Subhanallah yaani wanawake wa kiislam wawe ivyo nywele wazi wanacheza mbele ya wanaume tena msikitini ooh lord ptotect use tupo nyakati mbaya
@waheedahtanzania49122 жыл бұрын
Astagfirullah laadwim siyo msikiti huo zubeda hiyo ni kasili ya Rais
@yussuffadhil45228 ай бұрын
uislam haujaanza hapoo wala sio chimbukoo uislam upo hata kabla ya nabii Adam
@balkissMuhammad-sk1ic3 ай бұрын
Astghafirullah ladwim
@emmanuelnjelekela62992 ай бұрын
Uislam ulianzishwa na roman empire Mika 500 AC ndo mjue sasa
@davidokento69943 жыл бұрын
Allah aninusu Mimi na kizazi changu
@tamimumelly35813 жыл бұрын
Dah tuombeane wote ndugu
@rosemutinda30762 жыл бұрын
#Davudi kento, hujui uislamu ni mtoto wa katoriki? 🤣🤣🤣Angalia pope huingia kwa misikiti na viatu juu ni kwake 😁😁😁.
@roymosirigwa45143 жыл бұрын
Read Book of Revelation and Daniel you will understand we are in the last day,Sunday law coming plus worshiping of the Beast.Jesus is around the corner we are in the last days keep your garments white.
@abelsteven31893 жыл бұрын
Tayari wewe umeshamwabudu huyo Beast. kwa kuwa singizia wenzako uongo kwa sababu ya wivu na chuki.
@rosemutinda30762 жыл бұрын
@@abelsteven3189 wewe mwenyewe unajua Beast ni nani 😏😏
@monicabh16682 жыл бұрын
@@abelsteven3189 kama yeye ako Sunday worship anamwabudu
@bazilkisibo58112 жыл бұрын
You are so stupid and poorly thinking. Acha kukaririshwa mambo
@@habibakhalfan1065 🤣🤣🤣🤣🤣 we nawe namwandiko wako kama darsa la kwanza c
@habibakhalfan10653 жыл бұрын
@@mdzainb3722 hahaahhahahhhhjh_umeelewa__lakin
@khalidijohn8903 жыл бұрын
Sub Hanna llah..wanawake wa kiislam hao ichi kama Saudia
@hassanisadiki8243 жыл бұрын
Hawo ni watoto bado hawaja fika balekhee Kwa hy hakuna tatizo
@georgeurembo45538 ай бұрын
Vp kwan
@farajalimenyimana32613 жыл бұрын
Jamani mpango wa dini moja aka new world order ndio hiyo
@bazilkisibo58112 жыл бұрын
Acha upumbavu nyie manabii wa uongo
@khalidijohn8902 жыл бұрын
Subhanna Llah wanawake wamekua kiburudsho
@frankmpembu25052 жыл бұрын
Hizo ni Dalili za kurudi kwa Yesu mara ya pili,, NEW WORLD ORDER is Coming.
@rafoursamiol52442 жыл бұрын
Haswaaa
@jfineisaac62193 жыл бұрын
Swala la amani waislamu hawalipend kabisa huyo mungu wao atakuwa bondia ingekuwa mabomu ya kujilipua mhanga ndio wangefurahi
@kingihassan35403 жыл бұрын
Alafu ww kenge kuwa Na adabu mshenzi mkubwa ww
@wamoroboy89633 жыл бұрын
@@kingihassan3540 Na usije ukajidanganya kuwa utaiona pepo ndoto na udin wko huo😏
@kingihassan35403 жыл бұрын
@@wamoroboy8963 Pepo utaiyona ww mtoto wa mwamposa
@wamoroboy89633 жыл бұрын
@@kingihassan3540 Tatizo lako unapenda sana udini ndio mana umejawa na dharau af kama ujuh hapa 𝗗𝗨𝗡𝗜𝗔𝗡𝗜 dini ya kwel ni Imani kanisa na msikiti n ushaid tu""""na pia hata nkifa kesho sijar na siofii chochote kile sab hakuna aijuwae kesho yake GOD ndiye mwenye kunipangia ukumu yangu ya mwisho sio wew mbanian😂😜
@dm-rv5mf3 жыл бұрын
Acha masihara na Mwenyezi Mungu, Hakuna masihara kwa Mwenyezi Mungu.
