DKT TULIA AMTAMBULISHA MUME WAKE, AKICHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE “TUMEWAACHA WATOTO NYUMBANI”

  Рет қаралды 151,616

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

DKT TULIA AMTAMBULISHA MUME WAKE, AKICHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE “TUMEWAACHA WATOTO NYUMBANI”
Naibu Spika wa Bunge Tulia Ackson Leo Julai 14, 2020 naye amefika katika ofisi za CCM jimbo la Mbeya Mjini kwaajili yakuomba ridhaa ya chama hicho ili Kuingia katika kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge wa Jimbo Hilo....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 115
@madolally
@madolally 2 жыл бұрын
Jaman naomba sana spika awe mwanaume.... Yani kwa ili wabunge msifanye makosa,ila turia awe naibu tu..... Najua wenye upeo wamenielewa...🙏
@msetikebwasi6895
@msetikebwasi6895 4 жыл бұрын
Anatabasamu tu,vipi wakati wa kutoa dozi sasa,,,,,anaifurahiaaaa mpaka anasahau majukumu yke kwa muda flani si ndiyo hivo jamani.Gonga like twende na utamu ule ile.
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 4 жыл бұрын
MwenyenziMungu akusimamie💕💕
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 2 жыл бұрын
Ndo kwanza namuona mumewe.kumbe anawatoto hongera sana
@amenyemwansile631
@amenyemwansile631 4 жыл бұрын
Safi shemeji yetu Kwa speech yako nzuri
@jamesmahatane2723
@jamesmahatane2723 4 жыл бұрын
Wanadam mnaongea maneno mengi mungu ana waona hongera tulia na James mungu kawaona pigeni kazi
@aishamaulidi9589
@aishamaulidi9589 4 жыл бұрын
Asanteeee
@ashrafhosseni4051
@ashrafhosseni4051 2 жыл бұрын
umependeza sana dadangu mmewako amepata mkemzuli jitaidi Dada utapata ubunge muombe mungu
@angeluslijuja3408
@angeluslijuja3408 2 жыл бұрын
Wanene wana wapenda wembamba ata mimi nampenda tulia kumbe umeolewa daa hongera mkuu umepa kanisa nakuomba wivu
@faridaaloyce7672
@faridaaloyce7672 2 жыл бұрын
Safi... gentleman...
@doricepulling8051
@doricepulling8051 4 жыл бұрын
Safi sana
@elizabethkalinga0822
@elizabethkalinga0822 Жыл бұрын
Baba Mungu akubariki Sana Kwa Utumishi Uliotukuka uliopo ndani yako.
@Hasha-zt2oy
@Hasha-zt2oy 4 жыл бұрын
Mweee! Uyo kweli tulia
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 4 жыл бұрын
Tulia Dada angu unajisumbua! Huwezi shinda uchaguzi kwa sanduku LA kura Mbeya Mjini tena mbele ya Ndg. Joseph Mbilinyi a.k.a "Sugu." Wala sikudanganyi najua unajua japo unapewa moyo na wateule wa rais na dola. Siku hiyo patachimbika Mbeya na nadhani ingependeza ubaki kuwa viti malumu na naibu spika wa kuteuliwa na sio kuwa mbunge wa kuchaguliwa.
@marygregory7566
@marygregory7566 3 жыл бұрын
Apia
@waziriwaziga4432
@waziriwaziga4432 2 жыл бұрын
Huna lolote atapia na utabaki hapohapo uki shangaaa
@sagboison6297
@sagboison6297 Жыл бұрын
@@waziriwaziga4432 aliesema hatapitaga nahisi MPAka anaona huruma
@calvinkitaly9376
@calvinkitaly9376 4 жыл бұрын
Tulia bungeni ulikuwa huelewekieleweki.
@solomonmpuluma282
@solomonmpuluma282 4 жыл бұрын
Mmm, tumwachie Mungu tu. Mimi nawapenda wote Tulia + Sugu. Ila kumbe mume naye ana upeo. Hlf anasema ni mtaalam wake 😂😂 ! Lakini inapendeza hivyo.
