрын
Hiyo sh ngapi?
@richardnganya231111 ай бұрын
Nchi hii uongo unatamalaki !!
@bakarykijazi29311 ай бұрын
Kwakuwa wabongo hatuna akili,bas tutakuamini tu maana hata pikpk ukitia robo Lita utaenda kilomita 100 zipo
@miltonjohn977911 ай бұрын
Sema wewe ndio huna akili
@testmyphone130511 ай бұрын
duh inamana hata tank la mafuta likiwa na harufu ya petroli gali linaweza kuenda 😂😂😂😂😂
@daudjohn75211 ай бұрын
😂😂 sure
@teamallyracing178011 ай бұрын
Mhhhhh kweli
@KennethKonga-gb9hm11 ай бұрын
Jalibu kubalanc upepo
@libeberu11 ай бұрын
Huu ni UONGO kweupeeee. Hata bajaji haifiki 40km kwa lita
@seifsaud11 ай бұрын
Sio ukweli mimi naitumis inakwenda km 22 kwa Lita sio 40
@hurumasaimon365111 ай бұрын
Ulinunua Bei gani
@prospersanga794211 ай бұрын
Na Ni ya mwaka gani? Hiyo ya kwako ya litre 01 per 22 km
@abdulngonyani810411 ай бұрын
Ukiwa unafuta alichoandika manufacturer kuhusu fuel consumption na utakapokuja kutumia hiyo gari utakua very disappointed. Anachokiandika manufacturer ni test ya kwenye lab with very special conditions ambazo wewe hautaweza kuzifikia, ndio maana mtengenezaji anakuambia gari hii inaenda 25km per litre lakini ukijakutumia wewe ni 10km per litre . Kwahiyo usiwe una google huko na kuja kutuambia 40km per litre
@Kimjongun499611 ай бұрын
Tuwekee bei bhana,mbona km unatutamanisha sasa tupe bei.
@johnkessy602311 ай бұрын
Bei ya Raiz hujagusia
@user-qf3so2qk6l10 ай бұрын
He bei yake?
@officialtrojanhorse11 ай бұрын
Usb and type c 😢 what's difference
@mcvirgomleziofficial11 ай бұрын
😂😂😂
@dennisevarist11 ай бұрын
USB A na USB C au USB type A na USB type C. Hii USB A ndio hii watu wamezoea kuitaja tu kama USB ila ina type yake ambayo watu wasiozifuatilia hawazijui. Hivyo unapomueleza mtu unasema tuu USB na type C ili mbongo akuelewe
@ridhwanshuma785811 ай бұрын
Now days kuna type C to type C ndicho alichotaka kueleza. Tumezoea Usb port to type A au ile ya usb port to type C
@benjaminyakobo779211 ай бұрын
Nimekubari shingapi
@naseebjoseph533011 ай бұрын
Mbona leo kuna noise
@jojigeorige105611 ай бұрын
Chuma ni Daihatsu Rocky kitu kinanusa tu wese...
@patrickKitambo11 ай бұрын
Mim ni nayo ya mwaka 1995
@firemototv373511 ай бұрын
Umezingua hyo vdio kabla hujatuma ungekagua huo upepo hatukuelewi
@snashtz11 ай бұрын
Pole sana
@fidelfidel-jz4iw11 ай бұрын
Sasa wewe upo kwenye matangazo bado kelele yani hata kujua nini maana tangazo la biashara.
@BonnyMwajombe-iu7hb10 ай бұрын
Hakuna gar inaenda km 40 kwa lita fala wewe
@amrozwhite107311 ай бұрын
UPEPO UNAZINGUA HATUKUELEWI HM NAKUPENDA KUKUSKILIZA TU MANA PESA YA KUNUNUA SINA
@snashtz11 ай бұрын
Pole
@husseinhatib587511 ай бұрын
Snash upepo unazingua
@solomondanny-150711 ай бұрын
Bei gani dogo?
@mwishobeatz479411 ай бұрын
Aah boss unadamganya Sana Toyota Raize 1.0 turbo inaenda 22km per L.T Na 1.2 G inaenda 24km L.T. Na Town 1.0 turbo 10km L.T Na 1.2 G Town itatumia 12 L.T.
@donnieblasto231511 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 anatulisha matango pori
@mwishobeatz479411 ай бұрын
@@donnieblasto2315 Yuko sawa ni mess kidgo tuu Namkubali sana @snash tz
@edlumala942811 ай бұрын
Dogo afanyi tafiti kabisa! Anaongea sana bila data
@dennisjulius113611 ай бұрын
Lbd lita moja ya oil na sio petrol
@rogershaule678511 ай бұрын
Hizi gari kuna ambazo Fuel type ni Hybrid(Petrol), kwahiyo zinaweza zisifike hiyo distance kulingana na uendeshaji lakini normally ni 25 to 30 kilometers per liter. Pia kumbuka zipo za 4WD(tegemea High fuel consumption) and 2WD(Low fuel Consumption).
@kasimjuma664910 ай бұрын
bei Gani wewe
@jeremiahmwanyanje501211 ай бұрын
upepo mwingi kk kunavitu vingi atujakusikia
@snashtz11 ай бұрын
Pole Kwa tatizo hilo
@PENTESTING12211 ай бұрын
kaka nimekusikiliza kwa makini sanaa ila ulivoongelea HIJACK aseeeee idris elba apewe heshima yake tu ,a person using Negotiation to solve terrorism hahahaa😂😂😂
@snashtz11 ай бұрын
😂😂😂
@yoramlusinde316611 ай бұрын
Unasifia gar au unauza
@sadikimwalongo787111 ай бұрын
Sema bei?mkuu
@izzytv.716911 ай бұрын
MBONA MAIKI YAKO INA NASA UUPEPO VP? MKUU HAIVUUTII
@godsonandwele526511 ай бұрын
Gari kali afu haina BEI huu ni Upumbavu..mnatafuta followers tu nyie😯😯
@Memphisblue2282211 ай бұрын
usb........ type c 😂😂😂😂😂
@mohamedkitemwe356911 ай бұрын
Kwa mm mchumi inanifaa
@hilalymunisy76211 ай бұрын
🤣🤣mchum unatolea wap hela zakununua hii gar
@ellymlay926611 ай бұрын
Kuhusu Bei, next time utupe na Bei na je? Sisi tunaishi uswazi vijijini Huku Hiyo gari Ina 4wd au Ni gari ya kwenda kula Bata tu?
@paschalkiniofficial12311 ай бұрын
Hii ni cc ngapi mzee
@rademm892411 ай бұрын
990
@johnkessy602311 ай бұрын
Bei ya kuanzia dokeza Basi nipo Dodoma
@snashtz11 ай бұрын
Tupigie simu +255 756 445 759
@thomasmweupe224511 ай бұрын
Unafeli kitu kimoja hausemi bei
@husseinyunus29811 ай бұрын
Uongo mtupu
@timobrownfighter11 ай бұрын
Kaka nini maana ya SUV
@fidahkileo30611 ай бұрын
Super Undery vehicle
@waltertesha331211 ай бұрын
Sport utility vehicle (SUV) kama sijakosea😊
@snashtz11 ай бұрын
Sport utility vehicles
@lastkinglastking332611 ай бұрын
@josephleonard-78ndio Nini Sasa.kingeleza kwetu Bado sana kaka
@prospersanga794211 ай бұрын
Unayesema sio kweli haitumii kiasi hicho Cha mafuta, ya kwako Ni gari ya mwaka gani?
@jackmabirangacharles939811 ай бұрын
Huyu anaongopea kwenye ulaji wa mafuta sikubaliani naye kabisa