@buherokozi10973 жыл бұрын
Allah tunusuru na makafiri wa kiarabu
@wamoroboy89633 жыл бұрын
Dini sio vita😂
@mdzainb37223 жыл бұрын
Huyu nae 😂
@wamoroboy89633 жыл бұрын
@@mdzainb3722 Anajikuta MUNGU wa kwke pekeyke😒
@mdzainb37223 жыл бұрын
@@wamoroboy8963 Hivi hawa wenzetu historiailiwapita wapi maana haya mambo ata shule unafundishwa kuhusu Ukristu na Muislam naona vichwa vyao boksi 🤣🤣🤣🤣
@wamoroboy89633 жыл бұрын
@@mdzainb3722 Me wananiuzi sana kujiona wao ndio bora kuliko DINI ingine utafkil MUNGU ni wa kwao pekeyao😂
@balkissMuhammad-sk1ic3 ай бұрын
Bismillah
@BIGBOSS-hl3bu2 жыл бұрын
Papa mwenyewe anaonekana ni mwislamu safi kabisa wala sina hofu nae
@andrewkissavah8272 Жыл бұрын
Sinyinyi mnae endekeza unazi wa kidini na wakati wenye dini zao na ndo ziliko zaliwa wao wako ki social sana ila ninyi mnajifanya vidume wa wislamu kweli ovyo kabisa hao mabinti kwa taarifa yenu ndo mabinti safi wa kiislamu kuliko wanao jinyesha kwa nje lakini wayatendayo silini hakika ni jehanam tupu nanimsiba mkubwa kwenu ,hongera abu dhabi hakika ninyi ni wa islamu safi
@IjumaaIjumaa9 ай бұрын
Hawa si waislam ni maskia wislam unamipaka hairusiwi kafuri kuingia msikitini ila kwa kusilim na mwanamke kumpa mkono papa au shenke au mtu yeyote ila maharim wake si kila mtu apewe mkono
@salumsalum39423 жыл бұрын
Dini hii inalindwa NA ALLAH walishindwa kipindi kile Cha mtume (S.A.W) ndo wataweza Leo? haiwezekani na haitawezekana.
@hussenihussenirashidi84203 жыл бұрын
Watapotea wawo binadam ila dini itabaki kama ilivo achwa
@Atmospherec33 жыл бұрын
Ivi mnaujua uislamu nyie zaidi ya mwarabu mwenyew au mnaongelea chuki tuu kwa dini mlioridhishwa na wazazi wenu
@salumsalum39423 жыл бұрын
Dini hii sio ya mwaarabu Soma na fuatilia ujue ALLAH akuongoze
@rosemutinda30762 жыл бұрын
Wanapitisha sheria ya SUNDAY LAW, na wakuu wa dini ya uislmu walikumbaliana na pope na sign ikawekwa, nyinyi kwa sababu hakuna lingine mnajua, kazi yenu ni kusema uislamu ni dini ya haki, mtapindiliwa mchana jua likiwaka😂😂.mwenye ataenda msikiti Friday mtatolewa na viboko kama wakati wa corona. Pope akisema dunia yooote inainama.Rev 13 &17
@jpmanotaofficial6392 жыл бұрын
Waanzilishi wa dini hawanashida shida ni kwa ninyiwapokeaji mnashikilia kama urithi, uko uharabuni waislamu na wakristo wanashirikiana lakini ninyi mloletewa dini kwa bakora huruma sn
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Tunachopenda amani duniani waislamu na wakristo wanaoana na kuzaliana kipi cha ajabu wote tunamuabudu mungu
@wamoroboy89633 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaas
@salehkhamis86532 жыл бұрын
Cha ajabu kilicho tutenganisha Qur'an na biblia
@bazilkisibo58112 жыл бұрын
Exactly. Sasa vijitu havitaki amani
@salehkhamis86532 жыл бұрын
@@bazilkisibo5811 amani haiwezi kuletwa na makafiri ndio hao wanao chafua amani Wamarekani wamekwenda Libya Iraqi Afghanistan kwenda kugombanisha watu na kupeleka mamluki na kuleta machafuko wakauwa viongozi wakauwa watu jee kwako wewe hii ni amani? Mpaka Leo nchi hazija tulia kwa mauwaji ya Wamarekani
@bazilkisibo58112 жыл бұрын