@annamitumba3981
@annamitumba3981 Жыл бұрын
Mtaalamu wake😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@godfreyapollo1864
@godfreyapollo1864 3 жыл бұрын
WAZIRI MKUU MPYA NDO HUYO......
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 2 жыл бұрын
SAFI SANA SHEMEJI LETU SAFI MR 👍👍👍
@halifajuma545
@halifajuma545 2 жыл бұрын
Haya mambo ya (ammmu )kama wazungu sisi wafrica wazungu wame tupa nini Kwanini msiseme( eeee )ammmu ndio imezidi
@msemwawalter837
@msemwawalter837 2 жыл бұрын
Kayiii!!! Kumbe yupo......
@selemakilawa3969
@selemakilawa3969 4 жыл бұрын
Mzee baba kaongea vzr yuko gud
@timboxlee919
@timboxlee919 9 ай бұрын
Roho mbaya Sana na sura mbaya huyu DP world
@braysonchalamila1199
@braysonchalamila1199 4 жыл бұрын
Bro nimemkubali. Atafute jimbo tu naye atie nia.
@mariambuya9654
@mariambuya9654 4 жыл бұрын
Umepitaàaa
@user-xo3bf3hm3p
@user-xo3bf3hm3p 8 ай бұрын
Tulia unaweza tena
@rehemamasoud3687
@rehemamasoud3687 4 жыл бұрын
Unafaa saana mama kwanza uyumbishwi na mtu
@ntullykessy5247
@ntullykessy5247 3 жыл бұрын
Tunakuombea dada
@user-xo3bf3hm3p
@user-xo3bf3hm3p 8 ай бұрын
Pole kwa unae mwona hafai ila jua anaitano tena sugu akalale kwao
@sniper93999
@sniper93999 4 жыл бұрын
SUGU VS DR TULIA ACSON 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@nixonjohnson6346
@nixonjohnson6346 2 жыл бұрын
Kwani kama bundi
@rehemamayende552
@rehemamayende552 4 жыл бұрын
Wamefanana
@kaizamandike8771
@kaizamandike8771 2 жыл бұрын
Mtaalam wake 😆😆😆
@guyoarero7187
@guyoarero7187 2 жыл бұрын
Specialist yake , Dr tulia
@nuruasukile1303
@nuruasukile1303 2 жыл бұрын
Tulia oyeee
@tianodokgo8718
@tianodokgo8718 4 жыл бұрын
Hapana kiongozii hapo
@edithajoseph7675
@edithajoseph7675 2 жыл бұрын
Mimi naomba spika achaguliwe mwanaume naomba sana wabunge msifanye makosa kwani mkifanya makosa itaendelea kutugarim. Mungu ilinde Tanzania
@credo7837
@credo7837 2 жыл бұрын
Ndio bc tena utabaki kulia tu
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu Жыл бұрын
@@credo7837 umeona sasa
@ramadhanijuma4204
@ramadhanijuma4204 4 жыл бұрын
Mumewe ameruhusu, "Yupo tayari kutumika"
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 2 жыл бұрын
We unajua kutumika kupi?mweuh weyeee😂😂😂
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 9 ай бұрын
Tulia una mume mzuriiii!
@user-xo3bf3hm3p
@user-xo3bf3hm3p 8 ай бұрын
Anafaaaa
@meryjohn7120
@meryjohn7120 4 жыл бұрын
Tulikuona sana bungeni ufai kabisa
@rehemamasoud3687
@rehemamasoud3687 4 жыл бұрын
Uko sawa shemela mmefanana mbona
@meryjohn7120
@meryjohn7120 4 жыл бұрын
Mama jipange sugu ni wetu
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 4 жыл бұрын
Tulia na genge lake anajisumbua pamoja na kutegemea mkurugenzi mteule wao na dola, lakini Mbeya mjini hawezi shinda hata kidogo.
@priscamboya6422
@priscamboya6422 4 жыл бұрын
Mh mama yangu eeeee Sugu utamweza kumtoa kwel
@J_Jeromy
@J_Jeromy 3 ай бұрын
​@@issackchalahani1235walosema hutoboi Leo wako wap😂😂😂😂
@frankremishoy5778
@frankremishoy5778 2 жыл бұрын
Mshamba tu hawa ndyo wale wale waminyaji wa democracy.
