Ndugu zangu tumuogopeni Allah uislamu umekuja kutukomboa na shirk dhambi zote Allah husamehe ispokua shirk.
@MdNasr-jm8pjАй бұрын
Tulifika tulipokua school 😢na pich zetu zikaungua Ila sikupenda hiyo shirki munayoifanya msiombe mzimu ALLAH anatosha
@ogdosho93Ай бұрын
Sasa ninyi ni waislam halafu mnaruhusu watu waombe mzimu badala ya Allah apo Sasa apo simnaruhusu shirk mnaifanya? stupid!
@Filamumaridhawa9 ай бұрын
Uongo mtupu
@salummzee97392 жыл бұрын
Shirki tu hio Qur-an hakusema hivyo hata siku 1 ila mila huleta Shirki
@swahibal-karama145 Жыл бұрын
@all ACHENI UONGO BBANAA APO IYO NI KUABUDU MASHTANI BADALA YA ALLAH
@zenajimmy66033 жыл бұрын
Daaaah I say waislamu tuwacheni kumchezea Allah wacheni shriki it doesn't matter ni pango ama mzimu ama maji wacheni shirk hiko siku mtaulizwa .muogooeni ALLAH..
@hajiabdalla57723 жыл бұрын
Mwenye 📷 bado elimu ndogo chukua kwa zoom boya wewe ili watu waone hilo jiwe
@MohanedAbdulla-g9b6 ай бұрын
Maelezo yako mazuri na luggage safi
@lissacosmas69783 жыл бұрын
Huko dimbani uchawi nje nje yaani no wanawanga adi mchana ukifika mzambarauni uwiiii acha kabisa
@tawakalwamakaru86053 жыл бұрын
Washirikina wote jahanam hayo ndo maakazi yao hata km na wewe pia umo utakwenda jahanam👉🔥
@jituakilimali153 жыл бұрын
Lakini hao wazungu wote wana najasi sasa hili vipi
@hajiabdalla57723 жыл бұрын
Acheni kutii amri za mazimwi
@fatmasalim82933 жыл бұрын
Lahaula walakuwat ilabilah haifai ndugu zetu wa ki islaam mungu ni mmoja tu wakuabudiwa
@mack_vita_onyango84093 жыл бұрын
.....hatari sana. Duniani kuna mambo"
@farhatsaid23233 жыл бұрын
Mashallah
@TeamKRX3 жыл бұрын
Heeee mi naskia hii stor
@TeamKRX3 жыл бұрын
Jamani kageuka jiweee
@issazanzibarbarakaallah.15723 жыл бұрын
Ok
@drmachecheo6963 жыл бұрын
Hyo ni shrk haifai kuwabudy mizimu
@زينببنتسعيد-د9ح3 жыл бұрын
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh La hawla wala quwwa illa Billah Aliyyu Adhwiim makubwa MWENYEZI MUNGU atustiri