MULOKOZI: SIJAAJIRI NDUGU KABISA,WASOMI WALISHINDWA, NIKIFIKA 50 NASTAAFU,MSG ZA MAPENZI SIJIBU

  Рет қаралды 179,896

Millard Ayo

Millard Ayo

5 ай бұрын

Пікірлер: 653
@peterlujuo1640
@peterlujuo1640 5 ай бұрын
Uyu jamaa hata ukimpora mali zote abaki hana kitu atatajirika tena. Smart, wise, hardworking & God fearing 🙌🏼
@samnkoba1856
@samnkoba1856 5 ай бұрын
Kweli huyu jamaa labda umpe uchiz ila ukimpora kila kitu baada ya mwaka jamaa anakupita tena kwa mawe 😂😂😂😂
@IsaacLameck-nz8yr
@IsaacLameck-nz8yr 5 ай бұрын
God fearing ana piga pombe ?
@peterlujuo1640
@peterlujuo1640 5 ай бұрын
@isaaclameck Kaa apo apo ukidhani wanaokunywa pombe wote hawana hofu ya mungu, nyinyi ndo wale waumini wanakufa njaa kwa kuona biashara flani flani ni za kidunia. Kaa apo apo na ufala wako
@Norahtemu-hj7zw
@Norahtemu-hj7zw 3 ай бұрын
God protect u dear
@MkumboJaphet-yx3jp
@MkumboJaphet-yx3jp Ай бұрын
Kwamba abaki na Ufala wake😂😂😂😂​@@peterlujuo1640
@EmmaKija
@EmmaKija 5 ай бұрын
Mulokozi Mungu akubariki sana Wasomi wengi Tanzania tunachelewesha mendeleo ya nchi Protocol nyingi kichwani lakini action mbov
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 5 ай бұрын
My son will be a next billionaire. Hongera sana kijana, the sky in not a limit.
@patientlazaro6930
@patientlazaro6930 5 ай бұрын
Nimependa sana jamaa anajielewa. Maisha yake ni ushuhuda👌. God is everything
@Official_Evara
@Official_Evara 5 ай бұрын
This guy is so intelligent and real with life! Never seen such a perfect house in East Africa🧢 Big Up sir!
@andrewmziray2233
@andrewmziray2233 5 ай бұрын
Leo nacoment kwa mara ya kwanza huyu jamaa n mtu na nusu. Hongera mulokoziiii
@albertlyimo2812
@albertlyimo2812 5 ай бұрын
Asee Milard Ayo wewe pia uko talented sana,huyo mwamba nimesikiliza mawazo yake sana,amejua kutenganisha elimu yake na maisha halisi,natamani nifike babati nimuone fanya mpango wa appointment mkuu
@ericahajuna1555
@ericahajuna1555 2 ай бұрын
Nimekupata na nimekuulewa Baba Mimi kipindi nimemaliza Chuo Mwaka Jana Nilipofata Kazi Hotel Watu Au Wanafunzi wenzangu Walinicheka But Sasa Hv Wananambia Niwaunganishe Asante Mungu Kwaajili Ya Kila Mtu anaweza kutuelimisha🙏
@MillenMlay
@MillenMlay 5 ай бұрын
Libarikiwe tumbo la mama alie kuzaaa..wanawake msitoe mimba jaman yawezekana wanatolewa watoto kama hawa
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 5 ай бұрын
Hata kama binadam.hatuwez kufanana kuna ataeza jambaz kahaba mweny kama huyo bas ili maisha yaende lazima tutofautiane
@KulwaKisansa
@KulwaKisansa 5 ай бұрын
Ha ha ha 😂
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 5 ай бұрын
Mungu awafanikishe katika hilo la sim , mtaipatia nchi yetu Tanzania heshima na nitanunua sim yako Mulokozi nasubiri
@saysophyfarm1780
@saysophyfarm1780 4 ай бұрын
Mungu amtunze sana huyu tajiri, huyu ni asset katika nchi yetu.