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 4 жыл бұрын
wachawee
@chongemarwa5834
@chongemarwa5834 4 жыл бұрын
Kalee watoto ww baba tulia
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 3 жыл бұрын
Jamani mnachekesha daa
@nyekingobwire6327
@nyekingobwire6327 3 жыл бұрын
Haya sasa sugu kapata nimi.turiya oyeee oyeeeee
@naomikatharinaandrewmnkai6760
@naomikatharinaandrewmnkai6760 8 ай бұрын
Msifiee kabisaaaaa usijekosa chakulaaa
@zulfaissa7814
@zulfaissa7814 2 жыл бұрын
Ilapesa zinanga'arisha watu wallah inaonyesha mgekua hamnapesa kamamie ingekua kilammoja anamshinda mwenzake
@husnaseph9476
@husnaseph9476 2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁
@edwardchokala2425
@edwardchokala2425 3 жыл бұрын
Duu huyu dada ni kuni
@johndaud1663
@johndaud1663 4 жыл бұрын
Sugu haumtoi ng'ooooo 2015 alishinda kwa kura laki na elfu 10, kwa elfu 40
@angelntandu661
@angelntandu661 3 жыл бұрын
Walisema hana mume
@bettymrema6580
@bettymrema6580 4 жыл бұрын
Baba Wa nyumban santeeee!!!
@davinaheven4794
@davinaheven4794 4 жыл бұрын
Akisaidiana na dada wa kazi nyumbani, wakati Mama akitumikia Taifa.
@polokotomwalusamba1132
@polokotomwalusamba1132 3 жыл бұрын
Kweli baba wa nyumbani
@evelynebwire7684
@evelynebwire7684 3 жыл бұрын
Unaumwa
@pulikisia7963
@pulikisia7963 10 ай бұрын
Vipi?? Na saivi je?? Ni baba wa nyumbani Bado??😂😂
@matundukafwila5754
@matundukafwila5754 3 жыл бұрын
Yangu macho kuangalia vyuma vinavo suguana
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Kila mwanamme atakayebofoa weka mwanamke hadi mfumo dume ufe
@kadamlwenje7629
@kadamlwenje7629 4 жыл бұрын
Ili mwanamke awe mrembo awe na vigezo gani?🙄
@ashrafumohammedi5078
@ashrafumohammedi5078 4 жыл бұрын
Uzuri wa mke kwa mumewe ni tabia njema nyumbani na ndomaana kamsindikiza kwa ukarimu wao wawili ndimi zao zimejaa maneno ya hekima na busara ( mbarikiwe Sana na bwana awe nanyi)
@jacklinegeorge5220
@jacklinegeorge5220 4 жыл бұрын
Kama ulvyonavyo ww
@hebronmalatila6186
@hebronmalatila6186 4 жыл бұрын
Tulia ! Umenogewa na Mishikaki China! Unamwalika Mr. wako aache Ajira yake ili mwongeze kipato kwa kwenda kubweka ktk mjengo wa Watanzania ? Ubungo siyo shamba la bibi.
@angelntandu661
@angelntandu661 3 жыл бұрын
Mbona wanafanana kaa matofali
@pantaleokulaya2112
@pantaleokulaya2112 4 жыл бұрын
Tufahamishwe huyo mme wake tulia anafanya kazi gani ?
@innocenciamalyawere1503
@innocenciamalyawere1503 4 жыл бұрын
Ili iweje?
@jullykebeni6438
@jullykebeni6438 4 жыл бұрын
Yupo bank unasemaje?