@@salehkhamis8653 wewe uelewa wako uko chini ndiyo maana unajitukuza mwenyewe. Acha kutamani mke wa jirani na Mali za watu kwanza
@bonifaceomallya9201 Жыл бұрын
Chimbuko la uislam na ukisto ni mrumi dini zote za mrumi hizo
@Abraahfx303 жыл бұрын
Hii so sawa
@paulrwechungura42844 ай бұрын
Kwa sababu gani
@mwanaidisimoni796 ай бұрын
Chimbuko la kisenge ilo wanawake vichwa wazi alafu unasema la kislamu
@claudettezainabu21623 жыл бұрын
Makafiri
@paulrwechungura42844 ай бұрын
Pole sana
@paulrwechungura42842 ай бұрын
Wa wapi,wewe ndo mkafiri ,kwa unawazidi has waliompokea
@allyabdallahally96372 жыл бұрын
Nawashangaa sana kutembelea sehemu mnaona ni kitu cha ajabu akili finyu sana
@rafoursamiol52442 жыл бұрын
Huna ujualo
@muksinsaidi48922 жыл бұрын
Ww kausha.. akili huna
@ShedrackChengula Жыл бұрын
nikweli wametembelea ila matembezi hayo ni nini lengo haswa lengo ni kuuzalilisha uislamu na ndyo mana wamewapanga watu wasio na hofu ya allah kwa tamaa zao ili wafanikishe kuwaweka wanawake vichwa wazi na kumpa mkono mwanamke
@husha63725 ай бұрын
Chimbuko la UISLAMU sio Abu Dhabi ni Makkah Saudi Arabia wa he I kudanganya watu kwa habari na taarifa za urongo
@paulrwechungura42844 ай бұрын
NAni kakwambia
@azizawadh59733 жыл бұрын
Uisilamu sio uarabu ayo ni matembezi tu
@Atmospherec33 жыл бұрын
Nan kakudanganya uislamu ni uarabu kwa kila kitu kuanzia tamaduni za kiarabu, mavazi ya kiarabu, lugha ya kiarabu, mpaka manukato na mwislamu atajiona kakamilika na uislamu akionekana kama mwarabu.
@paulrwechungura42844 ай бұрын
Nani kakwambia
@georgeurembo45538 ай бұрын
Power of roman Catholic
@Kiswahili8 ай бұрын
👍
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
Subuhanallah. Inalillahi wainailahi rajuun
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Vp kwani🤣
@wamoroboy89633 жыл бұрын
Dini sio vta Mungu n mmoja
@dfinalpatrick85553 жыл бұрын
Hawa ndio walio tuletea dini.kwahio kaeni kwakutulia chamsingi mungu moja na kila dini inafunza matakwa na sheria za mungu kazi kwetu kufuata sheria za mungu na kumuabudu mungu au kuabudu dini zetu!!!!!
@capteinchuimchafu78942 жыл бұрын
Kumekuchaa
@francisjoseph10743 жыл бұрын
Sisi tunajua warabu ndo wenye dini ya kislam nyie waTz mmeletewa tu afu mnataka kuwapangia si utahila huo hata Leo wakiwazuia msiende kuhij mack kwani mtawafanyeje?????
@dm-rv5mf3 жыл бұрын
Ww ukristo unajua chimbuko lake ni wapi, uislam sio dini ya waarabu, mnamfata yesu, ebu nambie yesu aliteremkia nchi gani, au nitajie nabii ata mmoja alieshukia nchi yoyote ya kizungu,
@francisjoseph10743 жыл бұрын
@@dm-rv5mf ukristo chimbuko lake ni kristo ambaye ndo yesu na ndo njia yetu, kwahy sisi ni wake yesu kristo tena labda nikueleweshe kristo mana yake ni utakatifu
@kingihassan35403 жыл бұрын
Mtume muhammad akuwah kusema yeye ni mtume wa waarabu wala uislamu sio dini ya warabu kasome kwanza Alafu ukristo sio dini kristo maana yake ni mpakwa mafuta
@francisjoseph10743 жыл бұрын
@@kingihassan3540 yani hata huelewi unaropoka tu basi twende na akili zako mpakwa mafuta au kitu kilichopakwa mafuta kwa lugha ya bible unajua maana yake nn?