@emanuelherman7029
@emanuelherman7029 5 ай бұрын
Dah Mulokozi huyu mtu siyo wa kawaida fikra zake zinaenda mbali jinsi anavyoishi na watu wa Manyara ni elimu tosha kwa jamii haamini katika ushirikina kabisa mwenyezi mungu aendelee kukubariki pia hongera za dhati kwa Ayo Tv na Millard Ayo kwa kutuletea interview bora kuwahi kufanyika Tanzania tunasubiri Episode ya 5
@sarahmero4561
@sarahmero4561 5 ай бұрын
Aise huyu kaka nimempenda tena namuombea kabisa kwa Mungu alimlinde na kumuongezea hizo baraka,binafsi nimefurahi sana kuona tajiri msomi maana watu washakariri matajiri hawana elimu 😒 this is such a powerful success story aise thank you millard
@ahz6907
@ahz6907 5 ай бұрын
Usomi wake ametumia asilimja chache sana katika kutengeneza utajiri wake...uzoefu wa kazi ndio msingi wake
@hemedmtunguja9788
@hemedmtunguja9788 5 ай бұрын
Kweli kabisa
@kilungukitamu5577
@kilungukitamu5577 5 ай бұрын
Big up brother wafanyabiashara wengi hukwepa Kodi wewe umekuwa mfano 🎉
@kijokombao5345
@kijokombao5345 5 ай бұрын
Safi sana huyu mtu mi nlikua simjui kumbe tz wapo watu wenye hela zao na wametulia tu,hongera sana bro
@michaelmulokozi1512
@michaelmulokozi1512 5 ай бұрын
Na huyo ni muhaya, lkn Hana sifa kama ambavyo inachukuliwa😂😅 kwenye jamii
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 5 ай бұрын
Siku zoteee wat wenye hela hawanaga makelele daima ipo hivo
@ChoroTesla
@ChoroTesla 5 ай бұрын
​@fotunatusimsongole7341 mwijakua ni chizi
@ChoroTesla
@ChoroTesla 5 ай бұрын
​@@michaelmulokozi1512watu wana mawe kimya kimya wametulia tu...... hawa wajinga wajinga wa town ndo wanatuletea tabu km akina makonda.
@chrisskucha6108
@chrisskucha6108 5 ай бұрын
Sasa makonda anahusikaje hapo tatzo unaroho ya wivu mno
@Ilu_tinker
@Ilu_tinker 5 ай бұрын
Millard thanks bro 🙏 hizi ndo interviews za kufunza hustlers in streets, MADINi ni mengi sanaa this is all we need to hear and not motivation speakers wa manyoya hadi kuku miaaa😂💥🔥much respect to u all, Millard & Mulokoz👊🫂next episode please 😅😂
@elicknyega7317
@elicknyega7317 5 ай бұрын
Huyu jamaa ni genius aisee
@user-cd8rc5jp2i
@user-cd8rc5jp2i 5 ай бұрын
Ukiachana na mulokozi, milard ayo nae ni mtu mwenye akili sana. Mtakuja kunielewa baadae📌
@deborakemmy6253
@deborakemmy6253 5 ай бұрын
Basi @millardayo katika interview zako zote hii ni the best interview kwangu narudia rudia yaani!!
@dianajoseph8951
@dianajoseph8951 5 ай бұрын
Ndg Mulokozi hongera kwa kazi nzuri...ni jambo jema saana ila sasa Wahaya mrudi muwekeze Kagera imesahaulika.. umetoa ajira babati bukoba jeeeee???
@idrissaissa5607
@idrissaissa5607 Ай бұрын
Niaje Deborah
@juvenalyfratherne8696
@juvenalyfratherne8696 5 ай бұрын
Aisee sichoki kukusikiliza Mungu wa mbinguni akulinde akutunze ,, uzidi kuwa mnyenyekevu
@zawadibernard8232
@zawadibernard8232 5 ай бұрын
Watanzania tumshukuru Huyu baba kufunguka watu wa level hii huwa Hawafunguki
@JacksonNovatM
@JacksonNovatM 5 ай бұрын
Matajiri wengi wabinafsi.