@petermagobonza6411
@petermagobonza6411 4 жыл бұрын
Hahahhaa hatar sana @@innocenciamalyawere1503
@evelynebwire7684
@evelynebwire7684 3 жыл бұрын
Itakusaidia nini
@magrethjackson1517
@magrethjackson1517 2 жыл бұрын
Ni wakili jamani acheni utani Ila Ni mpole sana na hapendi kujionesha ndiyo maana wengine humtafsiri vibaya
@edenbaraka7533
@edenbaraka7533 4 жыл бұрын
Kinaongea kama kizungu falaaaaaaas
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 4 жыл бұрын
Acha chuki yako ya kijinga
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 4 жыл бұрын
Ndo vizuri tunapenda vizunguuuu falaeliiiiii
@jullykebeni6438
@jullykebeni6438 4 жыл бұрын
Msomi huyo
@joycemagessa350
@joycemagessa350 4 жыл бұрын
Hafai hata kuongoza kijiji msifanye kosa .hana sida za uongozi Mkoloni asimamii haki .hafai kabisaaaaa
@innocenciamalyawere1503
@innocenciamalyawere1503 4 жыл бұрын
Pointless!gombea ww...unaijua haki
@noahmwakabejela335
@noahmwakabejela335 2 жыл бұрын
Kwa nn usigombee wew mbna huna kasoro yoyote
@irangalimbu1867
@irangalimbu1867 4 жыл бұрын
By by sung
@titosanga5447
@titosanga5447 4 жыл бұрын
Mbona mzuri mme kuliko mke?
@onesmokabia80
@onesmokabia80 4 жыл бұрын
Kuna binadam aliyejiumba hata ww umejiumba?fikiri jambo kabla hujalisema mbele za watu,niushauri tu.
@jacklinegeorge5220
@jacklinegeorge5220 4 жыл бұрын
Ww dem wako anafananaj
@gracejohn886
@gracejohn886 4 жыл бұрын
inaonekana unaumba watu wazuri sn ongela inafikia hatua hata unataka kumzidi alieumba ulimwengu mzima na watu wake ushauri wangu umba na dunia yako ukakae na watu uliowaumba
@ratifasalumu4021
@ratifasalumu4021 4 жыл бұрын
Tulia komaa naxheo cha kuteuliwa
@juliusakilimali9781
@juliusakilimali9781 4 жыл бұрын
Cfa za kutusaidia Mbeya unazo!! Komaa!!
@kakorejrboyz6447
@kakorejrboyz6447 4 жыл бұрын
Ila watu wengine ubunge munakuja Kijiji I kuishi mjini VP
@pettermasika9120
@pettermasika9120 4 жыл бұрын
SUNGU ACHIYA NJIA TULIA AANZA KUTAMBA, KATI YA WANAWAKE MAKINI WANAO ISAIDIA TANZANI DK TULIA NI MOJA WAO' MWENYEZ MUNGU HILI TAIFA LAKO LA TANZANIA TWAKUOMBA UTUPE VIÒNGOZI MASHUHURI^. UTUPE. KWA WEMA WAKO.BABA MUNHU
@stevemligo1863
@stevemligo1863 4 жыл бұрын
Mzee baba umekodiwa nini..!!!???
@gladnesskweka9468
@gladnesskweka9468 4 жыл бұрын
Itakuwa asee
@samwellishinu872
@samwellishinu872 3 жыл бұрын
ahahahahahaha
@emanuelmwanga4
@emanuelmwanga4 4 жыл бұрын
Dada yuko poa ila jamaa kama. Vile anakula ganja
@anthonyluhumbika4693
@anthonyluhumbika4693 4 жыл бұрын
Utakuwa na matatzo wew unamjaji mtu kiboya.
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 4 жыл бұрын
Kama wewe
@gracechalagwa9745
@gracechalagwa9745 4 жыл бұрын
Unasura ngumu utafikiri mkulima
@leonidaskalumuna8350
@leonidaskalumuna8350 4 жыл бұрын
We mtoto,kama sio sisi wakulima ungekula nini,alf wakulima ni wanasura nzr kamawabisha njoo huku ifakara uone huo mchele unaokula mtamu nani wnalima
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 4,8 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 15 МЛН
MAMA WA DKT TULIA AELEZA ALIVYOTAKA MWANAYE ASIENDELEE NA MASOMO
6:44
MbeyaYetuOnlineTV
Рет қаралды 205 М.
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 4,8 МЛН