@wamoroboy89633 жыл бұрын
@@dm-rv5mf kwani wew din umeanza kuijuwa mwaka gan ad ukatae kuwa uislam sio din ya waalabu eb tuambie??
@froridaanthony32783 жыл бұрын
balaa gan iliii
@khamismassoud90343 жыл бұрын
We mtangazaji unafirwa kweli ety uislamu ni chimbuko LA waarabu
@wamoroboy89633 жыл бұрын
Kwa mtazamo wake yeye cjui wew mwenzetu uislamu n chimbuko la nani waind au ?
@joshuamwanaharakari98492 жыл бұрын
Kwisha habari
@hassanjumachipua28365 жыл бұрын
Sub haana Allah
@wamoroboy89633 жыл бұрын
Nin wewe 😃
@stephanomoses76942 жыл бұрын
Huyu mbwa uyu ndo anatuletea ule mwisho wa dunia . Me nilijuaga2 kwamba hii dini ya roman ni ya mpinga kristo nilifikiriaga sana. Kwa nn kuna makatazo juu ya waabudio sanamu alafu wao wamejichongea masanamu makanisani wanayaabudu. Af hata gongo ni powa2 kunywa ilimradi2 padri aibariki.
@bazilkisibo58112 жыл бұрын
Wewe ndiye mbwa na kuanzia Leo umelaaniwa na utakuwa mgonjwa Hadi utakapotubu hiyo dhambi yako
@bazilkisibo58112 жыл бұрын
Nimeshakuambia wewe umelaaniwa tayari. Kwa sababu hata lugha Yako yaonesha ni WA baba Yako shetani. Sasa katika mazungumzo yote wewe mkristo fake na Jao waislam Bado mnashambulia kitu kimoja huku mkiwa na tofauti Sasa hii yaonesha nyie makundi mawili yenye mitazamo tofauti juu ya adui yenu nyie ndio wapinga Kristo kabisa. Falme ikifitinika yenyewe imekwisha anguka. Sasa jitafakari wewe mkristo fake na huyo muislam ubwabwa mnakwenda sawa. Ninyi ndio wapinga kristo
@paulrwechungura42842 ай бұрын
Katubu ,hao ndo walikuandikia biblia,naomba tusi lako
@HildaPaul-hm4jk9 ай бұрын
Anajenga jengo lao la dini moja😂😂 mkatoriki na mwislamu
@paulrwechungura42844 ай бұрын
Dini zote,kila kiongozi wa dhehebu lazima aende kwa papa
@sharifabdul60855 жыл бұрын
Unaposema chimbuko la uislam unakua bado hujawa mkweli maana uislam ni dini ya ulimwengu maana hapa patakua na dhana kwamba uislam ni uarabu sema ni chimbuko la mtume tunaweza kuwa sawa ila dini ni ulimwengu sio tamaduni ya kiarabu
@victorngereza54975 жыл бұрын
Sharif Abdul uelewa wako mdgo xna na yeye hajakosea ila hujamuelewa tafadhali tafakari mambo huko ndio uislam ulikoanzia baada ya mtu na kutangazwa kwa ulimwengu mzma haujaanzia tanzania xwa kijana
@hussenothman74825 жыл бұрын
ww hujui ata uislamu lipo anzia walizewenyewe kamahujui usiropoketu kaakimya
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Nnachojuamm uislam kwao arabuni na ukristo kwao ulaya so tutulie tu nass turafute dini yetu Africa
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
@@victorngereza5497 anapngana na wenye dini Yao yy km nan Sasa 😏
@زينبعليعبدالله-ز3س3 жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 dini Gan sas utapata watu wengn bhn🙄🙄
@mwantumukawambwa87013 жыл бұрын
Mbn wana wake wanaacha vichwa waz mbn MNA tuchangany nyinyi wakat din zimetokea kwao BC lukusa kuacha kichwa waz
@salumajuma95833 жыл бұрын