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 4 ай бұрын
Huyu broo sio mchoyo wa maarifa ndio maana Mungu kambariki na anazidi kubarikiwa
@-kagerayetubw9jx
@-kagerayetubw9jx 4 ай бұрын
Kweli kabisa
@felikisimon
@felikisimon 5 ай бұрын
Lakini pia millard nakushukuru kwa hili. Unajua kututafutia watu wa kutufundisha bwana sasa apa isingekuwa hii kazi yako wewe huyu jamaa si rahisi kumfikia na kupata madini kama haya. Hongera sana kwa kazi yako nzuri
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 5 ай бұрын
M nilichojifunza ni mungu ndo Kila kitu katika maisha ukifanya kazi kwa bidiii na ukimtegemea mungu lazima ufanikiwe ila kuwa tajili ni kipawa ambacho si wote wanakuwa nacho
@mariam205
@mariam205 5 ай бұрын
Aisee mm nimvivu ku comment lakini kwa huyu jamaa nimeshindwa kunyamaza mungu akutunze broo
@user-eg1pk1sw4j
@user-eg1pk1sw4j 5 ай бұрын
Dahh millard huyu jamaa n genius aiseh.
@ishmaelsimon6617
@ishmaelsimon6617 5 ай бұрын
Huyu mwamba namemwelewa. no fake yani, ametiririka kila kitu. Barikiwa sana. Yani hadi nimepata pa kuanzia
@legacytrainingservices
@legacytrainingservices 2 ай бұрын
He is so real
@maniscamullah6282
@maniscamullah6282 5 ай бұрын
Da safi sana.....HILI NENO MILAD KALIONGEA MARA ELF 6
@johnmichael9381
@johnmichael9381 5 ай бұрын
😂Hatar
@deborahkihaka6975
@deborahkihaka6975 5 ай бұрын
He is amazing, he is a gem for our nation, an example to young people
@friedahjohn
@friedahjohn 5 ай бұрын
Hii interview ina nondo kuliko kukaa darasani na kusoma biashara kwa miaka mitatu. Asante sana Millard.
@anthonygavin77
@anthonygavin77 5 ай бұрын
Mimi nimepata degree tayari.
@legacytrainingservices
@legacytrainingservices 2 ай бұрын
Sure then the guy is so generous
@goldenmaduhumedia4681
@goldenmaduhumedia4681 5 ай бұрын
Nimekuelewa kaka Mulokozi na nimepata elimu kubwa
@petermangowi
@petermangowi 5 ай бұрын
Hii interview imenitengeneza sana.. hongera sana Brother kwa hatua uliyofikia, pia nikupongeze kwa kushare mapambano yako... imenifanya niweze kufikiri zaidi.
@StellaDaniel-os4mo
@StellaDaniel-os4mo 3 ай бұрын
Nashukuru sana tajiri wangu mungu akupe maisha marefu.
@joshuajustustz
@joshuajustustz 5 ай бұрын
This Episode 4 kuna madini hatari. Picha linaendelea... Dak 13 Mr Mulokozi anakuambia ana nguruwe 1'000+, farasi 20+, ngamia na nyati maji😮 doooh kama vile nauona utajiri wa king Solomon. Dak 23 Swali unategemea kustaafu ukiwa na umri gani,,, kama umesikia vizuri farasi kaguna kagoma jamaa asistaafu mapema😂 Dak 31 Nimejifunza kuficha mafanikio ni kuwa na nidhamu ya woga... Kama kweli mafanikio ya halali basi taja ili iwe funzo kwa wengine Dak 43 Tajiri ana hadi PA duuh Na bado hajafikia ndoto zake... INTERVIEW BOMBA SANA. Naisubiri Episode 5 🎉🎉🎉
@millardayoTZA
@millardayoTZA 5 ай бұрын
😂😂👊👊
@athmanhincha7007
@athmanhincha7007 5 ай бұрын
✊✊
@lissujonas5452
@lissujonas5452 5 ай бұрын
​@@millardayoTZAhuyu jamaa nampataje
@lilianjoseph4756
@lilianjoseph4756 4 ай бұрын
@@millardayoTZABro nn maana ya PA nisaidie
@nagaboeh.
