HII HAPA SABABU YA DUALIS KUWAKA MOTO, MZIKI MKUBWA, TAA ZA UREMBO

  Рет қаралды 21,826

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 68
@gayanimwansasu
@gayanimwansasu 3 ай бұрын
Nikweli kabisa mafundi wengi wanajua kutazamia sio kujua jambo
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 11 ай бұрын
Mimi wa pili kucomment mamae
@ItzJerrywrld
@ItzJerrywrld 11 ай бұрын
Jua kali 😂😂
@omarysaid8725
@omarysaid8725 11 ай бұрын
Hapa kwenye hizi gari injinia alitupiga sana na alitengeneza hii gari chini wa kiwango
@DerickNgowi-mf5pe
@DerickNgowi-mf5pe 11 ай бұрын
Hizi gar za duals zinaungua sana nimeshuhudia tatu
@saidrashid1047
@saidrashid1047 11 ай бұрын
Nitanunua Leyland
@wakililusubilo4706
@wakililusubilo4706 11 ай бұрын
Imekaa kibiashara sana hii,😂😂
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 Ай бұрын
Yana mwonekano mzr lakini sasa kuungua huko siwezi jiingiza mkenge
@FredyVincent951753852456
@FredyVincent951753852456 11 ай бұрын
Tatizo watu hawasomi manual ya gari😎
@Mukhusin02
@Mukhusin02 11 ай бұрын
Huyo jamaa wa BM hakujibu maswali kitaalamu, yeye ameangalia zaid kwenye kujitangaza, kwani IST, PRADO, CRUISER, HARRIER, N.K kwani wao hawafanyi modification!!? Fundi ndo katoa technical lakini bado hailizishi maana kwa nini iwe kwa Dualis zaidi.
@MujuniKamugisha
@MujuniKamugisha 11 ай бұрын
Kama hailizishi toa wewe sababu zako
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 11 ай бұрын
Mafundi wetu wamezoea kufanya wiring za Toyota. Ni kama vile fundi aliyezoea kufanya wiring za majumbani ukimpa kazi ya kufanya wiring umeme wa viwandani lazima apate shida.
@Jameskaguo
@Jameskaguo 11 ай бұрын
pia inaweza kua fuel leak
@godfreymartine5857
@godfreymartine5857 11 ай бұрын
jamaa wa kwanza muongo sana atleast fund kidg
@basekekasusu3186
@basekekasusu3186 11 ай бұрын
Kwan crown hazifungwi music mbona zenyew haziwaki na kwann zina matukio ya kufanana zote
@herrwin.
@herrwin. 11 ай бұрын
ukweli umefichwa, sijui why!!!.. tatizo hapa ni engine kupata joto sana, angalau yule alisema nunua gari kuanzia 2010, maana before hapo ndio zinaongoza kuwaka moto, ila za 2010 na kuendelea, nissan walijitahidi kuzirekebisha.. ( kama unayo ya miaka ya nyuma, unashauriwa ununue after market engine cooler na utamaliza tatizo kabisa) ..
@mussamayawa817
@mussamayawa817 11 ай бұрын
Ila umeogea ukweli kabisa engine za sasaiv sio nzuri sana
@rashidabdallah5825
@rashidabdallah5825 11 ай бұрын
Ukweli ambao hawaisemi ni kua,hizi gari hazijaundwa katika specification za huku kwetu,watanzania tunanunua gari bila kuangalia ni specification gani,mfano katika nchi za jangwa gari zao zina tofauti kabisa na gari zingine zinaitwa gulf specification vehicles,huku kwetu mradi gari ina umbo zuri tunanunua tu
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 11 ай бұрын
Acha uongo...yaani choto la engine ndo lifanye Gari iwake moto? Are you serious?
@rashidabdallah5825
@rashidabdallah5825 11 ай бұрын
@@tanzaniacarschannel6975 choto ndo nini
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 11 ай бұрын
Sema tu elimu ya umeme nadhan kwa mafundi wa Tanzania ni shida
@DerickNgowi-mf5pe
@DerickNgowi-mf5pe 11 ай бұрын
Jibu unachoulizwa.....dada angu kabisaaaa gar yake kama hii imengua
@josetobiasimwashangwa3903
@josetobiasimwashangwa3903 2 ай бұрын
Bado hujajibu mbona zingine zinafungwa na haziwaki
@experienceafrica6905
@experienceafrica6905 11 ай бұрын
Fundi maiko😂
@JUSTNEMITOMINGI
@JUSTNEMITOMINGI 11 ай бұрын
Wabongo wanazihalibu
@josetobiasimwashangwa3903
@josetobiasimwashangwa3903 2 ай бұрын
Huyo bado hawezi kujibu
@yusuphkidoto6766
@yusuphkidoto6766 11 ай бұрын
Mbona zingine haziwaki na tunafunga mizki minene atar
@everistmayunga4891
@everistmayunga4891 11 ай бұрын
Huyo fund umeme muongo,fuse inapokuwa overloaded inadisconnect(inakata) sasa hapo inasababisha vipi wire kuungua
@meshack3266
@meshack3266 11 ай бұрын
Izo gari zinashida nyingine wala sio mziki au vitaaa
@EsterJaphet-p4m
@EsterJaphet-p4m 11 ай бұрын
Hajui kitu huyo. Yaani hata chembe hajui.
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 11 ай бұрын
Hapo umelenga biashara tu
@joaquimmasengwa1283
@joaquimmasengwa1283 6 ай бұрын
Jibu swali na siamelezo. Umeulizwa ni wateja wangapi wamekupigia kuwa maga yao ysmeungua moto?