Uwislamu upo mbali na makutano haya kama ni lamu wana uhusisha basi umewakataa uwislamu nidini ya ALLAH na siyamtu uwislam haumuhitaji mtu mtu ndio anahitaji uwislam kwa anaetaka uwislam haukumbatii mtu kwa kabila wala mavazi uwislam hautikisiki ulicho kataza basi umeataza ulichoruhusu basi umeruhu
@wamoroboy89633 жыл бұрын
Ulijuwaje kama din ya Allah na ni kitabu gan kinasema kuwa uislamu n dini ya haki
@sundaymsuya14332 жыл бұрын
Dini ni yawaarabu ukatae ufanye uwezalo huo ndio ukweni wa Africa tulikuwa na zakwetu tumeletewa zawa2 tunakumbatia utazani ni utamadini we2
@salehkhamis86532 жыл бұрын
Dah hii Dunia kweli imekwisha kafiri kama huyu anakaribishwa katka ardhi tukufu kwenye kitovu cha Uislam.. falme za kiarabu mbona hamko serious.. Uislam unakataza ..wakristo tunatakiwa kuwatenga katka masuala ya dini.. ispokuwa masuala ya kibiashara tu ndio tushirikiane nao
@andrewsam3642 жыл бұрын
Huyu jamaa anachekesha.kunafamilia baba mkristo mama mwisilam watoto hivyohivyo. Nawao wajitenge nawazaz.Mungu nimmojatu.hizi din nimpango wa binadam mwamini Mungu aliekuumba acha kuamin din utapotea
@salehkhamis86532 жыл бұрын
Usinilazimishe kwamba niache kuamini dini Kila mtu amesoma na anacho kipenda na kila mtu ameamua kuchagua njia sahihi na ungejua natokea wapi Wala usinge ongea huo upuuzi wako Mzanzibar kuutambua ukristo ni kazi kubwa sana huku utakuta familia nzimah waislam ukoo pia mababu wa mababu waislam hakuna mchanganyiko huku tunajijua wenyewe
@audifansisafari5587 Жыл бұрын
Akili ndogo hiyo ndiyo Dini ya kweli kafiri Muhammad kuwaletea Dini ya shetani
@silviag.mpanda49023 жыл бұрын
Amen
@ibrahimiddi31343 жыл бұрын
Uctangaz vitu ucvovijuw ww aliekwambia uislam umeanz apo nn ?
@nyembo7882 жыл бұрын
huyo kafili anafanya nn huko
@twahamdoe57303 жыл бұрын
Mungu mmoja
@khamismassoud90343 жыл бұрын
Wote hao niwanafiki na ww mtangazaji ni mnafiki kama huyo papa
@danielpaul843 жыл бұрын
Ww ndomnafki
@wamoroboy89633 жыл бұрын
Udini wko peleka nyumbani kwenu
@emmadora78483 жыл бұрын
Wewe zubaa hapo na umasikini wako ,waache wenzio waishi vile wanataka hujawaumba wewe
@mdzainb37223 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃💃 naona waislm mapovu acheni ujinga eti uislam aliekujanae adm adam kinyozi au
@bazilkisibo58112 жыл бұрын
Etiii
@kabundajr92903 жыл бұрын
Hakuna Islam hapo wanafikh walikuepo tangu na tangu
@francisjoseph10743 жыл бұрын
Warabu ndo wamekuletea ww Hiyo dini afu ulivyo tahila unawapangia cha kufanya mbona hawakuja Tanzania kufanya huo upatanisho tumieni akili kenge nyie acheni mihemko
@samonline6483 жыл бұрын
Hakuna uislam apo
@francisjoseph10743 жыл бұрын
Sisi tunawajua hao ndo wenye dini ya kislam nyie simarimbuken tu,yani wamewautea dini na ustarabu wa kuabudu afu mnataka muwapangie hata Leo wakigoma msiende makha mtawafanyeje
@Gokjunior73 жыл бұрын
@@francisjoseph1074 we enda jikojolee haja uoshi mkojoo unaongea nini mkristo...