@nagaboeh. 3 ай бұрын
Sana kaka
@user-yj3gy4jc1t
@user-yj3gy4jc1t 5 ай бұрын
Uko vizuri sana unahela jalafu huna dharau watu wajifuze sana
@bezarelchilewa4062
@bezarelchilewa4062 2 ай бұрын
Bravo Mulokozi. Uko 100percent correct. Kuna rafiki yangu mmoja nilikuwa nae Zanzibar. Alikuwa boss wa UNDP alihitaji kuajiri wafanyakazi,nikamuomba aniajiri Mimi akakataa na kunoomba tuendelee kunywa soda zetu. Nikashangaa. Nikamuuliza anahitaji watu wenye sifa ipi? Akanijibu anataka wale waliopata Division 4 na zero. Kwa sababu hao ana uhakika atakuwa nao muda mrefu na hawatamsumbua. Wale wa Division 1,2 na 3 hawataki kabisa maana Bado wanahamu ya kutafuta mafanikio mbele. GOD BLESS YOU.
@stewardlugan576
@stewardlugan576 5 ай бұрын
Bro respect you pia Mungu amwongezee marifa zaid katika kazi zake 🙏🙏
@user-wu3ld2ti1k
@user-wu3ld2ti1k 5 ай бұрын
Asante nimejifunza kitu hapa
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 5 ай бұрын
Tumtangulize Mungu mbele, Safi Sana Braza kwa kuyatambulisha mafanikio yako katika Msingi wa Imani kwa Mungu. Pongezi pia kwa kutoa nafasi ya matoleo kwa jamii na hasa wahitaji.
@devidkingu2439
@devidkingu2439 5 ай бұрын
Brother ni kitabu cha kujikwamua kimaisha na Ayo unajua kuhoji maswari ya kujenga bravo
@ContentBurrito-jj9yi
@ContentBurrito-jj9yi 5 ай бұрын
Kaka shikamoo naomba sana sana nisaidie mtaji kaka nipo dar Sina kazi nilikua naendesha kirikuu nimenyanganywa nisaidie mkuu nipate kirikuu mkuu mungu akupe nguvu.
@bakaribakari6444
@bakaribakari6444 5 ай бұрын
Muombe Mungu kwanza aliye mmiliki ww na yeye utapata tu
@VancePeter-dh3cw
@VancePeter-dh3cw 5 ай бұрын
Kwer
@neemamwanga5447
@neemamwanga5447 5 ай бұрын
Hongera sana shemeji Mungu akupe maisha marefu siku moja na wish kuwa kama wewe nimejifunza Changamoto zisinikatishe tamaa nimeanguka kipato kabisa Mungu nipe maarifa mapyaa
@faidhacute
@faidhacute 5 ай бұрын
Mulokozi hapo nmekuelewa sana yaan kwamba ukiwa unafanya kazi Kuna time unatakiwa ujipongeze ni nzuri hyo nmeipenda sana❤
@mesietwilliam972
@mesietwilliam972 5 ай бұрын
The best Interview ever! Hongera sana brother Mulokozi na ahsante sana brother Millard!
@hamisikisinzah8113
@hamisikisinzah8113 5 ай бұрын
Huyu Mulokozi yuko vizuri na kwa kweli elimu yake imeweza kumsaidia katika kutafuta fursa na pia amekuwa muwazi hii saaafi Saaanaaa!!
@graceandrew3988
@graceandrew3988 5 ай бұрын
Tunahitaji wasomi wanyenyekevu wasio na majigambo kama Mulokozi, hukukata tamaa ulipoona partinerships zinafaili,kuna la kujifunza hapa.Pia hukuona majivuno ya kusoma nje ya nchi,umerudi na kuamua kuajiri watanzania wenzako,Mungu azidi kukuinua umepewa kipawa cha kuona mbali sana sana.Hongera mno kaka yangu ❤
@hammerymachogu3885
@hammerymachogu3885 3 ай бұрын
Hongera sana Bro binafsi nimejifunza mengi nami nina ndoto za kuja kumiliki kampuni yangu , Mungu akufanikishe zaidi na moyo wa uzalendo kwenye nchi yetu, big up.
