HII NDIO HISTORIA YA UKWELI TANGANYIKA KABLA YA TANZANIA PART 1 - 3.
Пікірлер: 26
@godwinmbwambo331611 ай бұрын
Basi iandikwe historia nzuri ya nchi yetu ya harakati za uhuru!
@isareje85794 жыл бұрын
Nyerere hakua muadilifu Kwa wale waliokua wanaharakati wa kupigania uhuru Kwa kua Ni waisilamu tu
@kymussa10835 жыл бұрын
Asante kwa historia hiyo na burundi 🇧🇮 waislam walilileta uhuru wanasahau na kuwanyanyasa eti foreigners
@suleimantakadir1521 Жыл бұрын
Historya nzuri iandikwe kwenye kitabu Ili sisi wajuku wa shekh Suleiman Takadir tuijuwe
@King_Of_Everything7 ай бұрын
👊✌️👍.
@kilamiko82992 жыл бұрын
History remember Kings and not soldiers period.....
@godwinmbwambo331611 ай бұрын
Ndo maana CCM iliasisiwa ili kuua historia ya TANU na ASP.
@saidmwamba1147 Жыл бұрын
Inasikitisha sana wazee wetu wakina Dossa Azizi walifilisika kwa ajili ya kuipigania nchi hii tupate uhuru lkni kwasababu mfumo wa habari wa nchi hii umetengenezwa umekua mfumo dhulma ata kuwataja akina Dossa Azizi,Abdul Sykes hawatajwi kabisaa.
@AliAli-rx6wu3 ай бұрын
Mkundu wa uhuru!!! Kumamaeee uhuruna nyerere
@musabuhe58972 жыл бұрын
Sijui kwanini waisilamu wanachukiwa na wakristu sijui wamewafanya nini?
@kilamiko82992 жыл бұрын
hapa kuna tatizo, heheh
@JoseJonh-un9cx11 ай бұрын
Mm nawauli waisilamu mkowapi kwaisitoria kama iyo mnashugulishwa tu naujinga kwanini amzinduki
@jessicandabey4217 жыл бұрын
HISTORIA YENU AU HISTORIA YA TANGANYIKA
@machinjabakari61626 жыл бұрын
jessica ndabey History ulio soma c o History. Bali wenye mamlaka wamepanga dada.
@katemachanda70354 жыл бұрын
@Ali Ali Toa hoja sio matusi. Unadhani unaweza kutushawishi tuamini historia Kwa matusi???
@mohamedothman97694 жыл бұрын
Hiyo ndiyo historia ya kweli. Shida yenu ni kwamba mnameza historia bila kuhoji mambo ya msingi. Basi ulizeni hata mwalimu alishirikiana na nani katika harakati za uhuru. Kwa taarifa yako mpaka suruali kapewa na waislamu, alikuja mjini na bukta
@muhrajovic7524 жыл бұрын
Ha ha ha ha
@jessicandabey4217 жыл бұрын
TUMESOMA HISTORIA YA TANGANYIKA MBONA DOSSA YUMO KWENYE HISTORIA YA UHURU.
@jeanmubemba12044 жыл бұрын
tusikubali wala kukataa tufanye utafiti,lakini familia ya akina sykes imepewa heshima sana,ya harakati za uhuru Dosa,yupo na wengi anaowataja,labda ninachokiiona,angalau wangejengewa nyumba na kupewa mishahara mpka wafe na wahudumiwe afya na mengine,hakuna tunachoweza mlipa mwal Nyerere,Mzee Sykes,Rupia,Dosa,etc kwa upendo wao wa kujitoa kupigania uhuru wa nchi hii,na hawakuwa na udini,
@katemachanda70354 жыл бұрын
@Ali Ali Sisi tumesoma Shule, hao wakina Dosa, Sykes tumewasikia. Wewe ndugu kwani ulipokua Shule hukuwasikia??? Au ulifundishwa matusi???
@hamisyasinwapi91224 жыл бұрын
Mm nasemaga huyu nyerere co baba wa taifa hili la tanzania
@hamisyasinwapi91224 жыл бұрын
Na joho lako ndio tukujue umesoma.ww kilaza km unajiamini umesoma nitafute tufanye mdahalo.
@mohamedothman97694 жыл бұрын
@@jeanmubemba1204 shida sio kupewa nyumba wala nn, wangewekwa ktk historia ingetosha kuwa wanaheshimika. Mengine yote yangekuja yenyewe