@francisjoseph10743 жыл бұрын
@@Gokjunior7 kwaakili zako umeona ni big dil kukojoa ukaosha? Sasa Mimi ninaekojoa na kuacha na wewe unaekojoa na kufuta namichanga nani msafi ?mkristo ndo mstarabu wa kwanza duniani
@Gokjunior73 жыл бұрын
@@francisjoseph1074 jua dini yako kwanza ndio ujue kama mko kwa njia ya kweli ama mnapotea upotevu..mnasema yesu ni Mungu ilhali yesu ni mtume tu kama wengine..aje mtu anaabudu binadamu kama yeye..Karibu kwa dini ya ukweli ndio usipotee ndugu yangu.
@francisjoseph10743 жыл бұрын
@@Gokjunior7 yesu ni mungu mkuu na mwokozi na ni njia ya kweli na uzima na sio mtu kama unavyofikili 1} yesu alichagua mitume je ni mtu gani awezae kuchagua mitume 2} yesu alikuepo tangu misingi ya dunia kuepo 3} Yesu husamee zambi je ni mtu gani awezae kusamee zambi za watu? 4} Yesu ni neno LA mungu na neno hilo lilifanyika mwili ili kufikisha ujumbe na Mungu hashindwi chochote 5} na baada ya mwili kufa au kuuwishwa neno likaenda kuwahubirilia injiri kuzimu watu waliokufa katika dhambi kisha baada ya kazi kuisha neno likauvaa tena mwili na kurudi duniani kisha kurudi mbingu katika utukufu wake na makazi yake
@muksinsaidi48922 жыл бұрын
Uislam aujazaliwa apo mbwa nyie
@paulrwechungura42844 ай бұрын
😅😅
@paulrwechungura42844 ай бұрын
Wapi
@egetinginyemachoka27263 жыл бұрын
Makafiri nyinyi wajinga sana?
@rosemutinda30762 жыл бұрын
Kiongozi wa dunia nzima dini zote na serikali. Unabii ni ukweli kabisa mnyama wa ufunuo 17.
@jpmanotaofficial6392 жыл бұрын
Kwa Familia yako
@masumbukomaganga438 Жыл бұрын
uislam na ukatoliki ni dini moja kzbin.info/www/bejne/hGSZk6d-jbeFmJo
@maimunashaban95383 жыл бұрын
Subilini fitna
@shebyabdallah58543 жыл бұрын
Upuuz
@frankmpembu25052 жыл бұрын
Hatushangai Uislamu ulianzishwa na Mapadri wa kikatoriki akina Waraka na Bahira, Sasa waungana ili kumpinga KRISTO.
@jpmanotaofficial6392 жыл бұрын
Mmm upumbavu ni mzigo
@paulrwechungura42844 ай бұрын
Unafundishwa na wapagani wako,waliopotea ,acha wivu,kanisa ni moja tu,mengine hewa,njoo ukatoliki
@stevetimber78575 жыл бұрын
uislsmu haujazaliwa w
@victorngereza54975 жыл бұрын
Steve Timber huko ndiko ulikozaliwa uislam haujaanzia tanzania sisi tuliletewa kma uletewavyo daftari au kitabu na mwanao
@stevetimber78575 жыл бұрын
tupe aya insyosema uislam umezaliwa huko
@victorngereza54975 жыл бұрын
Steve Timber huna unachojua endelea kubaki na elimu ya kumezeshwa tafuta asili ya uislamu wako ni wapi mtu alianzia kufnya kazi ya mungu hapo ndipo uliko aanzia uislam
@stevetimber78575 жыл бұрын
ww unaejua toa ushahid
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
@@victorngereza5497 😂😂😂😂🤔
@officialdeking3 жыл бұрын
Uisilam aujazaliwa uarabini bali ni dini iliyokuj n Nabii Adam
@francisjoseph10743 жыл бұрын
Acha utahila wewe adam hakua nabii tena hakuja na dini yoyote ? Na alisali msiki UPI? Na huo unabii aliufanyia wapi
@wamoroboy89633 жыл бұрын
@@francisjoseph1074 😂bora umemjibu
@mdzainb37223 жыл бұрын
Adam yupi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@francisjoseph10743 жыл бұрын
@@wamoroboy8963 unajua waislam akili zao ndogo sana hata awaelewi maana ya nabii Adam huo unabii aliufanya yeye na mke wake au?