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 3 ай бұрын
Kumiliki kampuni raisi shida kusimama kiuchumi
@Royalcakespoint
@Royalcakespoint 5 ай бұрын
Kikubwa hapo imani ya dini yake...sadaka anazozitoa kwa jamii pamoja na kujituma ndio kilichomfikisha hapo ...tuna la kujifunza....hongera kwake
@user-mv5et9nq9s
@user-mv5et9nq9s 5 ай бұрын
Asante sana kaka kwa kufunguka. Haojaongea uongo kama King msukuma. Maana watu wa biashara tunakuelewa.sana
@innocentadolf7284
@innocentadolf7284 4 ай бұрын
Dakika ya 34:17 asee bonge 1 la point. Ushirikina ni mojawapo ya factor muhimu mno inayoturudisha nyuma sana sisi waafrika not only kwenye ishu ya maendeleo but also kwenye hali za maisha yetu wenyewe kwa wenyewe. Salute broh kwa kulitambua hilo.
@quilijohn8634
@quilijohn8634 5 ай бұрын
A very bright, hard working & focused young man! Mungu akuzidishie!
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 5 ай бұрын
A sentence with a lot of adjectives! Thanks 🎉
@ts9dna862
@ts9dna862 5 ай бұрын
KIUKWELI HUYU JAMAA NI SUPER GIFTED GENIUS
@juliusjohnii7823
@juliusjohnii7823 3 ай бұрын
Nimempenda saaaana huyu Don Simlizi zake zimenijenga sana. Sasa Naona siwezi tena kuwa hivi Nilivyo,maana ni viiiingi nimejifunza, I have big future.. Thanks Tajiri.
@gladnessmtei8706
@gladnessmtei8706 5 ай бұрын
This is a power talk na kwa watakao fatilia aliosema hapa for sure watapiga hatua ....thank you for sharing ...umezungumza njia nyingi sana za mafanikio
@edwardminango8682
@edwardminango8682 3 ай бұрын
Uyu billionaire yupo safi saaana ni smart saaana kichwani yaaan actually ana vitu vingi saaana me nimempa maua yake nice ❤
@johnmessi6831
@johnmessi6831 5 ай бұрын
Kwa mambo ya ukabila hapo kiukweli my hands 🙌 down and I’m proud of you, wewe ni mtanzania mzalendo na hii ndiyo Tanzania 🇹🇿 tunayoitaka, Grand rising ✊🏾💯
@joycemaimu7265
@joycemaimu7265 4 ай бұрын
Haya madini ni aghalabu kuyapata duniani,,,,Big up Mulokozi
@jumaissa542
@jumaissa542 4 ай бұрын
Mimi nimekuelewa tofauti kidogo, haukutaka kutumia watu maarufu kutangaza biashara yako ila umeamua kutengeneza nyumba ambayo imetumika kutangaza biashara yako na umefaulu, hongera sana broo hii ndio maana ya elimu.
@sayunikihunrwa4949
@sayunikihunrwa4949 5 ай бұрын
Kuna mtu alikua atuuwe kabisa haki yamungu , ila hapana mungu anamipango . Hongera kaka tunajifunza mengi yani duu umetupa mwanga wa fulsa na namna hukutaka kampuni ife ukihofia kuuwa ndoto za wengi duuh. Fikiria namna matajir wengi waliishiwa na watu wakakosa ajira jaman familia zikaumia nyingi .