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 11 ай бұрын
Vighal vinaghalama
@innocentchuwa5269
@innocentchuwa5269 11 ай бұрын
Hilo toleo linashida ndiomaanda kampuni ilisitisha kutengeneza
@jospehfabian7856
@jospehfabian7856 11 ай бұрын
Acha kuzingua bhana. mi mwenyew ni fundi unachokiongea hakina maana hata kdogo
@wawerukamau1260
@wawerukamau1260 11 ай бұрын
Huyo ana visingizio vingi. Wire zote za moto (electric) kutoka kwa battery lazima zipitie kwa fuse kwanza. Kazi ya fuse ni kuzuia short kabla wire hazija chemka
@denismosha6671
@denismosha6671 11 ай бұрын
Huyo fundi kaongea kuhusu cover ndiyo zinachoma gari hakuna kingine
@taucdulle7460
@taucdulle7460 11 ай бұрын
Hawa jamaa ni matapel wanachukua pesa za watu na gari na stor zinakuwa nyingi….wakishanitapel 4m zangu
@paschalm9849
@paschalm9849 11 ай бұрын
😢Mbona gari zote tunaweka mziki. Dualis ina nini mpaka iungue?
@denismosha6671
@denismosha6671 11 ай бұрын
Huyu jamaa hajajibu swali kwani gari zinazo fungwa Music ni hizo tu
@gordiansoko9113
@gordiansoko9113 11 ай бұрын
Wengine mnao comment hata bajaj hamna acheni uzushi.
@TheBestPhone7918
@TheBestPhone7918 11 ай бұрын
Kwahiyo iwe kwa dualis tu? Zingine wanaweka mbona haziwaki??
@pumarice2710
@pumarice2710 11 ай бұрын
Na kwanini iwe dualis tu?? Magari mengine mbn poa tu, SEMA hizo gari kitengo Cha umeme walifeli bana.
@MujuniKamugisha
@MujuniKamugisha 11 ай бұрын
Leta sababu zako za kitaalamu usiltuletee siasa
@Hopefx_
@Hopefx_ 11 ай бұрын
alicho sema fundi habari ya cover yupo sahihi ni sababu kubwa sana
@meshack3266
@meshack3266 11 ай бұрын
Izo gari zinashida msitudanganye wewe kwan zote zilizo ungua zote umeambiwa zilifungwa mziki
@zainabwage4658
@zainabwage4658 11 ай бұрын
😂😂😂
@king_maik6375
@king_maik6375 11 ай бұрын
😅
@Revocatus-e6k
@Revocatus-e6k 11 ай бұрын
Mbona mengine hayajafungwa mziki na hayaungui?????😮
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 11 ай бұрын
Mbwa huyu anataka kuzitetea ili auze kwa sbb naona hapo anazo nyingi zitadoda
@usercabal
@usercabal 11 ай бұрын
Gari isiungue japan ziungue bongo wana zichokonoa alafu hawana ufundi wowote ule
@Gamba81
@Gamba81 11 ай бұрын
Japani ziliungua 30 kwani hujui
@MujuniKamugisha
@MujuniKamugisha 11 ай бұрын
​@@Gamba81Acha kudanganya watu
@emmalyanga3726
@emmalyanga3726 11 ай бұрын
Gamba muongo aseeew😂​@@MujuniKamugisha
@Gamba81
@Gamba81 11 ай бұрын
@@MujuniKamugisha 🤣🤣🤣🤣 weeee nayeeee
@Gamba81
@Gamba81 11 ай бұрын
@@MujuniKamugisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣weeeee nayeee
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 11 ай бұрын
Gari zina matatizo hizo kwanini toyota nyingi hazina mambo ya ku ungua ovyo 😂 Nissan ni gari mbovu
@habibnjowele7751
@habibnjowele7751 11 ай бұрын
UMESHAWAHI KUJIULIZA HIZO NISSAN TUZADAI MBOVU HUKU MBONA JAPAN NA ULAYA NORTH AMERIKA MBONA SIO MBOVU ? NA HUKO MBONA HAZIUNGUI! INAHITAJI KUFIKIRI ZAIDI BADALA YA KUSIKILIZA MANENO YA MITAANI! KWA JAPAN NISSAN NI YA PILI KWA KUZALISHA MAGARI NYUMA YA TOYOTA NA KIDUNIA NISSAN NI 6 KWA KUZALISHA MAGARI MENGI ! FUATILIA UTAJUA
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 11 ай бұрын
Hapo umelenga biashara tu
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 11 ай бұрын
Hapo umelenga biashara tu
УЛИЧНЫЕ МУЗЫКАНТЫ В СОЧИ 🤘🏻
0:33
РОК ЗАВОД
Рет қаралды 7 МЛН
Sigma girl VS Sigma Error girl 2  #shorts #sigma
0:27
Jin and Hattie
Рет қаралды 124 МЛН
CAR REVIEW WITH MY WIFE | DUALIS OR XTRAIL?
10:47
Terence Creative
Рет қаралды 30 М.
NDARO ATIA AIBU UKWENI AKIWA NA STEVE MWEUSI
8:48
Ndaro Tz
Рет қаралды 490 М.
JIB Digital Skills for the Future
1:00:54
Joint Industry Board - JIB
Рет қаралды 2,2 М.
JINSI YA KUENDESHA GARI WAKATI WA MVUA
15:10
KYANDO MOTORS TV
Рет қаралды 6 М.
Jinsi Dereva anaweza changia ulaji wa mafuta
27:34
ITV Tanzania
Рет қаралды 13 М.