@bonifaceomallya92013 жыл бұрын
@@francisjoseph1074 😆😆😆😂😂😂ni shidaa aiseeee ety nabii adam sijui adam alikuwa nabii wa hawa
@sheikhfadhilaljahdhamy67513 жыл бұрын
Uisilamu ulianza kuanzia kuumba nabi Adam A.S. na mtume Muhammad s.a.w. ni mtume aliyokamilisha risala ya uisilamu
@frankmpembu25052 жыл бұрын
Acha uongo, Uislamu ulianzishwa na Mapadri wa kanisa Katoriki, akina Waraka na Bahira
@sheikhfadhilaljahdhamy67512 жыл бұрын
@@frankmpembu2505 Nani akakuambia hivyo? Hawa ni mafariki wetu kuanzia kitambo karni za Mtume Muhammad s.a.w. lakini sio waliyoanzisha
@rosemutinda30762 жыл бұрын
#sheikh, kama uislamu ni dini ya kwanza Moha aliambiwa awe wa kwanza kwa wenye kusilimu, je hao wengine walisilimishwa na nani na mtume alisilimishwa na nani?? TENA, Qor'an inatambua kuwa wakristo na wayahundi ndio wa kwanza, je wewe na Qor'an nani muongo??
@frankmpembu25052 жыл бұрын
@@sheikhfadhilaljahdhamy6751 Usilolijua nisawa na usiku wa kiza
@sheikhfadhilaljahdhamy67512 жыл бұрын
@@frankmpembu2505 Sisi ni binadamu hatuwezi kujuwa kila kitu lakini la muhimu nimpe wenzako wakati wakujieleza
@muksinsaidi48922 жыл бұрын
Kama anaweza aende maka, kubwa la makafiri
@zanzibaronlytv34705 жыл бұрын
We don't have leader of islam
@bakarimwakabebe96493 жыл бұрын
That's it no leadership except Allah
@zuberikwambiana35743 жыл бұрын
Usitangaze vitu kwa namna ambayo hujui,hivi unadhani kwamba uislamu umezaliwa!!! UISLAMU ni.dini ambayo ALLAH mwenyewe ametuletea waja wake ili tuishi katika mafunzo ya dini hiyo. eti wasema UISLAMU ULIPOZALIWA weeee kama mambo huyajui ungeuliza kwa kina ndipo utangaze kwa usahihi wake.
@abelsteven31893 жыл бұрын
kwani huyo Allah unamjua ?
@adammwamba91773 жыл бұрын
Uislam haujazaliwa huko...na hapo alipotembelea ni ikuli tu ya rais sio ktk nyumba za Allah...pia uislam hauusiki hapo kwakuwa wanawake wanacheza vichwa wazi..kuhusu kuvaa kanzu sio kwamba ndio uislam bali ni vazi la heshima hasa kwa waarabu
@salumukimanzchana9873 жыл бұрын
Umeongea point muhimu sana
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
Uislam enyewe ndiyo Hu mwanaume anampa mkono mwanamke ambae anauwezowa kumuowa na Hawa wasichana kichwa wazi wanatikisha minywere na Hao wanaume kupega Mingoma hapo Kuna Mushikila WA dini yote naona. Ni haram vinatendeka subuhanallah
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Waanzilish wa dini yenu hao ww umeletewa tu utulie hvohvo
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 Dini ya kiislam ni ya kila mtu siyo ya waarabu sematu mitume imetoka uwarabuni na mtumewetu Muhammad swalalahu alahi was Alam mgekua kawaletea waarabu tu Sawa ila uislam WA Dunianzima kwahiyo wakikosea waarabu kuwakumbusha muhimu wakijitia kibri wataona a na molawetumlezi
@jfineisaac62193 жыл бұрын
Ukatwe mikono usipeane na watu
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
@@jfineisaac6219 ujanielewa najua au siomuislam. Kama ujui uliza kwanza
@jfineisaac62193 жыл бұрын
Kuna tatizo gani wakipeana mikono
@akbarmpemba69903 жыл бұрын
Amna usilamu hapo
@francisjoseph10743 жыл бұрын
Warabu ndo wenye dini yao kwahiyo we umeletewa tu lasivyo mpaka sasa ungekua unaabudu vitu visivyo eleweka kwhyo we mtu mweusi hutakiwi kuchonga mdomo