@olympiamtenga8761
@olympiamtenga8761 5 ай бұрын
Yaani kaka uko vizuri, umeongea madini tupu barikiwa sana kaka.. barikiwa Milard
@muhidiniabass4385
@muhidiniabass4385 5 ай бұрын
Kuna kitu nimejifunza kwako bwana mulokoz, shukrani mirad
@rhodajackson2213
@rhodajackson2213 5 ай бұрын
KICHWA ! Ahsante sana / yaaani MADINI TUPU
@fenrickmsigwa7437
@fenrickmsigwa7437 4 ай бұрын
This interview is so waoh, the man is so wisely. Nimsjifubza mnoo. Hongera sana Mr Mlokozi. Maono na Kampuni yako vizidi kutunzwa
@user-ko8on1ue5y
@user-ko8on1ue5y 5 ай бұрын
Daa hongera sana Kaka millard naomba niombee kazi ndugu nipo mbeya aniajiri ktk kiwanda Cha iwambi _ mbeya.
@user-bg8en4qc3d
@user-bg8en4qc3d 5 ай бұрын
Huyu jamaa ana madini - mpaka unatamani millard atengeneze episode 10. We still need to hear from this man. More episodes please Millard
@user-og9kq4ef3s
@user-og9kq4ef3s 5 ай бұрын
Anajieleza vizuri sana, na anajibu maswali kwa ufasaha, maelezo yamenyooka, mifano hai na mengineyo. Mahojiano hayachoshi kabisa. Na kujifunza mtu unajifunza. Hongera millard hongera na kwa mulokozi piaa.
@musakalangahe6876
@musakalangahe6876 5 ай бұрын
Exactly. Huyu anavyojieleza, unajua kabisa utajiri mbali ya mali, ni akili yake.
@badifundi6089
@badifundi6089 5 ай бұрын
Chenye anasema jamaa ni pure true.. Alhamdulillah mm sima elimu ya veterinary lkn kuna veterinary doctor kwa kampuni yetu na inabidi mm nimpe elimu kulingana na experience Niko nayo cha ajabu anatumia elimu hio hio anakuja ku impliment kwangu ni kana kwamba yy ndo alkua anajua na hajui chochote na ametokq shule😂😂.. experience is more better than izo documents
@beatricerweyemamu5540
@beatricerweyemamu5540 5 ай бұрын
Ndiyo faida ya elimu hiyo...!!!
@MulumbaJane
@MulumbaJane Ай бұрын
Thanks mulokozi we hv learnt alot , im watching from New zealand
@NancyMlemba
@NancyMlemba 4 ай бұрын
HONGERAA SAAANA KAKA MUNGU AZIDI KUKUTUNZA NA KUKUWEKA. BIG UP MILARD BILA WW TUSINGEMJUA BWANA MULOKOZI. PIA NAMUOMBA KAMA ANA HOSP KWAAJILI YA STAFU NAOMBA KAZI HAPO MM NI MUUGUZI MSTAFU WA MWAKA JANA NAOMBA KAZI HAPO
@tatutumbi4640
@tatutumbi4640 5 ай бұрын
Hongera mwanangu, Mungu Azidi kukutangulia kwenye maono yako. Akupe Afya,Uzima,Amani na Furaha. Ayo nashukuru kwa kurusha hii habari ya kijana anaye pambana. Mbarikiwe Wote🙏🙏
@Truly_Afrikan
@Truly_Afrikan 5 ай бұрын
Aloo am speechless, what a brilliant guy. Yes nyumba sio ya kifahari kama alivyosema but the things inside it it's dope. Imagine we look alike in business idea woow am into minerals liquor industry idea in my head, real estate and lastly pharmacistical as well . I am encouraged
@neemangunda2694
@neemangunda2694 5 ай бұрын
Hongera sana kwa kweli nimependezwa sana na interview Yako . Nimejifunza kitu sana kupitia wewe nafikiria fursa nyingi sana . Ni mitaji TU tunakosa lakini kumbe hata kidogo unaweza kuanza kitu na ukafika mbali
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 5 ай бұрын
Good one Millard, hii session nimeikubali sana unlike the other one. Umejua kumkamua madini kwa ajili yetu vijana... kudos!👊🏿
@ZuwenaSinde-hj9qg
@ZuwenaSinde-hj9qg 5 ай бұрын
Jameni asante sana kwa haya kwa pamoja na shukuru sana kwa mwandishi wa habari pamoja na mhojiwa
@chedielimrutu6955
@chedielimrutu6955 5 ай бұрын
Hongera sana umetuheshimisha Babati. Nimejifunza jambo kubwa sana. Mungu aendelee kukuinua na usiache kumuamini na kumtegemea Jirani
@laoiyadi1176
@laoiyadi1176 5 ай бұрын
Hapo kwenye nguruwe kasema kweli aisee Kama MTU unamtaji na hujui chakufanya plz anza na nguruwe utakuja nishukuru nakama huna utalamu wowte juu ya huo mradi tafadhali ntakusaidieni kuwaelekez hata japo kidogo 👍
@ustawiwetu
@ustawiwetu 5 ай бұрын
Toa namba zako
@estherlufingo7299
@estherlufingo7299 4 ай бұрын
Laoiyadi tunaomba maelekezo
@laoiyadi1176
@laoiyadi1176 4 ай бұрын
@@estherlufingo7299 tuma no yako nikucheki
@felikisimon
@felikisimon 5 ай бұрын
Mmh uyu jamaa hakwenda japan na uingereza kuzurura tu ni mtu aliyeenda kutafuta maarifa kwa ajili ya taifa letu. Na ni mtu wa kujali . Ubarikiwe sana Boss
@teddymosha1376
@teddymosha1376 5 ай бұрын
Daah huyu baba ana akili kutoka Kwa mungu Yuko smati kichwani Tanzania tungepeta watu smart kama huyu kaka Kila mkoa nchi ingekuwa mbali sana mungu akulinde hongera sana mungu Aendelee kukueshimisha
@user-gp8rj4gz4n
@user-gp8rj4gz4n 5 ай бұрын
Aisee nmejifunza vingi kupitia huyu jamaa, asante Millard kwa interview nzuri
@josephinebuxay3392
@josephinebuxay3392 3 ай бұрын
Fundisho nzuri sana Mulokozi, kitu nimependa jamaa cyo mtu wa kujiinua yaani yuko kama mtu wa kawaida, huyu mtu ataenda mbali sana, Mungu akulinde akutunze somo nzuri sana, Manyara tuna mtu.
@mkambora
@mkambora 5 ай бұрын
I have listened to the whole interview... It's superb
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 5 ай бұрын
Saaaf saaana kaka ,nimepata mambo meng saana kwako
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 ай бұрын
Ishu yawaganga imekaa kipumbavu ukiendekeza waganga jua tu umaskini utakufatilia kwa nguvu
@silivestatesha9262
@silivestatesha9262 5 ай бұрын
Waganga niwa tibabu
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 ай бұрын
@@silivestatesha9262 yaaap guys
@witnessmallya5114
@witnessmallya5114 5 ай бұрын
Mimi kuanzia Leo Mr. Mulokozi ni role model wangu, nawish kumsikiliza Kila wakati, Asante sana Millard kwa kutuletea mtu muhimu na muwazi kama huyu ambaye amefanikiwa kwa njia ya kawaida sana ambavyo hata sisi wengine tukiamua tunaweza, kwa mfano nafkiria ameanza kiwanda nikiwa hapa ninapofanya kazi Hadi sasa, umaskini unaendelea kushamiri lakini yeye ameshafika mbali sana kimaendeleo. Ukifkiria hicho kiasi alichoanza nacho kiwanda sio kikubwa sana, so anani inspire sana kuanza Cha kwangu mwenyewe haijalishi ni kwa Hali ya chini kiasi gani, japo sijui pa Kuanzia, Mungu anisaidie! Hongera sana Kaka, Mtanzania mwenzetu🎉🎉🎉
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 5 ай бұрын
Hapo kwenye watu wanaovuna Tz halafu wanaendeleza sehemu nyingine hiyo tunatakiwa tuifikirie zaidi. Tunununue vitu kwa watu wanaowekeza zaidi Tz sio kwa wanaovuna
@peninashungu6633
@peninashungu6633 5 ай бұрын
Huwa nashere hii story kwa mtt wangu wa kiume anayepambana naamini mungu atajifunza kitu
@cillyajoachimchuwa7432
@cillyajoachimchuwa7432 5 ай бұрын
Hongera saana brother. Pia umekuwa mfano wa kuigwa kwakweli
@stewardlugan576
@stewardlugan576 5 ай бұрын
Bro respect you,,,pia Mungu amwongezee marifa zaid katika take🙏🙏
@stewardlugan576
@stewardlugan576 5 ай бұрын
Bro respect you,, pia Mungu amwongezee marifa zaid katika kazi zake 🙏🙏
@honoratamafala6968
@honoratamafala6968 5 ай бұрын
Hongera sana kaka.pombe unazotengeneza ni tofauti na zile vijana wanazotumia zikawamaliza afya .yaani hawawezi kufanya kazi yoyote wamekuwa kama.mazombi.ni.moja.ya hizo au hizo zinazalishwa wapi.
@francomwacha2262
@francomwacha2262 5 ай бұрын
Kodi zaidi ya b1 kwa mwezi..! Aisee c mchezo brother ana ukwasi big up aisee 👏 👏 👏
@vickgrace4487
@vickgrace4487 5 ай бұрын
UISHI saaaana na MUNGU asikuache kaka MWNYE Roho yako
@bilid4128
@bilid4128 5 ай бұрын
Noma Sanaaa,Kali sanaaa 🔥🔥🔥🔥🔥 Nazipenda sana hizi Interview za namna hii...
@marypwanye8943
@marypwanye8943 4 ай бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukutunza kwa sababu huna ubinafsi unafikiria sana nchi yako. Ni wachache sana wenye Moyo huo. Mungu akubariki sana.
@user-oz6zp8fr1c
@user-oz6zp8fr1c 5 ай бұрын
Upo vizuri. Hasa kumtegemea Mungu D Mulokozi
@user-wg8yw3dl4j
@user-wg8yw3dl4j 5 ай бұрын
....hongera sn kaka mulokozi,kwa yote uyafanyayo,karibu sn mbeya au Green City kama ulivyosema,cku c nyng! Bnafsi nakusubiria haasa kwny project yako,utakayoianza.b blecd.
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 4 ай бұрын
Itoshe kusema....every successfull point is measured by point of creation and point of implimenting....bilionea mulokozi nakubali umeweza kutujenga vijana juu ya kupambania ndoto zetu na kuamini mipango binafsi iliyobebwa na tafsiri kuu ya kuamini unachokipambania....kongole millard Ayo for the best interview ever here is 2024 ❤❤❤❤❤🎉
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 5 ай бұрын
Millard big up bro unatisha kwa kufanya interview kali🎉🎉
@ngusubilambope3964
@ngusubilambope3964 5 ай бұрын
Salute! Salute! Salute! Am just speechless
@EmanuelHizza-rk5pi
@EmanuelHizza-rk5pi Ай бұрын
Asanteh sana yapo mengi nimejifunza (God bless you)
@gabrielmiatus3886
@gabrielmiatus3886 5 ай бұрын
Hapo kwenye kutumia nguvu kujenga nchii nimekubalii sanaaa
@KennethKonga-gb9hm
@KennethKonga-gb9hm 5 ай бұрын
Yup perfect sana ni muwez
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 5 ай бұрын
MashaAllah 🙏🙏hongera sana boss. Mwenyezi Mungu endelea kutuinua na sisi🙏🙏
@kevinmary7129
@kevinmary7129 5 ай бұрын
Billionare wa ukweli ❤❤❤❤❤❤❤❤ ❤❤❤❤❤❤ Elimu ya Tz ni takataka theory 100% 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 5 ай бұрын
Kama ni takataka usisomeshe watoto wako uone
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 184 МЛН
MWIJAKU AMLIPUA HAMISA MOBETTO, KUTEMBEA NA AZIZI K NI UPUUZI
11:42
MTANZANIA ALIYEKUWA WA MWISHO DARASANI ATOA MTAJI WA MILIONI 10
32:25
DAKIKA 30 NZITO ZA MKURUGENZI WA MATI SUPER BRANDS LTD NA FM MANYARA.
28:00
MATI SUPER BRANDS LTD CHANNEL
Рет қаралды 61 М.